🔥Ati nilipokuwa nimetupwa mikono iliniokota, ya mpenzi wangu mzuri ilinipiga makofi, ya wapendwa ilinisukuma mbali na ile ya jirani zangu iliniwekea sumu lakini ya Yesu ni mizuri, iliniokoa, ikanifuta mikosi, ikanitakasa, ikaninyanyua👌mikono ya Yesu ni mizuri imejaa uwezo, ina miujiza Naipenda mikono ya Mungu🤲
I think God accepted to bring rose muhando down so as she can come and pick up the growing musicians...she had reached to a point that she was unreachable😻...if rose muhando stops singing I'll stop listening to gospel...😳
Wow am here celebrating with this song for what God has done in my life after 2yrs of suffering here in Dubai bt final God ameanswear my prayer,mikono yake nimizuri sana aki.haijalishi utachukuwa mda gani bt akisema atatenda atatenda tu kuwa na subra,wacha kumuuliza maswali mengi,weka imani mbele yake na uwache atende kwa wakati wake. This song is blessing me more n I blv more blessings are coming to me this yr his going to open great doors in my life. Huu ni mwaka wangu wakupanuliwa 💃💃💃💃💃🗣🗣🗣🗣🤸♂️🤸♂️🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙇♀️🙇♀️🙇♀️
Ayayayayayayaaa😅😅😅sisemi k2 mm hapa. Mombasa mikono ya yesu ni mizuri ni mizuri bado naomba kibali cha uchungaji nikikipata tu mpaka nikutafute uje uimbe kwa kanisa ambalo bwana yesu Anaenda kunipea hivi Karibuni Mungu akipenda hujaniangusha Ki imani tangu zama za mteule uwe macho 😅 nakupenda saana na roho yangu yote God bless you all.❤
@@erickmeshac3135 kabisa. Ati nilipokuwa nimetupwa mikono iliniokota, ya mpenzi wangu mzuri ilimipiga makofi, ya wapendwa ilinisukuma mbali na ile ya jirani zangu iliniwekea sumu lakini ya Yesu ni mizuri, iliniokoa, ikanifuta mikosi, ikanitakasa, ikaninyanyua
@Rose Muhando unatupaisha sisi Watanzania Kimataifa. Mungu akutunze na kukuinua kipenzi chetu. Tunajivunia Mungu kukuinua na kukutumia. Muinue Lydia Kwani anajitahidi Saba. Cde. Lucas Ole Ng'iria Kiongozi na Pia Muimbaji Wa Album ya Kitujurro
Nakupenda Sana Rose na timu yako, hakika mikono ya esu Ni minzr maana tunapitia kushindwa wanadamu hutusukumia mbali inagharimu Mungu kutuinulia watu watakaotuelewa
Hello Aggie, Bibilia inasema katika kitabu cha Yohana 10:30 'Mimi na Baba tu Umoja' hivyo basi hakuna tofauti kati yao. Yohana 14:10 Je, huamini ya kuwa mimi niko ndani ya Baba yangu, na Baba yangu yuko ndani yangu? Mambo ninayowaambia siyasemi kwa mamlaka yangu mwenyewe, bali yanatoka kwa Baba yangu ambaye anaishi ndani yangu, na ndiye anayetenda haya yote. 11 Niaminini ninapowaambia ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu na Baba yangu yu ndani yangu. La sivyo, niaminini kwa sababu ya haya mambo ninayotenda. He is a triune God, He just manifested through Jesus Christ in flesh for the sake of dying for our sins and now through the Holy spirit, but whether we praise Jesus Christ or the Holy Spirit, He is one God.
Finally it's here, how I looked for this song here yesterday when I saw it on TikTok. Rose Muhando is one of the most consistent gospel artist of our time. Be blessed mum.
Whenever Rose muhandos Vocals comes in, everything flows smoothly, i just love Masai music although i am a Kamba. You are going places, this is a good one👌
Actually I was in a deep sleep but this song wake me up, i just saying ni mizuri ni mizuri 👏👏👏🙏🙏🙏 Our Almighty God's hand isn't too short to save...glory to God the song vibe is on another level..
God bless this beautiful angel Lydia Naserian.....The ✋ ✋ of God is very safe...Nafurahi na Maasai community vile wanasifu Mungu....Mungu awainue zaidi
Rose muhando mzury anapenda kuungana nawatu mungu awenanyie wote
Amina mtu wa mungu
#rosemuhando nisaidie kusukuma hii injili ya bwana yesu
Wow
@@rosemuhandoofficial5676 p 💋0p0
@@rosemuhandoofficial5676 God bless you mum.yesu mbele Sisi nyuma yake.
Nimizuri❤ Kweli.
