KIJITONYAMA UINJILISTI CHOIR | MSALABA WA YESU | SIKU YA MBINGU KUJAA SIFA S01

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 окт 2020
  • Kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama katika Ibada ya SIKU YA MBINGU KUJAA SIFA Season One, wakiimba wimbo wa MSALABA WA YESU.
    Siku ya Mbingu kujaa sifa ni Ibada ya Kusifu ambayo inaandaliwa na Kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama.
    Wasiliana nasi kupitia namba +255 746 440000 ili uweze kujipatia nakala yako sasa kwa Sadaka ya Tsh.10,000 kwa upande wa DVD na Audio CDs ,
    Na Tsh30,000 kwa upande wa Kijito Flash inayojumuisha Video pamoja na Audio
    Sisi @kijitonyamauinjilistichoir tutahakikisha nakala yako inakufikia popote ulipo ndani ya Tanzania na popote Ulimwenguni ..
    @kijitonyamauinjilistichoir
    #SikuYaMbinguKujaaSifa
    #SingLikeNeverB4
    #HakunaMunguKamaWewe
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 159

  • @shukurukaliwali5367
    @shukurukaliwali5367 3 года назад +16

    Wangap wanabarikiwa Kama Mimi na nyimbo zao Kijitonyama jamani😘😘😘

    • @mukemwema
      @mukemwema 3 года назад

      Sasa uyu ni ule mama alikuwa naimbazamani ???ama niwamupya?

    • @lupakisyopeter2009
      @lupakisyopeter2009 3 года назад

      Mimi binafsi haipiti siku sijaingia You Tube na kuacha kusikiliza nyimbo hizi!

  • @igiiwamapendo4454
    @igiiwamapendo4454 3 года назад +18

    Bado nawapenda kwa jina la yesu, niliokoka kupitia kusikiza wimbo huu mwaka wa 2002 na bado naendelea na wokovu, hivi leo mimi ni mcheza viombo kanisa.

  • @agneslubea6193
    @agneslubea6193 2 года назад +2

    Daaaah hi nyimbo inanikumbusha 2005 Kama cjakosea enzi hizooooo 😍😭 daaaah ...naliaa kwa furahaaa hi nyimbo was so blessed..!!!....

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 9 месяцев назад +2

    Yaani nilimuelewa Yesu zaidi kupitia hii kwaya in2000

  • @emmanuelmsangi7793
    @emmanuelmsangi7793 3 года назад +14

    Old is Gold!
    Waasisi wakumbukwe kwa Alama yao!

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 3 года назад +3

    Msalaba wa Yesu hakika umeniokoa dhambi. Uncle Modest Mungu aendelee kukutumia.
    Hakika Kuna kitu ndani yako

  • @user-lf3un4vk1m
    @user-lf3un4vk1m 4 месяца назад +1

    Nabarikiwa sana kwa nyimbo hii

  • @labomanman
    @labomanman 2 месяца назад +1

    Hi mimi na penda na nikwa na warasta twa penda sana Jah Bless your work 🎉

  • @mariethaluvunzu1693
    @mariethaluvunzu1693 Год назад +1

    Bonge ya nyimbo sichoki kusikiliza Mungu awaweke

  • @WycliffeMuganya
    @WycliffeMuganya 3 года назад +17

    Wooow! Wimbo huu kwa hakika mmeupanga vizuri saaaana. Napenda mziki wenu saaana. Huwa nahudumiwa kikamilifu. Nafanya kazi na watoto kanisani Maweu PEFA na mimi huwafunza nyimbo zenu ila sina ujuzi sana wa kupanga muziki. Huwa nawapa nyimbo zenu twasikiza kisha twajaribu kuziimba...twaomba Mungu atujaalie tuje tuwatembelee tukajifunze muziki kutoka kwenu. Nimewasikiza tangu miaka ya 2000...mmbarikiwe sana.
    Lakini mbona huu wimbo unaonekana haukuwa umekamilika!? Hapo mwisho umekatika ghafla!!

