WAKWE. PART 1 STARING MKOJANI TINI WHITE MWALUVANDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024

Комментарии • 252

  • @qeenphinaqeen4049
    @qeenphinaqeen4049 4 года назад +2

    Mkojani uko vzr na tin white

  • @MegaMrhope
    @MegaMrhope 4 года назад +6

    sema ndugu yangu mkojani cha msingi tafuta watendaji wazuli na wasimamizi wazuli wa kazi zako utafika mbali sana kitu kingine usitoe mala kwa mala movie jitaidi kuchukua mda kidogo kama wenzetu ulaya ili kazi inapotoka inakua kazi nzuli na imetulia sema big up tumepata mlisi wa king majuto mungu azidi kukupa uwezo wa kuigiza na afya njema

  • @hassanichijumba7222
    @hassanichijumba7222 4 года назад +18

    Hii movie mzuri sana.. Big up kwa washiriki woote wa movie hii.. Mungu awabariki sana.. Inshaallah

  • @aboumassoud4659
    @aboumassoud4659 4 года назад +6

    Kazi ipo pow sanaaaaah

  • @assiakwinnj4910
    @assiakwinnj4910 4 года назад +9

    Da mmewapoteza bongomuv hongeren👏👏

  • @julietraymond4874
    @julietraymond4874 4 года назад +2

    Nomaa sana

  • @zaby-n-mamashasha6671
    @zaby-n-mamashasha6671 4 года назад +2

    Wakwe wengin ni shida mama eeeeeeeh mkojani mkali kama pilipili😂😂😂😂😂

    • @hawahawa6915
      @hawahawa6915 4 года назад

      Yani mkorofi balaa 😂😂😂😂

  • @dalrinmbonde2809
    @dalrinmbonde2809 4 года назад +2

    Hahahaahahahaa Mkojani kasikia tulia tumpge faini katulia

  • @mussasamwel1653
    @mussasamwel1653 4 года назад +8

    Makini sana mabroo

  • @is-hakayussuf9981
    @is-hakayussuf9981 4 года назад +11

    Aloo nyie wakali kwel mungu awape umri mrefu ili muzidi kutuburudisha mafance wenu

  • @gaudinamosnchobe4909
    @gaudinamosnchobe4909 4 года назад +2

    Awa washikaji nawaelewa sana

  • @highnesseverest3619
    @highnesseverest3619 4 года назад +5

    Hahahahahahahah mkojan na Tin akili zenu mnazijua wenyewe

  • @victorsimundwe2518
    @victorsimundwe2518 4 года назад +3

    Mkojani😂😂😂😂

  • @bakarameir2868
    @bakarameir2868 4 года назад +2

    Mkojan kwa wizi

  • @djipupaboy-tz8273
    @djipupaboy-tz8273 4 года назад +1

    na kukubali sana brother

  • @ibrahimabdallah7954
    @ibrahimabdallah7954 4 года назад +7

    Hongereni kwa kazi nzuri

  • @Shayy97
    @Shayy97 4 года назад +17

    Mke Mkeo
    Mbuzi wa bwana kheri, Kaiba katika shamba la Bwana kheri, Kila kitu ni kheri🤣🤣🤣🤣

    • @Shayy97
      @Shayy97 4 года назад +1

      Koo hizi mbili ukaziita wizi ,thief, Chori hahahahahaaaaaaah 🤣🤣🤣

    • @Shayy97
      @Shayy97 4 года назад +1

      Nimesimama upande wa umamani, Ladies First.

    • @OSOONLINETV
      @OSOONLINETV  4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @hawahawa6915
      @hawahawa6915 4 года назад

      😂😂😂😂😂 balaaa sasa koa mbili zimekutana duh

    • @saumrashid8086
      @saumrashid8086 3 года назад

      kabisa kheri 😂😂😂

  • @salimalqartubi3038
    @salimalqartubi3038 4 года назад +6

    Kumbee ng'ombe hunijuwiii hahahahaha mkojani

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 4 года назад +2

    Hahahahaaaaa kooo zote mbili ni chori 😂😂😂😂tin white mkojani hatari sana aisee

  • @aliyhassan9113
    @aliyhassan9113 4 года назад +2

    Iyoooooo ndo mbaya

  • @Xavierdecristo
    @Xavierdecristo 4 года назад +2

    Mkojani yani wewe akilizako unajuwa mwenyewe

  • @nurdiinmohammedy7086
    @nurdiinmohammedy7086 4 года назад +2

    Nakubali kazizenu

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 года назад +5

    Munajua sana sana

  • @nassorosuleiman6254
    @nassorosuleiman6254 4 года назад +2

    Kinonke tisha mbaya

  • @leonardally2111
    @leonardally2111 4 года назад +7

    Mwaka huu litakufa jitu , mahana sio kwa speed iyo big up pongezi kwenu. Mnafanya vizuri sana

