wa pili kukomenti, mimi kama mtanzania ninaesubiri kwa hamu kupanda treni ya umeme nikiwa hapahapa bongo na sio china, nasema najivunia sana kuwa mtanzania 🇹🇿🇹🇿 niliyebahatika kuwa hai enzi za magufuli
Hongera sana mandungu zetu! Huyo Rais wenu anaona mbele... Hii yetu yatumia diesel na ilijengwa na deni ya karibu billioni mia nne kutoka wachina. Na sii yetu mpaka baada ya miaka kumi. NKT!
Natamani sana kila mtanzania kwa nafasi yake atunze miundo mbinu jamn kwnn sisi vitu vyetu tusivitunze angalia barabarani mtu anangonga taa bila kujua unapo haribu miundo mbinu cyo unaikomoa serikali ila unajikomoa ww tuheshimu sana vitu kama hivi nakuvipenda
Mimi ndio ninajivunia zaid maana steshen ya reli nijirani yangu soga.sitakwenda tena kongowe shopping yangu nitaifanya kariakoo na morogoro.ee mwenyezi mungu mpatie rais wetu umri mrefu amalize haya na aweze kujivunia haya.amen
Wahandisi wengi wa Tanzania ni vilaza tu. Kila zoezi ni jipya kwao, ndio maana linahitaji uzinduzi. Wanawapotezea muda hao wataalam wa kituruki ambao kwao hiyo it's just another day in the office. Yaani bila Magufuli, nchi hii haitakuwa na revolution ya elimu. Hakuna kitu sekta ya engineering.
Tuna wapongezeni sana sana, ila nataka kusema hii si mara ya kwanza hili kufanyika katika Taifa letu - kwenye miaka ya tisini TAZARA waliweza kuunga vipande vya reli kwa mbinu hizo hizo za kuchomelea kwa kutumia umeme, hivyo si kweli kuwambia Watanzania kuwa hii ndio Mara ya kwanza teknolojia hii kutumika Nchini.
@@mashakanyenzi904 Nani kasema nampinga Mh.Kamwele, nilikuwa namkumbusha tu kwamba hiyo si mara ya kwanza zoezi hilo kufanyika Nchini - tunakumbushana tu kwani tatizo liko wapi? Kitu kingine, I am not an average Joe naelewa vizuri masuala ya ujenzi was permanent way, rolling stock, locomotives na mawasiliano.
@@mashakanyenzi904 @ ni kweli kabisa hii si mara ya kwanza ni mara ya pili nilishuhudia mwenyewe kwa macho yangu ktk reli ya tazara karibu na mitaa ya kwetu mtoni mtongani
Why invest so much for a railway line 185 kilometers long whatever the prime mover is in a country as vast as Tanzania where a railway line going to Kigali is more relevant ? When will this railway line reach DRC Goma. To succeed in business you must learn to use other people's money. Other people's money is available in the financial markets of the world where small bits of savings and investments are pooled together.
who told you the aim is to reach kigali? the aim is to serve tanzanians, but it just happens that the railway is heading towards northeastern parts of the country and hopefully kigali will see the importance of connecting itself to the railway then one day people will travel from dar to kigali by a train, but thats just an end result the real reason to build is to serve tanzanians
You can't be a slave of other people's money for every move of development you achieve.Possible to you use that of yours make it.My friend it is not a wise move to apply a loan for each and everything even those you can make for your own money.
chizi we haya sema tumekopa Bank gani? na lini ilipitishwa bungeni kuwa uwo ni mkopo Hakuna miundo mbinu Tz itakayojengwa bila kupitisha bajeti Ata izo pesa utaiba lakini bajeti lazima ipite mbona sijawai kusikia wabunge wamekubari kukopa pesa kw aajiri ya Reli ww umezipata wapi izo Habari
Hela ukikopa alafu ukalipa, ni sawasawa tu umetumia pesa yako mwenyewe, waziri ndo ana maanisha hivyo, Kuweni waelewa kdg au hili nalo linatakiwa shule? Mfano, umekopa pesa kazini kwako, baada ya mda wakakukata, hapo utasema hiyo pesa ilikua ni ya nani?
