LITAZAME BWAWA KUBWA AFRICA LA UMEME LINAKAMILISHWA JULIUS NYERERE HYDRO POWER PROJECT MAGUFULI DAM

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 147

  • @mashashpastory7467
    @mashashpastory7467 Год назад +12

    Asante kwa uthubutu mkubwa wa miradi ya kuisaidia nchi yetu JPM 🕯️ R. I. P.

  • @rg-pu9nz
    @rg-pu9nz Год назад +1

    Thanks to the Egyptian people for supporting the Tanzanian people

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Год назад +37

    Shukrani kwa mbeba maono, RIP JPM. Tutakukumbuka daima

  • @kagomaeliezer5126
    @kagomaeliezer5126 Год назад +6

    Nikiangalia mradi huu nachozi yananidondoka namkumbuka Mzee wa maamuzi magumu JPM

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv Год назад +3

    Safi Sana Rais Wetu Samia Suluhu Hassan kazi iendelee Nchi yetu 🇹🇿🔥🔥🔥

  • @HappnessYohanaRohongo
    @HappnessYohanaRohongo Год назад +5

    Mungu ambaliki sana baba yetu kipenzi pumzika kwa maani hakika tumekumbuka kwa mengi

  • @lisbonkabora7179
    @lisbonkabora7179 Год назад +5

    Happy to know there are progress

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino4958 Год назад +3

    JPM ali,pray Mama anatekeleza safi sana ✌🏾

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 Год назад +1

    Semeni ukweli.! Ujenzi umezorota.!!! Uongozi mbaya ni wizi na uvivu tu ukiongozwa na waziri anayehusika na raisi zwazwa hajali. Raisi anakopa hela na zinatafunwa. Umeme wa kukatikakatika utaendeshaje treni ya umeme? Bwawa lenyewe kumalizika kwa wakati ni ndoto ya watanzania.! Yangu macho.!!

  • @paschalmartin9598
    @paschalmartin9598 Год назад +1

    Pumzika kwa amani Magufuli mahali pema peponi

  • @mahalenatural5007
    @mahalenatural5007 Год назад +3

    mmechelewa mnooomnoooo ndio nasema. maoniiiii

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 Год назад +3

    MashaAllah!!!

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Год назад +4

    Mama jitahidi Sana rais wetu uache historia kubwa Kwa vizazi na vizazi 🤔🇹🇿🤔

    • @hamisimussa5238
      @hamisimussa5238 Год назад +1

      Historia ipi muulize ilani ya 20/25 kashainza maana hya yote ni ya 15/20 yalitakiwa yaishe tuingie ilani mpya

    • @eaglecrown6470
      @eaglecrown6470 Год назад

      @@hamisimussa5238 15/20 ilani ya Chama kipi?kama ni ilani ya CCM yeye wakati huo alikuwa Nan? Moja kati ya mambo ambayo tulikuwa tunakosea ni kutosimamia ilani za Chama...hata kama uongozi umekwisha muda wake lakini mama anachofanya ni kukamilisha lakini pia kufufua sera ya kilimo 🙏🏿🤔 , kufufua utaliii ambao gonjwa la kolona liliathili Sana nazani pia unaona au unaweza ukaniambia Kwa nn amemuacha Hussein Bashe kwenye wizala ya kilimo jibu litakuwa kuinua kilimo ambacho ndio driving tools of any developing countries..

    • @eaglecrown6470
      @eaglecrown6470 Год назад

      @@hamisimussa5238 Kwa Sasa Niko Tunduma juzi nilikuwa nimepanda bajaji wenyeji wakawa wanasema maloli yameongezeka Sana Kwa macho ni kweli msongamano mkubwa Sana Wa maloli tofauti na awamu ya Tano sio kama awamu ya Tano ilikuwa mbaya ila kolona iliathili pia mzunguko wa biashara ukadolola Sasa kuongezea Kwa maloli Mimi sio mchumi hapo sijui wachumi wanaweza kusemaje juu ya hilo lakin Kwa akili ya kawaida naona ajila imeongezeka na fulsa zinaongezeka....lakini pia private sector inakuwa Kwa Kasi Sana

    • @williamsville3493
      @williamsville3493 Год назад +1

      @@hamisimussa5238 Mwambie huyo naona katoka ndotoni naona kamsahau yule aleyefyeka shamba na kupanda mbegu.

