KOREA KASKAZINI YATUMA MAJESHI URUSI, MAREKANI YATHIBITISHA UVUMI ULIOKUWA UKIENDELEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 33

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 18 часов назад +4

    Marekani watulie dawa ifanye kazi vizuri,marafiki kusaidiana ni kitu kizuri,sawa na wao wanapoisaidia Israeli

  • @aloicyemarawiti7156
    @aloicyemarawiti7156 17 часов назад +1

    Naomba mulete hao wanajeshi na uku chadema wana tutesa sana

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 16 часов назад +2

    Sikuzote jilaniyako akivamiwa na maadui na wewe ukikakimya basijua wakimalazakwake anaefwata Ni wewe kwaiyo ni lazima kupambana kwapamoja kuonyesha umojawenu safi Sana Korea na Russia uraaaa

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 21 час назад +2

    Kama ni kweli marekani na NATO watakinyea

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 18 часов назад +1

    Kama katuma ndio vip sasa Korea pekeake ametuma jeshi wanajinyea mbona wao mashetani NATO zaidi ya nchi 30 zinatuma jeshi na siraa na bado urusi inawalambisha mchanga. NATO waache ushenzi wakae mkao wa kuliwa dawa iwaingie shenzi

  • @RashidBusanya
    @RashidBusanya 18 часов назад +1

    Inafurahisha sana Tena sana

  • @AzizSalumu
    @AzizSalumu 2 часа назад

    Ubaya ubwela marekan watulie ni Kama wao israel

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 21 час назад +2

    Habari njema hizi,God bless russia 🇷🇺 ❤

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 9 часов назад

    Hiyo Sasa Safi ukran mbonacwao wanasaidiwa?

  • @zachariamakoba8368
    @zachariamakoba8368 21 час назад +1

    Noma na iwe noma tu

    • @Juma-e8l
      @Juma-e8l 21 час назад

      Weather niweke uongo 😂😂😂😂😂

  • @NassourJuma
    @NassourJuma 18 часов назад

    wao ndo wanaona ajbu ee

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 21 час назад

    Wanajichekesha wenyewe bhana... Wapo Kwa mafunzo!!!!😂😂😂😂

  • @mohdhilaly7900
    @mohdhilaly7900 6 часов назад

    3000 tu wanalalamika wakipelekwa 10000 si ndio watalia kabisa

  • @sbboymkaliofficial9108
    @sbboymkaliofficial9108 21 час назад +5

    Kwani Kuna kosa gan mbona NATO mnapeleka jeshi lenu kule Ukraine ubaya ubwela TU 😂

    • @GeorgeElias-p5o
      @GeorgeElias-p5o 19 часов назад

      Urusi hari mbaya

    • @achawanunetv1167
      @achawanunetv1167 19 часов назад

      Ni nani aliye kudanganya?​@@GeorgeElias-p5o

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 17 часов назад

      ​@@GeorgeElias-p5oMashoga na wafuasi wao ndio hali mbaya,

  • @theempire4058
    @theempire4058 20 часов назад

    Hii vita haiishii leo wala kesho tumebaki kuwa mashabiki wa urusi na nato ila sio mashabiki wa wale wanaokufa hapa katikati bila hatia, ukraine aliyevamiwa anaomba msaada marekani na aliyeanzisha vita nae anaomba msaada,

  • @zachariamakoba8368
    @zachariamakoba8368 21 час назад

    Mbona wao wamejaza wanajeshi ukreine sema putini anawanyoosha huko, ama kweli mkuki kwa nguluwe Ila kwa binadamu mchungu

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 20 часов назад

    Sass Marekani mbona yupo Ukraine na Ulaya majeshi yao yanappinga na Urusi a wakumuachia Ukraine apigane Marekani ni wapumbavu tu

  • @ZahorSalum-h9q
    @ZahorSalum-h9q 19 часов назад

    Aaaaa .wanaenda kufuzana tu nawao km hv mnavofuza.nyy.wahuni .wezenu.😂😂😂😂

  • @WadySaidi
    @WadySaidi 18 часов назад

    Mbona nato mmepeleka wanajeshi

  • @razackndeze-pv5bm
    @razackndeze-pv5bm 18 часов назад

    Mbona hamjaripoti wanajeshi kutoka nchi za magharibi wanaopigana upande wa Ukraine?!!?

  • @AbasiShabani-lw2fd
    @AbasiShabani-lw2fd 21 час назад

    Sasa shida iko wapi yaaan marekani yeye anapeleka vikosi vingapi na washirika wake huko Ukraine acha wapigane tumjue nani mbabe

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 19 часов назад

    Haya wacha tuonee,prooo Russian team, pamoja na London, Berlin,na Washington itafahamikaaa muda sii mrefuu😂😂😂

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 19 часов назад

    Nyie nao acheni upuuzi na propaganda za uongo marekani asinitishe vip kitu kisichomuhusu

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 21 час назад

    Hata Mato hawafichi

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 19 часов назад

    Urusi hari tete

  • @Mundhir-z5w
    @Mundhir-z5w 17 часов назад

    U

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 21 час назад +1

    Kama ni kweli marekani na NATO watakinyea