@@josephatjovit6509 madeni ya ndani hayalipiki ndo hayo ya nje? Tunapo ongea tuwe na data sasa hivi deni la nje una jua ni kiasi gan? Na unajua itachukua miaka mingapi kulipa? Kuna siku watanzania mtaamka mtajikuta utumwani mmesha uzwa.
@@wiseriziki2433 ww ndio Akili hakuna kabisaaaa 0 wasikilize waganganjaa akina Zitto watakupoteza,,, Iyo Inshu ya Tren ilishapitishwa na Bunge kitambo tu bajeti yake ilakikwete alikuwa muoga kuzitoa izo pesa,, JPM ndio kaja kuzitoa, na hakuna mtanzania Atakae uzwa Labda Zitto Aje akuuze ww Maana kilakitu mnajua nyinyi wengine mambumbu
Ili kusudi iitwe STANDARD GAUGE RAILWAY (SGR) UBORA NI KITU CHA MUHIMU SANA NA SI TU UPANA WA RELI KUMBUKA RELI HII ITAPITISHA TONS NYINGI SANA ZA MIZIGO NA ABIRIA HADI KWA ZILE "LANDLOCKED COUNTRIES" KAMA ZAMBIA, DRC, BURUNDI, RWANDA NA UGANDA .... HIVYO SPEED NA UIMARA WAKE NI MAMBO YA MSINGI SANA
@@samateryussuf5938 Hivi mzigo (containers) zikitoka bandarini Dar hadi Morogoro kwa muda mfupi tu kisha gari za mizigo zikabeba kuendelea na safari ya Zambia pana shida .... By the way umeona hapo tu kama tatizo na eti hujawa CONVINCED na maelezo yoooote hasa kuhusu LANDLOCKED COUNTRIES KAMA CONGO DRC, BURUNDI, RWANDA, UGANDA na SOUTH SUDAN ambao watapokea SHEHENA yao kupitia UGANDA ambayo ishaunganishwa na TANZANIA kupitia bandari ilo katika ZIWA VICTORIA KAMA HUJAWA CONVINCED BADO BASI UTAKUWA NA LAKO JAMBO
@@danielmoses2244 hivi kuajiri mamilioni ya waTZ kwa shilingi zetu kukarabati Tazara mpaka Tunduma , na pia reli ya kati mpaka Arusha, Moshi , Tanga , Mwanza kwa mfano kuna shida? kwa nn sisi waafrika kila mara twataka vitu vipya tu ambavyo hatuwezi kuvimudu?
@@danielmoses2244 hivi kuajiri mamilioni ya waTZ kwa shilingi zetu kukarabati reli ya kati na Tazara kwa mfano kupeleka mizigo yako muhimu kwenda Zambia , bila kutumia magari yenu mazito kuna shida ??
Yapo maeneo mengi yameungwa.... mfano mang'ula kiberege...... kama ushawahi kusafiri na tazara utajua tu maana yapo maeneo kibao (vipande) na pia makambako kama unaenda mbeya. Labda kama technolojia ilotumika ni tofauti na hiyo ya Yapi i can easily agree
Asante sana Ben Mwantala kwa kuzidi kutufahamisha utekelezaji wa ilani ya uchaguzi. Ya CCM hapa kazi tu.
Excellent job Yapi Markezi,
we appreciate your quality and standards.
Viva Turkey!!!Viva Tanzania
Together we can
Kazi nzuri inaonekana jmn tuamke watanzania wenzangu
The future is really exciting!
Naiona Tanzania mpya; Live Long my President, JPM.
Kwa kweli hatua nzuri imefikiwa Mungu wabariki watanzania
wa pili kukomenti, mimi kama mtanzania ninaesubiri kwa hamu kupanda treni ya umeme nikiwa hapahapa bongo na sio china, nasema najivunia sana kuwa mtanzania 🇹🇿🇹🇿 niliyebahatika kuwa hai enzi za magufuli
Kwaneema ya Mungu kaka
Mungu azidi kutuongoza 🇹🇿
Hongera sana mandungu zetu! Huyo Rais wenu anaona mbele... Hii yetu yatumia diesel na ilijengwa na deni ya karibu billioni mia nne kutoka wachina. Na sii yetu mpaka baada ya miaka kumi. NKT!
Karibu Tanzania
Poleni sana ndugu zetu was kenya,Odinga alipokuja Tanzania kutembelea reli yetu alisema Kenya nayo itaibadilisha hiyo ya diesel kuwa ya umeme.
