sema ndugu yangu mkojani cha msingi tafuta watendaji wazuli na wasimamizi wazuli wa kazi zako utafika mbali sana kitu kingine usitoe mala kwa mala movie jitaidi kuchukua mda kidogo kama wenzetu ulaya ili kazi inapotoka inakua kazi nzuli na imetulia sema big up tumepata mlisi wa king majuto mungu azidi kukupa uwezo wa kuigiza na afya njema
Yani hawa jamaa mnatutoa stress huku ugenini tulipo kwa classic and exclusive sensitive comedy can't call bongo movie coz akuna bongo movie anymore just drama's and so on....
Na kumekua slow coz watu wamepotezea ilikua imechangamka akieka tu malikes na makoment lakin saivi angalia chanel iko slow watu wamepotezea wanajua hakuna kitu
Mkojani uko vzr na tin white
sema ndugu yangu mkojani cha msingi tafuta watendaji wazuli na wasimamizi wazuli wa kazi zako utafika mbali sana kitu kingine usitoe mala kwa mala movie jitaidi kuchukua mda kidogo kama wenzetu ulaya ili kazi inapotoka inakua kazi nzuli na imetulia sema big up tumepata mlisi wa king majuto mungu azidi kukupa uwezo wa kuigiza na afya njema
Hii movie mzuri sana.. Big up kwa washiriki woote wa movie hii.. Mungu awabariki sana.. Inshaallah
Wakwe bw
Kazi ipo pow sanaaaaah
Da mmewapoteza bongomuv hongeren👏👏
Nomaa sana
Wakwe wengin ni shida mama eeeeeeeh mkojani mkali kama pilipili😂😂😂😂😂
Yani mkorofi balaa 😂😂😂😂
Hahahaahahahaa Mkojani kasikia tulia tumpge faini katulia
Makini sana mabroo
Aloo nyie wakali kwel mungu awape umri mrefu ili muzidi kutuburudisha mafance wenu
Thanx for your support
Thanks
Awa washikaji nawaelewa sana
Hahahahahahahah mkojan na Tin akili zenu mnazijua wenyewe
Mkojani😂😂😂😂
Mkojan kwa wizi
na kukubali sana brother
Hongereni kwa kazi nzuri
Mke Mkeo
Mbuzi wa bwana kheri, Kaiba katika shamba la Bwana kheri, Kila kitu ni kheri🤣🤣🤣🤣
Koo hizi mbili ukaziita wizi ,thief, Chori hahahahahaaaaaaah 🤣🤣🤣
Nimesimama upande wa umamani, Ladies First.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 balaaa sasa koa mbili zimekutana duh
kabisa kheri 😂😂😂
Kumbee ng'ombe hunijuwiii hahahahaha mkojani
Hahahahaaaaa kooo zote mbili ni chori 😂😂😂😂tin white mkojani hatari sana aisee
Iyoooooo ndo mbaya
Mkojani yani wewe akilizako unajuwa mwenyewe
Nakubali kazizenu
Munajua sana sana
Kinonke tisha mbaya
Mwaka huu litakufa jitu , mahana sio kwa speed iyo big up pongezi kwenu. Mnafanya vizuri sana
Thanx for your compliment
White nakubar jalibu kupiga korabo na brother k@
Mbona kubwa kuliko hamuiachii tunaisubilia kwa hamu sana
Juma pili ijayo
Kalisanaaaaaaaaa
Mkojani toa kofia ya kisharobaroo huoni tini alivo tokelezea ki uhalisiaa naomba mlifanyie kazi hilo
@lionel nibitanga mbona kuna wazee wanavaa hizo kofia
@lionel nibitanga kweli nimeona katoa
Kelele ya kwanza kwa wakwee zakeee haaaa mnanifuraisha kweli penda sana nyiee watu
Hamjawah kuniangusaha
Nawakubali sana
Weeeweeeee twende sawa
Unaielewa eheeeeeee hii
Mkojan dah ww ni fire
Hhahhahaha ww unanyumbaa tuli mute umetuliaa nyie bwana balaaa
Kama na ww ulikua unaisubilia kwa hamu wakwe gonga like yako
K
Tupo p1 hahhhh
Yaan nilikuwa naisubilia kwa hamu zote hapa naangalia ila nacheka balaa yaan tin na mkojan nyie watu hatar kwakweli 🤣🤣😂😂😂😂
Wangapi wamemiss #kubwakuliko
Duh mnanipaga rahaaaa
😄😄😄😄😄😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijamaliza ata kuangalia nishaanza kuvunjika mbavu,,wallah mkojan mkorofi
