USHER AMTUMIA NANDY MESEJI ANATAKA REMIX YA ‘DAH’ “YOU BEAUTIFUL LOVE YOUR BANGER”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2024

Комментарии • 31

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q 5 месяцев назад +3

    WOW penda sana Nandi congratulations to you my ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @eugenekimutai8786
    @eugenekimutai8786 5 месяцев назад +2

    Hvo ndo maana ya kusukuma bongo falvour international vile amapiano imeuzwa na afrobeats ...I like that

  • @masigeincfurniture8235
    @masigeincfurniture8235 5 месяцев назад +1

    Its really story you Tanzanians nandy and Ali they are so fantastic

  • @teddyboas8384
    @teddyboas8384 5 месяцев назад +1

    Nancy say yeees,asap❤❤❤❤ your fan

  • @directordelpierrofilmz
    @directordelpierrofilmz 5 месяцев назад +3

    Uwongo huyo anatakatu kila toto hilo 😂😂Nandy ni mrembo Bilnass Hana Bahati 😂😂😂😂

  • @Ayonews
    @Ayonews 5 месяцев назад

    Usenge peleken nandy

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 5 месяцев назад +2

    Bills nas is typing and najiskia kuumwa

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf 5 месяцев назад +2

    "Maana Nandy alitoa wimbo wa Dah!,Ali kiba akasema Paaah!,Basi ndo Usher Raymond akaomba remix 🤣🤣

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 5 месяцев назад +8

    Angeuchuna kwanza mpaka kazi imemalizika ndiyo aseme.Bongo kuna WACHAWI mno... Anyway maybe she's too excited.!

    • @cyprianhendrix2958
      @cyprianhendrix2958 5 месяцев назад +4

      For real

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 5 месяцев назад +1

      Hakuna mchawi wa kukuzuia kufanya kazi yako

    • @sophiaselemani2474
      @sophiaselemani2474 5 месяцев назад +4

      Huyo mwenzenu anategema mafuta na maji ya mwamposa hakuna kitakachompata Aposto kuna muujiza nn kimetokea Usher anataka kutoa limix na Nand wambie waje mbele haraka🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️

    • @NEIRAGROUP
      @NEIRAGROUP 5 месяцев назад

      ​@@sophiaselemani2474 wee ni fala sana😂😂😂😂😂😂eti "Apostle kuna muujiza"😂😂😂😂😂😂

  • @JohnNtandu
    @JohnNtandu 5 месяцев назад +1

    Tumepigwa

  • @user-pd7wc1vi1l
    @user-pd7wc1vi1l 5 месяцев назад

    Hiii nyimbo ni 🔥

  • @mjrashid7654
    @mjrashid7654 5 месяцев назад +3

    Bilnas naona atakosa bibi

  • @edomc472
    @edomc472 5 месяцев назад +1

    Tunaisubiri

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv1167 5 месяцев назад +1

    KONDEBOY JESHI NDIE MSANI MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA 🔥🔥🔥🔥

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 5 месяцев назад +1

      Sio mada ilioko mezani

    • @momosaid6193
      @momosaid6193 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂 Yan watu Wana viherehere na huyo konde utasema wanalipwa mada n nyngne na wao wanaleta vtu vngne😂😂😂

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 5 месяцев назад

      @@momosaid6193 ilmradi aandike tu

    • @isayamsisika6255
      @isayamsisika6255 5 месяцев назад

      Nani kakuuliza kuhusu konde.? Ila nimekupata, mlitegemea Rick Ross alivyomtaja konde ndo mnajulikana sana kuliko wengine 😅😅😅😅😅

  • @vero57
    @vero57 5 месяцев назад +1

    Kweli kabisa mimi nimeona kasema hivyo

  • @mildredbonareri8344
    @mildredbonareri8344 5 месяцев назад +1

    It's true guys❤

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 5 месяцев назад +1

    Mbona kanandy katasara mpaka presha itapanda.ila sio mbaya vipaji vinakuwa,kimataifa kweli,kweli.😅

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda 5 месяцев назад +1

    Aya mapoz iko wap?

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 5 месяцев назад +1

    Basi ile team kule hivi wanaangaika kuzima hilo deal.
    Nandy kwa nini usingafanya kimnya kimnya

  • @MJB-Africa
    @MJB-Africa 5 месяцев назад +2

    Vipiii king atakuepo pia au

  • @user-jw6dq4ys7q
    @user-jw6dq4ys7q 5 месяцев назад

    Hii ni kiki hakuna anataka tension tu😅

  • @Ayonews
    @Ayonews 5 месяцев назад

    Ng'ombe nyie