Watu 4 wamefariki baada ya kusombwa jijini Nairobi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 мар 2024
  • Watu wanne wamefariki kufuatia mvua kubwa iliyonyesha hapa jijini nairobi jana usiku. Miongoni mwa waliofariki ni afisa wa polisi wa kituo cha Kamukunji aliyekuwa akiwaokoa watu wanne katika eneo hilo

Комментарии • 67

  • @johnndungu8764
    @johnndungu8764 2 месяца назад +6

    Sakaja endelea kujenga 25 storey building without drainage

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu6222 2 месяца назад +14

    Sakaja must go

    • @humblemureithi
      @humblemureithi 2 месяца назад

      I know that there are some of you who will begin blaming the drainage system because you don't believe that the bible stories are real. If you could be alive during the time of Noah, could you still blame the drainage system? Why can't you blame your sins? Come on, wake up or else you will perish in your sins.
      There is a very important notice for you. It is about the gospel that is aiming at SERIOUS REPENTANCE. They are in a channel called "THE TRUE WAY TO HEAVEN gospel messages." Try to find the channel.

  • @jakee2041
    @jakee2041 2 месяца назад +12

    Poleni familia ya afisa. He's a hero because he died while rescuing people. 😢😢😢

    • @humblemureithi
      @humblemureithi 2 месяца назад

      I know that there are some of you who will begin blaming the drainage system because you don't believe that the bible stories are real. If you could be alive during the time of Noah, could you still blame the drainage system? Why can't you blame your sins? Come on, wake up or else you will perish in your sins.
      There is a very important notice for you. It is about the gospel that is aiming at SERIOUS REPENTANCE. They are in a channel called "THE TRUE WAY TO HEAVEN gospel messages." Try to find the channel.

    • @reignmuzeiya7432
      @reignmuzeiya7432 2 месяца назад

      Kenya hakuna heros unfortunately.

  • @davidmaya5342
    @davidmaya5342 2 месяца назад +13

    sakaja nikuenda tu bash south africa

  • @mutumakirimi5124
    @mutumakirimi5124 2 месяца назад +14

    Mr dimples bure kabisaaa

  • @mwituamweene9850
    @mwituamweene9850 2 месяца назад +6

    That Expressway river...wow!

  • @totodavis1949
    @totodavis1949 2 месяца назад +3

    Nakumbuka ruto alianzisha kusafisha mto Nairobi kulindaje na Sakaja anajua 2 kupaka rangi mradi za uhuru tao imejaa wauzaji hata hakuna place yakupita

  • @swts4k
    @swts4k 2 месяца назад +11

    Watu bado wanaishi Nairobi

    • @humblemureithi
      @humblemureithi 2 месяца назад

      I know that there are some of you who will begin blaming the drainage system because you don't believe that the bible stories are real. If you could be alive during the time of Noah, could you still blame the drainage system? Why can't you blame your sins? Come on, wake up or else you will perish in your sins.
      There is a very important notice for you. It is about the gospel that is aiming at SERIOUS REPENTANCE. They are in a channel called "THE TRUE WAY TO HEAVEN gospel messages." Try to find the channel.

  • @reignmuzeiya7432
    @reignmuzeiya7432 2 месяца назад +10

    But lets build 25 floors.

    • @sammykiiru4224
      @sammykiiru4224 2 месяца назад

      Unfortunately ukiwa kwa building ya 25 floors hakuna mafuriko😅

  • @isagreg8482
    @isagreg8482 2 месяца назад +8

    Poor drainage system is the problem

  • @jotonyae-04
    @jotonyae-04 2 месяца назад +2

    Poleni sana ndugu zangu

  • @Christopherkivulai
    @Christopherkivulai 2 месяца назад +7

    The drainage in Super highway is poorly done. We need to revisit 😊

    • @humblemureithi
      @humblemureithi 2 месяца назад

      I know that there are some of you who will begin blaming the drainage system because you don't believe that the bible stories are real. If you could be alive during the time of Noah, could you still blame the drainage system? Why can't you blame your sins? Come on, wake up or else you will perish in your sins.
      There is a very important notice for you. It is about the gospel that is aiming at SERIOUS REPENTANCE. They are in a channel called "THE TRUE WAY TO HEAVEN gospel messages." Try to find the channel.

  • @tonito328
    @tonito328 2 месяца назад +5

    Some one said muuache kuita wengine wanaishi mitaa ya vibanda ama vitongoji duni😊

  • @Bangchansmegadumptruck
    @Bangchansmegadumptruck 2 месяца назад +15

    The rain was not that heavy the drainage systems are the ones that is not good.