Msiwe mnatuchereweshea jmn tin mkojan nagwaa kilangaso barut nomaaa
Nimekuona mkojani na kofia ya nagwa
Mmh maajabulaa !eti uliingilia na afu 50 jera halikuwa walimsaula ko ulikoficha leo ndo ulikokaficha iyo siku
Kbla sijamaliza kuangalia nagwa yupo
😂😂😂
Kbisa yn
Good one🙏
Weraaa auuu part mbili(2)
Mkojan na Tin white naomba kuuliza namnijibu pls ile move ya kubwa kuliko ilishatoka au bado nasubiri jibu
Kwahyo mmeona mtuwekee wakwe kabla ya kubwa kuliko
Sawa acha tuangalie japo kinyonge
Juma pili ijayo kubwa kuliko
🤣🤣🤣🤣🤣Mkojan kaulzwa unanyumba alvo nywea Kama sio yeye,🤣🤣🤣 alafu anajitetea eti nayeye angekua anakunywa pombe mke wake angeficha akamjengea nyumba
Uwa nawafatiliaaa sn kutokaaa🇺🇸🇺🇸🙏🙏
Thanx for your support
Tunasubiri part2
Eti umenikuta sijacharuka kati hapo kacharuka ngumi 21 duuh 😅😅😅
Kipupwe ati laxima nimpige hata kama babake Jay zyyy acha huyu muvivu🤣🤣🤣🤣
Hata kama mume wake sio babake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hakiri zaki umamani mkojani utaniwuwa nitatoka Burundi nikuje kukuona bwana
Saf sana
Mko vizuri ila kubwa kuliko tunatka
Juma pili ijayo
Mkojani achana na hiyo kofia inakutoa kwenye uhalisia
Kweli bro
Umesema kweli
Mkojani alikuwa alewi ndio mama Ana nyumba 😂😂😂😂😂
Mkojani una nhumba 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣mkojan unanifurahshaa unavopanic😂😂😂😂
Huu mchezo mkali sana
😂😂😂😂😂😂😂yaani tin wewe
Wakwe kama Wakwe😂😂😂😂😂😂
iyo ndo mbayaaaa iyooooo
Ebanawe hii ngoma nikali hamjawai kosea wajomba.
Anaolewa leo leo hyu
Nomaaa kweli
Ng'ombe nyieeeeeeee😁😁😁😁😁😁
Yani hawa jamaa mnatutoa stress huku ugenini tulipo kwa classic and exclusive sensitive comedy can't call bongo movie coz akuna bongo movie anymore just drama's and so on....
kabisaa yaan ugenini jau asanten sana tunajikuta tupo home
Hhhhh mpo vizur
Mwendelezo jamani penda Sana nyiee
Tayari
Mkojani umeoa kweli maana nakupenda Sana km ujaowa njoo unioe nakupenda mnoo
Misis mkojani mweeeee
Well done wadau
Nice
Sauda ana akiri kama ya mkojani kununua kiwanja
Mkojani
Jami tuekeeni kubwa kuliko jamani mbona mnatutesa😥😥😥
nice
Nawapenden san
😂😂😂😂😂nawapenda sana, tena sana💋💋
Wekaga muvi mara kwa mara ndo watu wako wanakua active unaona sasa kidogo pamepoa kwasabu washazoea kua hujaeka sikunyingi so hawaingii sana
Nikwel kabisa mb ni zetu lakini anakuwa slow inaboa sana hawako serious
Na kumekua slow coz watu wamepotezea ilikua imechangamka akieka tu malikes na makoment lakin saivi angalia chanel iko slow watu wamepotezea wanajua hakuna kitu
Uko sawa kabisa wanakaa Sana mpaka tunasahau
Tutalifanyia kazi ombi lako..thanx for ur support
@@khajjmganga1831 hhhhhhhhhhh
Ladies first🤣🤣🤣🤣
Mashaallah
MKOJANI NOMA
Sauda umenifuraisha🙏🙏🙏😭😘😘
Unanyumba ww🤣🤣🤣
😀😀😀
Nice and funny
Mkojani hatuiitakii kofiaa hiyooooo
You always entertain... Watching from kenya
Thanx for your support
Hi sio family yakuowa hii🤣🤣🤣🤣
😄😄😄😄😅😅😎😗
hawa wakwe duh balaa 😂😂😂 wamekutana
Mkojani nakupenda bureee
😂😂😂😂 mke mkeo
Mkojani una nyumba 😂😂😂😂😂
Mnajua kunichekesha 😂😂😂😂
Safi
Imenikuta online hii afu ninastresss kibaoo enx bro😋😋
Pole
Wizi wa akiri
Wewe Oso Online tv mbn mnasema ijumapili mtaweka kubwa kuliko lkn ijumapili zinapita nyingi2 Acheni kutudanganya
Sorry tulitoa taarifa km haitatoka j2 hii lkn jumapili ijayo kaa mkao wa kula..sorry for that
Ng'ombe weweeeeee🙈🤣🤣🤣🤣🤣
mkojani kwahelaa hatari sana