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Год назад

      WAPIGA dili wamejificha kwenye kivuli cha kumsifu Yule!!!

  • @keshenizabron1472
    @keshenizabron1472 Год назад

    Mh samia hashikamani na tamaa mbaya,l,v, you

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 Год назад +1

    Hizo ndo alama za kiongozi anazotakiwa aache tutamkumbuka milele asante jpm

  • @piusundisputed
    @piusundisputed Год назад +3

    I'm glad to hearing how the project is progressing

  • @godfreyvicent7999
    @godfreyvicent7999 Год назад

    Asante kwa alama zisizo futika milele

  • @kagomaeliezer5126
    @kagomaeliezer5126 Год назад

    Serikali inapswa imewe hongera sana kwa mradi huu

  • @simonlunyelekwe5520
    @simonlunyelekwe5520 Год назад

    Wau nice 👍

  • @sirionkapinga6739
    @sirionkapinga6739 Год назад

    Vp ndoto za tanzania ya viwanda

  • @bakerally6921
    @bakerally6921 Год назад

    Inshallah

  • @karimhgau9020
    @karimhgau9020 Год назад +1

    Mama anaweza bwana ila bac tu

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Год назад +1

    nyie endeleeni kutudanganya mmeshatuona watanzania wapumbavu tugeuzeni kama chapati kila kitu kina mwisho wake wahuni akina makamba wamevamia mradi wapige dili

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 Год назад +2

    WABONGO ACHENI MIBANGE!!
    Kuna mijitu haitumii akili kabisa, ikiitwa mitahira sijui kama itasema inatukanwa ama vipi?! mama angeamua asiziendeleze hizi projects kwa kuzitafutia pesa na wala kutoziidhinishia malipo hivi zingeishaje ishaje?! inakera sana, inabahati sana hii mijitu, tunajizuia kuitukana kwa sababu ya heshima tu kwa mwendazake.
    Hawa ni wanafki wakubwa, hawamtakii mema mwendazake, wanajifanya wanampaka mafuta kumbe wana lao wanalolitafuta, hawa si ndiyo waliokuwa wakisema maisha magumu vyuma vimekaza?! Naye akawajibu kimwamba "vimekaza, tieni girisi" huku na wao wakiendelea kuhoji kwani anavyojenga nchi watz watakula mibarabara na midaraja?!
    Tena hawakuishia hapo alipokuwa akitumbua hadharani (sio tumbua hii ya sasa ya kimya kimya) yenyewe yalikuwa yanasema ona anataka misifa, mbaya zaidi walipoona wanaotumbuliwa wengine ni jamaa zao wakafika mbali hata kumuita dikteta, na alipoonesha maendeleo ya projects hadharani kwenye matv na kadhalika yakaanza kupayuka ona anatafutakiki?!
    Yani kama yamelaniwa, LEO hii yamekuwa ya kwanza kumchafua mama hali yakuwa hakuna hata project moja iliyosimama.
    Mibange inavyowapanda vichwani yanashindwa hata kujiuliza "hivi kipindi kile mwendazake alikuwa peke yake? si walikuwa wote na mama ktk ujenzi wa nchi hii?! leo wanajitoa ufahamu?! makamo wa raisi (mwendazake) alikuwa nani kama si mama?!
    Hawa jamaa waache bange... kwani mama huyu ni yupi na mama yule aliyekuwa pamoja na mwendazake ktk ujenzi huu huu na pia ktk tumbua tumbua ni yupi?! Mwendazake alipowanyoosha madingi zao mafisadi papa yalisema hafai, kaja mama pia naye hafai, sasa yanachohitaji nini?! manafki wakubwa!!
    Je haya yanayofanyika huko hamsini kweusi yalikuwa yanayasikia?! tena mengine mpaka yanaingia makaburini walikuwa hayajui wapi panajengwa nini na kitu gani kinajengwa wapi?!sasa kila kitu kipo hadharani yanaleta uchendu, kwa hiyo yanataka tusioneshwe projects zilipofikia ili yazidi kudanganyana vizuri au vipi?! Bange sio tumbaku, haivutiwi kwenye tundu la choo yatabasti mabichwa...
    WAKATI WATU SASA WANAWAZA FURSA KIBAO ZA MAMA, VIJANA WAJIKUSANYE KWENYE VIKUNDI WAWAFATE MAAFISA MAENDELEO WA KATA ZAO WAWEZESHWE MIKOPO ISIYOKUWA NA RIBA ILI WAPATE MITAJI WAJILETEE MAENDELEO... YENYEWE YAMEKALIA MICHUKI TU!! PUMB....A..VU!!

