VIDEO: RASMI ESTER BULAYA AMECHUKUA FOMU YA KUUTAKA UBUNGE BUNDA MJINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Ester Bulaya tayari amefika ofisi ya Mkurugenzi wa Halmshauri ya mji wa Bunda kuchukua fomu ya kutete nafasi yake ya Ubunge jimbo la Bunda mjini kupitia chama chake cha CHADEMA

Комментарии • 35

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 4 года назад +1

    Chuma hicho kinakwenda kuchukua Bunda kwa mara ya pili Hongera Kamanda Aluta Continua..Ushindi ni wetu mwaka huu. Keep it up.

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 года назад

    Mashangazi People Power ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ushindi lazima kupiga kura na kuzilinda sio kwa mikono mitupu.

  • @meshackstephano1772
    @meshackstephano1772 4 года назад

    Chádema mna angaika weeee kutafuta wadhamini mwenzeni magu alishamaliza mds mrefu

  • @japhetyanania8589
    @japhetyanania8589 4 года назад

    Yeeees' kamanda...

  • @siwemaalphoncy2452
    @siwemaalphoncy2452 4 года назад

    Mwenyezi mungu akutangurie ufanikiwe

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 4 года назад

    Anavuyojiona!!

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 4 года назад +1

    Kwa kweli ustarabu ni jambo LA maana ukiwa na chuki hata ukifanya jambo ukaona tu mwandishi lazima utukane nimeona unaenda kushindwa anaebisha aniambie mwanamke unajiita simba ulishaona wapi ss binadam tutawaliwe na simba simba porini mjin na uraiani unafanya nn ajab kwel maneno hayo yatakuangusha hutainuka sema maneno kama mwanamke mwenye utii na siyo kutoa maneno kama vile una uadui na mtu

  • @andreamkirya5032
    @andreamkirya5032 4 года назад +1

    Simba jike🔥🔥🔥

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 4 года назад

    Mm naweza kupiga vigeregere kwenye harusi,kipaimara,ubatizo,nk.kwenye vyama nimeshindwa sijui km ntakuja kuweza.yoyote atakayepita kwangu nikiongozi ilimradi maendeleo yawepo

  • @filminamaga2385
    @filminamaga2385 4 года назад

    Halima mdee where are you.

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem673 4 года назад +1

    Nakukupenda na natamani ungekuwa CCM.

    • @kiatu
      @kiatu 4 года назад

      😂😂

  • @mathiasmsese6128
    @mathiasmsese6128 4 года назад

    haya fomu mmeshapewa tumeona muwasaidie madiwani wenu kujaza huwa wanachemsha sana

  • @athumankigomba427
    @athumankigomba427 4 года назад

    Wanawakezake mbowe muheshimiwa

  • @tzyetu3875
    @tzyetu3875 4 года назад

    Ester kama Ester..... wajumbe tunaangalia Kwa umakini kabisa majibu yetu tunayo wenyewe 😂😂

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 4 года назад

    Una nisumbua tu dda nenda 2 kampikie mmeo

  • @joeljames8420
    @joeljames8420 4 года назад

    Sidhani tena ulivyotukimbia .

  • @depaolo3461
    @depaolo3461 4 года назад

    Simba jike kabeba mzigo anasubiri kuzaa😂😂😂

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya8384 4 года назад

    HALIMA MDEE AKO WAPI JAMANI 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @michaelmalima2833
    @michaelmalima2833 4 года назад

    WACHA MAJIGAMBO JIANDAE KUWA NA SELA NZULI ETI WEWE NI TEGEMEO LA WANABUNDA KAMA NANI

  • @georgengongi1887
    @georgengongi1887 4 года назад +1

    Form umechukua ww sasa unagombana na nani hapo nenda kajaze urudishe Hapo ndipo mnapokera nyie malaya wa jicho chongo wa Mbowe kuchukua fomu tu hadi ufoke???mwaka huu jimbo hupati kwa aina yoyote maana wengi wamèshajitambua kazi yenu ni mahakamani tu na si maendeleo .Kama ni maendeleo mlishayapinga kwa bajeti ya mwaka huu sijui mtawaeleza nn wananchi

    • @juliusakida6272
      @juliusakida6272 4 года назад +2

      Povu broo ,huyo demu anawatoa povu na matusi mengi ,kamtoeni kwa sanduku la kura sio hayo matusi na kuzalilishana unafeli broo

    • @profkelvinlyatuu863
      @profkelvinlyatuu863 4 года назад

      Matako yakoooo

    • @jastinimaganga3927
      @jastinimaganga3927 4 года назад +1

      Mwanaume mzima unamuonea dem wivu nenda ugombee ww tuone kama utapata hata kura tatu

    • @mohamedimbinga225
      @mohamedimbinga225 4 года назад

      @@jastinimaganga3927 Aaah

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 4 года назад

      Yaani nyie chadema msipolalamika haiwezekani, duuhhhhhhhhhh! Huna jipya wewe.

  • @abrahamhassan351
    @abrahamhassan351 4 года назад

    Daah ccm kweli wanyama yani form imekuwa issue jamaa hawafai kabisa miaka 60 hakuna chochote pumbavu wakubwa ccm

    • @babylonyNgwembe
      @babylonyNgwembe 4 года назад

      Ishu vp si amepata ama? au ulitaka ichukuliwe kwa sh 1000 ili mpaka vibaka nawao wachukue

  • @tecnonkwenda8240
    @tecnonkwenda8240 4 года назад

    Lissu juu uu