Sheikh Abdi John : UKiwa mweny Akili

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025

Комментарии • 10

  • @shadiahshadiahshadiahshadi4060
    @shadiahshadiahshadiahshadi4060 Год назад +1

    Naam Sheikh wetu ❤❤❤❤ ALLAH akuwekeye wepesi kwakila jambo nakupenda kwaji y, ALLAH ❤❤

  • @AbdillahJL07
    @AbdillahJL07 Год назад +1

    Allah akujaalie mwish mwema kwa kazi unao ifany🙌🙌

  • @mugishamedia2632
    @mugishamedia2632 Год назад

    Daima wewe ni moja mwa masheikh pendwa inchini Burundi 🇧🇮, vijana wazee,waume kwa wake,wanakuelewa nakukupenda Sheikh wetu,hilo daima litabaki kuwa fitna kwa baadhi ya wenzako.Allah akuhifadhi na fitna za maaduwi na mahasimu wako kwa ujumla.na azidi kukupa ibra na ufahamu mzuri,utupe maneno mazuri yenye hekima nakucunga heshima za watu.aamin

  • @sanianan6586
    @sanianan6586 Год назад

    Allah akupe ubri murefu sheikhwetu .apia akujalie mwisho mwema

  • @SalmaSalma-rm7vk
    @SalmaSalma-rm7vk Год назад

    Allah akupe afya na umri mrefu wenye kheri na baraka ndani yake akuwezeshe kukusanya amali njema utakazo muoneshe siku ya kukutana naye uwe na furaha.

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 11 месяцев назад

    Jazakallah sheikh Allah akupe umri mrefu inshaallah

  • @shadiahshadiahshadiahshadi4060

    Shukurani yaa Sheikh brakallam fikumu

  • @mamanabdoul4397
    @mamanabdoul4397 9 месяцев назад

    MAA SHAA ALLAH.j

  • @hamisihalfan3100
    @hamisihalfan3100 4 месяца назад

    Allah Akbar

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 Год назад

    Ameen