Asalam alaikum mimi sijuwi mengi ila naswalia Ngozi ku masjid Shaafi n'a kila week tunafanya maulidi n'a kuna maulidi kubwa kwa mwaka n'a chenye wanafanya ni kusoma maneno ya mungu nielimishe basi nielewe kwasababu mi ni mshafi kutoka Ngozi n'a kuna ma Sheikh wakubwa sana wenye ujuzi
Nakupenda sana baba kwa jili ya Allah ☝️ naeshi🇷🇼 lakini nakupenda sana baba ❤️
Mashallah
Haya njo mawaidha mazuri yakiwemo darsa, jazakallahou kheir ya sheikh
Shukran sheikh Allah akuzidishiye kila la kheri tunaomba suite ya hiyi InshaAllah
mashaAllah
Naiyaxubillah. Moto wajahannama yarabi. Kwshuruma wako
Jazakallah khaillah shehe kwaukumbusho
Ma shaa allah haya mawaidha yako sheikh Abdi ni Ghali sana yenye ibra na mazingatio
Kwani ni dhambi gani sheikh Abdi John amefanya
Naishi South Africa maalim abdi John umefanya makosa makubwa kwenda kwenye bidah ya maulid Congo
Fanya tauba Malim abdi John please please please
Asalam alaikum mimi sijuwi mengi ila naswalia Ngozi ku masjid Shaafi n'a kila week tunafanya maulidi n'a kuna maulidi kubwa kwa mwaka n'a chenye wanafanya ni kusoma maneno ya mungu nielimishe basi nielewe kwasababu mi ni mshafi kutoka Ngozi n'a kuna ma Sheikh wakubwa sana wenye ujuzi