| KIWEWE CHA VITA | Wanajeshi ambao hawajarejea kutoka Somalia

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 май 2019
  • Jua linapochweya na kukosa kufahamu aliko mpendwa wako huleta kiwewe moyoni, na baadhi ya familia za wanajeshi zimelazimika kuishi pasi na kusikia kutoka kwa wapendwa wao kwa miaka kadhaa sasa. Mwanahabari wetu Kadzo Gunga alikutana na familia zilizosimulia miaka ya ati ati bila taarifa zozote kuhusu wapendwa wao. Hii hapa sehemu ya kwanza ya makala ya 'kiwewe cha vita'
    Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
    This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
    Follow us:
    citizentv.co.ke
    / citizentvkenya
    / citizentvkenya
    plus.google.com/+CitizenTVKenya
    / citizentvkenya

Комментарии • 260

  • @mattehltd4179
    @mattehltd4179 5 лет назад +45

    a mother is an angel sent from above .....Her last words broke me down

  • @zaidazainab2407
    @zaidazainab2407 5 лет назад +162

    I see the difference btw mother love and wife love....
    Mama says better to have no compensation and see his son..vs wife waiting for compensation...
    Mama dying because of thinking whereabouts of his son...may she rip....
    No one can replace the love of a mother....hats off to all mummies....hit like if you believe mama's love is priceless.👇

    • @petermakori8442
      @petermakori8442 5 лет назад +2

      The cry of the mother vs wife 😭😭😭😭😢😢

    • @joseckerambo2184
      @joseckerambo2184 5 лет назад +2

      I think the wife was saying after they get the benefits their relationship with the army ends, therefore, they will lose the right to ask the army to look for her husband.

    • @topistarnelima6797
      @topistarnelima6797 5 лет назад

      What do you mean you see the difference if am his wife I could sign for compensation imagine seven yrs no phone call, no nothing other soldiers came back they have not heard of him she has children they need school fees and other needs she has no otherwise she have to sign compensation to support children.she have waited enough even if she says she dont want compensation he can't come and the army will not care about his family anymore

    • @zaidazainab2407
      @zaidazainab2407 5 лет назад +1

      @@topistarnelima6797 don't let my opinion consume you it's was viewed from a different perspective that differs from yours...and we all have different perspectives and that's nature.
      Eventually everyone is allowed to bring forth his/her own opinion in this forum.

    • @ekkarogie5
      @ekkarogie5 3 года назад

      The love i have for my mum.....i just cry

  • @musaamuj
    @musaamuj 5 лет назад +5

    I remember for 7years consecutive went for a recruitment without success even the last year of my age gap of 26 nlikuwa nisha chukuliwa corruption ikachezwa nikatupwa nje now I know the work of God can't complain of anything any more.

  • @daprince7545
    @daprince7545 5 лет назад +4

    Poleni Sana wafiwa mungu awape nguvu kwa wakati mngumu mnaopitia . Halafu imagine hii kazi ya jeshi ya kulinda taifa yetu wengi hutoa hongo ndio upate kazi ya jeshi. Halafu unaenda teseka huko Somali kwa kazi uliyo toa hongo . Inauma sana .

  • @Nyarsiaya2023
    @Nyarsiaya2023 5 лет назад +19

    Thank you so much Emma for the consideration you have to Kenya soldiers, I pray God gives the family peace that no man can give, God protect our soldiers wherever they are Amen

  • @ogambadivinah4333
    @ogambadivinah4333 5 лет назад +18

    Ni kweli mama hata wakupe mamilioni mingi bila mwanawe ni stress 😞😞😞😞😞😞😞

  • @koechkane
    @koechkane 5 лет назад +12

    The only genuine love in this world is mother's love.

    • @G9s7900
      @G9s7900 5 лет назад +1

      and there's no way i can disrespect mum because of my wife. umenena bro

    • @mwaoshkarish4197
      @mwaoshkarish4197 3 года назад +1

      Even a fathers love mazee sio wamama pekee

  • @lilililian575
    @lilililian575 5 лет назад +16

    Last words of this mama has made me cry 😭😭😭😭😭 so painful.............mungu mtie uyu mama nguvu katika harakati hii ya mauchungu and let your will be done

  • @naknak150
    @naknak150 5 лет назад +5

    Si kazi kabisa, hata wakirudi wengine kujitoa uhai,ama wazimu.

