Tengeneza bodi yako na kombe lako uweke iyo kanuni yako ya kijinga yaan tofaut ya magol inaonyesha nan bora na nan kamzid mwingine sas kama magoli yatalingana ndo iyo unayosema itatumika kuamua ...acha mapenz na timbu mbovu itakuua kwa presha na msongo wa mawazo😂😂
@@ochungoswamezoea kuwalipia gharama timu zisizo na uwezo wa kifedha mechi za mwisho wa ligi na wao kupeta na kupata nafasi ya kupata ushindi lkn kwa sasa mianya yote inayoweza kutumika na simba imezibwa timu zinashindana kwa uwezo wao.....😊😊😊😅😅😅
Wanaotaka simba aende ligi ya Zanzibar huku bara wanaona tim zote sasa hv zina wadhamini sio kama zamani timu hazina wadhamini hata nauri za kusafili walikuwa hawana lakin sasa hv tim zote zina wadhamini hawawezi kuzihonga kama walivyokuwa wanafanya zamani ndio maana wanataka kukimbilia Zanzibar kwa kuwa wanaona ligi ya Zanzibar haina wadhamini wa kutosha na timu zao sio imara
Nchi hii imejaa uenge mtupu yani timu tano anamiliki mtu mmoja hapo unazani kuna ligi au usengee GSM anamiliki timu zisizo pungua 5 unazani hapo lingi inakua au inashuka maana hizo timu 5 zote anazo miliki hata pointi anajichukulia tu sasa kwasimba toka simba inakuwepo haijawah kuhonga pesa ili ipate point ila yanga ilikua inafanya hivyo miaka yote mimi kama mimi naona biongoz waselikali wengi ni wanaidhamini yanga sasa ukiona viongoz wa sisiem wanaidhamini timu moja unazani wanaikuza ligi au wanaishusha viongoz wengi hawajitambui kabisa hata mimi ambae sijasoma siwez fanya upuuz huu haraf nikiongoz wannchi simba inapigana na viongoz wasiopungua 10 kwenye timu moja sasa huoni kua niusenge mtupu mimi ni bora nishabikie mipira ya ulaya nasio mpira wa hapa kwetu naona niuouuz tu nakupoteza muda wangu
Caf haiamui ligi iendeshwe vipi mfano england wanaangalia goal difference wakati spain ni head to head kwa hio juu ya upatikanaji wa ushindi juu ya ligi usika ipo juu ya shirikisho la mpira wa ligi husika
Tofautisha kanuni ya CAF wakati tyr timu ishafuzu katika hatua ya makundi au mtoano...tambua CAF inachukua timu bingwa kutoka kwenye nchi au chama cha mpira kutokana na kanuni za shirikisho husika...maana kuna nchi zina league mbili hivyo sheria ya CAF haifanyi kazi katika level za ngazi ya kitaifa....😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mjumbe yupo vzur sana kuzielezea kaknuni..Big up
SIMBA SPORT CLUB ❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO
WE MWANDISHI KENGE ACHA USIMBA WOTE HAWAPO KWENYE NAFASI YA PILI,AZAM YUPO NAFASI YA PILI SIMBA YUPO NAFASI YA 3 ANAGOMBEA NAFASI YA 2
Wamepelekewa utamu wabara wanaona wivu😮
Mi naona simba ingejiunga na ligi ya zanziba kuliko hp dr
We mbona ujajiunga nayo
Kuna watu watakufa wakija sikia bingwa azam simba ni wapili na ndiyo wanashiriki ligi ya mabingwa
Yan akuna watu wasenge kama Hawa viongoz wa bod ya lig niwasenge sana iv nyie zile kad nyekundu mbona amsemi
Simba Bora angejiunga na ligi ya zanzibar ili muwe na amani na timu zenu apa Tanzania
Ajiunge na mama yako tu
Sasa Simba kafungwa mabao mengi,na kafunga magol machache.