  • @japharymagesa735
    @japharymagesa735 Год назад +2

    Hata mradi ukikamilika bado watagoma kushasha bei ya umeme kwan nawafaham

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 Год назад +3

    This is the result of hard working.(Hapa kazi 2) what else's TZ you want.
    Great leaders does Great things.
    Congratulation.

  • @masumbukomasolwa876
    @masumbukomasolwa876 Год назад +2

    Magufuli jaman tumuenzi

  • @eddyjosephmagenge9446
    @eddyjosephmagenge9446 Год назад +3

    JPM alikuwa Chuma kabisa

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 Год назад +10

    Mtangazaji nimependa kwa heshima ulompa JPM, ni mwanzishaji wa project kutimiza maono ya baba wa taifa. RIP JPM. Sio wanaomkandia
    Ahsante kwa updates

  • @dominickiungulia1016
    @dominickiungulia1016 Год назад +26

    Tunamkumbuka saana na ameacha alama kwa uanzishaji wa Bwawa hili kubwa! Mungu amuangazie Mwanga wa milele Ampunzishe kwa Amani! Amen.

    • @salumumakombo9136
      @salumumakombo9136 Год назад +1

      amina

    • @froma3732
      @froma3732 Год назад

      Munamkumbuka nani kwani alianza kujenga

    • @alwattanihajihaji4066
      @alwattanihajihaji4066 Год назад

      @@froma3732 asipokujibu jione hajaelewa suali lako, vinginevyo umedharauliwa! Magu ndie mkombozi wengine wanaendeleza!

    • @froma3732
      @froma3732 Год назад

      @@alwattanihajihaji4066 😂😂😂😂😂

    • @owenmutale8686
      @owenmutale8686 Год назад

      @@froma3732 hujaacha kufirwa mpka leo pole sana

  • @abuadobakaly2394
    @abuadobakaly2394 Год назад +5

    Mzee angekuwepo hadi Leo tungekuwa mbali sana watanzania tutakukumbuka daima

  • @enockcheruiyot5919
    @enockcheruiyot5919 Год назад +4

    Cha kuhusunisha ni kwamba hayati Dk.Magufuli hangeweza kushuhudia ukamilishaji wa huu mradi 😢😢,pumzika kwa amani Baba yetu,tutaishi kukukumbuka 😭😭

  • @martinkipenya4592
    @martinkipenya4592 Год назад +5

    Kwa mwenye mradi ungekuwa umewashwa umeme

  • @masterbosco8781
    @masterbosco8781 Год назад +1

    Sasa hivi hakuna umeme nchi nzima na viongozi hawana muda wa wananchi ... Nchi imekuwa gizani hatuna dira tena.

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Год назад +5

    Tutakukumbuka kwa mema yako lala salama baba mungu tuepushie hili janga la baikoko na utuletee magufuri mwingine

  • @ramadhaninangundu
    @ramadhaninangundu Год назад +2

    Tutakukumbuka JPM R.I.P

  • @ralphngowi2489
    @ralphngowi2489 Год назад +2

    Heshima ya Uongozi wa awamu ya sita. Malizieni kazi iliobakia, muwekwe kwenye historia ya Tanzania.

  • @godlistenshayo4168
    @godlistenshayo4168 Год назад +4

    Respect to JPM
    RIP

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Год назад +1

    Staki kujuwa chochote sjui awamu ya nqapi wala R.I.P
    Ninachotambua mm ni rais Samia km mchapa kazi na vitendo mnaviona wenyew wabonqonyoso.
    Honqera sana mama samia na miaka10 tena kwa lazima.
    Mkitaka msitake

  • @muhitiraamissy7198
    @muhitiraamissy7198 Год назад +2

    Ongera sanaa tanzaniyaaa africa tutaijenga wenyewwe wala sio awoo wazungu amos kutoka burundii

  • @groliarafaeli7232
    @groliarafaeli7232 Год назад +1

    Nimemmisi bba kaacha vingi nazan angekuwepo tz ingekua kama Korea😭🏊😭🏊

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Год назад +2

    Magufu n shujaaa daimaaa ccm mlituweza kwa maguful daa jpm hatar sanaa

  • @heavenmedia4890
    @heavenmedia4890 Год назад

    Respect Hayati Baba wa Taifa, Mwl.J.K Nyerere, Respect Hayati Dr. John Pombe Magufuli, Heshima kwako pia Mama Samia Suluh Hassan, ambaye Mungu anazidi kukupa nguvu ya kuendeleza Miradi yote hii.