Help me share this link man of God👏
@@lydiatikani don't worry dear ni mizuriiiiiii
44444444
4
Kasolo,,,mob love ❤❤
🔥Ati nilipokuwa nimetupwa mikono iliniokota, ya mpenzi wangu mzuri ilinipiga makofi, ya wapendwa ilinisukuma mbali na ile ya jirani zangu iliniwekea sumu lakini ya Yesu ni mizuri, iliniokoa, ikanifuta mikosi, ikanitakasa, ikaninyanyua👌mikono ya Yesu ni mizuri imejaa uwezo, ina miujiza
Naipenda mikono ya Mungu🤲
Yes
Hakikaaaaa
Aamen
Kwani hamjaona huyu boy anacheza vizuri... congratulations boy
Sidai kabisa
@msanii Abeid mumo 😂😂😂... hallelujah
Ameweza saaana
@@kasah4productions kabisaaaaaa
I see surely
Mikono ya yesu hakika ni mizuri
Soon and soon Rose muhando will sing in kimaasai .
Wapi like za maasai love in collaboration with Rose muhando
Muhando's vibe and vocals are just of another level 💓💓Mikono ya Mungu ndio salama tu
Fanya hii pia TikTok.
Yaaani
I can't get enough with this song
@@dancanbarasa5596 nishafanya
Vile huu wimbo utaenda woiii😘😘😘😘💕💕💕💕🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰TikTok kujeni tunarudia kurudia mikono ya yesu ni mizuri sana
Waapi likes za Simba wa Muziki.
The beats,🥰🥰💯💯💯
I think God accepted to bring rose muhando down so as she can come and pick up the growing musicians...she had reached to a point that she was unreachable😻...if rose muhando stops singing I'll stop listening to gospel...😳
Wow am here celebrating with this song for what God has done in my life after 2yrs of suffering here in Dubai bt final God ameanswear my prayer,mikono yake nimizuri sana aki.haijalishi utachukuwa mda gani bt akisema atatenda atatenda tu kuwa na subra,wacha kumuuliza maswali mengi,weka imani mbele yake na uwache atende kwa wakati wake.
This song is blessing me more n I blv more blessings are coming to me this yr his going to open great doors in my life.
Huu ni mwaka wangu wakupanuliwa 💃💃💃💃💃🗣🗣🗣🗣🤸♂️🤸♂️🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙇♀️🙇♀️🙇♀️
God's hand are good and we are safe on it
Please subscribe and share to many people so as to administer to their lives
Amen 🙏
@@lydiatikani keep the fire burning sister.i cant get enough of this song
It was Nice working on This
May it be a Blessing to everyone listening
Congratulations sis Naserian and our Mam Rose Muhando
Tunaisubiri ile yako na Mummy
Good job 👌👌👌
Kazi nzuri sana, blessings
Rose deserve a distinguish service medal ..the Artist with many collabos💥💥Is no easy feat.Ni neema ya Mungu tu . Naseh , thats the way to Go. 👍👍
Whenever Rose muhando comes in I just love it, you're a queen
Neema izidi kukubeba kwa jina la yesu
Hallelujah Jesus Hallelujah Jesus Hallelujah Jesus Hallelujah Jesus Hallelujah Jesus Hallelujah Jesus Mikono ya Yesu Nimizuri Jameni💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Mungu wetu ni mzuri kwa watoto wake nakungana na wewe
Ni kweli
Am so blessed by this song 🙏🙏God is great in everything mikono yake ni mizuri sana
Wow Kwa kweri naipenda hio mikono ya yesu iliyo nitengeneza
Rose muhando ni moto the hand of the lord has got numerous blessing pongezi naserian
Ayayayayayayaaa😅😅😅sisemi k2 mm hapa. Mombasa mikono ya yesu ni mizuri ni mizuri bado naomba kibali cha uchungaji nikikipata tu mpaka nikutafute uje uimbe kwa kanisa ambalo bwana yesu Anaenda kunipea hivi Karibuni Mungu akipenda hujaniangusha Ki imani tangu zama za mteule uwe macho 😅 nakupenda saana na roho yangu yote God bless you all.❤
Mpeni maua yake Rose ,mikono ya Yesu kweli ni mizuri
Ross muhando mungu akubariki 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 kwa kushika mikono wasanii wetu
The best combination best ever.
