KWAYA YA UINJILISTI KIJITONYAMA | HAKUNA MUNGU KAMA WEWE | OFFICIAL VIDEO
HTML-код
- Опубликовано: 30 дек 2020
- Hakuna Mungu Kama Wewe
Wimbo ambao umepewa kibali na Mungu, kuimbika na kusikilizwa na watu wa kila rika, kila dini, mahali pote duniani, kwa utukufu wa Mungu.
Kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama, inawakaribisha wote kuimba kwa kumsifu Mungu kupitia wimbo huu. Iwe katika Furaha, Majonzi na hali yoyote ile, kumbuka HAKUNA MUNGU KAMA YEYE, ANAWEZA.
ANGALIZO:
Mtu yeyote anaruhusiwa kuuimba wimbo huu, bila kuvunja sheria za haki miliki. Lakini zaidi ala na maudhuri ya wimbo huu, yasitumike kwenye ujumbe tofauti na malengo yake. Imba, cheza, sifu lakini tunza maana na makusudi ya ujumbe wa wimbo huu. Развлечения
2024. Gather here write Amen😊
Hakuna mungu kama wewe Yesu yahweh ❤️ 😍 💖 ❣️ 💕 thank you jesus.. i love you. ❤️ 😍 💖 my Lord my God, my saviour, deliver, my strength, power, love, rock, fortress, my everything ❤️ 💖 ♥️
Amen
Even after 100years,our great great grandchildren should know that Hakuna Mungu mwigine kama aliye keti kwa kiti cha Enzi Akamtuma Mwanawe wakipekee, afee kwa ajili ya dhambi zangu na zako❤️❤️❤️
❤
i promise you, this song will be played at my wedding!
Amen
I claim this
Mine too 😁
Me too in Jesus Christ name Amen 🙏
I join you in this declaration
Mi naomba Nyimbo zote zirudiwe wangapi tunaungana kwa hili .
hakika 🙏
Kabisa
True
Wimbo unabariki sana
Imeisha hiyoooo
It’s 2023 and this song is still a classic. Love from Zimbabwe ❤
Asante Mungu kwa 2024, surely hakuna Mungu kama wewe, we exalt your name God
Tunataka na ile SIMBA WA YUDA IRUDIWE
Kali sana
Niseme nini mum bernadi mukasa
👏👏👏👏👏👏
Huu wimbo mara zote ukipigwa uwanja wa taifa katikati ya watu elfu 60 huwa kuna feeling ya tofauti sana - ya Taifa la Mungu, linalompa sifa Mungu, na kwa sauti moja, tunasema hakuna Mungu kama wewe! You guys are LEGENDS, mlitupa huu wimbo kuwa zawadi ya vizazi na vizazi, mataifa kwa mataifa, watu kwa watu. Mbarikiwe sana.
🇰🇪 this song is so POWERFUL...songs inspired by the HOLY SPIRIT never fades away...
KIJITONYAMA TO THE WORLD🌍
Wimbo huu ni mpya kila siku...MUNGU AWABARIKI MNOOOO❤
Wimbo wa taifa wa injili umerudi kivingine Safi sana hakika mmefanya vema sana wazazi wetu wa uimbaji kuna kitu najifunzaga kwenu nyie hamjui tu kuwa Niko mwanafunzi wenu yaani mnaimba nyimbo zinaishi
Yeah kwa kweli nyimbo zao zinaishi hawa
Wimbo wa Taifa huu . Proudly Tanzanian . Taifa linalotunzwa na Mungu.
Tunamshukuru Mungu kwa kulitukuza jina lake. Karibu sana tuendelee kumtukuza Mungu
From Zambia, I listen to this song everyday Ni mushindi Yaweh (God is a Victor)
Takes me back to the good old days 🥺💃🏽🙌🏾🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Hakuna mungu mwingne kama yesu
Hizi ndo nyimbo zilizobeba nguvu za Mungu
Hakuna Mungu kama wewe❤❤❤
From generation to generation the song still rocks coz there is truly no one like God. Sifa zote kwa Yesu
🙏🙏🙏🙏
Amen🙏
Nyimbo zote za dini nimuongozo kwa Kila mwanadam
Dancing along in bed 🛏
For sure
I love this song
Wapi wenye tunapenda rhumba , ringala,,,, central Republic of Congo, Zaire and the whole Africa May Allah bless our Land.
Yesu ni mu falme waba falme.
