Semeni ukweli.! Ujenzi umezorota.!!! Uongozi mbaya ni wizi na uvivu tu ukiongozwa na waziri anayehusika na raisi zwazwa hajali. Raisi anakopa hela na zinatafunwa. Umeme wa kukatikakatika utaendeshaje treni ya umeme? Bwawa lenyewe kumalizika kwa wakati ni ndoto ya watanzania.! Yangu macho.!!
@@hamisimussa5238 15/20 ilani ya Chama kipi?kama ni ilani ya CCM yeye wakati huo alikuwa Nan? Moja kati ya mambo ambayo tulikuwa tunakosea ni kutosimamia ilani za Chama...hata kama uongozi umekwisha muda wake lakini mama anachofanya ni kukamilisha lakini pia kufufua sera ya kilimo 🙏🏿🤔 , kufufua utaliii ambao gonjwa la kolona liliathili Sana nazani pia unaona au unaweza ukaniambia Kwa nn amemuacha Hussein Bashe kwenye wizala ya kilimo jibu litakuwa kuinua kilimo ambacho ndio driving tools of any developing countries..
@@hamisimussa5238 Kwa Sasa Niko Tunduma juzi nilikuwa nimepanda bajaji wenyeji wakawa wanasema maloli yameongezeka Sana Kwa macho ni kweli msongamano mkubwa Sana Wa maloli tofauti na awamu ya Tano sio kama awamu ya Tano ilikuwa mbaya ila kolona iliathili pia mzunguko wa biashara ukadolola Sasa kuongezea Kwa maloli Mimi sio mchumi hapo sijui wachumi wanaweza kusemaje juu ya hilo lakin Kwa akili ya kawaida naona ajila imeongezeka na fulsa zinaongezeka....lakini pia private sector inakuwa Kwa Kasi Sana
nyie endeleeni kutudanganya mmeshatuona watanzania wapumbavu tugeuzeni kama chapati kila kitu kina mwisho wake wahuni akina makamba wamevamia mradi wapige dili
WABONGO ACHENI MIBANGE!! Kuna mijitu haitumii akili kabisa, ikiitwa mitahira sijui kama itasema inatukanwa ama vipi?! mama angeamua asiziendeleze hizi projects kwa kuzitafutia pesa na wala kutoziidhinishia malipo hivi zingeishaje ishaje?! inakera sana, inabahati sana hii mijitu, tunajizuia kuitukana kwa sababu ya heshima tu kwa mwendazake. Hawa ni wanafki wakubwa, hawamtakii mema mwendazake, wanajifanya wanampaka mafuta kumbe wana lao wanalolitafuta, hawa si ndiyo waliokuwa wakisema maisha magumu vyuma vimekaza?! Naye akawajibu kimwamba "vimekaza, tieni girisi" huku na wao wakiendelea kuhoji kwani anavyojenga nchi watz watakula mibarabara na midaraja?! Tena hawakuishia hapo alipokuwa akitumbua hadharani (sio tumbua hii ya sasa ya kimya kimya) yenyewe yalikuwa yanasema ona anataka misifa, mbaya zaidi walipoona wanaotumbuliwa wengine ni jamaa zao wakafika mbali hata kumuita dikteta, na alipoonesha maendeleo ya projects hadharani kwenye matv na kadhalika yakaanza kupayuka ona anatafutakiki?! Yani kama yamelaniwa, LEO hii yamekuwa ya kwanza kumchafua mama hali yakuwa hakuna hata project moja iliyosimama. Mibange inavyowapanda vichwani yanashindwa hata kujiuliza "hivi kipindi kile mwendazake alikuwa peke yake? si walikuwa wote na mama ktk ujenzi wa nchi hii?! leo wanajitoa ufahamu?! makamo wa raisi (mwendazake) alikuwa nani kama si mama?! Hawa jamaa waache bange... kwani mama huyu ni yupi na mama yule aliyekuwa pamoja na mwendazake ktk ujenzi huu huu na pia ktk tumbua tumbua ni yupi?! Mwendazake alipowanyoosha madingi zao mafisadi papa yalisema hafai, kaja mama pia naye hafai, sasa yanachohitaji nini?! manafki wakubwa!! Je haya yanayofanyika huko hamsini kweusi yalikuwa yanayasikia?! tena mengine mpaka yanaingia makaburini walikuwa hayajui wapi panajengwa nini na kitu gani kinajengwa wapi?!sasa kila kitu kipo hadharani yanaleta uchendu, kwa hiyo yanataka tusioneshwe projects zilipofikia ili yazidi kudanganyana vizuri au vipi?! Bange sio tumbaku, haivutiwi kwenye tundu la choo yatabasti mabichwa... WAKATI WATU SASA WANAWAZA FURSA KIBAO ZA MAMA, VIJANA WAJIKUSANYE KWENYE VIKUNDI WAWAFATE MAAFISA MAENDELEO WA KATA ZAO WAWEZESHWE MIKOPO ISIYOKUWA NA RIBA ILI WAPATE MITAJI WAJILETEE MAENDELEO... YENYEWE YAMEKALIA MICHUKI TU!! PUMB....A..VU!!
