Wimbo ulipigwa sana wakati wa msiba wa baba yangu mzazi isaac kadyanji 06.01.2023. Unanifariji sana, upumzike kwa amani baba, tutakukumbuk daima. Tulikupenda ila Mwenyezi Mungu amekupenda zaidi.
Nimefanya uchunguzi nimegundua yesu ni mwamba msaada wa karibu tena nguvu ya mwenye haki ,,,anaupendo na watu wake Rehema zote zipo kwako niende wapi niyapate mema,,,,,,hii nyimbo inanibariki sana mamaangu,,,mungu akuongoze
I love this song for God is my only refuge.Mum Upendo Nkone may God bless you abundantly as you continue to bless us with touching songs in real life situation!!
Our Only Hope 🙇🙇🙏🙏Lord have Mercy onto us, Forgive us our sins My Dear Lord 🙇🙇We cannot by ourselves without you leading us our Mighty Lord 🥺🥺 Please Lord Lead us, our Only Hope 🙇🙇
Endelea safari ukitembea katika njia nyoofu, mshahara ni karibu. Usimlaliti Yesu Kristu mwokozi wako kwa faida za mda mdogo zisizo faa. Yale tunayo andaliwa ni mazuri , mema, ni yenyi mafaa na yatadhumu milele na milele.
Amina sana dada yangu kwa nyimbo nzuri Mungu wa mbinguni aendelee kukupa mafuno zaidi na zaidi
Nimeshinda tuu hapa leo kubarikiwa na huu wimbo...sitaki kwenda kwa mwingine baba🙌
Wimbo ulipigwa sana wakati wa msiba wa baba yangu mzazi isaac kadyanji 06.01.2023. Unanifariji sana, upumzike kwa amani baba, tutakukumbuk daima. Tulikupenda ila Mwenyezi Mungu amekupenda zaidi.
Pole tena kwa msiba na kumupoteza mzazi
@@alainmakaba2537 asante sana.
Nimefanya uchunguzi nimegundua yesu ni mwamba msaada wa karibu tena nguvu ya mwenye haki ,,,anaupendo na watu wake Rehema zote zipo kwako niende wapi niyapate mema,,,,,,hii nyimbo inanibariki sana mamaangu,,,mungu akuongoze
Here in January 2025! This song has and will always be a hit!
I love this song for God is my only refuge.Mum Upendo Nkone may God bless you abundantly as you continue to bless us with touching songs in real life situation!!
Nimekuja hapa kwa maumivu Makali kuja kukubali sina mwingine Zaidi yako Mungu 😭😭😭😭😭😭 nisaidie
I love this song most of people are not following the gospel but they follow miracle
Our Only Hope 🙇🙇🙏🙏Lord have Mercy onto us, Forgive us our sins My Dear Lord 🙇🙇We cannot by ourselves without you leading us our Mighty Lord 🥺🥺 Please Lord Lead us, our Only Hope 🙇🙇
Mungu aku bariki mama siku inakuya nda interprète iyi nyimbo Niko mwimbaji wa DRC💪💪💪💪
My favorite song ❤️ , sitaki kwenda kwa mwingine yesu Mimi ninakuja kwako..
Endelea safari ukitembea katika njia nyoofu, mshahara ni karibu.
Usimlaliti Yesu Kristu mwokozi wako kwa faida za mda mdogo zisizo faa.
Yale tunayo andaliwa ni mazuri , mema, ni yenyi mafaa na yatadhumu milele na milele.
Wimbo huu umenibariki sana, mtoto huyo miongoni mwa waimbaji amenibariki sana. Mungu azidi kuinua huduma yako Upendo Nkone!
Amen.Barikiwa sana mtumish Nkone🙌🇹🇿
Akuna kitu kizuri duniana kama kuwa katika Yesu
Wonderful piece
This song blessings me too much
Unanikumbusha,mbali,sana,huu,wimbo 0:❤
Nashukulu huyu mama nyimbo zake nizuri sana
Wonderful piece of music and a beautiful self dedication to the Lordship of Jesus
this song "sitaki kwenda kwa mwingine" blesses my heart
3/1/2020 sitaki kwenda kwa mwngine YESU WANGU NAKUJA KWAKO naomba like zenu twendeni pamoja kwa YESU
Ubarikiwe mama
The love i have for this song is unpredictable😚
Even me it touches my heart so much,
My first time hearing this song i was in form 2 in a Christian union rally 😌It blessed me so much
Pendo,Richard,anabarikiwa,sana,nahuu,wimbo,amee
I can't stop listening to this song till today
2023 sitaki kwenda kwa mwingne yesu wangu mimi ninakuja kwako
Hata Mimi kwenda Kwa mwingine, nabaki na Yesu
I love it so much
Amina mungu wa mbinguni
I truly like this song since first I heard it in 2013.My all time favourite
I'm listening to this song now and it has done me wonders,will never serve another god if its not God...
Mungu akubaliki mamangu nyimbo saf sanq
Vraiment la chanson elle est à sa place elle est consolante merci pour ça que Dieu vs bénisse
I looooove this melody 💙
Amana napenda sana uimbaji wako upendo nkone mungu akubariki
Nice work
Always blessed with this song, Mungu azidi kukutumia mama
Amen ubarkiwe mama yangu nyumbo zako zinanipaga faraja sana
at last after 5years of search of this song....am blessed
Amen!
dada Upendo unabariki moyo wangu na sifa zako siku zote
May God uplift your ministry mama
I❤this song
love this song and nmebaki na Yesu.
Hareruya
Amina maman
Mungu azidi kumtunza mama huyu
Hakika sitaki kwenda kwa mwingine Yesu wangu Mimi ninakuja kwako
Huu wimbo umenibarki san asbuhi hiii
nabarikiwa mno na wimbo huu god blesss u mom
sitaki kwenda kwa mwingine Yesu wangu Mimi ninakuja kwako
i feel blessing when i listen to her songs, ubarkiwe dada Upendo
Thanks for blessing us. God bless you too Mom . Sitaki kwanda kwa megine Yesu mimi nime kuja kwako.
nabarikiwa na wimbo huu sana
Bwana Yesu ananitosha
I love your songs nkone am in kenya
God bless you
Asante sana kwa yimbo za faraja. when I am thinking the time I listen your songs are encouraging me thank you very much God bless you mom.
sitaki kwenda kwamwingine Yesu ananitoshelea milele
kweli sitaki kwenda kwa mwingine ila nibaki tu na Yesu
Awesome Mommy...Nice song
Ilove upendo nkone mama
Faraja hizi tupate wapi tena kama si BWANA WETU YESU .
I don't want to go to another...
Sitaki kwenda kwa mwingine mm ninakuja kwako MUNGU WNG
Mugu asifiwa
Powerful
Ubarikiwe you
I love u nkone
I like all songs from Upendo Nkone
❤
ooooooh haleluyaa!
2024🙏🙏
Amina
Sitaki kwenda kwamwingine
True words...
..the truth, the whole truth..
Munga Gift ameen
oh hallelujah!
be blessed!
This song blesses me so much!
WONDERFUL SONG MAMA
Amen
😢😢😢😢😢😢😢
U
love my mom
God please all
K
Be blessed amen
Amen