Huyu mwamba usijipange naye kwenye swala la vita ,maana hanaga SIASA ktetea wanyarwanda nawanao zungumza kinyarwanda popote walipo,Taifa lake linajengeka kila siku huwezi amini hana malighafili kwenye nchi yake hili liko wazi, chamsingi Kheseked atulie amuite wakae meza Moja au M23 akae nao wazungumze kwaajili yakuleta USALAMA wawananchi wa CONGO
Wanamsingizia huyu mzee kagame moto unao washwa hapo nikwamba tutaipoteza afrika kwasababu wapo wenyetamaa wanao ihitaji kongo kutokana na malizake mungu asaidie taifa lakongo na hao wote waumbuke wanao anzisha vitahiyo
Wewe unayesema muheshimiwa Kagame ni mujyinga wewe huna hakiri kama Raisi wa congo anahakiri sarinde wanaichi wake kazi si kuria TU Congo Haina jeshi inarindwa na warundi na ichi zasadeke na terahamwe kutoka Rwanda kwaufupi Congo Haina kiongozi Kagame ni shujaa wajaribu wawone
wewe imbwa koko shoga ngurue kagame yeye ni nani na kazi yake nini nyinyi wenyewe mwakimbia nchi yenu kwa kukosa amani furaha Congo imewa weka kwa muda murefu sana na iyo Rwanda kuitwa Rwanda Na uchumi wa Rwanda ni Congo mukiiba madini uko Goma Bukavu sasa muda wenu umefika
Wewe kweli hujui kitu chochote kuhusu Congo... Ludi shule kasome... Tshekedi ndo raisi mwenye msimamo zaidi kuliko raisi yeyote kuwai kutokea Congo... Wakongo wanamuita mtoto wa Congo... Tshekedi nikama Magufuli... Hakuna kipindi M23 wanapata tabu kama sasa.... Kafukuza hadi wanajeshi wa umoja wa mataifa kutokana na kukuza mzozo Congo... Soon anawamaliza M23.. Amezamilia na ata shinda
Hamna uongo huo wa kagame wa nyarwanda haweji wezi kuishi naku kuza uchumi pasipo leta vurugu ktk inchi za maziwa makuu mbona burundi haileti kelele congo inawatu wana sema kinyarwanda sasa kupitiya hao njo rwanda analetea congo shida yeye kagame kuna social money anawapaga wa rwandese mandeleo gani analeta uko rwanda ku ondoa takataka barabarani naku jenga magorofa njo maendeleo tu?
Napenda habari hi Mataifa hua wanadanganyasana kiukweli watusi wa Drc congo siwanywa Rwanda swali Wamekuliwa nyama wame uwawa Hiomonusko haija ripori kitu basi kwanini kulaumuRwanda wenyewe mumeona laki tatu Yawakimbizi Uganda laki nyngine Rwanda kenya Tz ulaya JE Watusi wakonngo wamefanyanini?
comment un pays digne de son peut accepter de coopérer avec un groupe des rebelles , je suis congolais et je mourais congolais , Nous déclarons la guerre entre le Congo et le Rwanda
@NaomiEnock-z4g HAHAHAHAH dah!inamana wapo wengi kama wewe hamjui nchi yenu inaenda vip.....hicho kilikua kipind cha uongozi wa Kikwete kuhusu mapigano kulecongo kikwete alimwambia Kagame atowe wale wanajesh wake congo wanaojiita m23 nawakat niwanajesh wa Ruanda ndio wanaoleta ushenzi congo wakifika congo wanajibatiza jina nakujiita m23.....so mgogoro ulianzia apo
Utawala wa dunia sio wa haki kutokana na dhulmu kila 1 anatamani neema ya mwenziwe hilo ndio tatizo kila mmoja anatamani neema ya mwenziwe lakini mkaemkijua duniaapito
hauko sawa wemwe una sema kama kangame ana ongeya ukweli ule ni tesi ana penda bwinzi ya mali ya Congo la kini mwisho yake na yé ni kifotu nju batu yamingu alisha tuma banauwa uku kwetu Kongo nak unji fanya sawa haiko yéyé njo mwe iko na saindiya m23 miye ningi kuwa na uwenzo ningi chomatu Rwanda kulimoya nju
Tulimchagua felix,we baba ahuzishiki ata abri 10za Mungu kabisa utajutiya iyo damu inayo ya wa kongomani inayo mwagika,sisi ivi tuko mayatima sababu yako wachozi yetu iko nafika adi kwenye kiti cha rehema cha Mungu.