Sifa kwa yesu🧐💃💃🕺🕺🕺🙏🏽🙏🏽🙏🏽👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾 .na mpenda yesu Amen Amen
For real I can testify hakuna Mungu kama wewe😊😊😊😊😊
The legendary choir and the legendary song HAKUNA MUNGU Kama Wewe. God bless you 🙏🙏🙏.
Hakuna MUNGU
It's 2022 still listen to it thank you Jesus for this powerful blessed song ❤️🔥🙏
💥💥💥👏👏👏 hii ndio yenye nguvu ya Kimungu na ikikukuta lazima ubarikiwe tu! Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu, Kijitonyama Uinjiristi kwaya!
hakuna Mungu kama wewe! what a song, amazing!
Amina hakuna mungu kama wewe Bwana wewe ni wa upendo 🙏🙏🙏🙏🙏❤
Endelea kutubariki,baba nyimbo hipo safi sana mtu wa mungu
Unaweza yeyeye
I play this song every night when am going to bed and I first Praise the Most High God Hakuna Mungu Kama Wewe Yaweh. I love the song much love from uganda 🇺🇬
🇺🇬🇺🇬👏👏
Sebhenee hiloooo
I woke up with this song today in my spirit. 💃💃💃💃
Amina sana. Hakuna mungu kama wewe Mungu. Asante sana kwa kuwa was baraka kwetu Airways Utawala Kenya
Kweli kabisa hauna mungu kama wewe baba yangu,upewe sifa zote
Mbarikiwe watumishi wa Mungu kw uimbaji mzuri, Mungu azidi kuwapandisha viwango vya juu😍🇰🇪
From Cameroon...
I've been looking for this song for years now. I heard it for the first time in a wedding video on RUclips and loved it. Yet I didn't understand anything. Didn't even know what to type on Google to find the lyrics. I'm so happy I finally found it. Be blessed!
Amen.. there is no God like you.. LORD, YAHWE
Ah bon vous connaissez cette chanson au Cameroun 😳 aussi
i love this song very much`hakuna mungu kama wewe
True nobody like jesus na hatakuwepo🙏🙏🙏
Dear Choir ya Uinjilisti ya Kijito Nyama. 17 years ago, your DVD and this song in particular, took me through one of the hardest ever times of my life. Singing and dancing to these songs restored my hope and faith. Gave me the strength to wish and work for a better future. Seeing you do this video over is a huge God moment for me. Kwa sababu Mungu ananiambie nipige brakes za maisha nitazame umbali alikonitoa na nimpe Shukrani. Kweli Ebenezer.
You all might never know what this choir means for some us. Thank you. Thank you. Thank you.
God bless you so much Lutheran Church of Kijitonyama.
Ebenezer.
Ubarikiwe sana mpendwa, na kwa pamoja tunamshukuru sana Mungu ambaye ameendelea kutenda kati ya watu wake kupitia wimbo huu kwa njia mbali mbali. Sifa na utukufu ni kwa Mungu wetu aliye juu Mbinguni.
ruclips.net/video/7yH8wLIO5d0/видео.html
@@UinjilistiKijito ninaomba namba ya simu ya huyu ndugu.
This is the song you would listen several times without getting bored..a blessing indeed
no one like u God i like this song waupendo sana kyala walughano kyala witu atufiweghe inyengo shosa wentwa witu
💃💃💃💃💃💃🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽HAKUNA MUNGU KAMA WEWE KWELI.
Just imagine how it will be in heaven wooooow praise the name of our God
Amen
The legends Kijito choir...I remember everyone in the hood played this track almost everyday, those decks nd tapes sufferd kkk wow gospel neva fades away,Jesus is the same yesterday today nd forevermore
Beta maboko pona yesu moninga malamu ❤ 🇨🇩🩸
Hakika hakuna Mungu kama wewe🙏🙏🙏
There is no God like you indeed
Loving this song.
Sending love ❤ from Zambia 🇿🇲
Even if I don't know the words but I know it's about Jesus Christ 🙌🙌🙌
Its says.....there is no other God like you Yahweh.....
Kweli hakuna mungu kama baba,tubarikiwe sote 💓💓💓💓🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
The song is very powerful yarabi
Best song zitoigwa ngoma kibao la sio kwa mdundo huu popote pale lazima nitanyanyuka
Lazima ninyanyuke
By heavenlucky
From kenya...this song created passion in me passion to be a worship leader and it touches me in a way I cant explain, I feel to continue worshiping God. Keep doing Gods work. One day I will visit Tanzania to just Worship with you. God bless
Scotty Emmanuel thanks for the complements. You are warmly welcome.
