Tony nawochingi Video zako sana, napenda vile mnaicheza, kam kenya and show us some moves, kuna place mob unaeza shoot video ka izo pia sisi utuweke kwa scene
The movie is hot n creazy iii nayo imenice kenya wakikubali kurealise movie ii dzyn tunaenda far iwache kuekwa kwa kabati lets support our talent vile tz inasupport yao
Movie iko poaa...sanaa .ila baadhi ya vipande husika hawapo sirius mfano huyo dada mke wa mshakajii... anacheka cheka sana...vipande vyake ving hajavitendea haki...Pia nguo wanarudia rudia...izo izo kilasiku...ila kazi ipo poa sana tony
Wazee muko sawa kweli, hapo munaitaji bajeti mo1 kumbwa ya kupata maitaji ya kazi yani mm nakutakieni kazi njema na mungu akulindeni, muimu kupendana na kushauliana kikazi zaidi, kumbukeni watu wanataka kuona kazi zunry
Alafu kingine sio lazma kila movies adui awe mvuta sigara au awe muuni no muda mwingine awe mstaarabu lakini ilo balaaa lake so poah,sasa sisi yani movies twacheki kidogo tu tushaajua uyu ndo jambazi kwasababu ya uhuni na kufosi uhuni alafu mtu hawezi sema mwajua sana respect kwenu
Big up sana wakubwa...ila jitahidini kuikagua kabla hamjaizambaza nchini, maan Kuna some clips are different sounds reaction, na pia color jmn iwe sawa kwa Kila clips, pia mavazi ya aina Moja yazingatiwe kweny scene,mfano huyo mwenye tisheti ya njano huwa kaonekana mara ya pili ktk scene tofauti ambayo hatujui ni siku iyo iyo au laa.. wale wahuni wawili walionza kufa mmewaonea😅, any way GOOD WORK MY BROTHERS napenda action zenu,
Chengine cha kurekebisha mapigano yasiwe marefu mnooo inakuwa inachosha alafu mtu anapigwa sana hata haonekani uso kuharibika uso uko vzr anatoka damu2 mdomoni hilo liangalieni wanangu wa faida Wala msichukie mimi nawapenda na ndio mana nawachana ili mkifanya iwe nzr watanzania tutishe
Movie zenu zinakata kata sauti sana yani mpaka muda mwengne wachoka kuangalia alfu movies zinakuwa kali hebu kuweni makini bhana maana zote ndo zipo Ivo labda kidogo ile usaliti ndo haisumbui sana
Safi sema mme haribu kwenye mapigano kuweka msiki ilitakiwa iwe kimya ziskike vishindo vya ngumi2 hamuwaoni wenzenu badilikeni wanangu Mapigano yamekuwa mabaya kwa hivyo vinanda2 kazeni wanangu
Tony i love your movies, so much energy... But i would love you to always add English subtitle to it cos i don't understand the language 🙏... Watching from Nigeria 🇳🇬
Movie ninzur upande wa action uko poa pia lakn Bado kunamapungufu hususan upande wa uharisia hebu muongeze Sasa uthubutu zaidi Ili kiwanda chetu nasi kiwe namaana zaidi kibiashara kimataifa hususan upande wa filamu
Big up my xboy friend naona unataka kupasua hanga junior fishrams😂😂😂😂 nikimaliza kushoot naomba kucheza na wewe one move but mkovizuri Sana Ila ushauri wangu kwa huyo dada najua ni chipkz Kama Mimi lkn hajitahidi kuwa serious kwenye kazi cz Sanaa nikazi,pia kabla ya kusambaza bus menegment ikaguwe kwanza cz kunavipnde vina pishana na sound ,hawali yayote kazeni buti.