Asante Sana kwa maelezo mawazo yangu ni kukamata bahutu bote ambao kagame alikimbiza muinji yao waende wa gombowe inji yao kwani ao ndiyo wamekuwa kisingiziyo ya kagame kwakuseme anakuya watafuta congo
Raisi wetu awe ame chaguliwa ama apana haya usu inchi ya Rwanda Sisi tuna choka mauwaji ya ndugu baba mama dada na watoto zetu Raisi chisekedi ange funga mipana zote naku vunja vilalo kila watu wabaki kwao
Pole sana kwa kutujuza. Lakini hiyo malalamishi ya rais PAUL KAGAME sio kweli. Ni tangu muda gani amevamia congo drc,yeye ni muporaji. Unakumbuka wakati wa colonel MAMADOU NDALA,wa M23 wote vyiongozi wao wakakimbilia RWANDA,yeye hakujua ile siri ? Ni upuzi mtupu.
Mwanaume ni mwanaume PK aliwambia tangu zamani, wa congo na ma raisi wao walituwuwa miaka kazaa sisi tumezaliwa congo na babu zetu hadi sa hiizi hatujuwe rwanda ni wapi sasa wanatuwuwa tutayenda wapi tutaacha mashamba zetu na manyumba yetu na mifugo twende wapi wa ndugu mututetee Mungu tusayidie sisi wasema kinyarwanda congo
Kagame oyeeeeee rais mwenyewe maarifa makubwa African nzima waambie ukweli ao waaache unafk,kwani ni wao kwa waondio wanaogeukana.kagame mwamba ww hatetereki hata kidogo
Muhuni tu huyo... Yeye ndo chanzo cha vita Congo... Muhuni sana huyu... Tshekedi ataki kusikia huo ujinga... Kagame ni muhuni... Kwani yeye Kagame amechaguliwa??
Anawaone sana wenye nchi yao wahutu kila idara ya serikali kamuweka ndugu yake mtusi hawa wahutu kazi yao kufagia maofisin na barabaran waache waikomboe nchi yao 🤣
Bwana kagame kongo inakosa amani na raha juu yako,apana kulaumu tchitchi yakwamba yeye ndiye analeta vita kongo,kusema kama hakuchaguliwa.tukotu natuta pambana juu ya inchi yetu kongo.
Anayoyafanya kagame kwa muda wa myaka hii yote 30 ni kuendelea kuchafulia wanyarwanda wote na wakongomani wanaoongea luga ya kinyarwanda na kuongeza chuki kati ya raia. Kama alipigana na kupata kua kiongozi wa inchi ya Rwanda.mutajua kwamba Rwanda sio DRC. Kua raia mukongomani si kutumia silaha kuua,kuiba,kubaka na kufukuza watu makwao wahamishwe na mateso mengine mengi.Mujirudie wakongomani hawatakubaliana na hayo mambo.ingawa kuna wengine hawana uzalendo kwa inchi na munawatumokisha kiisha munawaua hayo yote tumeyagundua
kagame anachokisema nikweli kabisa hii vita ya congo hayiweze kumarizika bila ushilikiano wa mataifa makubwa kuingilia kihaki, Tunamuunga mukono sana kabisa ni mwanaume wa kweli............ oyeeeeeeeeeeee
Kagame ndo muanzilishi wa vita ya Rwanda na hii ya sasa ya Congo... Hacheni kutetea ujinga wake..Gusa hii link kujua Ukweli ruclips.net/video/Jem202k_3bs/видео.htmlsi=ya1xVF72yZt1Z3mK
Rwanda haina uvuvi,madini ya aina yyte.haina mazao y kibiashara.haichimbi gesi. Lakini nchi inajengeka kuliko nchi zenye.rasilimali.anatoa pesa wapi kuijenga nchi na kuimarisha jeshi.
Muda wake unaenda kuisha tusubiri kidogo tuu ,shetani anatabia ya kudanganya watu wake kana kwamba wao ni Sawasawa na Mungu atajuta nyumba Mungu anaona.
Kagame nimuhuni... Tena muhuni aliye pitiliza... M23 ni Rwanda ilo wala alijifichi... Tshekedi anadai akikutana nae akamweleza abishi... Lakini akija kwenye public anabisha... Kagame ana poteza Congo Kwa sasa...
