Yuko wapi Elizabeth Nkatha?
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Familia moja katika kijiji cha Chania, eneo la Thika, kaunti ya Kiambu imesalia na maswali mengi ya vipi mpendwa wao Elizabeth Nkatha Muriithi alivyopotea katika hali tatanishi mwezi moja uliopita. Na kama mwandishi wetu wa habari, Wanjiru Mehta anavyotuarifu, inadaiwa kuwa mara ya mwisho elizabeth nkatha muriithi kuonekana ilikuwa katika kijiji cha chania, eneo la Thika.
Hope she is safe Inshaalah atapatikana salama ameen ameen
May god protect her popote alipo ameen
Nchi ya uhuru kenyatta since 2017 Kenya has turned to be a hell on earth!!!!!!!!everything is frm frm security minister to police
What is really happening to Kenya? Why is this news not news to the government? Sasa watu watakaa kwa nyumba wamejifungia ama 🙆 God help us
So sad it’s like there bad spirits taking people away from their family.God help
@@franciscamuindi9266 They are already there roaming around our streets and using real humans to attack the world. It's time we turned to God and depend our sins 🙏🏽🙏🏽
In Shaa Allah mungu amstiri na apatikane akiwa mzima wa afya
Hire Jane Mugo, she will bring the whole report on the table, almighty God, bring her home in Jesus name 🙏🏾🛐
uyu hawezi
True
They need to interrogate watu wa mjei alafu si watrace her last contacts??
May God rescue her and bring her back home to her family in Jesus name Amen 🙏🏾
Amen
Amen
Kenya?
Jesu kenya ni too much now na watu kwenda missing
Ya kuhuzunisha ni eti wanapatikana wakiwa maiti.Mimi hata naogopa hii Kenya yetu.
@@peninahnjeri8379 its true
Ths is too much now,,tutakaa kwa kuogopa
This issue is hard kuielewa juu house girl anasema she was stressed
@@funkejames7482 ka alikuwa stressed up their is possibility ako mzima. Maybe alienda kutulia mahali let's pray so.
@@carrenzoe3736 let us hope so
@@funkejames7482 yes dr
It's so sad, si kuwe na death penalty in regard to this type of crimes😡😡😡
Haki
Rais kenyata plsssss do something aisee this is too much....kwamba president hujui nini kinaendelea.????? Hizi habari huoni.???....TANZANIA tunahurumia Kenya why this daily???
God you're are able and you are a God of miracles bring her back wherever she is. Kenyans love one another. 🙏
Kenya mumezidi nautekajee sasa amewafanyia nn jamani yotee hiyoo nipesa tuu
Matajiri wanaenda missing sana in kenya
demox si matajiri pekee hata maskini
May God help that there's no faul play and may she be found safe and sound in the name of Jesus 😭😭😭😭😭😭😭
May God protect her 🤲so sad 🥲Insha Allah she will be fine and safe
Wahusika nao wanawatch tu😭😭😭😭😭😭
Please police get this lady the same way u did for hafsa
Hafsa alibahatika kuandika karatasi na akaiwekekela kwa mlango so watoto dio waliiona dio akasaidika.l hope Nkatha will be safe too
Zamani ilikuwa pesa lakini saa hii kuna wezi wa watu.mungu atunusuru
I will pray for the sake of this boy. God bring her home. Help her in Jesus name.Amen.
What's up what really happening to our country yaani nowadays watu nikutowrka tu and more sad 😭😭😭😭😭😭 when they disappear that's it just now the next report is death 💀☠️☠️☠️☠️ Kenya stop killing other cos of money 💲💲💲 it won't work out be humble there is a day you will be back from where you come from dust and there is a judgement day tumuogopeni Allah God who sees all even in a complete dark 🌑🌑🌑🌑🕶️🕶️🕶️ I ALLAH GOD can see.stop it please 🥺🥺🥺🥺🥺🥺 🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺
Mungu wangu
Elizabeth Nkatha twaomba Mungu akulinde mahali ulipo urudi Nyumbani familia yako inakuhitaji sana
Poleni sana mungu amlete alee watoto wake
Too many kidnapping and killings, Uhuru should resign
Ishallah atapatika Kwa jina la yesu alie hai
What is happening in kenya jamani kidnappers wamekuwa wengi saana mungu tenda ishara zako baba.
Insha Allah atapatikana
Yuko hai ondoa shaka Mungu yuko
Wow Mungue saidia Kenya watu wanapotea kama sukari ndan y chai...
Imagine hakueleweki
Serekali yetu ndiyo imemezwa na corruption
Kenya nini mbaya
Huyu presenter ni bibi ya dj afro??
C ni lulu Hassan huyu 🤣🤣🤣🤣
@@christineokwiri4720 ati dj
@@simonmurage7177 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ati bibi ya nani 😆😆😆😆😆😆
Anaongea ni kama anafinywa
Aongea kama dj afro huyo mtangazaji
May God keep her safe wherever she is...
Mungu Saidia nchi yetu
May God Almighty intervene and rescue her by his mercies.
Poleni sana 😭
Niko na hope na our security system ndani ya baba YETU Uhuru mwigai Kenyatta.Itashughulikia each and every step mpaka apatikane.Kwa family naomba pole.
3:39 the boy really rocked my heart. Poleni sana. Am so sorry. No one should never be put thru something like this.
Na ndio government inatuma our soldiers in Congo c mtatue hii kwanza, kulinda amani na wakenya hawana amani
May God intervin areje nyumbani akiwa salama🙏
All shall be well
Wajenzi walimuona?
May God intervention prevail
May Allah protect her wherever she is
Huyu reporter jamaaani. Mbona manjonjo mengi
Poleni sana
Rometa dj afro 😂
Not dj afro, she is singing. Poor reporter 😢
JANE MUNGO AFENYE KAZI PLZ
Haki sasa kenya inaogopesha
God is in control he is going to intervention with the situation ,nothing impossible with God ,have hope in Jesus name
Mungu Okoa Kenya yetu
Suspect
Mungu a saidie sana apati kane aki
Inasikitisha kweli
Subuhanallah
Mungu a saidie apa tikane
Mungu kumbuka hii familia.
So sad for the family, what might really have happened to her 😏
God help this lady to Come back home
I think they're paying. I don't know
May God intervene keep her safe
Ajabu ya Musaa 🤔🥺
naonaga poster yake matuu
Love and light to her kids....
Woih the son made me cry.
May God protect her wherever she is
May God protect her
May she be found safe and sound...we pray
They kidnapped her too this is crazy has to stop😡😡
This thing is happening my mom was to be kidnapped juzi they are straggers n if ur not aware u can't identify them
So sad 💔
So sad...may the Lord have mercy on them
Siku hizi ukikutana na Simba au chui unaeza kusalimika ila sio mwanadamu heri mnyama,wanadamu kiumbe hatari Sana siku hizi kuliko nyoka alie na Sumu,unacheka nao ,unakula nao badae wakuteke nyala,sasa watu hawatakua wanatajirika?