SOGGY DOGGY: Mwana FA ndo mtu wa Kwanza kumpigia, Chid BENZ Shahidi.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
    Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
    Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
    / lilommy
    / lilommy
    www.lilommy.com
    for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com

Комментарии • 43

  • @kaskaziniansgang1288
    @kaskaziniansgang1288 6 лет назад +8

    Moja kati ya interview kali sana nlzowahi kuzichek kwakk lil omy.fanya mpango tuwapate daz nundaz

    • @cardonunda6405
      @cardonunda6405 6 лет назад

      Kati y'all interview zako hua naikubali sana ile ya fid q akieleza bifu yake na Rado

  • @chimbaonline1418
    @chimbaonline1418 4 года назад +1

    Nakumbuka 2001_2002-2003 kipind upo rfa ulikuwa noma sogy

  • @maigajohn702
    @maigajohn702 4 года назад +1

    Mtani habari uwa nakukubali Sana Hadi kipindi kile upo rfa radio na radio uhuru

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 6 лет назад +10

    jamaa anajua kuongea sana....safi sana

    • @bonitojo
      @bonitojo 6 лет назад

      Athumani Omary ni mtangazaji pia

  • @mkinganusu7070
    @mkinganusu7070 6 лет назад +2

    Soggy ww ndio icon ya mziki wa bongo fleva

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 6 лет назад +8

    kweli umesema kweli sogy

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz 6 лет назад +2

    Hawa ndio wasanii niwajuaye #kioochajamii

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 5 лет назад +1

    Namkubali sana huyu jamaa soggy..wakongwe hawa. Basi tu serikali yetu ya kisenge. Hawa ndio walitakiwa kuwa matajiri sa hivi, sio.hao ng'ombe akina Kiba na Diamond.

  • @yusuphomari544
    @yusuphomari544 6 лет назад +2

    Soggy shoo ya kizazi sana mzee baba unajua

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 6 лет назад +2

    LILOMMY UNAJUA SAANA WE BROTHER..

  • @khamissuleiman2288
    @khamissuleiman2288 6 лет назад +3

    naijoie sana Lilommy pamoja bro

  • @Davidbently64
    @Davidbently64 6 лет назад +1

    safi sana soggy umeongeakitucha msingi sana

  • @jisamjose2184
    @jisamjose2184 6 лет назад +2

    Soggy Doggy Hunter hatari sn

  • @iam_nchakali
    @iam_nchakali 6 лет назад +2

    Chief Rumanyika himself 👊💪👊

  • @paulamos9201
    @paulamos9201 6 лет назад +2

    Big mzee baba upo vizuri

  • @mchekwabusiness5370
    @mchekwabusiness5370 6 лет назад +6

    waongo hao akuna msanii wa sasa asie mjua mkongwe yeyote ila kinacho fanyika ni dharau mpaka waone kapost mond au kiba au wema ndo nawao ili waonekane wapo kwenye ushilikiano

  • @mohamedrajabu524
    @mohamedrajabu524 6 лет назад +1

    Ameongea point sana nimeikubali sana hii

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 6 лет назад +1

    Duh interview za kisomi 😍😍😍😍😍

  • @uchebemedia5418
    @uchebemedia5418 6 лет назад +1

    Mpwaaaaaa @soggyDogghunter

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 5 лет назад +1

    Wengine miaka yooote wanaona sanaa imepungukiwa eti ukumbi

  • @zingabeleghe5681
    @zingabeleghe5681 6 лет назад +1

    god bless you ,your a good artist

  • @remyndaribike3964
    @remyndaribike3964 5 лет назад +1

    Kibanda cha simu 💥💥💥💥

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 6 лет назад +2

    ..nimependa saana caption ya hii Interview

  • @fredykephacy9230
    @fredykephacy9230 5 лет назад +1

    jamaaa huyu ana hekima sana

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 6 лет назад +1

    Jamaa anaongea kitu safi sana

  • @piterndanamba6287
    @piterndanamba6287 5 лет назад +1

    Hiyobeat nayoisikia kwambal unanikumbusha mbalisan omy

  • @gerraldkijole4570
    @gerraldkijole4570 6 лет назад +2

    hatari sana

  • @somalytyre8644
    @somalytyre8644 6 лет назад +1

    Duuu pole sana bro

  • @elijielijimboge5992
    @elijielijimboge5992 6 лет назад +3

    nakubar

  • @jimmiejr9531
    @jimmiejr9531 6 лет назад +1

    Daah kumbe Soggy wa Kamachumu?

  • @chimbaonline1418
    @chimbaonline1418 4 года назад +1

    Kunakamsemo kako we sogy ww

  • @lucasmaziku5565
    @lucasmaziku5565 6 лет назад +4

    Dudubaya pia ni miongoni mwa wasanii wenye album nyingi Bongo

    • @mohamedmursal3541
      @mohamedmursal3541 5 лет назад

      sio album za picha kijana

    • @hamisimihambo24
      @hamisimihambo24 5 лет назад +1

      Pamoja bro ila video ya histori c hiipat bro naipenda sana hongera

    • @oldskuladimuzabongo8873
      @oldskuladimuzabongo8873 3 года назад +1

      Ni kwakuwa tuu hakuna records Dudubaya anaweza kulingana na Sugu idadi ya album

  • @piterndanamba6287
    @piterndanamba6287 5 лет назад

    Iyo beat naisikia kwambal wimbowanan omy

  • @selestinegeorge6335
    @selestinegeorge6335 6 лет назад +1

    Bonge la interview

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 6 лет назад +1

    😂😂msela what,?

  • @jacobdeogratius7673
    @jacobdeogratius7673 6 лет назад +1

    duu