Staki kujuwa chochote sjui awamu ya nqapi wala R.I.P Ninachotambua mm ni rais Samia km mchapa kazi na vitendo mnaviona wenyew wabonqonyoso. Honqera sana mama samia na miaka10 tena kwa lazima. Mkitaka msitake
Respect Hayati Baba wa Taifa, Mwl.J.K Nyerere, Respect Hayati Dr. John Pombe Magufuli, Heshima kwako pia Mama Samia Suluh Hassan, ambaye Mungu anazidi kukupa nguvu ya kuendeleza Miradi yote hii.
Sio kweli. Japo tunajifunia maendeleo yetu, lakini bwawa kubwa la umeme Afrika ni Grand Renaissance Dam lililoko Ethipia yenye uwezo wa kuzalisha umeme mara 3 ya bwawa la Nyerere. Ni muhimu kutoa taarifa sahihi
Kila siku mastory tuuu vipi ?, tunataka kusikia shida ya umeme imekwisha Tanzania siyo kila Kiongozi anayekuja anaanzisha hadithi zisizoisha ilmradi amepiga cha juu chake halafu kimya , kisha mwengine naye anaanzisha habari ya mega wats zinazopungua ili aanzishe mradi wake
mbona sasa umeme bado nitatizo? Kuna haja gani ya kuwa na bwawa hilo maanna wananchi tulitegemea kupungua kwa kero ya umeme Sasa umeme umekwamisha kila kitu Tz
Mradi ilikuwa ukamilike June 2022 according to mkataba lakini inshaallah kwakinachoendelea ila huu mradi ikiwa utafanya kazi before 2025 basi mi nitakuwa pale mniitage....
Acha kupotosha geography ya darsa tano inakuumbuwa bwawa kubwa kwani mto rufiji niwangapi africa kuwa ukubwa acha kudanganya wewe, na hilo bwawa ni atuwa tatu ktk kumi zilizotakiwa kuwa zimepigwa, danganya wenye tafkur ndogo juu ya nchi yetu, we sawa na wanaosema tupo UCHUMI wa kati, hivi kenya tu hiyo wako UCHUMI gan????? Harafu south Africa
Hivi tunapofurahia na kupongeza ujenzi na ukamilishaji wa bwawa hili tumeishafikiria ujazaji wa maji kwenye bwawa? Tunakabiliwa na ukame nchi nzima, ninachokisikia ni sifa za ujenzi (ni vema) lakini janga la ukame ni tishio linalotishia mstakhabari wa mradi huu!
