SOGGY DOGGY: Mwana FA ndo mtu wa Kwanza kumpigia, Chid BENZ Shahidi.
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com
Moja kati ya interview kali sana nlzowahi kuzichek kwakk lil omy.fanya mpango tuwapate daz nundaz
Kati y'all interview zako hua naikubali sana ile ya fid q akieleza bifu yake na Rado
Nakumbuka 2001_2002-2003 kipind upo rfa ulikuwa noma sogy
Mtani habari uwa nakukubali Sana Hadi kipindi kile upo rfa radio na radio uhuru
jamaa anajua kuongea sana....safi sana
Athumani Omary ni mtangazaji pia
Soggy ww ndio icon ya mziki wa bongo fleva
kweli umesema kweli sogy
Hawa ndio wasanii niwajuaye #kioochajamii
Namkubali sana huyu jamaa soggy..wakongwe hawa. Basi tu serikali yetu ya kisenge. Hawa ndio walitakiwa kuwa matajiri sa hivi, sio.hao ng'ombe akina Kiba na Diamond.
Soggy shoo ya kizazi sana mzee baba unajua
LILOMMY UNAJUA SAANA WE BROTHER..
naijoie sana Lilommy pamoja bro
safi sana soggy umeongeakitucha msingi sana
Soggy Doggy Hunter hatari sn
Chief Rumanyika himself 👊💪👊
Big mzee baba upo vizuri
waongo hao akuna msanii wa sasa asie mjua mkongwe yeyote ila kinacho fanyika ni dharau mpaka waone kapost mond au kiba au wema ndo nawao ili waonekane wapo kwenye ushilikiano
Ubishihausaidii achaubishi
Ameongea point sana nimeikubali sana hii
Duh interview za kisomi 😍😍😍😍😍
Mpwaaaaaa @soggyDogghunter
Wengine miaka yooote wanaona sanaa imepungukiwa eti ukumbi
god bless you ,your a good artist
Kibanda cha simu 💥💥💥💥
..nimependa saana caption ya hii Interview
jamaaa huyu ana hekima sana
Jamaa anaongea kitu safi sana
Hiyobeat nayoisikia kwambal unanikumbusha mbalisan omy
Upo vzr sana sogy
hatari sana
Duuu pole sana bro
nakubar
Daah kumbe Soggy wa Kamachumu?
Kunakamsemo kako we sogy ww
Dudubaya pia ni miongoni mwa wasanii wenye album nyingi Bongo
sio album za picha kijana
Pamoja bro ila video ya histori c hiipat bro naipenda sana hongera
Ni kwakuwa tuu hakuna records Dudubaya anaweza kulingana na Sugu idadi ya album
Iyo beat naisikia kwambal wimbowanan omy
Bonge la interview
😂😂msela what,?
duu