Mkiweza kuwa serious mko vizuri mno, benchi ya mbele hamko active kabisa yaani, mikiweza kumtii mtiribu tu basi mtafika mbali, mnasimamishwa lakini kila mtu Yuko busy na yake hatimaye zinakuja kuwa step mbili Kwa wakati Moja, mkiamua kuwa live basi twahitaji kuwaona na umoja kama KMK wao hujiandaa
I'm from Rwanda, kbsa minafulahi sanaaaa kuahii Kazi yenu kwa Eclesia
Love you guys from Rwanda❤
Hadi raha ya kuwa mkatoliki daima ❤❤❤❤❤❤❤ I'm proud to be a catholic
Yaap kuwa mkatoliki ni raha sana .
Mwalimu uko vsr sana pamoja na wanakwaya wenzako wote mko vsur hongereni sana🙏
Naangalia hata siimalizi nairudia mko vizur sana hongeran sana mungu awabarki sana
choirmaster anafurahia kipawa chenye mungu alimmpe barikiwa sana pamoja na choir yote
Amina Sana🙏🏼
Good performance much appriciations kwa mtiribu
Konda kipaji unacho mungu akubarki xana
So amazing... A proud to be a Catholic... I have seen God amen
Aiiiiiiiiiiiiii !!!! Walahi kaka gasper watishaaaa mnooooo🧎🧎🧎🧎🧎🧎
Woow yan nimelipenda hili vibe jmn🤗🤗🤗 mwaaaaaah😋😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘❤❤❤❤❤❤
Napenda uimbaji wa aina hii, mungu awabariki daima, proud to a Catholic
Ubarkiwe sana konderkita nimekupenda sana❤❤❤❤❤
Hongereni wana fransisco wenzangu nafurahi kuwaona mmefanya vyema sana ila nawashauri Mt. Fransico hajulikani kwa mavazi mekundu
I just love the conductor 😍😍😍😍😍👏👏👏👏👏👏👏
am proud to be a Catholic, everything is organized well🔥
Hakika kwaya tamu sanaa ,mbarikiwe sanaaa ,kuimba ni kusali mara mbili ,Mwenyezi Mungu azidi kuwapa nguvu na imani thabiti ya kuzidi kumtumikia
Kondacta huyu huwa ananifurahisha htr hongera bro Kwa kipaji ❤
When i see this i literally go crazy😭😭😭😭😭😘😘😘😘😘😘😘😘😘.
Vibeee la kwaya masta ni kibokoooo 🙏🙏🙏👏👏👏. Proud to be Catholic
Mungu awabariki kwa kwa kazi nzuri
Huyu mwalimu sasa 🙌🏻🙌🏻 ametisha sana salamu zimwendee kabisa 🙏
Mungu wa Mbinguni awape fungu katika uzima wake wa milele🙏
Amina🙏🏼🙏🏼
Asee mubarikiw konderkita nimempenda bure
Sio poa mnatsha baribuni vigozi mbagala
Nawakubari xana had Raha jamn kuwa mkatorik rahaaaaa
Tres douce musique catholique , louez l,eternel
Asanteni kwa uimbaji mzuri
Nawapenda mno segerea tumewamiss
Hongeren sanaaa bonge la vibee.
Hongereni sana SFAT family nawapenda sana
Sichoki kumwangalia mtiribu jmn aongezewe mara dufu na wanakwaya pia😊😊
Wow bellissimo!!!!!
Mwanangu Japhet Mbaga.. organist big up......mtiribu amenikoshaaa ....Japhe mpe pongezi mtiribu😄😄
Nice song amen
choir master ❣️
Saafi sanaaaaa 👏👏👏
ahsantee Sanaa🙏🏼 Mungu Ni Mwema🙏🏼
I like the choirmaster
Nawapenda
Most favourable in the world 🌍
Kwaya nzuri sana
Choir director super amazing job
Mkiweza kuwa serious mko vizuri mno, benchi ya mbele hamko active kabisa yaani, mikiweza kumtii mtiribu tu basi mtafika mbali, mnasimamishwa lakini kila mtu Yuko busy na yake hatimaye zinakuja kuwa step mbili Kwa wakati Moja, mkiamua kuwa live basi twahitaji kuwaona na umoja kama KMK wao hujiandaa
Soprano sijui kwann wanakuaga hivo ukiangalia kwaya zote yani. Ujuaji wao unawaponzaga saana
Familia❤😊
Congratulations 🎉🎉family
Mnaimba vizuri Sana... nawapenda Sana....karibuni kenya tuinjilishe
Asante sana naam
Kwa uwezo wa Mungu tutafika tuombe uzima 🙏
Dada unayepiga kayamba nmekupenda ,your Smile,your vibe and everythng🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
no coment on that
@@kwayayamtfransiskowaasizis5067 ongera Yesu mwenyemwema
Hili vibe limepokelewa mpk mbinguni,hongereni sana.
Amina kubwa
Wow🎉🎉🎉🎉
Inapendeza
Wimbo mkali jameni🎉🎉
Big up sana wana SFAT.
Baraka ni nyingi sana
Mbarikiwe sanaa
Amazing
Woooooow
Nakaaa kusahishwa daima katika maisha mavazi yake ni udongo i.e Brown na Kijivu na labda Nyeupe ya Utakatifu wake wenzetu nyekundu mlitoa wapi
Where can I gather the lyrics to the song please...beautiful voices 🎉🎉
From kenya
Nawakubali kinyama machali zangu huyu kwaya master aje arusha hata cku moja ataludi DSM akiwa viwango vya dunia aloo nitawatembelea cku moja
♥️♥️♥️♥️♥️ waoooo
Good perfomance nowdays u a doing good.....🙏🙏🙏
Kanisani ni kanisani conductor unatupigaa kambaaa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀tafsiri yake ni kwamba wanakwaya pia walipaswa wajifute jasho as u did...
❤❤❤❤💃💃💃💃
Safi sana
..
Raha sana kuwa katolike
💥
💪👏👏👏👏👏
😍😍
Madoido mengi kanisani
❤❤
🔥
Good work guys
♥️♥️
Good song. Simon From Namibia
Inapendeza
❤❤❤❤