Tumeingia kwenye mgao wa umeme sababu ya tamaa za watu wachache bwawa ilibid liwe lishakamilika linafua umeme wahun wafenya yao wanatwambia mrad kukamilika 2024 ambapo dunia teyar kuna myumbo wa uchumi fedha za mkopo na misaada hakuna kwaiyo wacha tuone miujza ya team msoga hio 2024
Hamna mwenye mradi, huo ni mradi wa serikali na ifahamike hivyo. Mradi wa daraja la Rufiji alianzisha Mwinyi, aliyemalizia ni Mkapa. Aliyeanzisha uwanja wa Mkapa stadium alikuwa Mkapa, aliyemalizia ni Kikwete.Aliyeanzisha uwanja wa ndege terminal ya tatu alikuwa Kikwete, aliyemalizia ni Magufuli. Aliyeanzisha na kutoa wazo wa mradi wa Umume huo alikuwa Nyerere, Kikwete aliisisitiza lakini Magufuli alianzisha ujenzi na hatimae Mama samia Mungu ampe nguvu na atalimalizia, kazi iendelee.
Na wewe pia unajifanya wa siku hizi!!!?? Au una ulimbukeni wa nuclear, bila ya kujua madhara yake, ambako wenye hivyo vinu vya nuclear walivifunga kitambo.
Kweli nahisi upo sayari nyingine kabisa na si Dunia hii, juzi tu CHINA imekamilisha ujenzi wa Bwawa KUBWA na linalozalisha umeme mwingi kuliko yote duniani. ETHIOPIA nayo juzi tu imekamilisha ujenzi wa Bwawa KUBWA kuliko yote Africa. Usikurupuke tuuu🤔🤔🤔🤔
@@benjaminpallangyo4545 Tatizo lao kwa Sababu Rais Samiha anakamilisha kazi wlioiaza kina Kikwete au walotangulia hawa tunabidi twende nao hivox2 Mpaka 2030 👍
Asante kwa uthubutu mkubwa wa miradi ya kuisaidia nchi yetu JPM 🕯️ R. I. P.
Thanks to the Egyptian people for supporting the Tanzanian people
Shukrani kwa mbeba maono, RIP JPM. Tutakukumbuka daima
Nikiangalia mradi huu nachozi yananidondoka namkumbuka Mzee wa maamuzi magumu JPM
Safi Sana Rais Wetu Samia Suluhu Hassan kazi iendelee Nchi yetu 🇹🇿🔥🔥🔥
Mungu ambaliki sana baba yetu kipenzi pumzika kwa maani hakika tumekumbuka kwa mengi
Happy to know there are progress
JPM ali,pray Mama anatekeleza safi sana ✌🏾
Semeni ukweli.! Ujenzi umezorota.!!! Uongozi mbaya ni wizi na uvivu tu ukiongozwa na waziri anayehusika na raisi zwazwa hajali. Raisi anakopa hela na zinatafunwa. Umeme wa kukatikakatika utaendeshaje treni ya umeme? Bwawa lenyewe kumalizika kwa wakati ni ndoto ya watanzania.! Yangu macho.!!
Pumzika kwa amani Magufuli mahali pema peponi
mmechelewa mnooomnoooo ndio nasema. maoniiiii
MashaAllah!!!
Mama jitahidi Sana rais wetu uache historia kubwa Kwa vizazi na vizazi 🤔🇹🇿🤔
Historia ipi muulize ilani ya 20/25 kashainza maana hya yote ni ya 15/20 yalitakiwa yaishe tuingie ilani mpya
@@hamisimussa5238 15/20 ilani ya Chama kipi?kama ni ilani ya CCM yeye wakati huo alikuwa Nan? Moja kati ya mambo ambayo tulikuwa tunakosea ni kutosimamia ilani za Chama...hata kama uongozi umekwisha muda wake lakini mama anachofanya ni kukamilisha lakini pia kufufua sera ya kilimo 🙏🏿🤔 , kufufua utaliii ambao gonjwa la kolona liliathili Sana nazani pia unaona au unaweza ukaniambia Kwa nn amemuacha Hussein Bashe kwenye wizala ya kilimo jibu litakuwa kuinua kilimo ambacho ndio driving tools of any developing countries..