Daaaaah.... !!!! Hatari sana nyinyi watu mko vizuri No body is perfect msivunjike moyo kwa Comment za wengine iwe ni Tiverton ya ku pass..huwezi kuwa sawa kwa vyote ..kwa hatua hii mmefanya makubwa sana Congratulations Tony
Bro muvi zenu Kali Sana ila changamoto creativity ya story story zimepoa Sana Kuna movie kama jitupoli mlitisha Sana leteni story mtu anachanganyikiwa kama ni bongoland au ulaya
Lazima tukubali kuwa nyinyi ni wakali wa action ila story bado sana inabidi tushirikiane au tujifunze zaidi kuandaa story na script Kali ila kwa action mko bora zaidi.
@Hospitali Tayari ndugu yangu kma maisha na kifo ndio asili yetu acha izo habari tumia vzuri Uhuru wakimtandao kwa wateja wako usilazimishe mambo sis wote n wa Mungu na kwake tutarud ata uwe mganga kupindukia
Follow my Instagram account 👇
instagram.com/tonymkongo?
Mambo vip kakaa ,nakupata san ,,
Tony nawochingi Video zako sana, napenda vile mnaicheza, kam kenya and show us some moves, kuna place mob unaeza shoot video ka izo pia sisi utuweke kwa scene
@@ndegwaibrahim4979 to
00
The movie is hot n creazy iii nayo imenice kenya wakikubali kurealise movie ii dzyn tunaenda far iwache kuekwa kwa kabati lets support our talent vile tz inasupport yao
So talented boy kaka Tony mkongob mnajua kuza kipaji nakuona mbali brother 🙏🙏🙏💪💪💪💪
Nakubal xanaaaaaa mmetixha ndungu towen nyingine kal zaid mpo vizuri sana
Safii snaa nowdayx nmeboeka juu nmemix mchongo zko au syo ❤️ am proud of you
Movie iko poaa...sanaa .ila baadhi ya vipande husika hawapo sirius mfano huyo dada mke wa mshakajii... anacheka cheka sana...vipande vyake ving hajavitendea haki...Pia nguo wanarudia rudia...izo izo kilasiku...ila kazi ipo poa sana tony
Weka mbali na watoto moto sana hiii 🔥🔥🔥🔥
Tunaisubiri kwa ham sana🔥🔥❤️🇹🇿
Muvi zenu zina Action Iliyoenda shule daah. Bomba sana💪💪
Ahsante 👏👏👏👏🇹🇿🙏 Mungu awabariki kazi nzuri sana kaka zangu. Naamini watanzania tuko vizuri sana tena sana
Bjnaaaa mmeongeza tena mdaaaa
Wazee muko sawa kweli, hapo munaitaji bajeti mo1 kumbwa ya kupata maitaji ya kazi yani mm nakutakieni kazi njema na mungu akulindeni, muimu kupendana na kushauliana kikazi zaidi, kumbukeni watu wanataka kuona kazi zunry
Kazi safi endeleni mtafika mbali
Alafu kingine sio lazma kila movies adui awe mvuta sigara au awe muuni no muda mwingine awe mstaarabu lakini ilo balaaa lake so poah,sasa sisi yani movies twacheki kidogo tu tushaajua uyu ndo jambazi kwasababu ya uhuni na kufosi uhuni alafu mtu hawezi sema mwajua sana respect kwenu
ruclips.net/video/dd6iNGgMgWo/видео.html king of cape town full movie
Duuh hii kali kinomaaaa🙌🙌🙌🙌🙌
Oyaaaaa mzeee @Dame umetisha sana....na unajuaa kinoumaaaa
Duuub bonge la kitu action zenu bomba sana by choi
Safi san tumefikia mbali dah hongeren m/mungu awape nguvu,hekima,maelewano na awafanyie wepesi katik utafutaji