Kagame hawezi itika kweli siwenyewe tumeshuhudia kwamacho zetu askari warwanda kupitia mipaka nakuwazaidiya wahasi sikuwa walio uteka muji mukuu goma
Huyu mwamba usijipange naye kwenye swala la vita ,maana hanaga SIASA ktetea wanyarwanda nawanao zungumza kinyarwanda popote walipo,Taifa lake linajengeka kila siku huwezi amini hana malighafili kwenye nchi yake hili liko wazi, chamsingi Kheseked atulie amuite wakae meza Moja au M23 akae nao wazungumze kwaajili yakuleta USALAMA wawananchi wa CONGO
Niwakala WA CNN na marekani kwaiyo anatumika na mabeberu
We kuma we
Wanamsingizia huyu mzee kagame moto unao washwa hapo nikwamba tutaipoteza afrika kwasababu wapo wenyetamaa wanao ihitaji kongo kutokana na malizake mungu asaidie taifa lakongo na hao wote waumbuke wanao anzisha vitahiyo
😂😂😂 Kwa hiyo wasiochaguliwa kumbe na huko wapo? Itakua wamekopi Kwa wenzao 😂😂
Kagamee yupo sawa❤🎉🎉🎉
Musaza H,E p,kagame ndakwemera go forward
My hero ❤️
Raisi kagame ni mukweli tena ni mwanaume kbs
Yo oza rebel aussi
Mkuki kwa nguruwe ni Sawa Ila kwa binadamu ni chungu,kwa kila jambo kuna majira. Acha n'a tuone huu mchezo vile utakavokua.
Kagame 👍👊💪😎🇹🇿
Wewe unayesema muheshimiwa Kagame ni mujyinga wewe huna hakiri kama Raisi wa congo anahakiri sarinde wanaichi wake kazi si kuria TU Congo Haina jeshi inarindwa na warundi na ichi zasadeke na terahamwe kutoka Rwanda kwaufupi Congo Haina kiongozi Kagame ni shujaa wajaribu wawone
wewe imbwa koko shoga ngurue kagame yeye ni nani na kazi yake nini nyinyi wenyewe mwakimbia nchi yenu kwa kukosa amani furaha Congo imewa weka kwa muda murefu sana na iyo Rwanda kuitwa Rwanda Na uchumi wa Rwanda ni Congo mukiiba madini uko Goma Bukavu sasa muda wenu umefika
Uyo kagame nimuchawi ka bisa ame fatiliya sana congo yetu🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪
Sasa kwanini kwakila kushutumiwa kagame ndiye anaalikwa kukuwa muovu ku shambuliya RDC
Kwa. Uelewa wangu mdogo wa darasa la saba, nimelewa. Raisi wa congo. Ni kibaraka wa nchi za maghalibi kawekwa kwa masilai ila sio chaguo la wa congo.
Wewe kweli hujui kitu chochote kuhusu Congo... Ludi shule kasome... Tshekedi ndo raisi mwenye msimamo zaidi kuliko raisi yeyote kuwai kutokea Congo... Wakongo wanamuita mtoto wa Congo... Tshekedi nikama Magufuli... Hakuna kipindi M23 wanapata tabu kama sasa.... Kafukuza hadi wanajeshi wa umoja wa mataifa kutokana na kukuza mzozo Congo... Soon anawamaliza M23.. Amezamilia na ata shinda
Hamna uongo huo wa kagame wa nyarwanda haweji wezi kuishi naku kuza uchumi pasipo leta vurugu ktk inchi za maziwa makuu mbona burundi haileti kelele congo inawatu wana sema kinyarwanda sasa kupitiya hao njo rwanda analetea congo shida yeye kagame kuna social money anawapaga wa rwandese mandeleo gani analeta uko rwanda ku ondoa takataka barabarani naku jenga magorofa njo maendeleo tu?
Jikaze sana kutuleteya habari za huko Congo 🇨🇩🇨🇩💯💯
Napenda habari hi Mataifa hua wanadanganyasana kiukweli watusi wa Drc congo siwanywa Rwanda swali Wamekuliwa nyama wame uwawa Hiomonusko haija ripori kitu basi kwanini kulaumuRwanda wenyewe mumeona laki tatu Yawakimbizi Uganda laki nyngine Rwanda kenya Tz ulaya JE Watusi wakonngo wamefanyanini?
Minerals for the white man who owns the mines
Sisi kama raiya wa congo tuta pigana ahadi tungombowe ichi yetu
merci pour la voix du peuple
Paul kangame ni munafiki afe naasizikwe inaomba atundikwe naaliwe na ndege
Yeye paul kagame alishaka chaguliwa hata limoya huko rwanda ?