@@hamisimussa5238 Kwa Sasa Niko Tunduma juzi nilikuwa nimepanda bajaji wenyeji wakawa wanasema maloli yameongezeka Sana Kwa macho ni kweli msongamano mkubwa Sana Wa maloli tofauti na awamu ya Tano sio kama awamu ya Tano ilikuwa mbaya ila kolona iliathili pia mzunguko wa biashara ukadolola Sasa kuongezea Kwa maloli Mimi sio mchumi hapo sijui wachumi wanaweza kusemaje juu ya hilo lakin Kwa akili ya kawaida naona ajila imeongezeka na fulsa zinaongezeka....lakini pia private sector inakuwa Kwa Kasi Sana
@@hamisimussa5238 Mwambie huyo naona katoka ndotoni naona kamsahau yule aleyefyeka shamba na kupanda mbegu.
WAPIGA dili wamejificha kwenye kivuli cha kumsifu Yule!!!
Mh samia hashikamani na tamaa mbaya,l,v, you
Hizo ndo alama za kiongozi anazotakiwa aache tutamkumbuka milele asante jpm
I'm glad to hearing how the project is progressing
Asante kwa alama zisizo futika milele
Serikali inapswa imewe hongera sana kwa mradi huu
Wau nice 👍
Vp ndoto za tanzania ya viwanda
Inshallah
Mama anaweza bwana ila bac tu
nyie endeleeni kutudanganya mmeshatuona watanzania wapumbavu tugeuzeni kama chapati kila kitu kina mwisho wake wahuni akina makamba wamevamia mradi wapige dili
WABONGO ACHENI MIBANGE!!
Kuna mijitu haitumii akili kabisa, ikiitwa mitahira sijui kama itasema inatukanwa ama vipi?! mama angeamua asiziendeleze hizi projects kwa kuzitafutia pesa na wala kutoziidhinishia malipo hivi zingeishaje ishaje?! inakera sana, inabahati sana hii mijitu, tunajizuia kuitukana kwa sababu ya heshima tu kwa mwendazake.
Hawa ni wanafki wakubwa, hawamtakii mema mwendazake, wanajifanya wanampaka mafuta kumbe wana lao wanalolitafuta, hawa si ndiyo waliokuwa wakisema maisha magumu vyuma vimekaza?! Naye akawajibu kimwamba "vimekaza, tieni girisi" huku na wao wakiendelea kuhoji kwani anavyojenga nchi watz watakula mibarabara na midaraja?!
Tena hawakuishia hapo alipokuwa akitumbua hadharani (sio tumbua hii ya sasa ya kimya kimya) yenyewe yalikuwa yanasema ona anataka misifa, mbaya zaidi walipoona wanaotumbuliwa wengine ni jamaa zao wakafika mbali hata kumuita dikteta, na alipoonesha maendeleo ya projects hadharani kwenye matv na kadhalika yakaanza kupayuka ona anatafutakiki?!
Yani kama yamelaniwa, LEO hii yamekuwa ya kwanza kumchafua mama hali yakuwa hakuna hata project moja iliyosimama.
Mibange inavyowapanda vichwani yanashindwa hata kujiuliza "hivi kipindi kile mwendazake alikuwa peke yake? si walikuwa wote na mama ktk ujenzi wa nchi hii?! leo wanajitoa ufahamu?! makamo wa raisi (mwendazake) alikuwa nani kama si mama?!
Hawa jamaa waache bange... kwani mama huyu ni yupi na mama yule aliyekuwa pamoja na mwendazake ktk ujenzi huu huu na pia ktk tumbua tumbua ni yupi?! Mwendazake alipowanyoosha madingi zao mafisadi papa yalisema hafai, kaja mama pia naye hafai, sasa yanachohitaji nini?! manafki wakubwa!!
Je haya yanayofanyika huko hamsini kweusi yalikuwa yanayasikia?! tena mengine mpaka yanaingia makaburini walikuwa hayajui wapi panajengwa nini na kitu gani kinajengwa wapi?!sasa kila kitu kipo hadharani yanaleta uchendu, kwa hiyo yanataka tusioneshwe projects zilipofikia ili yazidi kudanganyana vizuri au vipi?! Bange sio tumbaku, haivutiwi kwenye tundu la choo yatabasti mabichwa...