#FANTASTIC JOB# This is tanzania bwana
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba endelea kuisimamia vyema miradi yetu yote mikubwa na wakandarasi wetu wote ewe mwenyez MUNGU mkuu
Maendelo afrika mpka ufosi ukiskiliza watu tu mhh utabk pale pale
Yes we can
Hio treni inayopita kwenye background yenu ndio tunaitaka msituletee old model hatutawaelewa wakati nimelipa hela yangu
Hii inaitwa Do or Die shubaashh lazima kieleweke coz hamna nchi iliyoendelea bila ya kuwa na miundombinu thabiti ya reli, barabara, nk
Connect it to KENYA
Malizeni tupande jama,., tushachoka na uasafiri wa Mabasi siku 2 nzima Dar-Mwanza khaaa
@Joeli Lumala
Umeonaye! Kigoma to dar bukoba to dar ni siku 2 duh!
Kuunga vipande vya reli ni vinafanyiwa uzinduzi jamani,? Si ni moja ya ujenzi wa kawaida? Uzinduxi ufanyike baada ya kumalizika
Ndio hapo tujionee jinsi watu wanavyotafuta posho kiakili
Natamani sana kila mtanzania kwa nafasi yake atunze miundo mbinu jamn kwnn sisi vitu vyetu tusivitunze angalia barabarani mtu anangonga taa bila kujua unapo haribu miundo mbinu cyo unaikomoa serikali ila unajikomoa ww tuheshimu sana vitu kama hivi nakuvipenda
Congrats
Mimi nataka tuwapige nao Kenya na treni yao ya magogo
Hahahaaaa magogo kumbe
Mimi ndio ninajivunia zaid maana steshen ya reli nijirani yangu soga.sitakwenda tena kongowe shopping yangu nitaifanya kariakoo na morogoro.ee mwenyezi mungu mpatie rais wetu umri mrefu amalize haya na aweze kujivunia haya.amen
kuna wajinga wengine mpaka leo hawaamn kama Tren ya umeme ya kisasa
Walishakunywa MAJI YA BENDERA hao ... ni WABISHI HADI SHETANI ANAWAINULIA MIKONO
Asia Marusu wajinga ni nyinyi!!!
Erick Juma lazima utakua ndio walewale ...
Asia Marusu ,kama Tundu Lissu babu jinga la karne
Nadhani tuna raisi mwenye kutaka maendeleo ya kweli tuko pamoja naye tatizo washabiki wengine wanamchafua wakijidai kumpenda hao cc ndo wanatuchefua
hata waweke nauli shi ngapi walahi lazima nikatoe ushamba walau nifike mji kasoro bahari loh!tunavionaga kwenye tv tu ish!
Wewe umejua kuifanya sikuyangu iende vyema kwakucheka
Malizeni fasta tupande tuuu izo tren
cha kushangaza wengine wapo busy na Asadi Asadi who is Asadi?
Rais wa Syria
Acha upoyoyo,hasipozibiti matumizi utajengaje reli
Ni mapunguani hao achana nao
We kwel papay
Safi kabisa reli yetu ya kisasa, ila tuambieni pesa hizo zimetoka fungi gani la bajeti iliyopitishwa na bunge ? na in kiasi gani
S kweli tumekopa mzee
John Tahona wapi tumekopa
Wakati tunataka kujenga tuliwaomba mkopo wakakataa,serikali ikaamua kuanza ujenzi kwa fedha zake,walipoona tumeanza ndo wakaja kuomba kutukopesha baada ya kuona tumeanza wenyewe.
Tukope tusikope tunachokihitaji cc watz ni ule uthubutu.
Magufuli noma sana anapaswa kuongoza miaka 30
huna akili
Kwakweli hana huyu kula kulala ndio mana akasome katiba ya nchi kwanza
Tanzania na Rais magu 2tabak kuw juu, juu zaid
Ama kweli hiki ni kishindo cha awamu ya tano
Walete kichwa kama cha nyoka, sio kichwa kama cha ng'ombe..!