  • @asumegealisonsume9095
    @asumegealisonsume9095 Год назад

    Sio kweli. Japo tunajifunia maendeleo yetu, lakini bwawa kubwa la umeme Afrika ni Grand Renaissance Dam lililoko Ethipia yenye uwezo wa kuzalisha umeme mara 3 ya bwawa la Nyerere. Ni muhimu kutoa taarifa sahihi

  • @mybrevisai2508
    @mybrevisai2508 Год назад +1

    Lile crane la tani 26 linafika lini?

  • @kifakaraomar6598
    @kifakaraomar6598 Год назад +1

    Kila siku mastory tuuu vipi ?, tunataka kusikia shida ya umeme imekwisha Tanzania siyo kila Kiongozi anayekuja anaanzisha hadithi zisizoisha ilmradi amepiga cha juu chake halafu kimya , kisha mwengine naye anaanzisha habari ya mega wats zinazopungua ili aanzishe mradi wake

  • @MusaMusa-ik9ib
    @MusaMusa-ik9ib Год назад

    mbona sasa umeme bado nitatizo? Kuna haja gani ya kuwa na bwawa hilo maanna wananchi tulitegemea kupungua kwa kero ya umeme Sasa umeme umekwamisha kila kitu Tz

  • @captioncapition2574
    @captioncapition2574 Год назад +1

    Mh viumbe wazito n ikiwemo namimi ila!!

  • @MrMwache
    @MrMwache Год назад +2

    Ukizaliwa mtendaji ni mtendaji tuuu. No politics?? Bravo JPM

  • @masudymanju6062
    @masudymanju6062 Год назад

    Hatuna mengi ya kusema ira alicho kianzisha kitaisha kwa uwezo wa Mungu ata Kama watachelewesha

  • @achiamasolwa2015
    @achiamasolwa2015 Год назад

    Jpm alisema inchi yetu tajiri leo inakopa
    Ili kukamilisha miradi alitudanganya au

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 Год назад +3

    Tafadhali usipotoshe, hili sio bwawa kubwa Africa..kuna mabwawa ya umeme makubwa mengi Africa...

    • @amanlenatus9067
      @amanlenatus9067 Год назад +1

      Wewe upo kwaajil ya kupinga tu

    • @mwaromemunga8700
      @mwaromemunga8700 Год назад

      Mwambie

    • @hashimmohamed3215
      @hashimmohamed3215 Год назад

      @@JenafaTV Jibu sahihi, umeharibu pale ulipotumia lugha kashifu kupeleka ujumbe.
      Elewa sisi ni sub wa channel yako, hivyo usitumie maneno makali.

  • @robertmgore3653
    @robertmgore3653 Год назад +2

    Mwamba imara Jpm

  • @user-yt7ln1wo8x
    @user-yt7ln1wo8x Год назад

    Mm najua huu ni mradi wa nchi, sio wa mtu..muwe mnaandika vichwa vya habari vzr

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 Год назад +1

    Mradi ilikuwa ukamilike June 2022 according to mkataba lakini inshaallah kwakinachoendelea ila huu mradi ikiwa utafanya kazi before 2025 basi mi nitakuwa pale mniitage....

  • @philibertkajungu3773
    @philibertkajungu3773 Год назад +2

    Mungu ibariki Tanzania

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад +2

    Gesi ipo ya kutosha umeme wake hauna gharama nyingi Kama umeme

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Год назад

      Mbona sikuelewi, umeme wa gesi sio gharama kama umeme....

    • @UMMAHWASATIYYAH
      @UMMAHWASATIYYAH Год назад

      @@mpendakiswahili3053 anamaanisha umeme maji ni rahisi kuliko wa, gesi nadhani 😂 😂 😂

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Год назад +2

    Pongezi kwako 🤝mama Samia kwa mwendelezo wa miradi yote iliyo asisiwa na mtangulizi wako. "Hapa kazi tu, kazi iendelee..

