Waalimu 41,000 kupandishwa ngazi mwaka huu, Rais Ruto asema
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Zaidi ya walimu 41,000 watapandishwa ngazi mwaka huu kama tuzo ya bidii na uchapakazi wao kazini. Haya ni kwa mujibu wa Rais William Ruto ambaye alikuwa akizungumza wakati wa mashindano ya tamasha la mziki akitaja kuwa walimu hao wamefuzu na wamekwenda hata nje ya wajibu wao kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu bora.
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
About TV47
'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES.
__
For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047.
__
Connect with us:
Website: www.tv47.digital/
Facebook: / tv47ke
Twitter: / tv47news
Instagram: / tv47ke
TikTok: / tv47_ke
Telegram: t.me/tv47_ke
WhatsApp: 0797 047 047
__