Cha Kenya kama cha punda ehehe the ehehh
Hahahahaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂..Magufuli siyo wa mchezo.. Haletagi treni za vichwa vya ng'ombe... Sio JPM bwana.. Ahaaahaaa. Kichwa cha ng'ombe
mko vzr
Nice
Wahandisi wengi wa Tanzania ni vilaza tu. Kila zoezi ni jipya kwao, ndio maana linahitaji uzinduzi. Wanawapotezea muda hao wataalam wa kituruki ambao kwao hiyo it's just another day in the office. Yaani bila Magufuli, nchi hii haitakuwa na revolution ya elimu. Hakuna kitu sekta ya engineering.
ila najiuliza sana mbona waturuki hamuwahoji? ama wanaogopa kamera!!!
wengi wao hawaongei kizungu nahisi.only top guys,ambao wako bussy.wao ni kazi tu.
haiwahusu
Waturuki wako bize hawana muda wa kiki wao ni kama magu hapo kazi tuu
Lugha ndio tatizo coz wao hata kiingereza ni shida zaidi sana ni kituruki tu
Tuna wapongezeni sana sana, ila nataka kusema hii si mara ya kwanza hili kufanyika katika Taifa letu - kwenye miaka ya tisini TAZARA waliweza kuunga vipande vya reli kwa mbinu hizo hizo za kuchomelea kwa kutumia umeme, hivyo si kweli kuwambia Watanzania kuwa hii ndio Mara ya kwanza teknolojia hii kutumika Nchini.
Kakague kwanza hiyo TAZARA kabla ya kupinga kauli ya Kamwele hapa
@@mashakanyenzi904
Nani kasema nampinga Mh.Kamwele, nilikuwa namkumbusha tu kwamba hiyo si mara ya kwanza zoezi hilo kufanyika Nchini - tunakumbushana tu kwani tatizo liko wapi?
Kitu kingine, I am not an average Joe naelewa vizuri masuala ya ujenzi was permanent way, rolling stock, locomotives na mawasiliano.
Wasamehe ushabiki nao umo
@@mashakanyenzi904 @ ni kweli kabisa hii si mara ya kwanza ni mara ya pili nilishuhudia mwenyewe kwa macho yangu ktk reli ya tazara karibu na mitaa ya kwetu mtoni mtongani
Yes!
naisubiri kwa Hamu treni iyo mpaka nipande at a kama nauli bei gani tachipanga
Kichwa mbona kimepinduka?
Hicho siyo chenyewe,hicho cha hiyo kampuni ya Yerpi makenzi,kwa ajili ya kuvutia mabehewa ya kumwaga kokoto.
Hii ndo story, sio mambo ya pieri tena
Why invest so much for a railway line 185 kilometers long whatever the prime mover is in a country as vast as Tanzania where a railway line going to Kigali is more relevant ? When will this railway line reach DRC Goma. To succeed in business you must learn to use other people's money. Other people's money is available in the financial markets of the world where small bits of savings and investments are pooled together.
who told you the aim is to reach kigali? the aim is to serve tanzanians, but it just happens that the railway is heading towards northeastern parts of the country and hopefully kigali will see the importance of connecting itself to the railway then one day people will travel from dar to kigali by a train, but thats just an end result the real reason to build is to serve tanzanians
plus it is not that easy to use other people money invested in capital markets
You can't be a slave of other people's money for every move of development you achieve.Possible to you use that of yours make it.My friend it is not a wise move to apply a loan for each and everything even those you can make for your own money.
Ilo gali linamaana gani apo kwenye reli juu
Hilo garitreni linabeba Generator ya kufua umeme.
Linabeba generator ya kufua umeme
Tumekopa kwa nini mnadanganya watanzania kwa faida ya nani?
chizi we haya sema tumekopa Bank gani? na lini ilipitishwa bungeni kuwa uwo ni mkopo Hakuna miundo mbinu Tz itakayojengwa bila kupitisha bajeti Ata izo pesa utaiba lakini bajeti lazima ipite mbona sijawai kusikia wabunge wamekubari kukopa pesa kw aajiri ya Reli ww umezipata wapi izo Habari
@@mapenzi_tz1511 labda kakopwa baba yake
Wengi wanasikiliza bongo fleva taarifa ya habari hamuijui kwahio mengi pia hamuyajui
Pesa za reli tume kopa waziri mzima una sema uongo kila kitu siasa tz
Ww ndo unajua kuliko yy ambae unajua kinachoendlea
Sawa tumekusikia
Hela ukikopa alafu ukalipa, ni sawasawa tu umetumia pesa yako mwenyewe, waziri ndo ana maanisha hivyo, Kuweni waelewa kdg au hili nalo linatakiwa shule? Mfano, umekopa pesa kazini kwako, baada ya mda wakakukata, hapo utasema hiyo pesa ilikua ni ya nani?