WAKATI WATU SASA WANAWAZA FURSA KIBAO ZA MAMA, VIJANA WAJIKUSANYE KWENYE VIKUNDI WAWAFATE MAAFISA MAENDELEO WA KATA ZAO WAWEZESHWE MIKOPO ISIYOKUWA NA RIBA ILI WAPATE MITAJI WAJILETEE MAENDELEO... YENYEWE YAMEKALIA MICHUKI TU!! PUMB....A..VU!!
Hata mradi ukikamilika bado watagoma kushasha bei ya umeme kwan nawafaham
This is the result of hard working.(Hapa kazi 2) what else's TZ you want.
Great leaders does Great things.
Congratulation.
Magufuli jaman tumuenzi
JPM alikuwa Chuma kabisa
Mtangazaji nimependa kwa heshima ulompa JPM, ni mwanzishaji wa project kutimiza maono ya baba wa taifa. RIP JPM. Sio wanaomkandia
Ahsante kwa updates
Tunamkumbuka saana na ameacha alama kwa uanzishaji wa Bwawa hili kubwa! Mungu amuangazie Mwanga wa milele Ampunzishe kwa Amani! Amen.
amina
Munamkumbuka nani kwani alianza kujenga
@@froma3732 asipokujibu jione hajaelewa suali lako, vinginevyo umedharauliwa! Magu ndie mkombozi wengine wanaendeleza!
@@alwattanihajihaji4066 😂😂😂😂😂
@@froma3732 hujaacha kufirwa mpka leo pole sana
Mzee angekuwepo hadi Leo tungekuwa mbali sana watanzania tutakukumbuka daima
Cha kuhusunisha ni kwamba hayati Dk.Magufuli hangeweza kushuhudia ukamilishaji wa huu mradi 😢😢,pumzika kwa amani Baba yetu,tutaishi kukukumbuka 😭😭
Kwa mwenye mradi ungekuwa umewashwa umeme
Sasa hivi hakuna umeme nchi nzima na viongozi hawana muda wa wananchi ... Nchi imekuwa gizani hatuna dira tena.
Tutakukumbuka kwa mema yako lala salama baba mungu tuepushie hili janga la baikoko na utuletee magufuri mwingine
Tutakukumbuka JPM R.I.P
Heshima ya Uongozi wa awamu ya sita. Malizieni kazi iliobakia, muwekwe kwenye historia ya Tanzania.
Respect to JPM
RIP
Staki kujuwa chochote sjui awamu ya nqapi wala R.I.P
Ninachotambua mm ni rais Samia km mchapa kazi na vitendo mnaviona wenyew wabonqonyoso.
Honqera sana mama samia na miaka10 tena kwa lazima.
Mkitaka msitake
Ongera sanaa tanzaniyaaa africa tutaijenga wenyewwe wala sio awoo wazungu amos kutoka burundii
Nimemmisi bba kaacha vingi nazan angekuwepo tz ingekua kama Korea😭🏊😭🏊
Magufu n shujaaa daimaaa ccm mlituweza kwa maguful daa jpm hatar sanaa
Respect Hayati Baba wa Taifa, Mwl.J.K Nyerere, Respect Hayati Dr. John Pombe Magufuli, Heshima kwako pia Mama Samia Suluh Hassan, ambaye Mungu anazidi kukupa nguvu ya kuendeleza Miradi yote hii.
Sio kweli. Japo tunajifunia maendeleo yetu, lakini bwawa kubwa la umeme Afrika ni Grand Renaissance Dam lililoko Ethipia yenye uwezo wa kuzalisha umeme mara 3 ya bwawa la Nyerere. Ni muhimu kutoa taarifa sahihi
Lile crane la tani 26 linafika lini?
Kila siku mastory tuuu vipi ?, tunataka kusikia shida ya umeme imekwisha Tanzania siyo kila Kiongozi anayekuja anaanzisha hadithi zisizoisha ilmradi amepiga cha juu chake halafu kimya , kisha mwengine naye anaanzisha habari ya mega wats zinazopungua ili aanzishe mradi wake
mbona sasa umeme bado nitatizo? Kuna haja gani ya kuwa na bwawa hilo maanna wananchi tulitegemea kupungua kwa kero ya umeme Sasa umeme umekwamisha kila kitu Tz
Mh viumbe wazito n ikiwemo namimi ila!!