Hapa kila kitu kizuri kuanzia sauti ya watu, gitaa, na mavazi hayo kwakweli ni mizuri sana❤❤❤ upendo mkubwa kutoka Tz
If singing excellent is a direct ticket to heaven then Rose Muhando God has ur name in the book of eternal life ❤❤❤
Hi Lydia. I love your song. It's a big jam. Mikono ya Yesu kweli ni mizuri🙏
It's a nice song 💕🥰
@@erickmeshac3135 kabisa. Ati nilipokuwa nimetupwa mikono iliniokota, ya mpenzi wangu mzuri ilimipiga makofi, ya wapendwa ilinisukuma mbali na ile ya jirani zangu iliniwekea sumu lakini ya Yesu ni mizuri, iliniokoa, ikanifuta mikosi, ikanitakasa, ikaninyanyua
@@michaelmbui8226 Yani yeye Bora umpe mada nzuri tu,anaifanyia kazi kweli kweli,Hadi inakubalika kwa hakika kabisa
@@erickmeshac3135 yes.
If singing excellent,,,a direct ticket to heaven,,,then Rose Muhando God has ur name in the book of eternal life ❤❤❤❤❤
Nawaza siku Mungu akikunyakua Rose,nani ataziba pengo lako
Rose ni mama ya watu,pongezi sana mum ,una promote wanamuziki wengi
Rozi MUNGU WAMBINGUNI AKUBARIKI nyimbo umeibeba naumeifanyia haki kama yako mmefanya vizuri Sana nyimbo inafariji ajabu❤❤❤
@Rose Muhando unatupaisha sisi Watanzania Kimataifa. Mungu akutunze na kukuinua kipenzi chetu. Tunajivunia Mungu kukuinua na kukutumia. Muinue Lydia Kwani anajitahidi Saba. Cde. Lucas Ole Ng'iria Kiongozi na Pia Muimbaji Wa Album ya Kitujurro
Maa nation meets Tanzania songbird beautiful and hit songs bells out 🇰🇪🇹🇿
Mikono ya yesu ni mizuri imejawa ueza
Nakupenda Sana Rose na timu yako, hakika mikono ya esu Ni minzr maana tunapitia kushindwa wanadamu hutusukumia mbali inagharimu Mungu kutuinulia watu watakaotuelewa
Hakika mikono ya Yesu ni Mizuri
Nilikataliwa na kila mtu hii duniani but mungu alinishika mungu
Pongezi kwake Rose hakika unajuwa vyema mungu akubariki uzidi kueneza nyimbo za kumtukuza.
Maadui wa Rose wakitaka kuishi waachane na yeye tu manake hawajui kuwa wanapigana na Mungu
Supa ,,,sindai,,,,Ni mizuri ata Mimi naona Kwa upande wangu Ni mizuri ,,,,
Woow. Nimizuri jamani mikono ya Yesu inabariki
I can’t stop listening to this song,the voice and the beats of the instruments,imeenda mahala pake!congratulations,keep praising the living God 🙏🙏
🙏🙏
Mama Rose siku zote unabariki moyo wangu Sana ninapo kusikiza kweli mikono ya MUNGU ni mizuri weeeed hapo sawa. Songa mbele mama kuko sawa
Lydia to another level the grace is sufficient ....
Wow what a nice song 🔥 hakika mikono ya Mungu ni mizuri 🥳
Ni kweli mikono ya yesu nimizuri❤❤God bless you all
Tunafaa kumsifu yesu ama Mungu mwenyewe mimi ni Christian lkn hapo pa kusifu yesu sijawai kubaliana
Hello Aggie, Bibilia inasema katika kitabu cha Yohana 10:30 'Mimi na Baba tu Umoja' hivyo basi hakuna tofauti kati yao. Yohana 14:10 Je, huamini ya kuwa mimi niko ndani ya Baba yangu, na Baba yangu yuko ndani yangu? Mambo ninayowaambia siyasemi kwa mamlaka yangu mwenyewe, bali yanatoka kwa Baba yangu ambaye anaishi ndani yangu, na ndiye anayetenda haya yote. 11 Niaminini ninapowaambia ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu na Baba yangu yu ndani yangu. La sivyo, niaminini kwa sababu ya haya mambo ninayotenda. He is a triune God, He just manifested through Jesus Christ in flesh for the sake of dying for our sins and now through the Holy spirit, but whether we praise Jesus Christ or the Holy Spirit, He is one God.
Nice song Lydia
Kweli hii mikono ni mizuri sana santee kwa kunipa mikono jehofa
Finally it's here, how I looked for this song here yesterday when I saw it on TikTok. Rose Muhando is one of the most consistent gospel artist of our time. Be blessed mum.
And her love for God is just on another level. This is what makes me love her ministry each day
Kumbe tuko wengi am happy. May she be blessed na Aishi miaka mingi
True
This is amazing.. Have watched it a million times
Amen God bless her❤
This is taking gospel to another level. Ameeen oh Ameen
Kwa kweli ya wale wengine imebeba mikosi.. Lakini mikono ya Yesu ni mizuri
Ni mizuri mikono ya Yesu.... The song is 🔥🔥. Am blessed
All the way from tiktok,is he victor of Maria ama,a blessing one
I can feel the presence of God's power in this song!
