Karibu Ikolo Kyela, mashindano ya ngoma. African dance, Nyakyusa tribe in Tanzania

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Enjoy Nyakyusa dance from Mbeya, kyela. Tanzania (East Africa)

Комментарии • 36

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 2 года назад +1

    Home is best

  • @ayubublack-rp8im
    @ayubublack-rp8im 3 месяца назад

    Hii ndiyo ilikuwa ngoma nzitoo kweli hakika ilikuwa na radha hii ngoma

  • @tomasmwakagile5796
    @tomasmwakagile5796 3 года назад +1

    Jamni jamn kokaja konunu musika tunaomba msaada kutultea ilig'oma lya njesiningo la ngonga wapinzani wa bagamoyo marehem Kanjanja na Frakison Mwailoka pumziken kwa amani muliwakilisha vyema ngoma ya ngonga Mamaaaaaaa Baifo kabhole eg'ombeeee kubwabwakumuuuu mwe mwe mweeeee

  • @belinamwambeleko370
    @belinamwambeleko370 Год назад

    Ndaghafijho bhakaka mwe

  • @victormalewo7204
    @victormalewo7204 6 лет назад +2

    Napenda sana nyimbo za asili za nyakyusa, mwenye DVD naomba tuwasiliane...

  • @ayubublack-rp8im
    @ayubublack-rp8im 3 месяца назад

    Hii ndiyo mbangamojo niliyo kuwa nahifahamu na siyo hii ya mayere

  • @victorsomba867
    @victorsomba867 6 лет назад +2

    Ghafla Sana nimekumbuka nyumbani wenye ratiba nipeni mapeeema jamani. Kasanga Ndo nyumbaniiiiiii

  • @mariajulius943
    @mariajulius943 5 лет назад +1

    Mweee mngubwiswe kutali loli kumwitu kwa kyela kumakoko uwiii

  • @davidbwandilo3864
    @davidbwandilo3864 5 лет назад +1

    Njobhepo limo, twe twa bhaijolo tukuti abha ijolo bhakakinagha kumaka fijo bho ulu bhikukina abha mmasiku agha.
    Abha ijolo bhajagha bhatine kangi bhifyusi fijo.
    Bhakinagha uti itolo bhakigana...!!
    Natamani nipate wadau turudi Kyela/Rungwe turudishe hadhi ya ngoma hii...!!

    • @victorsomba867
      @victorsomba867 3 года назад

      Kwamaana ya kufadhili ama kuanzisha content mpyaa?

    • @davidbwandilo3864
      @davidbwandilo3864 3 года назад

      @@victorsomba867 Nooooo, kwa maana ya kuurudisha uchezaji wa zamani. Uchezaji wa taratibu, staha, usiotumia nguvu, usiomlazimisha mchezaji kutokwa jasho jingi. Uchezaji ng'oma wa kitanashati, wa kunata kama hawataki vile. Siyo huu wa kukata kata mauno na mengineyo

    • @davidbwandilo3864
      @davidbwandilo3864 3 года назад

      @@victorsomba867 Yaa, pamoja na kufadhili ikibidi. Kutoa elimu ya umuhimu wa kutunza asili. Nawapenda sana wamanda kwa sababu wameweza ku maintain uchezaji wao tangu zamani zileeeee

  • @humphreymwamatandala3669
    @humphreymwamatandala3669  8 лет назад +5

    mimi mpenzi wa ngoma hizi. walinisimamisha pale bujonde na kunipigia hiyo ngoma, eeee bwana! hawakujua moyo wangu, nilitoa wekundu wawili. lakini hii ngoma nilirekodi kwenye mashindano. swaaaafi. twanwile fijo, twasobhile ne njela.

  • @benardedmin2207
    @benardedmin2207 7 лет назад +1

    ndo kazi zetu msimu ndo huu unaanza karibuni kutukuyu kusauzi mwezi wa saba

  • @markonenula5420
    @markonenula5420 7 лет назад +1

    Duuuu nimeyamix mamy'oma

  • @oscarmwambinga9869
    @oscarmwambinga9869 Год назад

    Muwe mnaweka namba za sm

  • @emmyiponea6461
    @emmyiponea6461 6 лет назад +1

    daaa enzi hizooo!!

  • @williammwajeka3347
    @williammwajeka3347 5 лет назад +1

    Hii ndio burudan yang mm 😂😂😂

  • @festoeliabu2392
    @festoeliabu2392 6 лет назад +1

    Tuonane ndoobho kesho"""" mwebha mweeee bhukile lelo

  • @uswegemwakatebe4651
    @uswegemwakatebe4651 8 лет назад +2

    Kaka Humphrey mambo yanakwenda lakini? aisee asante sana kwa kuturudisha kukaja. linga galipo agangi sopelangamo itolo

  • @mussaeliud9006
    @mussaeliud9006 7 лет назад

    duh! kyela noma sana

  • @humphreymwamatandala3669
    @humphreymwamatandala3669  5 лет назад +1

    Kukaja kununu, hakuna kama nyumbani.

  • @ancomagu8531
    @ancomagu8531 6 лет назад

    mweeeeeh nsyukile kukajha

  • @emmyiponea6461
    @emmyiponea6461 6 лет назад +1

    abha kukaja mwee

  • @tusemwandambo6747
    @tusemwandambo6747 5 лет назад

    mwendaga mweee

  • @knurft3
    @knurft3 7 лет назад

    Like als je nederlands bent

  • @humphreymwamatandala3669
    @humphreymwamatandala3669  8 лет назад +2

    vipi wewe uswege za siku? huko wapi sasa?

  • @odyambomuliro5817
    @odyambomuliro5817 7 лет назад

    Bhangumbwisye Kukaja amagoma

  • @robatimwambakare6715
    @robatimwambakare6715 5 лет назад

    kukaja ukooooo

  • @godloveadamu4379
    @godloveadamu4379 6 лет назад

    Kukaja kununu

  • @victorsomba867
    @victorsomba867 6 лет назад +1

    Ghafla Sana nimekumbuka nyumbani wenye ratiba nipeni mapeeema jamani. Kasanga Ndo nyumbaniiiiiii