WAZIRI MWIGULU AMJIBU HALIMA MDEE“HUU URAFIKI UNATUPONZA” AMTAJA MBUNGE MPINA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akijibu hoja za wabunge kuhusu muswada wa sheria ya ununuzi wa umma wa mwaka 2023

Комментарии • 6

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 Год назад

    Yaan wew mzee wew

  • @AsteriaYusuph-sy8ki
    @AsteriaYusuph-sy8ki Год назад +1

    Fanyen mtakavyo tu ila mwisho wa cku kuna kifo na nyie mbwa mtakufa tu

  • @avitrugakingirajr1669
    @avitrugakingirajr1669 Год назад

    Mbona unapata kigugumizi kujibu maswali weye unabifu na mpina acha utoto

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣 Tumeibeba Tanzania moyon na shingon

  • @mabalanyerere1541
    @mabalanyerere1541 Год назад

    Kama wazir unataka watanzania wafurahi namatunda yao mfunte mkataba wa bandar kidogo ccm yangu nitaendelea kuiamini Kama ulivo sema Tanzania inaendesho na sheliya kwann bandali yetu mnaitowa mbira kuzigatia sheliya zetu za Tanzania bandari ifutwe mkataba hautuutaki ?

  • @user-bz7zt8np8m
    @user-bz7zt8np8m Год назад +1

    Tunapaswa kuimini Serikali