  • @levinamachui9293
    @levinamachui9293 3 года назад +3

    Mungu aendelee kuwatunza na awabariki nyie watu.... Nawapenda bila gharama

  • @fredkawiche1133
    @fredkawiche1133 3 года назад +1

    Jina la Bwana wetu Yesu kristo liinuliwe milele , Amina

  • @JosephSimiyu
    @JosephSimiyu Год назад +1

    Barikiweni wapendwa kwa kazi nzuri ya kutia moyo

  • @judyroth8928
    @judyroth8928 3 года назад +2

    Ndombolo ya yesu👂🏾💃🕺🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾 mubarikiwe sana . Halluhya

  • @apostlekiariefreeman9765
    @apostlekiariefreeman9765 Год назад

    Hapo Sawa God bless you All

  • @marymyonga3808
    @marymyonga3808 3 года назад +4

    Mziki umetulia live imekaa poa wapigaji wamefanya kazi nzuri ma backupes wameimba vizuri sauti zimebalance Mungu awabariki sana

  • @japhetogamba164
    @japhetogamba164 Год назад

    Ata nicheze huu wimbo Mara million I moja sitatosheka,umenibariki sana

  • @user-pl4bm9ru7y
    @user-pl4bm9ru7y 3 месяца назад

    Amen msalaba wa yesu umeniokoa dhambi hallelujah

  • @bonfacemajimbowanyonyi122
    @bonfacemajimbowanyonyi122 Год назад

    Napenda sana

  • @johnmasonga426
    @johnmasonga426 3 года назад

    Msalaba wa Yesu msalaba umeniokoa dhambi eeh haleluya,nawapenda bure sauti zenu hazichuji

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya5532 3 года назад +1

    Msalaba wa Yesu umenikoa mimiii

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 3 года назад +2

    MUNGU azidi kuwainua viwango na viwango nabarikiwa sana na huduma yenu. 🙏🙏🙏🙏

  • @tonnykakungulu9577
    @tonnykakungulu9577 3 года назад +10

    Am from Uganda but I love this song the introduction vocolist it's mavalus God bless Africa

    • @kwizerarobert6715
      @kwizerarobert6715 3 года назад

      Thanks am also Ugandan from bunagana kisoro district

  • @paulinanthenya
    @paulinanthenya Год назад

    Wimbo huu mmeuimba vizuri na wapigaji vyombo mkosawa.God bless you.

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 3 года назад +2

    💥💥💥💥 hawa jamaa ni hatari sana

  • @barakakings
    @barakakings 3 года назад +1

    Moja ya Hit za Kijito nazo zipenda Muno.

  • @erickmalamsha6938
    @erickmalamsha6938 3 года назад +1

    Wimbo umetoka vzur sanaa tupieni basi full

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 3 года назад +3

    Jamani huyu baba kitambo sana,na sauti haijachuja

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 5 месяцев назад

    Safi sssaaana

  • @rehemamiraji9486
    @rehemamiraji9486 3 года назад +1

    Msalaba wa yesu umeniokoa dhambi 🙇🙇

  • @EMChantalG
    @EMChantalG 2 года назад

    Napenda sana nyimbo zenu. Mungu awe mwema kwenu milele!

  • @pyralemutomb2853
    @pyralemutomb2853 3 года назад +1

    Nyimbo nzuri pamoja tu me pata ekima

  • @paulelijah4127
    @paulelijah4127 3 года назад +1

    AAAAIIII Morgan hapa umeweza....Mungu akuinue kaka

  • @bernuadyalafi1307
    @bernuadyalafi1307 Год назад +1

    God blues yo

  • @jerachkatumulenga2682
    @jerachkatumulenga2682 Год назад

    Sifa kwa Buana

  • @kabwechongo5174
    @kabwechongo5174 Год назад

    More Grace

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 3 года назад +3

    My best kwaya nawapenda sana❤️❤️❤️❤️

  • @hoseamollel2925
    @hoseamollel2925 3 года назад

    Waw wimbo mzuri sana
    Umejaaa nguvu za ajabu

  • @panadolahpanadolah5182
    @panadolahpanadolah5182 2 года назад

    amen sana

  • @paulbryxonofficial
    @paulbryxonofficial 3 года назад

    Eeiiiish Kazi safi jamani..the legendary kijito nyama napenda jamani

  • @tivatesha8395
    @tivatesha8395 2 года назад +1

    We're nabarikiwa Mimi I miss you man of God nilikuona kitale from Tanzania redeemed gospel taito nakumbuka sana 👍

  • @ayubumwageni3992
    @ayubumwageni3992 3 года назад

    Amen
    Msalaba ulio alama ya ukombozi qangu

  • @lynelee5846
    @lynelee5846 3 года назад +7

    This soloist man is talented

    • @stanleymungongo531
      @stanleymungongo531 3 года назад +2

      I was looking for someone who commented on the instrumentation 🎸 the bassist has feels too

  • @michaeldoroleo4864
    @michaeldoroleo4864 3 года назад +3

    nimefurahi kuwaona tena watumishi,miaka 19 sasa.