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380 4 дня назад +1

    The love of the mother not even compare to the Jezebel daughter

  • @theonlyfunguokeyz5638
    @theonlyfunguokeyz5638 5 лет назад +6

    Poleni sana.. MUNGU awalinde wanajeshi wetu wote walipo

  • @theson5044
    @theson5044 5 лет назад +13

    Others see see themselves being a solder like another God.
    Hii kazi ni shida tu

  • @haliimomar1692
    @haliimomar1692 5 лет назад +5

    Vita Sio kitu Kizuri na Musitafute Vita Abadan Bora Amani

  • @cointhemoney9450
    @cointhemoney9450 2 года назад +2

    Once I wanted in my life to a soldier,..buh my mom refused me ....💕🥰..

  • @jotaya
    @jotaya 5 лет назад +5

    What I know is that the US, and other developed nations love love their soldiers too much, and that’s alright with me! This is so so sad for these families. It’s unacceptable and these are the areas Kenyans need to peacefully protest on and bring the country to a stand still. A chain is as strong as its weakest link. Our government has failed us big time! Let’s keep electing “mtu wetu or mwizi wetu.” I feel like we haven’t been brought to our knees yet enough to acknowledge that we deserve better from our government.
    Heartfelt condolences for these families! I hope the deaths are not in vain.

  • @mohamednagib2594
    @mohamednagib2594 5 лет назад +1

    Kweli uchungu wa mwana ajuae ni MZAZI...The lovely mother made me tha fact true by saying ; " hata wanipe millions , nothing can replace my child. "

  • @peterkariuki9073
    @peterkariuki9073 5 лет назад +12

    Hii sio kazi. Just risking life. Many innocent lives r sacrificed for the benefit of few.

    • @irenekamamie8061
      @irenekamamie8061 5 лет назад +1

      kweli aki kurisk my son nilikua namuulixa kama anawexa taka kua police aliniambia aaiii mum beta mechanic🙊🙊🙊

  • @sylviaabuor9494
    @sylviaabuor9494 5 лет назад +7

    Once a soldier ur a soldier

  • @margretwangari1018
    @margretwangari1018 5 лет назад +7

    Pole sana MUNGU awape amani

  • @vitukochronicleskenya6187
    @vitukochronicleskenya6187 5 лет назад +10

    So sad...loosing our army forces

  • @josiahalela7672
    @josiahalela7672 3 года назад +1

    Being A Millitary Personell is not A Job, it is a service..........
    MAY GOD PROTECT THEIR FAMILIES

  • @mcsolootv1360
    @mcsolootv1360 5 лет назад +3

    I will always stand with my mum no matter what.

  • @jeffchurum1431
    @jeffchurum1431 5 лет назад +10

    Poleni sana. Kwani Army hawana “broken arrow”? Ama ni negligence ya Kenya Airforce? My feelings Kenya air force neglected ground troops.

  • @promaxemweli
    @promaxemweli 5 лет назад +5

    "Heri hizo pesa ipotee na mtoto wangu apatikane"😭😭

  • @farhadhassansaid1297
    @farhadhassansaid1297 4 года назад +3

    For real i liked this job whatever i apply they give me alot of things by Alhamdhulilah am in Saudia workin n i thnk Allah for this n wat am havin it know

  • @joycewairimu5016
    @joycewairimu5016 5 лет назад +7

    God protect our solders.

  • @josphatkibe5032
    @josphatkibe5032 5 лет назад +4

    Kwa kweli, aujuae uchungu wa mwana ni mzazi!!!

  • @mahatmustafa7041
    @mahatmustafa7041 5 лет назад +6

    our youth run for easy pay but the price is hard to accept & expect. Its good to stay hungry than put in war front in the name of defending a country of politicians hypocracy.
    poleni sana, my mother rejected me to join even prison & now ended up being professional teacher. congrats

    • @ilevejohnijtv4466
      @ilevejohnijtv4466 3 года назад

      The best thing Government must do to these families,although nothing equivalent to a child, husband, wife or daughter but Government must respond and axplain to the family what happened and provide all kind of support needed to the affected as they process all kind of compensation...