Amen... May God honour desires of your heart.
0LA,,,,∆@∆0ⁿ/ⁿ
Lulu
Wow! we thank God for this choir. Tumebarikiwa sana...
Hkna Mungu kama wewe Yesu Wangu unaweza,Yote🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hua natamani kila wakati nisikie hizi sauti za wana wa Mungu Baba aliye hai zinavyonipa nguvu ya kuzidi kuliamini jina la Yesu Kristo. Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu Kijitonyama Uinjiristi choir!
The original one still Rocks for me.
TRUE
Sure
Yes org itabaki kuwa my number one
@@pritisimon6393 sasa si he is the same guy who sang the original shida iko wapi?
For-real.
I normally love the old ones even if the new one comes still old is the best i like their songs. From Kenya ❤️❤️
MZURI SANA ! KWELI, HAKUNA MUNGU KAMA BWANA WETU YESU KRISTO, MWEZA YOTE ! PAMOJA NA YEYE KWA KIPANDA ZETU, USHINDI NA BARAKA NI YETU KWA MILELE ! AMINA !
MERVEILLEUX ! VRAIMENT, IL N'Y A POINT DE DIEU COMME NOTRE SEIGNEUR JÉSUS-CHRIST, LE TOUT-PUISSANT ! AVEC LUI DE NOTRE CÔTÉ, LA VICTOIRE ET LA BÉNÉDICTION SONT À NOUS POUR TOUJOURS ! AMEN !
WONDERFUL ! VERILY, THERE IS NO GOD LIKE OUR LORD JESUS CHRIST, THE ALMIGHTY ! WITH HIM ON OUR SIDE, VICTORY AND BLESSING OUR OURS FOREVER ! AMEN !
KITOKO MINGI ! YA SOLO, NZAMBE LOKOLA NKOLO WA BISO WA NGUYA NYONSO YESU KRISTO AJALI TE ! NA YE NA NGAMBO NA BISO, ELONGA NA MAPAMBOLI EZALI YA BISO MPO NA LIBELA ! AMENA !
BIMPA BE ! BULELELA, KAKUENA NZAMBI BU MFUMU WETU WA BUKOLA BONSO YESU KRISTU ! NI YEYA KU LUSEKA LUETU, BUTSHIMUNYI NI MABENESHA BIDI BIETU TSHIENDELELA ! AMENA !
VITAL✍🏻 .
Mungu ni Mungu jana, Leo na milele
🙏🙏🙏
You always never let me down kkkt k'nyama choir mpaka naringa Kuwait mkristo
I am a Roman catholic and still i love this song 🎵 ❤ 💕 💜 kweli hakuna Mungu kama wewe
I pray you find and understand the true Gospel of our Lord JESUS CHRIST and serve Him accordingly. May God reveal Himself to you in a new way. Be blessed.
Hii album irudiwee aisee!! Mungu atukuzwe kabsaa
ALILILI ALILILI ALILILI ALILILI ALILILI ALILILI ALILILI ALILILI HALLELUJAH HALLELUJAH HALLELUJAH HALLELUJAH... SASA LETA SIMBA WA YUDA
Amen there is only one God who reigns for ever 🔥🔥🔥👏👏👏
This are the songs we need to hear!The video is wow! Dressing code is wow!I'm blessed and much love from Kenya
"Which is you country"
Mordest morgan na choir ya kijitonyama...huwa wanibariki nikiwa hapa kenya
In praise of the God of 2024,the one who was, who is and is to come, thank you lord Jesus, ❤
My favorite choir from years back, the song is so uplifting, may God bless you
The right song at the right time
Welcome 2021..Uinjilisti be Blessed
Sifa kwa Yesu🎉. Happy Blessed New Year 2024. Hallelujah 🎶
Beautiful music,
Congratulations to the team. Only Jesus is the king incomparable to nothing else
Greetings from Kenya. One day I'll come to Kijitonyama Lutheran Church and listen to this annointed choir. Your songs, especially Simba wa Yuda and Masia Wanyi have taken me through some of life's darkest moments.
Indeed there is none like Yahweh, I have seen how faithful He has been to me.. a happy 2021 family..
What a beautiful piece 😍
Kumbe mpooo..mwapendeza..utukufu Kwa mungu
Makofi na vingelele kwa Yesu Christu,i love this song
Louvado seja Deus, nós temos entoado esse hino na nossa igreja, é uma benção. Deus o abençoe sempre.