Hakuna ndomana namuonaga kama mbwa anakaakimya ila anamaneno mengi moyoni
Kagame ogopa Mungu,umetutesa sana kumbuka historia ya goliath ipo siku utakufa kwa lijiwe kuliko risasi Mungu wambinguni akulaani!!!
comment un pays digne de son peut accepter de coopérer avec un groupe des rebelles , je suis congolais et je mourais congolais , Nous déclarons la guerre entre le Congo et le Rwanda
Kagame yuko sahihi sana, siku hizi propaganda ni mhimu kuliko ukweli halisi.
Kagame yeye ndo mwenye propaganda
Yan wewe nifinyu sana unajua chanzo cha tanzania na ruanda kutaka kuchapana mpaka then raisi wa marekani kuingilia kati kuja tanzania...
Kagame ni mjinga sana kweli au akilini mwake amnaga chochote?? Yaani criminal kagame imbwa kabisa weye
@@HansChumaTanzania na rwanda walitaka kuzichap kisa nini ??😊
@NaomiEnock-z4g HAHAHAHAH dah!inamana wapo wengi kama wewe hamjui nchi yenu inaenda vip.....hicho kilikua kipind cha uongozi wa Kikwete kuhusu mapigano kulecongo kikwete alimwambia Kagame atowe wale wanajesh wake congo wanaojiita m23 nawakat niwanajesh wa Ruanda ndio wanaoleta ushenzi congo wakifika congo wanajibatiza jina nakujiita m23.....so mgogoro ulianzia apo
😀😊merci
kagame nimuongo natuko tayari tutavamiya rwanda
Utawala wa dunia sio wa haki kutokana na dhulmu kila 1 anatamani neema ya mwenziwe hilo ndio tatizo kila mmoja anatamani neema ya mwenziwe lakini mkaemkijua duniaapito
Haya chaguliwa hayo yana muhusu nini... Kagame aache kutusumbua kongo na vita tamaa zake
Sisi Wacongo mani wagoma tunataka Amani!!!!!
ata sisi wa kongomani atumtaki raisi wetu ende kule Rwanda ahongee na raisi wa Rwanda Paul kagame ili tuwe na amani mu République yetu.
From 🇧🇮 wa congo musiwi tayari kagame apumuwe iyi turu lazima mukaze nguvu kama ni kufa mufe tu ila kageme awakome
Kagame anaongeya ukweri
hauko sawa wemwe una sema kama kangame ana ongeya ukweli ule ni tesi ana penda bwinzi ya mali ya Congo la kini mwisho yake na yé ni kifotu nju batu yamingu alisha tuma banauwa uku kwetu Kongo nak unji fanya sawa haiko yéyé njo mwe iko na saindiya m23 miye ningi kuwa na uwenzo ningi chomatu Rwanda kulimoya nju
Hussein courage kaka kwakutusukumia habari . Aksanti
sisi kama taifa za kongo tunasema ivi tutakuya kule goma juu mimi mwanainji niko Bukavu kwa muda iyi tuta pigana mpaka ku pumizi yetu ya mwisho
Kama haja chaguliwa Kagame vinamuhusu nini?
Ni mambo ya inchi, ila Mungu ni mkuu, kagame ni muongo, ila kwe ipo thu
Mwache basi mtumsikie yeye mwenyewe.
Wakae wazungumeze viziri wasipo elewana tuta kiamsha
Kagame acha ubabe, haukupeleki popote. Bisha kama haupokei mizoga ya vijana wako wanaouliwa DRC? Mbona we mbishi.
Nimbabe baba. Uyu nimwamba wa vita.maswara yavita kagame nambamoja.kwa iyo nirazima atutetehe sisi wanyarwanda .tunampenda sanaaaa
@@MukarusineEsperance
Tulimchagua felix,we baba ahuzishiki ata abri 10za Mungu kabisa utajutiya iyo damu inayo ya wa kongomani inayo mwagika,sisi ivi tuko mayatima sababu yako wachozi yetu iko nafika adi kwenye kiti cha rehema cha Mungu.
Bya Congo hamuone a géré Rwanda yangu
Sasa kagame yéyé aliwai kuzungumuza n'a fdlr?