Ukizaliwa mtendaji ni mtendaji tuuu. No politics?? Bravo JPM
Hatuna mengi ya kusema ira alicho kianzisha kitaisha kwa uwezo wa Mungu ata Kama watachelewesha
Jpm alisema inchi yetu tajiri leo inakopa
Ili kukamilisha miradi alitudanganya au
Tafadhali usipotoshe, hili sio bwawa kubwa Africa..kuna mabwawa ya umeme makubwa mengi Africa...
Wewe upo kwaajil ya kupinga tu
Mwambie
@@JenafaTV Jibu sahihi, umeharibu pale ulipotumia lugha kashifu kupeleka ujumbe.
Elewa sisi ni sub wa channel yako, hivyo usitumie maneno makali.
Mwamba imara Jpm
Mm najua huu ni mradi wa nchi, sio wa mtu..muwe mnaandika vichwa vya habari vzr
Mradi ilikuwa ukamilike June 2022 according to mkataba lakini inshaallah kwakinachoendelea ila huu mradi ikiwa utafanya kazi before 2025 basi mi nitakuwa pale mniitage....
Mungu ibariki Tanzania
Gesi ipo ya kutosha umeme wake hauna gharama nyingi Kama umeme
Mbona sikuelewi, umeme wa gesi sio gharama kama umeme....
@@mpendakiswahili3053 anamaanisha umeme maji ni rahisi kuliko wa, gesi nadhani 😂 😂 😂
Pongezi kwako 🤝mama Samia kwa mwendelezo wa miradi yote iliyo asisiwa na mtangulizi wako. "Hapa kazi tu, kazi iendelee..
Coment zote hii ndo imebeba uzito
Acha kupotosha geography ya darsa tano inakuumbuwa bwawa kubwa kwani mto rufiji niwangapi africa kuwa ukubwa acha kudanganya wewe, na hilo bwawa ni atuwa tatu ktk kumi zilizotakiwa kuwa zimepigwa, danganya wenye tafkur ndogo juu ya nchi yetu, we sawa na wanaosema tupo UCHUMI wa kati, hivi kenya tu hiyo wako UCHUMI gan????? Harafu south Africa
Kazi unayo
Na BEI alisema atashusha sema uyu alyepo sasa anaweza maslay
Hakuna kama magufuli nakushukuru kiongozi kwa uthubutu wa kufanya hili
R.I.P.JPM
Respect JPM 🙏🙏!... R.I.P😭😭😭😭
Ameen
Mradi uko poa, viongozi wanajtuma
Sio bwawa kubwa Afrika acheni uhongo
Pumzika kwa amani JPM 🙏🙏
Tuanzishe Guineas Book ya Tz
Magu oyeeee
Oyee
Hivi tunapofurahia na kupongeza ujenzi na ukamilishaji wa bwawa hili tumeishafikiria ujazaji wa maji kwenye bwawa? Tunakabiliwa na ukame nchi nzima, ninachokisikia ni sifa za ujenzi (ni vema) lakini janga la ukame ni tishio linalotishia mstakhabari wa mradi huu!
nyie mnatudanganya bwawa limsimama angekuwepo magufuri bwawa lingekuwa limeisha wapumbavu tukutane 2025
Sweet👏🏾👏🏾👏🏾🇹🇿💪🏾
RIP JPM, big up Mama President kuweza kuendeleza mlichokianza
Mungu atubariki watanzania ndoto ikamilike...
Eti "erection bay"
Keep it up boys. Well done for the good job.
Mungu ibaliki Tanzania...
Haha kazi tu.(haha ndio mafanikio kwa kazi nzuri,Maputo ya kesho.
Nimefurahi kupata taarfa hizi muhimu za maendeleo ya mradi huu wa kimkakati.