@@josephatjovit6509 madeni ya ndani hayalipiki ndo hayo ya nje? Tunapo ongea tuwe na data sasa hivi deni la nje una jua ni kiasi gan? Na unajua itachukua miaka mingapi kulipa? Kuna siku watanzania mtaamka mtajikuta utumwani mmesha uzwa.
@@wiseriziki2433 ww ndio Akili hakuna kabisaaaa 0 wasikilize waganganjaa akina Zitto watakupoteza,,, Iyo Inshu ya Tren ilishapitishwa na Bunge kitambo tu bajeti yake ilakikwete alikuwa muoga kuzitoa izo pesa,, JPM ndio kaja kuzitoa, na hakuna mtanzania Atakae uzwa Labda Zitto Aje akuuze ww Maana kilakitu mnajua nyinyi wengine mambumbu
Mara ya kwanza Africa mashariki! Hiyo ni kweli? Kenya reli kama hii si imekamilika siku nyingi?
Kenya ile ni garimoshi
Kuundwa kwa reli yakenya haiku tumia teknolojia tunayo tumia sisi kama nitakua nime muelewa engneer
Kenya inatumia diesel man hii ni ya umeme
sasa haya yote ili iweje? tusiulize 2.4 trilioni zimekwenda wapi ?
Ili kusudi iitwe STANDARD GAUGE RAILWAY (SGR) UBORA NI KITU CHA MUHIMU SANA NA SI TU UPANA WA RELI
KUMBUKA RELI HII ITAPITISHA TONS NYINGI SANA ZA MIZIGO NA ABIRIA HADI KWA ZILE "LANDLOCKED COUNTRIES" KAMA ZAMBIA, DRC, BURUNDI, RWANDA NA UGANDA .... HIVYO SPEED NA UIMARA WAKE NI MAMBO YA MSINGI SANA
@@danielmoses2244 sgr inakwenda Zambia pia ?au huelewi jinsi ya kunishawishi?
@@samateryussuf5938 Hivi mzigo (containers) zikitoka bandarini Dar hadi Morogoro kwa muda mfupi tu kisha gari za mizigo zikabeba kuendelea na safari ya Zambia pana shida ....
By the way umeona hapo tu kama tatizo na eti hujawa CONVINCED na maelezo yoooote hasa kuhusu LANDLOCKED COUNTRIES KAMA CONGO DRC, BURUNDI, RWANDA, UGANDA na SOUTH SUDAN ambao watapokea SHEHENA yao kupitia UGANDA ambayo ishaunganishwa na TANZANIA kupitia bandari ilo katika ZIWA VICTORIA
KAMA HUJAWA CONVINCED BADO BASI UTAKUWA NA LAKO JAMBO
@@danielmoses2244 hivi kuajiri mamilioni ya waTZ kwa shilingi zetu kukarabati Tazara mpaka Tunduma , na pia reli ya kati mpaka Arusha, Moshi , Tanga , Mwanza kwa mfano kuna shida? kwa nn sisi waafrika kila mara twataka vitu vipya tu ambavyo hatuwezi kuvimudu?
@@danielmoses2244 hivi kuajiri mamilioni ya waTZ kwa shilingi zetu kukarabati reli ya kati na Tazara kwa mfano kupeleka mizigo yako muhimu kwenda Zambia , bila kutumia magari yenu mazito kuna shida ??
TAZARA PIA WALISHAUNGA KWA UMEME. So sio kwa mara ya kwanza TZ
Wewe wapi uko
@@danieljoseph6309 Tanzania
Tazara ipi io, kipande kipi cha tazara ni continous welded maana najua tazara ni jointed rail
Yapo maeneo mengi yameungwa.... mfano mang'ula kiberege...... kama ushawahi kusafiri na tazara utajua tu maana yapo maeneo kibao (vipande) na pia makambako kama unaenda mbeya. Labda kama technolojia ilotumika ni tofauti na hiyo ya Yapi i can easily agree
@@danieldeogratus1683 poa poa