KWA MARA YA KWANZA AHMED ALLY AFUNGUKA BAADA YA YANGA KUFANYA BALAA MJINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 май 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 33

  • @gventanzania9548
    @gventanzania9548 21 день назад +2

    Mchezo na JKT pekee hauwezi kuamua nani ataenda CL bali mchezo wa Azam na Geita vile vile

  • @thobiasmwambeta6990
    @thobiasmwambeta6990 21 день назад +2

    Usimwite mbwa alizaliwa na mwanadamu kama wewe kama huna cha kuandika acha

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 21 день назад

      mnyamaaa ni mnyamaaa mmeanzaa kujivuaaaa nyinyii ni nguchiluuuu tu😂😂😂😂😂😂

  • @LovenesjhonLovenesjhonchacha
    @LovenesjhonLovenesjhonchacha 20 дней назад

    Usemaji hujui tafuta kazi nyingine mimi ni mwanasimba

  • @user-ou9tk1rp1p
    @user-ou9tk1rp1p 20 дней назад

    ❤❤❤❤❤😊

  • @mpekeomtandalatv2909
    @mpekeomtandalatv2909 21 день назад +1

    Semaji la CAF

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o 21 день назад +1

    Mboniiiii maikiii mojaaa zingineee zimekukimbiaaa mjombaaaa

  • @user-fm2pw7il4l
    @user-fm2pw7il4l 21 день назад +1

    Wajomba wamekuwa kama watoto yatima jamani

  • @subiralema
    @subiralema 21 день назад +1

    Ushindi wa kwenda wapi mbuzi wako yuko wapi

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 21 день назад

    Kuna wachezaji wametugharimu. ila binafsi kenedy juma anaongoza. Yaan mechi ya namungo alinikera, anafuata enock then manula

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 21 день назад

    Tangu Hadji Manara kutoka Simba wana Simba tunaumiya ni atari semaji huna bahati na Simba utanisame kusema ivo kombe bado wakati wako fanya nguvu ushirikishwe ku mambo ya kusajili wachezaji ata ushauri basi

  • @MussaHamadi-hl7nk
    @MussaHamadi-hl7nk 21 день назад

    Da! Yaan wanatia huruma simba😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-zg5lg3yq9c
    @user-zg5lg3yq9c 21 день назад

    Simkacheze nyinyi mpate makombe wacheni kumuita mbuzi kunakupanda nakushuka ndio maisha

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 21 день назад

    Leo kanatia huruma haka kajamaa

  • @ommyjuniorjumbe3328
    @ommyjuniorjumbe3328 21 день назад

    Muone macho kama mjusi kabanwa na mlango...maneno yameishaaaaaa..Kiko wapi Makolo nyie ..wakati tuko Avic mlipeleka timu Uturuki kujaza na sijui msimu huu mtaenda wapi😂😂😂

  • @vivanyboy9743
    @vivanyboy9743 21 день назад

    Simba ni kama matikiti😂

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 21 день назад +1

    Ahmad Ally umekuwa mpole hadi rahaaaa

  • @ommyjuniorjumbe3328
    @ommyjuniorjumbe3328 21 день назад

    Mbwa huyoo na ww mbwa pia ...mnabweka tu mipango zeroooo

  • @User255tv
    @User255tv 21 день назад +1

    Makolo fc nafasi ya 3 confirmed. Imeisha hiyooo!

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 21 день назад +1

    AHMEEED WACHEZAJI WANATAMANI KWENDA CLUB BINGWA YA AFRICA KWA KIGOLI KIMOJA???? 😂😂😂😂😂😂😂😂 KIGOLI KIMOJA OYEEEEEE SIMBA OYEEEEEEEE NAFASI YA 3 OYEEÈEEEEE KUFUGA MAVUZI OYEEEEE MANGUNGU OYEEEEEE TRY AGAIN OYEEEEEE MO MWIZI WA HESHIMA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 21 день назад

    Mhmm kinachotoka mdomoni na kinachoongea sera yako nitofauti kabisa, sura inaonesha wazi kukata tamaa.

  • @user-py9qd7en5r
    @user-py9qd7en5r 21 день назад

    Mjomba anatia huluma anaongea kama mgojwa wa kisukali

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z 21 день назад +1

    Simba kalowa leo ona anavyoo gea kinyonge msema hovyo huyu😀😀😀

  • @Mussasalehemussa
    @Mussasalehemussa 21 день назад +1

    Huyu mbwa kati ya siku naongea pointi ni leo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @thobiasmwambeta6990
      @thobiasmwambeta6990 21 день назад +1

      ZAMBI KUBWA SANA KUMWITA MWANADAMU MWEZIO MBWA ,HIVI UKIITWA WEWE HIVYO UTAJISIKIAJE

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 21 день назад +1

      MKUNDU WA MKEO KENGE WA KIJANI WEWE 😂😂😂😂

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 21 день назад +1

      Utani wa vijana.. wengine wanaitana kenge,beberu.. sawa tu.

  • @user-wj7bu6hx5y
    @user-wj7bu6hx5y 21 день назад +1

    Utaishia kubadilisha tai tu wenzio wanabadilisha medali afu uwe unakaza sauti wewe ni mtoto wa kiume au mwanaume mazingira🤔🤔🤔🤔

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 21 день назад

    Endeleeni kumpigania Feisal ili afunge magori mengi.

  • @suleimanzimbwe373
    @suleimanzimbwe373 21 день назад

    Mm naona ww pia ni nuksi kubwa Kwa Simba yetu mnana makombe yangu Bughaat aondoke mateso tuuu ww n wa kwanza uhondoke kazi Yako n kutuaminisha tu na kuzarau tmu za NBC Kisha kina mbangula wanatudengua mavi sana ww

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh 21 день назад

    Mwimbaji wa tarabu kawa mpoleee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂my wetu tumekumiss