    • @bonfaceohuru2517
      @bonfaceohuru2517 Год назад

      Thank you...little pay but safe with your family.

  • @naknak150
    @naknak150 5 лет назад +11

    Mungu wasaidie kwani wanatumiwa nawakora serikalini,vita hivi ya Somalia. Ilikua ya muamerika akampatia muithopia ,muithopia nae alishindwa,museveni pia ameshindiwa. Je kenya itaweza?

  • @marylandjowaka7069
    @marylandjowaka7069 5 лет назад +3

    We must pray for safety of our soldiers. ..govt should pull off

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi3043 3 года назад

    Tuanzishe opereni Amani kwa watu wote na usalama kwa wote na MUNGU MKUU ATUSAIDIE SOTE. Inasikitisha sana . poleni sana wapendwa na MUNGU MKUU awape nguvu. Amen.

  • @wondersmotivation5543
    @wondersmotivation5543 5 лет назад +2

    Mr,,President plz return Kenyan's back to their country,,, let those hooligans guard them selves,,, we can't see our people dying for another people interest,,, let them come and do it here in their country,,,, we have those criminals everywhere,,,

  • @terrykarey3553
    @terrykarey3553 5 лет назад +4

    Dear God protect our solders

  • @faridmwinyi9462
    @faridmwinyi9462 3 года назад +1

    Mama anaongea kwa uchungu. God bless our mothers, Amen.

  • @cinderellaamina6115
    @cinderellaamina6115 3 года назад

    Fanyeni kazi zenu acheni uoga alikubali kazi na roho safi tokeni mumutafute kwafanya wengine watakataa kuwa jeshi jili yatisha haya yoko hai anaitaji msaada tokeni

  • @fahdchannel3788
    @fahdchannel3788 3 года назад

    Kwanza poleni Sana wafiwa aki inauma Sana but kumbuka pia hawa vijana wamejitoa mhanga kwa sababu ya wakenya kwa ujumla lkn pia inauma Sana kumpoteza mpendwa God bless kenyan army kenyan heroes Kama unataka kujua nguvu ya Kenya defence forces then angalia malalamiko ya magaidi siku zote hulalamika kuhusu kdf mpaka wanakuja kuua innocent people of Kenya na watoto na wanafunzi hhh hakuna siku utaona wakilalamika na majeshi ya uganda ethiopia burundi djibouti na somalian army hapo utaamini Kenya defence forces are not weak like others hhhh kdf ni kipigo tosha kwa magaidi.. sisi Kama jamii ya kisomali tunawashukuru Sana wanajeshi wa Kenya God bless Kenya defence forces mungu awaongezee nguvu ya kuwatunza mamilioni ya watu

  • @kipkoechdennis5201
    @kipkoechdennis5201 2 года назад +2

    May God continue to comfort these families

  • @robertngari6822
    @robertngari6822 5 лет назад +1

    Dunia tunapita hakuna atakae ishi milele humu duniani...
    Poleni mliofiwa

  • @user-by9ev5uk7c
    @user-by9ev5uk7c 3 месяца назад

    Heroes of this nation may God's keep ur souls in a safe side

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 лет назад +25

    Shida ya jeshi nikwamba mtu akifa vitani hawasemi yani hata kama ni mtoto wako au mume wako hutaruhusiwa kumuona wanataka tu wamzike hivyo and this is so sad, plz let this pipo know something about their son plz, they are in shock just break the news for them to be free

    • @puritykrishna1592
      @puritykrishna1592 5 лет назад

      Ukiingia jeshi unakua mali ya serikali

    • @annejane1311
      @annejane1311 5 лет назад +1

      So sad 😥😥

    • @samueljr9105
      @samueljr9105 5 лет назад

      @@puritykrishna1592 sawa lkn kma umekufa yr family wako na haki ya kukuona hata once hiyo ni sheria, lkn hawa hawaruhusu hata wazazi kuona mtoto wao hio sio sawa, kuna mwingine alizikwa baba alisema " am not sure if they bury my son coz i was not allow to see him" sasa hiyo ni nn? Ata kma ni mali ya serikali family members MUST BE allowed to see their son, brother, uncle bfr thry bury him

