KIJITONYAMA UINJILISTI CHOIR | MSALABA WA YESU | SIKU YA MBINGU KUJAA SIFA S01
HTML-код
- Опубликовано: 8 окт 2020
- Kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama katika Ibada ya SIKU YA MBINGU KUJAA SIFA Season One, wakiimba wimbo wa MSALABA WA YESU.
Siku ya Mbingu kujaa sifa ni Ibada ya Kusifu ambayo inaandaliwa na Kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama.
Wasiliana nasi kupitia namba +255 746 440000 ili uweze kujipatia nakala yako sasa kwa Sadaka ya Tsh.10,000 kwa upande wa DVD na Audio CDs ,
Na Tsh30,000 kwa upande wa Kijito Flash inayojumuisha Video pamoja na Audio
Sisi @kijitonyamauinjilistichoir tutahakikisha nakala yako inakufikia popote ulipo ndani ya Tanzania na popote Ulimwenguni ..
@kijitonyamauinjilistichoir
#SikuYaMbinguKujaaSifa
#SingLikeNeverB4
#HakunaMunguKamaWewe Развлечения
Wangap wanabarikiwa Kama Mimi na nyimbo zao Kijitonyama jamani😘😘😘
Sasa uyu ni ule mama alikuwa naimbazamani ???ama niwamupya?
Mimi binafsi haipiti siku sijaingia You Tube na kuacha kusikiliza nyimbo hizi!
Bado nawapenda kwa jina la yesu, niliokoka kupitia kusikiza wimbo huu mwaka wa 2002 na bado naendelea na wokovu, hivi leo mimi ni mcheza viombo kanisa.
Hongera mwanake Mungu..
Daaaah hi nyimbo inanikumbusha 2005 Kama cjakosea enzi hizooooo 😍😭 daaaah ...naliaa kwa furahaaa hi nyimbo was so blessed..!!!....
Yaani nilimuelewa Yesu zaidi kupitia hii kwaya in2000
Old is Gold!
Waasisi wakumbukwe kwa Alama yao!
Na wengine bado wapo, wakongwe jamanii
Msalaba wa Yesu hakika umeniokoa dhambi. Uncle Modest Mungu aendelee kukutumia.
Hakika Kuna kitu ndani yako
Nabarikiwa sana kwa nyimbo hii
Hi mimi na penda na nikwa na warasta twa penda sana Jah Bless your work 🎉
Bonge ya nyimbo sichoki kusikiliza Mungu awaweke
Wooow! Wimbo huu kwa hakika mmeupanga vizuri saaaana. Napenda mziki wenu saaana. Huwa nahudumiwa kikamilifu. Nafanya kazi na watoto kanisani Maweu PEFA na mimi huwafunza nyimbo zenu ila sina ujuzi sana wa kupanga muziki. Huwa nawapa nyimbo zenu twasikiza kisha twajaribu kuziimba...twaomba Mungu atujaalie tuje tuwatembelee tukajifunze muziki kutoka kwenu. Nimewasikiza tangu miaka ya 2000...mmbarikiwe sana.
Lakini mbona huu wimbo unaonekana haukuwa umekamilika!? Hapo mwisho umekatika ghafla!!
Napata sana hiyo mitaa
Mungu aendelee kuwatunza na awabariki nyie watu.... Nawapenda bila gharama
Jina la Bwana wetu Yesu kristo liinuliwe milele , Amina
Barikiweni wapendwa kwa kazi nzuri ya kutia moyo
Ndombolo ya yesu👂🏾💃🕺🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾 mubarikiwe sana . Halluhya
Hapo Sawa God bless you All
Mziki umetulia live imekaa poa wapigaji wamefanya kazi nzuri ma backupes wameimba vizuri sauti zimebalance Mungu awabariki sana
Ata nicheze huu wimbo Mara million I moja sitatosheka,umenibariki sana
Amen msalaba wa yesu umeniokoa dhambi hallelujah
Napenda sana
Msalaba wa Yesu msalaba umeniokoa dhambi eeh haleluya,nawapenda bure sauti zenu hazichuji
Msalaba wa Yesu umenikoa mimiii
MUNGU azidi kuwainua viwango na viwango nabarikiwa sana na huduma yenu. 🙏🙏🙏🙏
Am from Uganda but I love this song the introduction vocolist it's mavalus God bless Africa
Thanks am also Ugandan from bunagana kisoro district
Wimbo huu mmeuimba vizuri na wapigaji vyombo mkosawa.God bless you.