Magu
Wazungu walisema mradi haufai kimazingira !! Fitina wakubwa !!
Tumeingia kwenye mgao wa umeme sababu ya tamaa za watu wachache bwawa ilibid liwe lishakamilika linafua umeme wahun wafenya yao wanatwambia mrad kukamilika 2024 ambapo dunia teyar kuna myumbo wa uchumi fedha za mkopo na misaada hakuna kwaiyo wacha tuone miujza ya team msoga hio 2024
Maisha baada ya Covid yamebadilika, kila kitu kinachoagizwa nje kimekua ghali mnoo na hata kupelekea ujenzi kusuasua
Mama hoyee
No koment
Tunatakiwa tuwe na umeme wa gesi na sio maji sasahv umeme wa maji umepitwa na wakat Mana maji yanakupwa na kujaa
Alhamdullilah rabbi walijua utashindwa ili watutukane mungu kawaonyeshaa piga kazi mheshimiwa Samia suluh Hassan tupo pamoja naweee
Mungu nifundishe kunyamaza
fara kweli
Hamna mwenye mradi, huo ni mradi wa serikali na ifahamike hivyo. Mradi wa daraja la Rufiji alianzisha Mwinyi, aliyemalizia ni Mkapa. Aliyeanzisha uwanja wa Mkapa stadium alikuwa Mkapa, aliyemalizia ni Kikwete.Aliyeanzisha uwanja wa ndege terminal ya tatu alikuwa Kikwete, aliyemalizia ni Magufuli. Aliyeanzisha na kutoa wazo wa mradi wa Umume huo alikuwa Nyerere, Kikwete aliisisitiza lakini Magufuli alianzisha ujenzi na hatimae Mama samia Mungu ampe nguvu na atalimalizia, kazi iendelee.
Kwa hatua hii, Tanzania itakuwa imepiga hatua nzuri ya maendeleo katika uchumi wa Tanzania.
Asante Mama
Safi sana, kesho yetu inafurahisha
Alafu lisu anasema mradi huu haufai,na hicho ndiyo kinafanya nisimpe kura yangu 2025
Kibaraka huyo na dalali wa wajomba
Hapa kazi 2. Namanisha magufuri
Mama ako au, mm huyo mama smpendi hata kidogo angelikuepo baba jaman😭
Nimlegevu Sana....
Asante sana mama yetu
Kama raisi ata mariza miradi ario acha jemedali bac tuta muweka kwene orodha ya wa asisi wa Tanzania na yeye atakuwa shujaa
Asant Sana👊👊👊
Kazi.nzuri.mama
Unapambana.vilivyo.wewe.ndie.mjenzi
WA.bwawa
Hili.umelikuta.lina
Asillimia..32.tu.asante.mama
pumbavu zako
isaa we shoga nn
Tatizo hamutaki ukweli mnabakia matusi Hiyo ni kazi ya Mama
😭😭😭RIP JPM
Sio Magufuli aloanza hilo Bwawa
Sii kubwa Africa
Siku hizi nchi hazitumii tena Umeme unaotokana na maji kwa sababu ya ukame, siku Umeme ni wa Nuclear ndio Umeme wa Uhakika.
Kwa hivo hilo halifai au sio kwa Sababu Rais Samiha analimalizia
Na wewe pia unajifanya wa siku hizi!!!?? Au una ulimbukeni wa nuclear, bila ya kujua madhara yake, ambako wenye hivyo vinu vya nuclear walivifunga kitambo.
Kweli nahisi upo sayari nyingine kabisa na si Dunia hii, juzi tu CHINA imekamilisha ujenzi wa Bwawa KUBWA na linalozalisha umeme mwingi kuliko yote duniani. ETHIOPIA nayo juzi tu imekamilisha ujenzi wa Bwawa KUBWA kuliko yote Africa. Usikurupuke tuuu🤔🤔🤔🤔
@@benjaminpallangyo4545 Tatizo lao kwa Sababu Rais Samiha anakamilisha kazi wlioiaza kina Kikwete au walotangulia hawa tunabidi twende nao hivox2 Mpaka 2030 👍