  • @damasmvakule9676
    @damasmvakule9676 4 года назад +2

    White nakubar jalibu kupiga korabo na brother k@

  • @musasimba7213
    @musasimba7213 4 года назад +5

    Mbona kubwa kuliko hamuiachii tunaisubilia kwa hamu sana

  • @ibrahimbyaese9148
    @ibrahimbyaese9148 4 года назад +5

    Kalisanaaaaaaaaa

  • @asayubeejr1199
    @asayubeejr1199 4 года назад +3

    Mkojani toa kofia ya kisharobaroo huoni tini alivo tokelezea ki uhalisiaa naomba mlifanyie kazi hilo

    • @ummyjuniour8260
      @ummyjuniour8260 4 года назад

      @lionel nibitanga mbona kuna wazee wanavaa hizo kofia

    • @ummyjuniour8260
      @ummyjuniour8260 4 года назад

      @lionel nibitanga kweli nimeona katoa

  • @salmakambi9715
    @salmakambi9715 4 года назад +4

    Kelele ya kwanza kwa wakwee zakeee haaaa mnanifuraisha kweli penda sana nyiee watu

  • @rayanassor1857
    @rayanassor1857 4 года назад +6

    Hamjawah kuniangusaha

  • @ramaccr7525
    @ramaccr7525 4 года назад +2

    Nawakubali sana

  • @nassormohammed246
    @nassormohammed246 4 года назад +6

    Weeeweeeee twende sawa

  • @ramadhanihatibu1714
    @ramadhanihatibu1714 4 года назад +4

    Mkojan dah ww ni fire

  • @AhmedSalah-ri3es
    @AhmedSalah-ri3es 4 года назад +2

    Hhahhahaha ww unanyumbaa tuli mute umetuliaa nyie bwana balaaa

  • @iddbest7862
    @iddbest7862 4 года назад +56

    Kama na ww ulikua unaisubilia kwa hamu wakwe gonga like yako

    • @youngdizo6401
      @youngdizo6401 4 года назад +2

      K

    • @selempenju6019
      @selempenju6019 4 года назад +2

      Tupo p1 hahhhh

    • @naythardarling1115
      @naythardarling1115 4 года назад +2

      Yaan nilikuwa naisubilia kwa hamu zote hapa naangalia ila nacheka balaa yaan tin na mkojan nyie watu hatar kwakweli 🤣🤣😂😂😂😂

  • @salymking1892
    @salymking1892 4 года назад +4

    Wangapi wamemiss #kubwakuliko

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 года назад +7

    Duh mnanipaga rahaaaa

  • @judiehance1736
    @judiehance1736 4 года назад +2

    😄😄😄😄😄😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijamaliza ata kuangalia nishaanza kuvunjika mbavu,,wallah mkojan mkorofi

  • @allymor9611
    @allymor9611 4 года назад +5

    Msiwe mnatuchereweshea jmn tin mkojan nagwaa kilangaso barut nomaaa

  • @kamaikangaiyoni1967
    @kamaikangaiyoni1967 4 года назад +7

    Nimekuona mkojani na kofia ya nagwa

  • @sharifuhamisi1969
    @sharifuhamisi1969 4 года назад +8

    Mmh maajabulaa !eti uliingilia na afu 50 jera halikuwa walimsaula ko ulikoficha leo ndo ulikokaficha iyo siku

  • @piusaugustino9270
    @piusaugustino9270 4 года назад +10

    Kbla sijamaliza kuangalia nagwa yupo

  • @hkfreeboy9533
    @hkfreeboy9533 4 года назад +8

    Good one🙏

  • @jacobmohammed868
    @jacobmohammed868 4 года назад +7

    Weraaa auuu part mbili(2)

  • @maryamoman1370
    @maryamoman1370 4 года назад +2

    Mkojan na Tin white naomba kuuliza namnijibu pls ile move ya kubwa kuliko ilishatoka au bado nasubiri jibu

