Waalimu 41,000 kupandishwa ngazi mwaka huu, Rais Ruto asema

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Zaidi ya walimu 41,000 watapandishwa ngazi mwaka huu kama tuzo ya bidii na uchapakazi wao kazini. Haya ni kwa mujibu wa Rais William Ruto ambaye alikuwa akizungumza wakati wa mashindano ya tamasha la mziki akitaja kuwa walimu hao wamefuzu na wamekwenda hata nje ya wajibu wao kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu bora.
    Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
    About TV47
    'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES.
    __
    For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047.
    __
    Connect with us:
    Website: www.tv47.digital/
    Facebook: / tv47ke
    Twitter: / tv47news
    Instagram: / tv47ke
    TikTok: / tv47_ke
    Telegram: t.me/tv47_ke
    WhatsApp: 0797 047 047
    __

Комментарии •