Mi nangoja sanaa
Unyama sana 🔥🔥🔥🔥🔥
Story zinaboa action tam sana good Damian nakukubal mno broo
Kazi nzuri sana nakubali
Big up sana wakubwa...ila jitahidini kuikagua kabla hamjaizambaza nchini, maan Kuna some clips are different sounds reaction, na pia color jmn iwe sawa kwa Kila clips, pia mavazi ya aina Moja yazingatiwe kweny scene,mfano huyo mwenye tisheti ya njano huwa kaonekana mara ya pili ktk scene tofauti ambayo hatujui ni siku iyo iyo au laa.. wale wahuni wawili walionza kufa mmewaonea😅, any way GOOD WORK MY BROTHERS napenda action zenu,
Kweli hata huyu red killer mwenyewe nguo ni tofauti alipo anza kichaa koti lengine na alipokuwa anapambana koti lengine
Tony you are amazing enjoying every scene, watching from Zambia
Chengine cha kurekebisha mapigano yasiwe marefu mnooo inakuwa inachosha alafu mtu anapigwa sana hata haonekani uso kuharibika uso uko vzr anatoka damu2 mdomoni hilo liangalieni wanangu wa faida
Wala msichukie mimi nawapenda na ndio mana nawachana ili mkifanya iwe nzr watanzania tutishe
Show amjawai kuniangusha nawakubali show show
A. Jaman hii hatali Kali ya mwaka pamoja sana
Hicho kiumbe cha red hakiskii sana kichwa kigumu sana😁😁😁
Tonton,respect kabsa,lakini sauti si inakatakata
Ya so talented and underrated Hollywood need to notice y’all
Movie nzuri xna ❤❤🎉🎉🎉
Movie zenu zinakata kata sauti sana yani mpaka muda mwengne wachoka kuangalia alfu movies zinakuwa kali hebu kuweni makini bhana maana zote ndo zipo Ivo labda kidogo ile usaliti ndo haisumbui sana
Ngumi zimetembea mpaka najiona Mimi ndo starling hapo ndani 😁😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣 Nika jua ni miye tyu kumbe hata ww 🤣🤣🔥🔥
Nipo naisubiri kwa hamu
Ongezeni creativity ya story ,, piah mpunguze na kujilusha mtu akipewa free kick ,, msiwe kama wahindi
Aisee move iko vzr, full stor iko poa sana
Safi sema mme haribu kwenye mapigano kuweka msiki ilitakiwa iwe kimya ziskike vishindo vya ngumi2 hamuwaoni wenzenu badilikeni wanangu
Mapigano yamekuwa mabaya kwa hivyo vinanda2 kazeni wanangu
Action poa san ,,tumekubali ma brow ,,bado kidgo tufike kule kunako takikan ,,ila kidog sound na camera kidgo light yapotea potea ,ADAM kaza kamba brw , tunarajia story safi zaid kidog ,tumiize akili zetu , tushirikiane maan bongo mastaa wametimia ,,big up san TONNY
🙏🙏🙏🙏🙏🙏Pamoj sana
Tunawakubali 100%, na tutafika pol pol tutafika kakaaa
nafulahi kumwona kaka yangu kelvin baba wawili protasi a k a mweusi
Tunakupeni kampani munajuwa kuiktii nakubali sana film zenu
nimeipenda movi❤😊
That Was Awesome
Then after his death?
Tony i love your movies, so much energy... But i would love you to always add English subtitle to it cos i don't understand the language 🙏... Watching from Nigeria 🇳🇬
🙏🙏🙏🙏🙏
Kazi Nzuri... ENDELEENI KUKAZA ZAIDI "WORK HARD..."