True
Alot of power
Whenever Rose muhandos Vocals comes in, everything flows smoothly, i just love Masai music although i am a Kamba. You are going places, this is a good one👌
When rose muhando sings unahisi uwepo wa mungu
Amen haki Rose namimi pia uje tufanye kolabo uni boost jameni
This song ,it's has blessed me ,kweli mikono ya yesu iliniokota nilipotupwa na mikono ya maadui wangu ,najivunia mikono ya yesu nimizuri
Actually I was in a deep sleep but this song wake me up, i just saying ni mizuri ni mizuri 👏👏👏🙏🙏🙏 Our Almighty God's hand isn't too short to save...glory to God the song vibe is on another level..
Ongeza kasi ya kutunga na kuimba na kutuwekea youtube uko vizuri sana mrumishi Lydia
This song is a blessing, the message is powerful, nothing beats the power of the great hands of God.
Anywhere rose is the song becomes a hit much love to rose from diaspora
The melody, rhythm,peace and healing vibes in this song..I love it🥰🥰
Nilikuwa kwa injili yoo mikono ya yesu vraiment vraiment nimchunganji rose burundi tume barikiwa wa Rose wote wahooo
Mikono ya Yesu ni mizuri jamani.
Weeeeh huu wimbo ni wakimataifa mikono ya yesu ni muzuri kazi nzuri Rose muhando
Amen 🙏🙏🙏 kama si mikono ya yesu adui zetu wangefurahia juu yetu lakini ya baba n baraka tele
The chemistry, everything in this song is excellent. I am so happy for you
Mikono ya Yesu ni mizuri asante sana Watumishi wa Bwana wimbo mzuri sana nimebarikiwa sana ❤
Barikiwa sana mama,nyimbo zako zimenilea tangia utotoni 🙏🙏🙏,,,,#kweli ni mizuri,,,,,🥰🥰🥰.
Amina amina
Ni mizuri.....you never disappoint mama Africa. ❤️ love it
I'm inlove with your song guys,can't get enough of it🎶🎤 🥰💖keep praising God Rose and Lydia🙏
Our maa land is still shining Go go Nase...burning fire 🔥🔥🔥
Woow,,nice song it blessed me, mungu na hawakimuu
Mikono ya Mungu ni mizuri mno♥️
Napenda kupiga,kusikiliza wimbo huu mi❤❤❤❤❤
Hongera dada yangu mtumishi dhahabu safi kupitishwa kwenye tanuru ndio nyumbani bwana yesu akutendee mema
Oh hallelujah kwa yesu mikono ya yesu niizuri mnoo
Mikono ya Yesu ni mizuri,ni mizuri kabisa!!🥳🥳🔥🔥🔥Mahali palipo Rose muhando uuiii sisemi kitu 🔥🔥🔥💪
Mikono ya mungu nimizuri kweri ❤️❤️❤️💕💕
We love you Rose Muhando from Rwanda
Thank you my friend, urakoze cyane
Big up our daughters and the lagendary Rose Muhando for the good job 👍 God bless you all
Kazi nzuri.
Ongereni sana wetu wa Mungu.
Hakika nimizu.🙏
Rose muhando,,,,,,,,, nakupenda bure mamaaa,,kenya twakupenda sana sana,,mikono ya yesu n mzuri,,ya jirani au ya mpenzi ina makali yake😢
Nzuri Sana Lydia keep it up mungu yupo kukutia nguvu
Lydia more grace mummy ! Divine speed 🙏
Mara ya kwanza naupata huu wimbo niliusikia siku mzima kifupi nimeupenda sana ❤❤❤
Trully mama rose your songs are of high level,I can't stop listening to this song, keep it up 👍🙏
One of my Best song kweli mikono ya Yesu ni mizuri nikiwa mikononi mwake nko salama
God bless this beautiful angel Lydia Naserian.....The ✋ ✋ of God is very safe...Nafurahi na Maasai community vile wanasifu Mungu....Mungu awainue zaidi
Yesu ni mzuri tupo salama mikononi mwake🥺🙏 I'm blessed Yesu azidi kuwatia nguvu🙏🥰🥰
Mikono ya Yesu ni mizuri ❤
Nice song nataka mkino ya yesu aki inishike
Good job mm nataka no ya uyo jamaa anadance
I grew up listening to Rose Muhando gospel music ever since.
Oh thank you God am ending this year with this song we are on the hands of Jesus we are save people of God🙏
kweli kabisa Rose malkia wa nyimbo za injili mikono ya yesu ni mizuri
Great composition with ROSE MUHANDO 🔥🔥🔥🔥 keep firing Lydia
Rose muhando making me cry fluently
I think I have watched this video more than 20 times 😂😂. The sweetness in it😍😍