Hizi hapa NGUZO KUU 3 ZA UIGIZAJI | OJ'S TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Kujifunza hakuna mwisho,leo tunajifunza kuhusu NGUZO KUU 3 ZA UIGIZAJI
    ambazo kwa msanii yeyote anatakiwa kuzifahamu.Sisi OJ'S TV tutaendele kujifunza pamoja na wafuatiliaji wetu hapa kwenye chaneli yetu OJ'S TV.

Комментарии • 39

  • @KassimBabi-os9sm
    @KassimBabi-os9sm 4 месяца назад +1

    Bro nimekubali sana unafunza vizur

  • @GidflayGasto-g3k
    @GidflayGasto-g3k Месяц назад +1

    bro we ni noma

  • @Directorisma
    @Directorisma Месяц назад +2

    Hiyo nguzo ya kwanza inasababishwa na kutokuwa na vifaa hususani Mics zenye Ubora

  • @ShamsaTwaha-f1u
    @ShamsaTwaha-f1u 7 месяцев назад

    Thanx for that God bless u

  • @rongcrmediaentertainmentclub
    @rongcrmediaentertainmentclub 11 месяцев назад

    Ahsante sana 🤝

  • @AnthonyEdisony-in4ig
    @AnthonyEdisony-in4ig 11 месяцев назад +2

    Jmn Kuna watu tunatamani sana ila hatujuhi tuanzie wapi tusaidieni basi tusiishie kuwasikiliza Bali tufanye na vitendo

    • @ojsfilm1
      @ojsfilm1  11 месяцев назад +1

      Karibuu

  • @HarunaFundii-lw1zr
    @HarunaFundii-lw1zr 16 дней назад +1

    Nipo Malawi na Nina Imani Nita faidi kwenye ili

  • @K-AYMDUDU
    @K-AYMDUDU Месяц назад

    Kaka darasa zuri sana lie liendelee hili

  • @allendaudi
    @allendaudi Год назад +1

    Thanks teacher

  • @ElizabethEmmanuel-ig7iz
    @ElizabethEmmanuel-ig7iz 2 месяца назад +1

    Naomba Namba yako unisaidie zaidi ni nastory lakini sijui nianzie wapi

  • @Cutephina
    @Cutephina 7 месяцев назад

    🎉🎉

  • @gudilamallya8247
    @gudilamallya8247 10 месяцев назад +1

    Najifunza kweny vikundi lakin kwenyw kutoa machozi inakuwa ngumu sijui kwanin

  • @magerezasanaa8666
    @magerezasanaa8666 Год назад +1

    Safi sana mwalim

  • @HalimaSaid-ns4gv
    @HalimaSaid-ns4gv 3 месяца назад +2

    kaka napenda kuja kuae muigzaji bora ila cjuwi kingeleza na cnapesa zakujifunza uwikizaji nafanyaje

  • @ElizabethEmmanuel-ig7iz
    @ElizabethEmmanuel-ig7iz 2 месяца назад +1

    Fungueni dalasa na Mimi nijiungu

  • @AminaMsang-x3w
    @AminaMsang-x3w 6 месяцев назад

    jaman kaka mm napenda san kuigiza na ni ndiyo zangu lakin chapat elim Wala cna experience youote ila napenda sana

  • @Faitatz
    @Faitatz 2 месяца назад

    Masomo yako nimazuri sana kaka

  • @HamzakhanHamzakhan-x1k
    @HamzakhanHamzakhan-x1k 6 месяцев назад

    Mimi napenda kuigiza lakin nataman sana nipate chuo ili nikasomee uigizaji

  • @SumooRobert
    @SumooRobert 2 месяца назад

    Nahitaji kuigiza naomba connection kaka

  • @KassimBabi-os9sm
    @KassimBabi-os9sm 4 месяца назад +2

    Bro mm nakufatilia sna ila pia natamaninije uko dar unifunze ila naishi zanzibar ila nitafatilia japo yutubu

  • @lubungamangojeokaludji7584
    @lubungamangojeokaludji7584 2 года назад +1

    Asante sana bro

  • @saudasaid6204
    @saudasaid6204 2 года назад +1

    Naomba no Yako kaka

    • @ojsfilm1
      @ojsfilm1  Год назад +1

      Nitumie za kwako dada nitakupigia

  • @Fx67m2EmanuelTv
    @Fx67m2EmanuelTv 11 месяцев назад +1

    Nimejifunza vyama kaka

  • @ChusseMchina
    @ChusseMchina 2 месяца назад

    Me pia nahitaj

  • @ShamsaTwaha-f1u
    @ShamsaTwaha-f1u 7 месяцев назад

    Nahitaji kujiunga na sanaa ya kugiza

  • @SonlizerKigahe
    @SonlizerKigahe Год назад +1

    Asant kaka umenipa kitu

  • @ibrahimemmanuel110
    @ibrahimemmanuel110 Год назад

    na ndoto kubwa sana ya uingizaji sema tu sijui naanzianwapi

  • @ibrahimemmanuel110
    @ibrahimemmanuel110 Год назад

    naweza nikaonana na ww mheshimiwa

  • @muweza
    @muweza 2 года назад

    Sauti na lugha ni kitu kimoja?

    • @ojsfilm1
      @ojsfilm1  2 года назад

      Hapana mkuu bali sauti hutumika kutafsiri lugha

  • @Rayizohclassic
    @Rayizohclassic 8 месяцев назад

    Kaka naeza pata namba yako ya WhatsApp

    • @ojsfilm1
      @ojsfilm1  8 месяцев назад

      nitumie ya iwaki nitakucheki, ASANTE