    • @briankenyan1799
      @briankenyan1799 Год назад

      I think they do not want them to be traumatized due to the condition of the body

  • @maishacenter-eastafricatv3976
    @maishacenter-eastafricatv3976 3 года назад +1

    Burundi🇧🇮🇧🇮 pia tuliwapoteza wengi

  • @catewambui9528
    @catewambui9528 5 лет назад +9

    God give them peace of mind

  • @cheroshaz4703
    @cheroshaz4703 5 лет назад

    Haya Yahuzunisha sana, Maulana pekee aliye na majibu.. poleni sana

  • @estherkihara3787
    @estherkihara3787 5 лет назад +3

    may God give you peace mama

  • @KIM-xl6zs
    @KIM-xl6zs 5 лет назад +1

    I really pity this guys, mimi nilisema siwezi India jeshi, fighting for other people's interests, ikiwa wako genuine mtoto wa uhuru na ruto wawe kwa frontline

  • @mocua2910
    @mocua2910 3 года назад +3

    Wazazi ficheni stakabadhi za watoto wasiende kwa usajili wa jeshi au polisi.

  • @mwaoshkarish4197
    @mwaoshkarish4197 3 года назад

    For those commenting about a mother remember the Father too....he wouldn't have been featured here if he didn't care about his son's whereabouts

  • @kamenyag352
    @kamenyag352 5 лет назад +16

    Hii ndio kazi nilikua naenda kuapply
    Woi ebu tusubuane na waarabu tu

    • @olefajohns1751
      @olefajohns1751 5 лет назад +1

      😂😂

    • @plmm7706
      @plmm7706 4 года назад +3

      Walikua wananikataa kuingia jeshi kwa sababu Zina pesa za hongo ,Waja nikanyake gulf vilivyo Mungu anatulinda sana

    • @abdallakasim6027
      @abdallakasim6027 3 года назад

      Fjdureuru

    • @abdallakasim6027
      @abdallakasim6027 3 года назад

      @@plmm7706 y tur

    • @colbymackells7597
      @colbymackells7597 3 года назад

      Wewe si mwanaume endelea kuosha vyombo za waarabu matako ya waarabu wazee

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 5 лет назад +1

    Wanajeshi wetu wanatumiwa na serikali ambayo hawana ajenda..wanajeshi wetu wangetuchunga kwa border na ndani ya nchi...hii vita ya Somalia haishii leo wala kesho,wachache katika serikali ndio wanafaidika.

  • @fidelagala3262
    @fidelagala3262 5 лет назад +1

    very sad...😥😥 may God protect our soldiers

  • @mohamedmohamed614
    @mohamedmohamed614 3 года назад +2

    Na baado watakufa saana;huyo rais wenu umvuta bangi atawapeleka pabaya apunguze kuvuta vuvuzela;wasomali wana uchungu ya kaskazini wa Kenya kwa ndani ya kenya baado anataka kismayu na bahari yake kumalamaayake kenyata

  • @roseirungo1950
    @roseirungo1950 5 лет назад +11

    Sad aki uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi

  • @ramenyaramenya6223
    @ramenyaramenya6223 5 лет назад +19

    Shukuru mola wewe umeketi na mpenzi wako.

  • @user-dg8qe9rf9h
    @user-dg8qe9rf9h 5 лет назад +3

    Poleni sana nduguzangu

  • @cezzdankenya6812
    @cezzdankenya6812 2 года назад

    Mungu awafanyie wepesi 👪familia za hao wanajeshi

  • @ghettohyutemusiq611
    @ghettohyutemusiq611 5 лет назад +8

    Can the government just withdraw its forces there

  • @TheeMakau
    @TheeMakau 5 лет назад +1

    You’re a professional journalist

  • @danmunesh6233
    @danmunesh6233 5 лет назад +2

    wanajeshi wacheni siri bana, mkiwezwa mnasema ukweli, mwache kutesa wazazi

  • @Mr.George.N
    @Mr.George.N 5 лет назад +4

    Na mtu kuna anajiita Commander in Chief of the Diffence Forces.