💥💥💥💥 hawa jamaa ni hatari sana
Moja ya Hit za Kijito nazo zipenda Muno.
Wimbo umetoka vzur sanaa tupieni basi full
Jamani huyu baba kitambo sana,na sauti haijachuja
Safi sssaaana
Msalaba wa yesu umeniokoa dhambi 🙇🙇
Napenda sana nyimbo zenu. Mungu awe mwema kwenu milele!
Nyimbo nzuri pamoja tu me pata ekima
AAAAIIII Morgan hapa umeweza....Mungu akuinue kaka
God blues yo
Sifa kwa Buana
More Grace
My best kwaya nawapenda sana❤️❤️❤️❤️
Waw wimbo mzuri sana
Umejaaa nguvu za ajabu
amen sana
Eeiiiish Kazi safi jamani..the legendary kijito nyama napenda jamani
We're nabarikiwa Mimi I miss you man of God nilikuona kitale from Tanzania redeemed gospel taito nakumbuka sana 👍
S
4errfffp
Amen
Msalaba ulio alama ya ukombozi qangu
This soloist man is talented
I was looking for someone who commented on the instrumentation 🎸 the bassist has feels too
nimefurahi kuwaona tena watumishi,miaka 19 sasa.
God bless you guys...Mungu azidi kuwatia nguvu ili muzidi kulibariki jina lake na kulitukuza jina lake.
Ilov this song msalaba
Aaaammmeeennnn.
Hatari sana
HALELU Y A H BARUCH HASHEM HALELUYA
wonderful beautiful song
Umetisha
Fresh like the old days.
Am loving this glory be to the almighty
I don't understand this language but this song does it for me.. I really love this group
this song for kiswahili,
Its swahili
At the cross of Jesus christ i have found forgiveness sin
This is the Swahili language in East Africa, my sister, may God bless you
Amen 🙏🙏
Good praise
this is powerful , I can feel his presence just by listening
Hongereni Sana tunabarikiwa
💯💯
Amen 🙏
Can't believe this are the same people especially the lady soloist
ama ni tofauti? yenyewe technology husaidia. alikuwa amechapa ile mbaya
11th viewer😅. I love this song all the time
Hallelujah
Hallelujah
Hallelujah
May the Lord bless you to serve God working in you
Nyimbo zao zimenilea hizi
I'm from kasese Uganda I like that mwimbo
From Uganda but l love kiswhili
Amen 🙏 Thank you Lord Thank you Jesus
Mungu awabariki wote wote wote
How beautiful song it's. Kitu tamu kabisa
Good song.. Happy to see you people
Ha!!
The transformation is just magnificent..
And the dresses are just splendid..
Kenya is well represented..
This choir is not from Kenya though 😊😊 they're from Tanzania
@@furahanicholaus6387 What I mean is, my comment is representing Kenya.
Amen
I fill God s presence with this song.
We love u all Kenyans
Shalom.barikiweni saaana
Modest Morgan we n mjoli kweli kwel
Nzuri
Nilikuwa n'a umri 8 leo Nina 22 ans nawapenda sana
Feel 🙏
The only shahili songs
Mnakuja lini kenya jamani..nikipata show kama hii nitabarikiwa sana
Hallelujah Amen
Yaanni mavazi ya wanawake wanaomjua MUNGU. Yaani wamevaa wakasitiraka.
Super Thank You Jesus
🙏
Please come to ZIMBABWE before you retire
Waoh!!
Mmenikumbusha mbli san mmbarikiwe
Jesus saved me from premature death. I'll Live for him forever.
He's God Nobody or nothing can be compared to his Love 💞
Tþ5556
Bado ww yuda remix jmni
Wow this amazing my playlist
God bless this choir
Turakomeye kubyindirimbo nziza
Huyu Bro wa Bass kwenye intro...duu,"WEKA MBALI NA WATOTO"...
Aisee nimekosaa mambo
Hii concert ilipendeza...
God bless you guys am blessed
GLORY be to him 🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌💪💪💪💪💪💪💯💯💯💯💯💯💯
One of my best songs
Hacen siete años escuché esta canción en su version original. Qué bendición
Alabamos a Dios porque estás aquí hoy, para escuchar la canción en 2021. Bendición
@@UinjilistiKijito MUNGU AWAINUE ZAIDI
@@UinjilistiKijito qa@a
Baraka za bwana ziwe juu yenu