SABABU ZA MTU (KUHUSUDIWA) SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Комментарии • 26

  • @user-ro9ch4jf2m
    @user-ro9ch4jf2m 2 месяца назад +9

    Wallahi Sheikh ww ni mmoja Kati ya Mashekhe ninaowapenda kwa maneno yako ya busara Allah amekupa kipao cha hali ya juu Namuomba Allah akuzidishie Ameen

  • @user-ck3gw7ok7r
    @user-ck3gw7ok7r 2 месяца назад +5

    Yah Allah tulindie shekh wetu yaraby ❤

  • @salamaabubakar5978
    @salamaabubakar5978 2 месяца назад +4

    Mungu azidi kukupa elimu njema Amin . Nafurahi sana kwa mawaidha yako . Insha’allah Mungu azidi kukudumisha kwa kutuelimishi .

  • @RubeaAli-vi8ww
    @RubeaAli-vi8ww 2 месяца назад +5

    Allah akulipe KHEIR NYINGI napa duniani, kaburini, na akhera pia, amiin

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад +3

    Mashalah.
    .maneno kuntu ayo ostaz...Yan ayo mawaiza yaleo yananigusa Sana..Yan apo kama unanizungumzia mim kabisa ostaz....ama kwali nimejifunza kumbe nishajua jinsi yakudili nao mahasidi...kumbee izo nidalili za wivu wao dhidi yang...nimeelewa Sasa ostaz ...nawala sipati tabu nao tena

  • @user-ph9ds9dm7w
    @user-ph9ds9dm7w Месяц назад +2

    Ni maneno ya busara sana na Hekima nyingi Allah Azid kukuweka ili Tunufaike Zaid 🙏🙏.

  • @KhadijaNgozi-ln4ww
    @KhadijaNgozi-ln4ww 2 месяца назад +5

    Maneno.mazuri.sana

  • @husseinkatana4573
    @husseinkatana4573 2 месяца назад +4

    Allah akuzdishie neema ya afya uzidi kutuelimisha

  • @bwanadiosman1317
    @bwanadiosman1317 2 месяца назад +3

    Mungu atujalie kheiyr zaka insha Allah nawe Mungu akujazi kheiyr nyigi insha Allah

  • @NzomukundaHawa
    @NzomukundaHawa Месяц назад +2

    Allah akupe umri mrefu wakuendeleza mafunzo ya dini, tunashkuru sana sheikh wetu

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 2 месяца назад +5

    Nakupenda sn cheikh wetu kwa akili ya Allah Allah akulipe kheri zisizo kua n'a hesabu duniani n'a akhera

  • @MasaadSaid
    @MasaadSaid Месяц назад +1

    Alhamdulillah kwa kunipa moyo mkubwa sana

  • @saudaali505
    @saudaali505 2 месяца назад +4

    Allah akuongoze sheikh uzidi kutuelimisha.

  • @user-gw1tc8tf5j
    @user-gw1tc8tf5j Месяц назад +1

    MashaAllah❤

  • @IbrahimKalisa
    @IbrahimKalisa Месяц назад +1

    Ma shaa Allah

  • @MariamHaroon-pu3lx
    @MariamHaroon-pu3lx Месяц назад +1

    Mashaaallah 😢🎉🎉🎉🎉🎉

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 2 месяца назад +2

    Cheikh acha kunichekesha

  • @halimaramadhan2000
    @halimaramadhan2000 2 месяца назад +2

    Jazzakah llahu kheir sheikh Othman

  • @user-po7gb6xx1k
    @user-po7gb6xx1k Месяц назад

    ماشاء الله تبارك الرحمن❤

  • @user-po7gb6xx1k
    @user-po7gb6xx1k Месяц назад

    اللهم آمين يارب العالمين

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 2 месяца назад +3

    Yani Allah alimpa jibu lizuri kua ni mafunzo kwetu kiukweli inaumiza kabisa

  • @user-vk7ts9mv2p
    @user-vk7ts9mv2p Месяц назад

    Mimi nimefaidika na darsa hii ni muhimu sana MUNGU amjalie kiongozi huyu azidi kuwafumbua macho waislam kwani sana wakati tulionao watu takriban wengi ni mahasidi

  • @user-rj1my4mj5c
    @user-rj1my4mj5c Месяц назад

    Allah akuhifadhe

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад +2

    Inachokisema kuntu ostaz...mim nilikuwa nawasapoti watu lakini wakawa wananishambulia na kutoona kama sifanyi kitu...kiukwel ukifikilia icho inaweza ikakuledisha nyuma na usisapoti watu hata kama unapenda kusapoti watu...kikubwa tu kufokas na mambo yako unachofanya japokuwa inaumiza