Asante Sana kwa maelezo mawazo yangu ni kukamata bahutu bote ambao kagame alikimbiza muinji yao waende wa gombowe inji yao kwani ao ndiyo wamekuwa kisingiziyo ya kagame kwakuseme anakuya watafuta congo
Tshisekedi felix be strong my brother fight ur not far frm peace congo viva
KAGAME WE MUNAFIKI ila kumbuka hakuna lenye mwanzo linalokosa mwisho na malipo ni hapa hapa duniani ogopa sana chozi la binadamu
Kenge
Raisi wetu awe ame chaguliwa ama apana haya usu inchi ya Rwanda
Sisi tuna choka mauwaji ya ndugu baba mama dada na watoto zetu
Raisi chisekedi ange funga mipana zote naku vunja vilalo kila watu wabaki kwao
❤❤❤
Pole sana kwa kutujuza. Lakini hiyo malalamishi ya rais PAUL KAGAME sio kweli. Ni tangu muda gani amevamia congo drc,yeye ni muporaji. Unakumbuka wakati wa colonel MAMADOU NDALA,wa M23 wote vyiongozi wao wakakimbilia RWANDA,yeye hakujua ile siri ? Ni upuzi mtupu.
😂😂😂😂😂 mambo Ya upuuzi
Île misemwa ya Gagame inakuwa misemwa ya woga ajiandae vizuri kwenye mapambano tu !
Wakae kimazungumuzo iri wanainchi wasiteketee
Kagame😂😂😂😂😂
Kondoo ndo wanaoweza kutawaliwa miaka yote hizi huku wakiuawa na mchungaji wao.
Kwa maelezo hayo ni wazi Kagame ana mguu wake kwa m23
sasa nauliza Rwanda prezida habadilikaki miaka tote niujama kwa nini
Point Kuhusu kutokuchakuliwa Kwa tshisekedi uko sawa bwana kagame❤
Acha ujinga wewe kagame nimjanja ikiwaaupo umakini atakupoteza
Mwanaume ni mwanaume PK aliwambia tangu zamani, wa congo na ma raisi wao walituwuwa miaka kazaa sisi tumezaliwa congo na babu zetu hadi sa hiizi hatujuwe rwanda ni wapi sasa wanatuwuwa tutayenda wapi tutaacha mashamba zetu na manyumba yetu na mifugo twende wapi wa ndugu mututetee Mungu tusayidie sisi wasema kinyarwanda congo
Namiye naongeya ki nyarwanda lakini ile yenye umesema ni bongo mutupu m23 ilianziyaka bunagana make abo habiko nauwa ?
Kagame oyeeeeee rais mwenyewe maarifa makubwa African nzima waambie ukweli ao waaache unafk,kwani ni wao kwa waondio wanaogeukana.kagame mwamba ww hatetereki hata kidogo
❤
Kwanza nawapa pole wa congo wote wakiwemo m23 kiseked akubari waelewane ukabira usiwe tatizo
Nyie piganen t tupate ajira ya kuchimba makabur yenu
Kweli KAGAME ni Rais wa nguvu aendelee tu anajali uafrica
Muhuni tu huyo... Yeye ndo chanzo cha vita Congo... Muhuni sana huyu... Tshekedi ataki kusikia huo ujinga... Kagame ni muhuni... Kwani yeye Kagame amechaguliwa??
Gusa hii link ujue ushetani wa Kagame ruclips.net/video/Jem202k_3bs/видео.htmlsi=ya1xVF72yZt1Z3mK
Hujuwi kagame ndio maana unaongea M23 ni jeshi la Rwanda
Anawaone sana wenye nchi yao wahutu kila idara ya serikali kamuweka ndugu yake mtusi hawa wahutu kazi yao kufagia maofisin na barabaran waache waikomboe nchi yao 🤣
Bwana kagame kongo inakosa amani na raha juu yako,apana kulaumu tchitchi yakwamba yeye ndiye analeta vita kongo,kusema kama hakuchaguliwa.tukotu natuta pambana juu ya inchi yetu kongo.
Anayoyafanya kagame kwa muda wa myaka hii yote 30 ni kuendelea kuchafulia wanyarwanda wote na wakongomani wanaoongea luga ya kinyarwanda na kuongeza chuki kati ya raia. Kama alipigana na kupata kua kiongozi wa inchi ya Rwanda.mutajua kwamba Rwanda sio DRC. Kua raia mukongomani si kutumia silaha kuua,kuiba,kubaka na kufukuza watu makwao wahamishwe na mateso mengine mengi.Mujirudie wakongomani hawatakubaliana na hayo mambo.ingawa kuna wengine hawana uzalendo kwa inchi na munawatumokisha kiisha munawaua hayo yote tumeyagundua
SHETANI anachoka aliye zaliwa na maman kufa atakufa kongo siyo rwanda
Huyu mwamba ajipange
Chaine ya Rwanda iyi
Depuis qu'il a commencé à chercher les fdlr au Congo Il a trouvé combien ?
