'Ndugu yangu alitaka kuniua kutokana na aibu ya kuwa nilimkuta akiiba ndizi zangu shambani.'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Issa ni mkulima mdogo kisiwani Pemba wakati alipomfumania ndugu yake akiiba ndizi shambani kwake .
    Kwa hasira mwizi alimshambulia kwa kumkatakata kwa panga, aliigiza kama amekufa ili mwizi ambaye anatoka familia moja na yeye amuache.
    Anasema anadhani alitaka kumuua kutokana na aibu ya kufichuliwa kuwa mwizi.
    Ni kweli ikulacho ki nguoni mwako..
    #pemba #kilimo #tanzania #zanzibar #bbcswahili

Комментарии • 12