  • @othumanempire872
    @othumanempire872 4 года назад +15

    Kwahyo mmeona mtuwekee wakwe kabla ya kubwa kuliko
    Sawa acha tuangalie japo kinyonge

    • @OSOONLINETV
      @OSOONLINETV  4 года назад +2

      Juma pili ijayo kubwa kuliko

  • @justinerespicius755
    @justinerespicius755 4 года назад +11

    🤣🤣🤣🤣🤣Mkojan kaulzwa unanyumba alvo nywea Kama sio yeye,🤣🤣🤣 alafu anajitetea eti nayeye angekua anakunywa pombe mke wake angeficha akamjengea nyumba

  • @jejetv9744
    @jejetv9744 4 года назад +8

    Uwa nawafatiliaaa sn kutokaaa🇺🇸🇺🇸🙏🙏

  • @sharifuhamisi1969
    @sharifuhamisi1969 4 года назад +8

    Eti umenikuta sijacharuka kati hapo kacharuka ngumi 21 duuh 😅😅😅

  • @rachaeldhahabu5096
    @rachaeldhahabu5096 4 года назад +4

    Kipupwe ati laxima nimpige hata kama babake Jay zyyy acha huyu muvivu🤣🤣🤣🤣

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Hata kama mume wake sio babake.

  • @gahimbarebella8652
    @gahimbarebella8652 4 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hakiri zaki umamani mkojani utaniwuwa nitatoka Burundi nikuje kukuona bwana

  • @mrbcomedy6052
    @mrbcomedy6052 4 года назад +2

    Saf sana

  • @nasriahmad5715
    @nasriahmad5715 4 года назад +5

    Mko vizuri ila kubwa kuliko tunatka

  • @Derevamkongwe6864
    @Derevamkongwe6864 4 года назад +5

    Mkojani achana na hiyo kofia inakutoa kwenye uhalisia

  • @abdallahsalehe4422
    @abdallahsalehe4422 4 года назад +3

    Mkojani alikuwa alewi ndio mama Ana nyumba 😂😂😂😂😂

  • @celestesanitoussene823
    @celestesanitoussene823 4 года назад +4

    Mkojani una nhumba 😂😂😂😂😂

  • @sheykhahasnuu2239
    @sheykhahasnuu2239 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣mkojan unanifurahshaa unavopanic😂😂😂😂

  • @s.garcia3102
    @s.garcia3102 3 года назад +1

    Huu mchezo mkali sana

  • @aminafesali5817
    @aminafesali5817 4 года назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂yaani tin wewe

  • @ibrahimabdallah7954
    @ibrahimabdallah7954 4 года назад +5

    Wakwe kama Wakwe😂😂😂😂😂😂

  • @allyhamic9555
    @allyhamic9555 4 года назад +1

    iyo ndo mbayaaaa iyooooo

  • @harunamkakaro113
    @harunamkakaro113 4 года назад +2

    Ebanawe hii ngoma nikali hamjawai kosea wajomba.

  • @salymking1892
    @salymking1892 4 года назад +6

    Anaolewa leo leo hyu

  • @rahmasalumu4495
    @rahmasalumu4495 4 года назад +3

    Nomaaa kweli

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 4 года назад +5

    Ng'ombe nyieeeeeeee😁😁😁😁😁😁

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 4 года назад +3

    Yani hawa jamaa mnatutoa stress huku ugenini tulipo kwa classic and exclusive sensitive comedy can't call bongo movie coz akuna bongo movie anymore just drama's and so on....