Acheni uongo mmechagua timu zenu ili zipate ubingwa
Kanuni za kibwege kabsa,Bora ingetumika kanuni ya hed to hed tmu zilizopokutana Nan alimfunga mwenzake
Kila mashindano na kanuni yake....tulia mlambe dawa...
Tengeneza bodi yako na kombe lako uweke iyo kanuni yako ya kijinga yaan tofaut ya magol inaonyesha nan bora na nan kamzid mwingine sas kama magoli yatalingana ndo iyo unayosema itatumika kuamua ...acha mapenz na timbu mbovu itakuua kwa presha na msongo wa mawazo😂😂
apo anataka abebwe mtu mzmaaa
Mmemruhusu gsm ahalibu ligi kwa maslahi
Tengeneza ligi yako ili usimruhusu mtu kuiharib mapenzi na timu mbov yatakuua kwa wivu
@@ochungoswamezoea kuwalipia gharama timu zisizo na uwezo wa kifedha mechi za mwisho wa ligi na wao kupeta na kupata nafasi ya kupata ushindi lkn kwa sasa mianya yote inayoweza kutumika na simba imezibwa timu zinashindana kwa uwezo wao.....😊😊😊😅😅😅
Na goli la faulu lingepewa alama tatu sababu n gumu zaidi kulifunga
Wanaotaka simba aende ligi ya Zanzibar huku bara wanaona tim zote sasa hv zina wadhamini sio kama zamani timu hazina wadhamini hata nauri za kusafili walikuwa hawana lakin sasa hv tim zote zina wadhamini hawawezi kuzihonga kama walivyokuwa wanafanya zamani ndio maana wanataka kukimbilia Zanzibar kwa kuwa wanaona ligi ya Zanzibar haina wadhamini wa kutosha na timu zao sio imara
Wew kweli maseke
Nchi hii imejaa uenge mtupu yani timu tano anamiliki mtu mmoja hapo unazani kuna ligi au usengee GSM anamiliki timu zisizo pungua 5 unazani hapo lingi inakua au inashuka maana hizo timu 5 zote anazo miliki hata pointi anajichukulia tu sasa kwasimba toka simba inakuwepo haijawah kuhonga pesa ili ipate point ila yanga ilikua inafanya hivyo miaka yote mimi kama mimi naona biongoz waselikali wengi ni wanaidhamini yanga sasa ukiona viongoz wa sisiem wanaidhamini timu moja unazani wanaikuza ligi au wanaishusha viongoz wengi hawajitambui kabisa hata mimi ambae sijasoma siwez fanya upuuz huu haraf nikiongoz wannchi simba inapigana na viongoz wasiopungua 10 kwenye timu moja sasa huoni kua niusenge mtupu mimi ni bora nishabikie mipira ya ulaya nasio mpira wa hapa kwetu naona niuouuz tu nakupoteza muda wangu
Ww ni mwehu.
Mashindano ya CAF unasonga mbele kwa head to head mkifungana point , VP TFF mpo chin ya shilikisho gani la mpira AFRICA.,
Caf haiamui ligi iendeshwe vipi mfano england wanaangalia goal difference wakati spain ni head to head kwa hio juu ya upatikanaji wa ushindi juu ya ligi usika ipo juu ya shirikisho la mpira wa ligi husika
Tofautisha kanuni ya CAF wakati tyr timu ishafuzu katika hatua ya makundi au mtoano...tambua CAF inachukua timu bingwa kutoka kwenye nchi au chama cha mpira kutokana na kanuni za shirikisho husika...maana kuna nchi zina league mbili hivyo sheria ya CAF haifanyi kazi katika level za ngazi ya kitaifa....😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwan mbona siwaelewi nyie tff
Ina maana yule bingwa mara 30 ni wa mchongo!!!
Acha mapenz na timu mbov utakufa mapema na mawivu yakijinga
Hizo ni data ukichukuwa Mara 22. Ukipunza 7simbaitakuwa 15na Yanga 23.shida iko wapi mzani si uta balance Tu...😅😅😅😅