Nawapongeza Sana Kwa kutuletea huu Wimbo upya maana tulipata shida kuupata.ahsante Sana
Mungu yu mwema. Barikiwa sana
It will be my song in my wedding , Ngoma yetu ngoma ni ya kumuinua Yahweh
Being hours old,I welkm the year 2024 with the song in my heart,"unaweza ,ni mshindi " milele amina
for sure he is God, when ur in Christ hands, u look healthy, u look young though ur old, thank u Jesus. surely you deserve the glory oh my God
I played this song last week in the crusade at Nairobi.Everybody rose up to it.Its golden,never grows old
Hakika hakuna mungu kama wewe🙏🙏🙏🙏🙏unaweza yote yenye sisi hatuwezi🙏tukuka milele
MUNGU NI MWEMA🙌🙌🙌 👍👍👍
Hakuna Mungu Kama wewe Ruwa,, wachaga wekeni like hapa"""""Nabarikiwa mno na hawa waimbaji
utaacha ukabila lini???
Ukabila umetokea wapi tena inamaana kuwataja tu wachaga imekuwa nongwa kwako? Hiyo ni furaha tu ukabila hauna nafasi hapo tena hiyo ni injili wala sio siasa kama hauna Yesu baki na hiyo dhana yako ya kuona furaha ya wachaga kuitana hapo ni ukabila pole sana ndg
Hfgv
Very powerful song, much Blessings as you continue blessing the Body of Christ
Amina nimebarikiwa nipo ili kishinda
Indeed there's no one like you our precious God ,
I always listen and listen over and over listen, but cannot get enough of this sing may God bless you Bishop ,love from Ugandans
Thanks and God bless you too
@@UinjilistiKijito Amen
Wimbo huu kwanza ulipigwa kwa viwango vya juu sana kuliko sasa maoni yangu ni kwamba mnapofanya re mix ya wimbo muangalie viwango vya kabla.
Tunaheshimu sana mawazo na ushauri wenu wapendwa wetu, maana nye ndio walaji wa kazi zetu. Tunaendelea kufanya kila linalo wezekana kwa mapenzi ya Mungu kulitangaza neno lake. Mawazo yako tunayafanyia kazi. Ubarikiwe
Mmefanya remix ya viwango sana sana,sisi tunataka huo ujumbe wa kumtukuza YESU wetu masuala mengine ya kuweka manjonjo mengi yanaharibu..Hii imekaa mahali pake na kazi yenu ni njema sana..Keep it up.Nawapenda sana,mpe hi morgan.
@@UinjilistiKijito hello Shalom.... Hongereni Sana... Nahitaji kuwasiliana nanyi
Irudiwe na ile ya Lulu pia tafadhali 🥲🥲🥲🥲🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Best choir ever enjoying the songs from Zambia
This was one of my best childhood songs and choir. Great to see the song redone
Mbarikiwe sana
Love u from uganda
@@sylvianeboshi8688 yes the song is very powerful
Doooo tangu utotoni bado tamu
Hakika yesu WA upendo hakuna mwingine
This song really made my childhood lovely, my late uncle would play the tape by then when we only had tapes no cd's
One of the best of gospel song, haichuji 🔥🔥
Amen Mungu atabaki kuwa Mungu
Naipenda hii nyimbo kupitia maelezo inanikumbusha mbali sana
By heavenlucky
My late Uncle made sure this album was in all his sibling's houses, so that when he visits, there's no excuse of not playing the album. He made us all fall in love with this album. Very legit Kingdom Music. Barikiweni sana people of God
😅😅😅hilarious. May he rest well
Que maravilha! Louvado seja o nosso Senhor Jesus Cristo! Aleluia!
Nakumbuka enzi za kipaimara... hii group ilitubariki sana kwa nyimbo zake. Natamani kama muanze upya hivi😃
Haaa na kumbuka zamani Mungu aku bariki
Finally I found this song. 14 years ago or more, I would get home late waiting for you to perform this song on a certain powerful crusade in Kenya. Still a blessing to me to date. Off to Simba was yuda. Am much exited.
IM IN 2021 TO WIN IT.
🎶Hakuna Mungu Kama Wewe Bwana Yesu Kristo.
KIJOTO🔥
From Malawi; Indeed there is none like God 🙌
Hakuna MUNGU kama wewe unaweza ni waupendo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🥺🥺❤️❤️❤️❤️😍😍😍