  • @mocua2910
    @mocua2910 3 года назад +8

    I will do everything in my power to make sure no child from my family will serve in KDF or KPF.

    • @antonymwagi4636
      @antonymwagi4636 3 года назад +3

      For me i would not be the wall between my childrens i would like them 2 follow their passion ...? That is the act of being a coward for u....our fore fathers died and bleed for this country to gain our independence and yet they had no guns that time?..so if the war comes 2 ur door step u urself seem 2 run away?..am not judging but guessing..

    • @mohamedrahoy34
      @mohamedrahoy34 3 года назад

      Then you are coward

    • @wambuibwaweru6920
      @wambuibwaweru6920 2 года назад

      @@antonymwagi4636 huyu atapotea aache watoto na bibi haha

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 5 лет назад +3

    Sasa kwa nn waende uko somalia na wenyewe hawataki c bora wangebakia tu mipakani kuilinda nchi yao.

  • @helenkamau5096
    @helenkamau5096 5 лет назад +2

    Woiye mungu linda mume wangu na wanajeshi wengine.....najua fenye mtu huhisi aki 😶😶😢😢😢

    • @mercysimiyu6696
      @mercysimiyu6696 5 лет назад

      Helen Kamau mungu yu naye mummy

    • @daniels9835
      @daniels9835 5 лет назад +1

      Muombee kila siku na usisahau

    • @helenkamau5096
      @helenkamau5096 5 лет назад

      I always pray for him aki siyo rahisi

    • @helenkamau5096
      @helenkamau5096 5 лет назад

      Mercy simiyu thank you soo much dear be blessed

  • @user-gv7is9oe9y
    @user-gv7is9oe9y 2 месяца назад

    I too wanted to be a soldier but mum refused. Unsteady she she sorted me with capital to start my own business.

  • @seinkonchelah1226
    @seinkonchelah1226 3 года назад

    nawapenda KDF soldiers.God no mkuu wa majeshi..sio wamadaktar..mawakili etc...heri kufa Kama shujaa kuliko kuishi Kama pumbafu.wengi wanaitia nchi kwa hatari lakini KDF officers wanaweka Maisha yao kwa hatari juu yetu.mama pole...lakini jeshi huenda kwa Mungu akifa wakitupigania,

  • @Coronado-og2dk
    @Coronado-og2dk 5 лет назад +1

    Mothers love the best

  • @margaretkariuki2519
    @margaretkariuki2519 5 лет назад

    Its so sad,I see more than money or work in this hero,sacrifice and love for there country ...unfortunately there just important when there live and Healthy if anything happen the country they were so loyal to forget so fast and there love love ones are left full of pain and sorrow....may Almighty protect our soldiers and there families

  • @denquekym9845
    @denquekym9845 5 лет назад +1

    oh my am shorts of words...boy child hupitia changamoto mob...may God bless this familys...

  • @mohamedswalehfumo9997
    @mohamedswalehfumo9997 Год назад

    Romeo India Papa our Officers

  • @sylviajebet7093
    @sylviajebet7093 5 лет назад +1

    So sad haki mungu azidi kuwafariji

  • @johnohando2390
    @johnohando2390 3 года назад +1

    Ebu Wakenya kitu gani in Kenya runs smoothly?

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 5 лет назад +1

    Kwani kuambia family ukweli Kuna shida gani.... Kuna vijana wengi wamepotea Mpka Leo na no information.... Kifo ni cha kila mtu

  • @mudezzali1257
    @mudezzali1257 5 лет назад +1

    Very painful

  • @irenekambi4705
    @irenekambi4705 5 лет назад +3

    Vijana wataogopa kujiunga na jeshi sasa ewe molla warehemu walouliwa huko somali.

  • @platumkoshy9930
    @platumkoshy9930 5 лет назад +40

    Kuliko kukuwa KDF heri kufanya kazi kwa waarabu

  • @omwoyoerick9274
    @omwoyoerick9274 3 года назад +2

    HALAFU MTU ATUKAME MAMA YAKO... NKT!!!!