Usiseme kitu usicho kijuwa Mungu njo anajuwa maraisi wote na wa nafiki tuombeye duniya yote Mungu njo mwamuzi .
kagame anachokisema nikweli kabisa hii vita ya congo hayiweze kumarizika bila ushilikiano wa mataifa makubwa kuingilia kihaki,
Tunamuunga mukono sana kabisa ni mwanaume wa kweli............ oyeeeeeeeeeeee
Ila mim niulize hao m23 nguvu wanapata wapi Inchi inajeshi la kutosha hapo
idengo
Kwanini aku sema yote aliyo yasema ndanimwa kunamatusi makali
Kama m23 inaendelea ivi kagame aondowe jeshi lake
ASante sana ndugu Hassani kutu leteya habari za huyu Dicteta je, ataishi milele? haja mfikiya hatakidogo Hayati Mobutu
Kagame hajamufikia mubutu! Huna habali alie mupidua mumbutu ninani
Yeye kachaguliwa nanani aongee nacwahutu wenzio
It’s true
Kagame ndo muanzilishi wa vita ya Rwanda na hii ya sasa ya Congo... Hacheni kutetea ujinga wake..Gusa hii link kujua Ukweli ruclips.net/video/Jem202k_3bs/видео.htmlsi=ya1xVF72yZt1Z3mK
Waooh
Sorry, ni majeshi ya RPF, Rwandes Patriotic Front
Ajuwi abari yoyote
Kagame ni muoongo kabisa ana geuza mambo !
Kwani Nini wewe jamaa usitandikwe ushike adabu
Rwanda amegundua mafuta akianza kuchimba dollar's ziwe zinaingia moto utazidi kuwaka.
Kwanini hakusema hajaapa rahisi mwenyewe huoo uoongo
Njo kisi biko naba danganya ivi
Kufa tuu
Kagame akafa shuzo
Wouw,
Kagame amekosa maneno yakusema
ekomutumubaya.ekonauwicha.batu.anakatala.baogeye
Kangame ni Mmbwa
Akiwa kibaraka wa wazungu tatizo liko wapi kama atajali maslahi ya congomani kagame anajichanganya tu atulie moto sasa unakuja
Akiwa kibataka wawa zungu tatizo ripo hatatumika kwa faida ya Wacongo
Rwanda haina uvuvi,madini ya aina yyte.haina mazao y kibiashara.haichimbi gesi. Lakini nchi inajengeka kuliko nchi zenye.rasilimali.anatoa pesa wapi kuijenga nchi na kuimarisha jeshi.
Kagame Kwa maendeleo ako mbali sana kitu ya kwanza amezuia ufisadi hyo ndio Siri ya maendeleo
Wewe acha kusema usiyajuws Rwanda hayisjajengwa na congo,hiyo ni uongo wako na kisekedi
@kayitarecharles6993 mkuki moyoni.
Muda wake unaenda kuisha tusubiri kidogo tuu ,shetani anatabia ya kudanganya watu wake kana kwamba wao ni Sawasawa na Mungu atajuta nyumba Mungu anaona.
Kuku
Acha bongo yako
Kagame nimuhuni... Tena muhuni aliye pitiliza... M23 ni Rwanda ilo wala alijifichi... Tshekedi anadai akikutana nae akamweleza abishi... Lakini akija kwenye public anabisha... Kagame ana poteza Congo Kwa sasa...
Naomba unitumie Namba yako ya wa. WhatsApp ili nikutumie video yenye ushaidi tosha kuhusu uvamizi wa nchi ya Rwanda mashariki mwa Nchi ya Dr Congo
Awa awajui kuwa Rwanda ndio amevamia Congo.... Kagame ndo muanzilishi wa vita ata ya Rwanda Genocide... Kagame ni muhuni...
Muongo huo sna mnafikk sna
Wapi kasema uwongo? , wewe utowe ukweli wakoo
Wafrca ni wamojaa. Ila tunachonganishwa na wazungu
Kagame ni tatizo la Africa... Gusa hii link kujua Ukweli ruclips.net/video/Jem202k_3bs/видео.htmlsi=ya1xVF72yZt1Z3mK
Point Kuhusu kutokuchakuliwa Kwa tshisekedi uko sawa bwana kagame❤
Muongo Sana
Kagame ni muhuni... Zaidi ya uwongo... Kipigo anachopata sasa lazima atoke kulalamika...