  • @jonathanmlango5353
    @jonathanmlango5353 3 года назад

    God bless you guys...Mungu azidi kuwatia nguvu ili muzidi kulibariki jina lake na kulitukuza jina lake.

  • @kingskunda9846
    @kingskunda9846 2 года назад +1

    Ilov this song msalaba

  • @rozynahnight7460
    @rozynahnight7460 Год назад

    Aaaammmeeennnn.

  • @estakasuga4281
    @estakasuga4281 2 года назад +1

    Hatari sana

  • @mwangalakalenda8106
    @mwangalakalenda8106 2 года назад

    HALELU Y A H BARUCH HASHEM HALELUYA

  • @jacksonmulenga4134
    @jacksonmulenga4134 Год назад +1

    wonderful beautiful song

  • @salamaseif4032
    @salamaseif4032 3 года назад +1

    Umetisha

  • @christopherphiri2953
    @christopherphiri2953 2 года назад +1

    Fresh like the old days.
    Am loving this glory be to the almighty

  • @isaackawisha7389
    @isaackawisha7389 3 года назад +8

    I don't understand this language but this song does it for me.. I really love this group

  • @aliceodhiambo9531
    @aliceodhiambo9531 2 года назад

    Amen 🙏🙏

  • @nakanjankoharriet7095
    @nakanjankoharriet7095 2 года назад

    Good praise

  • @chibwechabala1720
    @chibwechabala1720 Год назад +1

    this is powerful , I can feel his presence just by listening

  • @meshackmtambulo6580
    @meshackmtambulo6580 3 года назад

    Hongereni Sana tunabarikiwa

  • @emmanuelogorenisanafocus8016
    @emmanuelogorenisanafocus8016 2 года назад

    💯💯

  • @jimani4529
    @jimani4529 3 месяца назад

    Amen 🙏

  • @esthernjiiri4632
    @esthernjiiri4632 2 года назад +2

    Can't believe this are the same people especially the lady soloist

    • @darelet
      @darelet 2 месяца назад

      ama ni tofauti? yenyewe technology husaidia. alikuwa amechapa ile mbaya

  • @sirbrian7142
    @sirbrian7142 3 года назад +4

    11th viewer😅. I love this song all the time

  • @carolinendinda9756
    @carolinendinda9756 2 года назад

    Hallelujah
    Hallelujah
    Hallelujah

  • @cmanstephen947
    @cmanstephen947 Год назад

    May the Lord bless you to serve God working in you

  • @adammlele490
    @adammlele490 Год назад

    Nyimbo zao zimenilea hizi

  • @musungugeorge3123
    @musungugeorge3123 3 года назад

    I'm from kasese Uganda I like that mwimbo

  • @kaiisajackson3526
    @kaiisajackson3526 3 года назад

    From Uganda but l love kiswhili

  • @margarettami2877
    @margarettami2877 3 года назад +1

    Amen 🙏 Thank you Lord Thank you Jesus

  • @kahitedelivranceministries5782
    @kahitedelivranceministries5782 3 года назад

    Mungu awabariki wote wote wote

  • @norardnjonikhaemba4665
    @norardnjonikhaemba4665 3 года назад

    How beautiful song it's. Kitu tamu kabisa

  • @henryosoro7696
    @henryosoro7696 3 года назад +1

    Good song.. Happy to see you people

  • @Carol-Shukii
    @Carol-Shukii 3 года назад +4

    Ha!!
    The transformation is just magnificent..
    And the dresses are just splendid..
    Kenya is well represented..

    • @furahanicholaus6387
      @furahanicholaus6387 3 года назад +1

      This choir is not from Kenya though 😊😊 they're from Tanzania

    • @Carol-Shukii
      @Carol-Shukii 3 года назад +2

      @@furahanicholaus6387 What I mean is, my comment is representing Kenya.