  • @samsonokenye4130
    @samsonokenye4130 4 года назад +2

    Joining the military should be a calling and not an option to earn money. Military men/women belong to government and not their families

    • @bonfaceohuru2517
      @bonfaceohuru2517 Год назад

      What do you mean a calling?? It isn't a biblical ministry!!... Hey.,that is somebody's son and daughter being slaughtered in bushes by enemies....

  • @ibrahimzaki2912
    @ibrahimzaki2912 5 лет назад

    So sad story polen sana

  • @winslauschitechi983
    @winslauschitechi983 Год назад

    Mother's love 🙌💖🙏

  • @michaelmburu2331
    @michaelmburu2331 5 лет назад

    lets defend our borders inside our country, no need for our sons and daughters fighting in somalia fighting onbehalf

  • @ARTCELLENCY
    @ARTCELLENCY 5 лет назад +12

    I respect soldiers but not police

  • @janetkerubo7643
    @janetkerubo7643 5 лет назад

    Waa my bro live long

  • @sarahreeves472
    @sarahreeves472 5 лет назад

    so sad poleni sana

  • @mealemalika7565
    @mealemalika7565 5 лет назад

    Poleni sana

  • @kimberlytv7895
    @kimberlytv7895 5 лет назад +2

    Sio kitu ya kecheka lakini huyu mama yahwah, ati Walishtuka hadi ngo'mbe Hai, we

  • @DrSting-vp3hd
    @DrSting-vp3hd 5 лет назад

    So sad...it pains my heart

  • @user-he4fl7md2z
    @user-he4fl7md2z 5 лет назад

    Duh so sad poleni jamani

  • @rhodamakeila5924
    @rhodamakeila5924 5 лет назад

    Poleni Sana

  • @florencenjoroge2844
    @florencenjoroge2844 5 лет назад +1

    Sad story

  • @mamakeangel3885
    @mamakeangel3885 5 лет назад

    Wooooieee soo sad hope he is fine woooieee atafutwe aki pesa hatuwezi linganisha na mtoto

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba5762 5 лет назад +1

    Inahuzunisha sana dah

  • @aggycherry9400
    @aggycherry9400 5 лет назад

    So painful😢

  • @Theanonymousgorgeous254
    @Theanonymousgorgeous254 5 лет назад +1

    The government should withdraw our troops from Somalia already. United States can help Somalia settle the Alshabaab tragedy and restore peace. But I'm among the few who feel like the terrorists are funded by superiors. So sending our Kenyan boys there is more like sending them to a death camp. 😢Someone benefits from this

  • @feisalmohamed7863
    @feisalmohamed7863 3 года назад +1

    Waliambia hamujui nn maana ya vita musiingie vita hawakuskia wana tumiwa na wamarekani

  • @NorbetBet-fy6hz
    @NorbetBet-fy6hz Год назад

    Jaman Vita vitaisha Lin🤔🤔🤔🤔

  • @ngunitv
    @ngunitv Год назад

    Ngunitv
    Kwenye
    vita awajarejea kutoka somalia

  • @alisuleiman8110
    @alisuleiman8110 3 года назад +1

    Wanajeshi wakenya bure tu vifaa wanavyo kazi nikupigwa na kunyanganywa vifaa nakuliwa wenyewe

  • @kenvolt173
    @kenvolt173 5 лет назад

    Nani kama mama👏

  • @commanderthecomedian1814
    @commanderthecomedian1814 5 лет назад

    Poleni

  • @tausitvkenya3627
    @tausitvkenya3627 Год назад +1

    Saindia tausi tv

  • @mursilmursal
    @mursilmursal 5 лет назад +10

    Kama unasema huwezi fanya kazi ya jeshi heri ufanye biashara zako nyumbani gonga tukisonga👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽

    • @AminaAmina-rw8yy
      @AminaAmina-rw8yy 5 лет назад +1

      Kwali Bora Ule Sima Na Chumvi Kuliko Mateso Haya

    • @mursilmursal
      @mursilmursal 5 лет назад

      @@AminaAmina-rw8yy 💯hii ni mateso sijui mbona watu hupenda hiii kazi heri uuze embe ama ubebe mzigo stage lakini ile kidogo chako ukona amani na unaishi na familia yako