    • @wj1421
      @wj1421 4 года назад

      kabisaa yaan ugenini jau asanten sana tunajikuta tupo home

  • @ukhtyhumairah73
    @ukhtyhumairah73 4 года назад +5

    Hhhhh mpo vizur

  • @halimamajaliwa5404
    @halimamajaliwa5404 4 года назад +4

    Mwendelezo jamani penda Sana nyiee

  • @fatmahamisikipindura6640
    @fatmahamisikipindura6640 3 года назад

    Mkojani umeoa kweli maana nakupenda Sana km ujaowa njoo unioe nakupenda mnoo

  • @Chida
    @Chida 4 года назад +5

    Well done wadau

  • @makanyasaid1555
    @makanyasaid1555 4 года назад +2

    Nice

  • @phonesphone401
    @phonesphone401 4 года назад +9

    Sauda ana akiri kama ya mkojani kununua kiwanja

  • @jakisonkibebesa319
    @jakisonkibebesa319 4 года назад +2

    Jami tuekeeni kubwa kuliko jamani mbona mnatutesa😥😥😥

  • @abdissalamisuley9643
    @abdissalamisuley9643 4 года назад +3

    nice

  • @joycerobart1463
    @joycerobart1463 4 года назад +2

    Nawapenden san

  • @agnessestoni5631
    @agnessestoni5631 4 года назад +3

    😂😂😂😂😂nawapenda sana, tena sana💋💋

  • @yusram5145
    @yusram5145 4 года назад +10

    Wekaga muvi mara kwa mara ndo watu wako wanakua active unaona sasa kidogo pamepoa kwasabu washazoea kua hujaeka sikunyingi so hawaingii sana

    • @khajjmganga1831
      @khajjmganga1831 4 года назад +2

      Nikwel kabisa mb ni zetu lakini anakuwa slow inaboa sana hawako serious

    • @yusram5145
      @yusram5145 4 года назад

      Na kumekua slow coz watu wamepotezea ilikua imechangamka akieka tu malikes na makoment lakin saivi angalia chanel iko slow watu wamepotezea wanajua hakuna kitu

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 4 года назад

      Uko sawa kabisa wanakaa Sana mpaka tunasahau

    • @OSOONLINETV
      @OSOONLINETV  4 года назад

      Tutalifanyia kazi ombi lako..thanx for ur support

    • @asayubeejr1199
      @asayubeejr1199 4 года назад

      @@khajjmganga1831 hhhhhhhhhhh

  • @kabandilwafariala6093
    @kabandilwafariala6093 4 года назад +4

    Ladies first🤣🤣🤣🤣

  • @alhajjimuftyburma9912
    @alhajjimuftyburma9912 4 года назад +7

    Mashaallah

  • @kelvinmchau8815
    @kelvinmchau8815 4 года назад +4

    MKOJANI NOMA

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 3 года назад +1

    Sauda umenifuraisha🙏🙏🙏😭😘😘

  • @meditaarapti6574
    @meditaarapti6574 3 года назад +1

    Unanyumba ww🤣🤣🤣

  • @hasheemdogo9682
    @hasheemdogo9682 4 года назад +2

    😀😀😀

  • @iankulecho7120
    @iankulecho7120 4 года назад +3

    Nice and funny

  • @asayubeejr1199
    @asayubeejr1199 4 года назад +1

    Mkojani hatuiitakii kofiaa hiyooooo

  • @themusicsyllabus
    @themusicsyllabus 4 года назад +6

    You always entertain... Watching from kenya

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 4 года назад +2

    Hi sio family yakuowa hii🤣🤣🤣🤣

  • @godfreymahavile4688
    @godfreymahavile4688 4 года назад +2

    😄😄😄😄😅😅😎😗

  • @hawahawa6915
    @hawahawa6915 4 года назад +1

    hawa wakwe duh balaa 😂😂😂 wamekutana

  • @magrethnyululu6543
    @magrethnyululu6543 3 года назад

    Mkojani nakupenda bureee

  • @cuteme9292
    @cuteme9292 4 года назад +1

    😂😂😂😂 mke mkeo

  • @gres1182
    @gres1182 4 года назад +1

    Mkojani una nyumba 😂😂😂😂😂

  • @sarahoman2528
    @sarahoman2528 4 года назад +1

    Mnajua kunichekesha 😂😂😂😂

  • @omariamiri5556
    @omariamiri5556 4 года назад +2

    Safi

  • @marcosikainda5797
    @marcosikainda5797 4 года назад +9

    Imenikuta online hii afu ninastresss kibaoo enx bro😋😋

  • @khalfanabdallahuzuriuzuri7114
    @khalfanabdallahuzuriuzuri7114 4 года назад +4

    Wizi wa akiri

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 4 года назад +3

    Wewe Oso Online tv mbn mnasema ijumapili mtaweka kubwa kuliko lkn ijumapili zinapita nyingi2 Acheni kutudanganya

    • @OSOONLINETV
      @OSOONLINETV  4 года назад +1

      Sorry tulitoa taarifa km haitatoka j2 hii lkn jumapili ijayo kaa mkao wa kula..sorry for that

  • @surayakhan3955
    @surayakhan3955 4 года назад +5

    Ng'ombe weweeeeee🙈🤣🤣🤣🤣🤣