Big up an wazee part 2 bavo akiwepo itakua hapatosh apo
Noma sana
Dude Kali kinom wazee na Mimi ntakuwep next
Wanangu sio siri mmewasha motoo. 👹👹👹
Tunaisubiri kinyama wadau hyo fire
Movie ninzur upande wa action uko poa pia lakn Bado kunamapungufu hususan upande wa uharisia hebu muongeze Sasa uthubutu zaidi Ili kiwanda chetu nasi kiwe namaana zaidi kibiashara kimataifa hususan upande wa filamu
Nakubali sana
Wazee wa kazi plz nawaomba hiiii kitu msichelexhe part 2 yake mbona inatakakuwa zaidi ya nyamaume
Mmmh yan mtu uko ndani ya gari alafu et unapokonywa na mtu aliye nje
Nilikuwa naisubili sana hii
nakubali sana tu
Niliogopa kutoa maon yangu kabla cjaitazama movie nzima kwakuwa tayar nimeitazama naweza toa Sasa maon
Good work Tonny
Wow! What😳😳😳😳😳hatariiiiiiii
Kazi nzur🇹🇿🇹🇿
Uyuu jamaa mdogoake whozz
Mnaweza sana yaan
Big up my xboy friend naona unataka kupasua hanga junior fishrams😂😂😂😂 nikimaliza kushoot naomba kucheza na wewe one move but mkovizuri Sana Ila ushauri wangu kwa huyo dada najua ni chipkz Kama Mimi lkn hajitahidi kuwa serious kwenye kazi cz Sanaa nikazi,pia kabla ya kusambaza bus menegment ikaguwe kwanza cz kunavipnde vina pishana na sound ,hawali yayote kazeni buti.
Naamini kuwa bongo movie ni wamoja red killer vs bavo tuone moto
Gosto muito de filme africano
I'm going to do a Xcel theater for that movie 🎥🎥
🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Iyo gari gani ya kuibwa jamani ila movie kali
Movie nzuri sana, lakini hapo kwa sound you guys you need a lot of improvement
excellent film sir ! new Subscriber here from Uk
Thanks a lot I appreciate it
Nice❤❤❤
Movie ni nzuri ila mjitahidy kwenye story lakin kwa upande wa ngumi tu mmetisha wanangu
Daaaaah.... !!!!
Hatari sana nyinyi watu mko vizuri No body is perfect msivunjike moyo kwa Comment za wengine iwe ni Tiverton ya ku pass..huwezi kuwa sawa kwa vyote ..kwa hatua hii mmefanya makubwa sana Congratulations Tony
Bongo bahati mbaya daadeq zake huo kicha wa mapigo asee
Tupa mzigo tunasubr uhondo
yes tunamwona kaka yetu tunduma anapambana meneja promota amesimama kwenye kitengo chake
Bro muvi zenu Kali Sana ila changamoto creativity ya story story zimepoa Sana Kuna movie kama jitupoli mlitisha Sana leteni story mtu anachanganyikiwa kama ni bongoland au ulaya
Lazima tukubali kuwa nyinyi ni wakali wa action ila story bado sana inabidi tushirikiane au tujifunze zaidi kuandaa story na script Kali ila kwa action mko bora zaidi.
Dah kweli umezungumza kitu chaukwel san kweny action hawa jamaa hawagusiki issue n story tu ambayo itasisimuwa nakuwa kwenye mtiririko mzur wa matukio
@Hospitali Tayari ndugu yangu kma maisha na kifo ndio asili yetu acha izo habari tumia vzuri Uhuru wakimtandao kwa wateja wako usilazimishe mambo sis wote n wa Mungu na kwake tutarud ata uwe mganga kupindukia
@Hospitali Tayari amen
Saloti kwako brother tony mkongo
You Should Make More Female Action Scenes Or Film
Drama ni zero kabia ila actioni zinahamasisha
Nyawaume haifikii hiii moto babu
Ohooo muda tena
So more action movie
Mnajua xanaaa
Yani nimeweka bundle ili ni watch mmenifelisha
kbs ni umoja
Kwa 6:00pm haifiki😂🤣🤣
the best film
Iko faya
Unyama San 🔥🔥🔥
nimewaelewa
Hii n balaaa
Muwe muna weka na part 2 bc awu mnatak ni 😭
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙏🙏🙏❤❤❤
Mnajua xana
🔥🔥💪💯
Bado siku ngap vile
Cool
Hii move kl
Boda boys tdm nice
Kz mnaifahamu
Ehee bana mkono htr