'Ndugu yangu alitaka kuniua kutokana na aibu ya kuwa nilimkuta akiiba ndizi zangu shambani.'
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Issa ni mkulima mdogo kisiwani Pemba wakati alipomfumania ndugu yake akiiba ndizi shambani kwake .
Kwa hasira mwizi alimshambulia kwa kumkatakata kwa panga, aliigiza kama amekufa ili mwizi ambaye anatoka familia moja na yeye amuache.
Anasema anadhani alitaka kumuua kutokana na aibu ya kufichuliwa kuwa mwizi.
Ni kweli ikulacho ki nguoni mwako..
#pemba #kilimo #tanzania #zanzibar #bbcswahili
Pole sana
Pole sana mzee isa
Thnx BBC
Daaah pole sana
Nipo afisa ugani wako naziona jitihada zako bwana issa ..tupo pamoja
Mwizi ndio akatwe kiganja lkn mliki ndio kakatwa, ama kweli dunia imeharibika kufikia mwizi kua n cheo cha ujambazi.
Jesus 😭
😭
Ama kwel mwiz n mwizi ama zake ama zako