  • @anamnyonge7343
    @anamnyonge7343 Год назад

    Amen

  • @FestusSimweemba-jm3jq
    @FestusSimweemba-jm3jq Год назад

    I fill God s presence with this song.

  • @mauricemakau5357
    @mauricemakau5357 3 года назад +1

    We love u all Kenyans

  • @estherfaidamalkia4021
    @estherfaidamalkia4021 3 года назад

    Shalom.barikiweni saaana

  • @mwaisenyemwandela9392
    @mwaisenyemwandela9392 3 года назад

    Modest Morgan we n mjoli kweli kwel

  • @gilongachristian1740
    @gilongachristian1740 3 года назад +1

    Nzuri

  • @elliotnaim4489
    @elliotnaim4489 Год назад

    Nilikuwa n'a umri 8 leo Nina 22 ans nawapenda sana

  • @chrismillionaire6284
    @chrismillionaire6284 3 года назад +1

    Feel 🙏

  • @michealmwesigwantabazi4025
    @michealmwesigwantabazi4025 Год назад

    The only shahili songs

  • @millicentagola6128
    @millicentagola6128 3 года назад

    Mnakuja lini kenya jamani..nikipata show kama hii nitabarikiwa sana

  • @gakkeeengakkeeen7791
    @gakkeeengakkeeen7791 2 года назад

    Hallelujah Amen

  • @rozynahnight7460
    @rozynahnight7460 Год назад

    Yaanni mavazi ya wanawake wanaomjua MUNGU. Yaani wamevaa wakasitiraka.

  • @tamaraeliz7114
    @tamaraeliz7114 3 года назад

    Super Thank You Jesus

  • @tobbyscopas4529
    @tobbyscopas4529 Год назад

    🙏

  • @tapiwazezai24
    @tapiwazezai24 9 месяцев назад

    Please come to ZIMBABWE before you retire

  • @rizikitito3024
    @rizikitito3024 3 года назад +1

    Waoh!!

  • @mwanahamisnsillah7800
    @mwanahamisnsillah7800 3 года назад

    Mmenikumbusha mbli san mmbarikiwe

  • @maryagithinji3541
    @maryagithinji3541 2 года назад +5

    Jesus saved me from premature death. I'll Live for him forever.
    He's God Nobody or nothing can be compared to his Love 💞

  • @chameeydewizy1956
    @chameeydewizy1956 2 года назад

    Bado ww yuda remix jmni

  • @PATv_254
    @PATv_254 3 года назад

    Wow this amazing my playlist

  • @josiahombaba3627
    @josiahombaba3627 2 года назад

    God bless this choir

  • @kwizerarobert6715
    @kwizerarobert6715 3 года назад

    Turakomeye kubyindirimbo nziza

  • @stephen3614
    @stephen3614 2 года назад

    Huyu Bro wa Bass kwenye intro...duu,"WEKA MBALI NA WATOTO"...

  • @frankkashner
    @frankkashner 3 года назад

    Aisee nimekosaa mambo

  • @aliceasseri2410
    @aliceasseri2410 3 года назад +2

    Hii concert ilipendeza...

  • @cyrodeman3940
    @cyrodeman3940 3 года назад +1

    God bless you guys am blessed

  • @agnso2012
    @agnso2012 3 года назад

    GLORY be to him 🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌💪💪💪💪💪💪💯💯💯💯💯💯💯

  • @philipmugala5931
    @philipmugala5931 2 года назад

    One of my best songs

  • @daniel.hernández89
    @daniel.hernández89 3 года назад +6

    Hacen siete años escuché esta canción en su version original. Qué bendición

    • @UinjilistiKijito
      @UinjilistiKijito  3 года назад +1

      Alabamos a Dios porque estás aquí hoy, para escuchar la canción en 2021. Bendición

    • @jacksonmremi8169
      @jacksonmremi8169 3 года назад

      @@UinjilistiKijito MUNGU AWAINUE ZAIDI

    • @jamilaally767
      @jamilaally767 2 года назад

      @@UinjilistiKijito qa@a

    • @jamilaally767
      @jamilaally767 2 года назад +2

      Baraka za bwana ziwe juu yenu