  • @jumasibanilo2912
    @jumasibanilo2912 Год назад +1

    Acha kupotosha geography ya darsa tano inakuumbuwa bwawa kubwa kwani mto rufiji niwangapi africa kuwa ukubwa acha kudanganya wewe, na hilo bwawa ni atuwa tatu ktk kumi zilizotakiwa kuwa zimepigwa, danganya wenye tafkur ndogo juu ya nchi yetu, we sawa na wanaosema tupo UCHUMI wa kati, hivi kenya tu hiyo wako UCHUMI gan????? Harafu south Africa

  • @adriandanford208
    @adriandanford208 Год назад

    Na BEI alisema atashusha sema uyu alyepo sasa anaweza maslay

  • @salehmdumbwa6181
    @salehmdumbwa6181 Год назад +1

    Hakuna kama magufuli nakushukuru kiongozi kwa uthubutu wa kufanya hili

  • @fransicmushenyera9302
    @fransicmushenyera9302 Год назад +1

    R.I.P.JPM

  • @saitawilson7307
    @saitawilson7307 Год назад +3

    Respect JPM 🙏🙏!... R.I.P😭😭😭😭

  • @kavishetrilionaire2068
    @kavishetrilionaire2068 Год назад +1

    Ameen

  • @alexsospeter8475
    @alexsospeter8475 Год назад

    Mradi uko poa, viongozi wanajtuma

  • @Cheffhood
    @Cheffhood Год назад

    Sio bwawa kubwa Afrika acheni uhongo

  • @ntugwamadaha1346
    @ntugwamadaha1346 Год назад +2

    Pumzika kwa amani JPM 🙏🙏

  • @vedastusngaiza5960
    @vedastusngaiza5960 Год назад

    Tuanzishe Guineas Book ya Tz

  • @hassanimshanguzo8473
    @hassanimshanguzo8473 Год назад +3

    Magu oyeeee

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Год назад

    Hivi tunapofurahia na kupongeza ujenzi na ukamilishaji wa bwawa hili tumeishafikiria ujazaji wa maji kwenye bwawa? Tunakabiliwa na ukame nchi nzima, ninachokisikia ni sifa za ujenzi (ni vema) lakini janga la ukame ni tishio linalotishia mstakhabari wa mradi huu!

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Год назад

    nyie mnatudanganya bwawa limsimama angekuwepo magufuri bwawa lingekuwa limeisha wapumbavu tukutane 2025

  • @berthatz
    @berthatz Год назад +4

    Sweet👏🏾👏🏾👏🏾🇹🇿💪🏾

  • @presly_0446
    @presly_0446 Год назад

    RIP JPM, big up Mama President kuweza kuendeleza mlichokianza

  • @honestmatto7223
    @honestmatto7223 Год назад +1

    Mungu atubariki watanzania ndoto ikamilike...

  • @zauroauzi6791
    @zauroauzi6791 Год назад

    Eti "erection bay"

  • @harounbuzohera4797
    @harounbuzohera4797 Год назад +2

    Keep it up boys. Well done for the good job.

  • @enockfungo5129
    @enockfungo5129 Год назад +1

    Mungu ibaliki Tanzania...

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 Год назад

    Haha kazi tu.(haha ndio mafanikio kwa kazi nzuri,Maputo ya kesho.

  • @kajiajohn6124
    @kajiajohn6124 Год назад

    Nimefurahi kupata taarfa hizi muhimu za maendeleo ya mradi huu wa kimkakati.

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 Год назад +1

    Magu

  • @seifriyembe6746
    @seifriyembe6746 Год назад

    Wazungu walisema mradi haufai kimazingira !! Fitina wakubwa !!

  • @felixmkagila6048
    @felixmkagila6048 Год назад +1

    Tumeingia kwenye mgao wa umeme sababu ya tamaa za watu wachache bwawa ilibid liwe lishakamilika linafua umeme wahun wafenya yao wanatwambia mrad kukamilika 2024 ambapo dunia teyar kuna myumbo wa uchumi fedha za mkopo na misaada hakuna kwaiyo wacha tuone miujza ya team msoga hio 2024

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Год назад

      Maisha baada ya Covid yamebadilika, kila kitu kinachoagizwa nje kimekua ghali mnoo na hata kupelekea ujenzi kusuasua

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Год назад +1

    Mama hoyee

  • @chaapuubaharia4946
    @chaapuubaharia4946 Год назад

    No koment

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Tunatakiwa tuwe na umeme wa gesi na sio maji sasahv umeme wa maji umepitwa na wakat Mana maji yanakupwa na kujaa