    • @salimamalongo8832
      @salimamalongo8832 2 месяца назад +1

      I woke up at midnight my house was flooded like a a river on ground floor
      The downpour was just bad

    • @blushhair6394
      @blushhair6394 2 месяца назад

      @salimamalongo it's true my house was also flooded it took over 2 hours to clean

    • @carollynne5943
      @carollynne5943 2 месяца назад

      Mito ya Nai imejaa😢

    • @Bangchansmegadumptruck
      @Bangchansmegadumptruck 2 месяца назад

      @@carollynne5943 Kwani naishi Nairobi gani😭😭😭 ukiangalia drainage systems ya thika road iko poa ndio maana hatujafurika

    • @Bangchansmegadumptruck
      @Bangchansmegadumptruck 2 месяца назад

      @@salimamalongo8832 does the surrounding have drainage systems?

  • @uzzitv5205
    @uzzitv5205 2 месяца назад +1

    Mimi kama Mwalimu ninajua wapo wanafunzi ambao hawakufanya homework na sasa wamepata sababu.

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria 2 месяца назад +5

    Kazi ni kutax wakenya left, right and center na hakuna kazi mnawafanyia 😏😏😏

  • @mohammedalichannel7293
    @mohammedalichannel7293 2 месяца назад +8

    Huyu governer have failed nairobi the city have no proper planning and drainage system is worst than ever bure kabisa

  • @yJe461
    @yJe461 2 месяца назад +2

    I'm in the foots of Mt. Kenya (Windward side) and dust is all over

  • @jamessila3219
    @jamessila3219 2 месяца назад +2

    Sasa ndio tutajega nyumba.

  • @blessed78750
    @blessed78750 2 месяца назад +2

    Drainage is the problem.....si eti yilikuwa elnino

  • @dripslick44
    @dripslick44 2 месяца назад +6

    Mlichagua dimples. Endeleeni

  • @nicholaskitaka3704
    @nicholaskitaka3704 2 месяца назад

    Condolences to the families and friends. May GOD Almighty give you strength.

  • @Daguudickson026
    @Daguudickson026 2 месяца назад +2

    Iyo shule ya kware yfaa ihamishwe apo sio pahali pazuri pa kujenga shule

  • @user-kn2gg1sn2e
    @user-kn2gg1sn2e 2 месяца назад +1

    When will ruto start constructing better house

  • @SleepyDonuts-ft8ok
    @SleepyDonuts-ft8ok 2 месяца назад

    Poleni

  • @saidhashi2856
    @saidhashi2856 2 месяца назад +6

    Riparian Riparian reparian..
    Wewe ngombe, toa chafu ma-drainage bana.
    Ghasia wewe.

  • @jacklinezombo5806
    @jacklinezombo5806 2 месяца назад

    mmmh

  • @mustafa5516
    @mustafa5516 2 месяца назад +2

    Badoooo tenaa

  • @ambroserono3118
    @ambroserono3118 2 месяца назад

    Affordable housing

  • @wanjiruwanganga5707
    @wanjiruwanganga5707 2 месяца назад +4

    Drainage 😢

    • @georgeodhiambo2118
      @georgeodhiambo2118 2 месяца назад +1

      Raila ndo analeta mvua kuaribu biashara za wakikuyu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @ruclaingachogu2170
    @ruclaingachogu2170 2 месяца назад

    Express river

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin3402 2 месяца назад

    Singapore drainage

  • @danielmaina2001
    @danielmaina2001 2 месяца назад

    I remember our president saying mukuru is like Europe...... what's up??? sorry to anyone affected

  • @MugihayoMugove
    @MugihayoMugove 2 месяца назад

    Kariku nipashe

  • @lilibet2448
    @lilibet2448 2 месяца назад

    Aki Sakaja alisafisha mto juzi tu ...

  • @kenyazuela7233
    @kenyazuela7233 2 месяца назад

    Maombi ya mvua ya nabii zakayo 😮😮😢😢🥵🥵🥵

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 месяца назад +1

    I thought the gavana has been working on making city clean hayo marundo ya uchafu yanafanya nn hapo?? Drainage systems ndo hizo kama mapua yako kwa nini viongozi you like talking bila implementing what you say you will do. Mda una kwenda wewe andelea kupiga domo..maduka yapo juu ya mkondo wa maji kwanini zisibomoke..ah mnaudhi!

    • @yJe461
      @yJe461 2 месяца назад

      A point of correction, not "City", it's "Sea-ty"

  • @user-ez7he3sl9m
    @user-ez7he3sl9m 2 месяца назад

    People are dying everyday 😢

  • @WILSONMURIUKIKABEYA
    @WILSONMURIUKIKABEYA 2 месяца назад

    Poor infrastructural planning
    Nature in control😂

  • @maishjunior4651
    @maishjunior4651 2 месяца назад

    Governor ni kupost tu posters zake coz anajuwa wamama ni wajinga hupenda look na watampigia kũra tena