  • @hemedrashid2921
    @hemedrashid2921 Год назад +3

    Alhamdullilah rabbi walijua utashindwa ili watutukane mungu kawaonyeshaa piga kazi mheshimiwa Samia suluh Hassan tupo pamoja naweee

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 Год назад

      Mungu nifundishe kunyamaza

    • @olenyghosho7008
      @olenyghosho7008 Год назад

      fara kweli

    • @salvatorymtunga5906
      @salvatorymtunga5906 Год назад

      Hamna mwenye mradi, huo ni mradi wa serikali na ifahamike hivyo. Mradi wa daraja la Rufiji alianzisha Mwinyi, aliyemalizia ni Mkapa. Aliyeanzisha uwanja wa Mkapa stadium alikuwa Mkapa, aliyemalizia ni Kikwete.Aliyeanzisha uwanja wa ndege terminal ya tatu alikuwa Kikwete, aliyemalizia ni Magufuli. Aliyeanzisha na kutoa wazo wa mradi wa Umume huo alikuwa Nyerere, Kikwete aliisisitiza lakini Magufuli alianzisha ujenzi na hatimae Mama samia Mungu ampe nguvu na atalimalizia, kazi iendelee.

  • @paschalrutashoborwa7976
    @paschalrutashoborwa7976 Год назад

    Kwa hatua hii, Tanzania itakuwa imepiga hatua nzuri ya maendeleo katika uchumi wa Tanzania.

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Год назад +1

    Asante Mama

  • @gracemsangi4886
    @gracemsangi4886 Год назад

    Safi sana, kesho yetu inafurahisha

  • @johnsangeti8924
    @johnsangeti8924 Год назад

    Alafu lisu anasema mradi huu haufai,na hicho ndiyo kinafanya nisimpe kura yangu 2025

  • @leonardkalaba1693
    @leonardkalaba1693 Год назад

    Hapa kazi 2. Namanisha magufuri

  • @jangoman9130
    @jangoman9130 Год назад +1

    Mama ako au, mm huyo mama smpendi hata kidogo angelikuepo baba jaman😭

  • @ephraimephsamauto7214
    @ephraimephsamauto7214 Год назад

    Asante sana mama yetu

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 Год назад +1

    Kama raisi ata mariza miradi ario acha jemedali bac tuta muweka kwene orodha ya wa asisi wa Tanzania na yeye atakuwa shujaa

  • @nehemiamagaho1218
    @nehemiamagaho1218 Год назад

    Asant Sana👊👊👊

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 Год назад

    Kazi.nzuri.mama
    Unapambana.vilivyo.wewe.ndie.mjenzi
    WA.bwawa
    Hili.umelikuta.lina
    Asillimia..32.tu.asante.mama

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 Год назад

    😭😭😭RIP JPM

  • @froma3732
    @froma3732 Год назад +1

    Sio Magufuli aloanza hilo Bwawa

  • @nusaania2950
    @nusaania2950 Год назад

    Sii kubwa Africa

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Год назад

    Siku hizi nchi hazitumii tena Umeme unaotokana na maji kwa sababu ya ukame, siku Umeme ni wa Nuclear ndio Umeme wa Uhakika.

    • @froma3732
      @froma3732 Год назад +1

      Kwa hivo hilo halifai au sio kwa Sababu Rais Samiha analimalizia

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 Год назад +1

      Na wewe pia unajifanya wa siku hizi!!!?? Au una ulimbukeni wa nuclear, bila ya kujua madhara yake, ambako wenye hivyo vinu vya nuclear walivifunga kitambo.

    • @benjaminpallangyo4545
      @benjaminpallangyo4545 Год назад

      Kweli nahisi upo sayari nyingine kabisa na si Dunia hii, juzi tu CHINA imekamilisha ujenzi wa Bwawa KUBWA na linalozalisha umeme mwingi kuliko yote duniani. ETHIOPIA nayo juzi tu imekamilisha ujenzi wa Bwawa KUBWA kuliko yote Africa. Usikurupuke tuuu🤔🤔🤔🤔

    • @froma3732
      @froma3732 Год назад

      @@benjaminpallangyo4545 Tatizo lao kwa Sababu Rais Samiha anakamilisha kazi wlioiaza kina Kikwete au walotangulia hawa tunabidi twende nao hivox2 Mpaka 2030 👍