NIMEMUONA MUNGU YULEE - MT. FRANSISKO WA ASIZI (SFAT) TIA NA B. MUKASA (Sunday Mass)
HTML-код
- Опубликовано: 14 янв 2023
- Kwaya ya Mt Francisco wa assiz TIA wakiimba wimbo wa Mungu Yule (B.Mukasa) wakati wa Ibada ya Misa Takatifu Parokia ya Mtakatifu Maurus Kurasini si
Видеоклипы
Naangalia hata siimalizi nairudia mko vizur sana hongeran sana mungu awabarki sana
I'm from Rwanda, kbsa minafulahi sanaaaa kuahii Kazi yenu kwa Eclesia
Hadi raha ya kuwa mkatoliki daima ❤❤❤❤❤❤❤ I'm proud to be a catholic
Napenda uimbaji wa aina hii, mungu awabariki daima, proud to a Catholic
Mwalimu uko vsr sana pamoja na wanakwaya wenzako wote mko vsur hongereni sana🙏
am proud to be a Catholic, everything is organized well🔥
Love you guys from Rwanda❤
So amazing... A proud to be a Catholic... I have seen God amen
Good performance much appriciations kwa mtiribu
Kondacta huyu huwa ananifurahisha htr hongera bro Kwa kipaji ❤
Mungu awabariki kwa kwa kazi nzuri
Ubarkiwe sana konderkita nimekupenda sana❤❤❤❤❤
Asee mubarikiw konderkita nimempenda bure
Vibeee la kwaya masta ni kibokoooo 🙏🙏🙏👏👏👏. Proud to be Catholic
When i see this i literally go crazy😭😭😭😭😭😘😘😘😘😘😘😘😘😘.
Woow yan nimelipenda hili vibe jmn🤗🤗🤗 mwaaaaaah😋😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘❤❤❤❤❤❤
Nawakubari xana had Raha jamn kuwa mkatorik rahaaaaa
choirmaster anafurahia kipawa chenye mungu alimmpe barikiwa sana pamoja na choir yote
Amina Sana🙏🏼
Aiiiiiiiiiiiiii !!!! Walahi kaka gasper watishaaaa mnooooo🧎🧎🧎🧎🧎🧎
Asanteni kwa uimbaji mzuri
Kwaya nzuri sana
Huyu mwalimu sasa 🙌🏻🙌🏻 ametisha sana salamu zimwendee kabisa 🙏
Sio poa mnatsha baribuni vigozi mbagala
Nawapenda
Tres douce musique catholique , louez l,eternel
Hongereni wana fransisco wenzangu nafurahi kuwaona mmefanya vyema sana ila nawashauri Mt. Fransico hajulikani kwa mavazi mekundu
Hongereni sana SFAT family nawapenda sana
I like the choirmaster
Sichoki kumwangalia mtiribu jmn aongezewe mara dufu na wanakwaya pia😊😊
Hakika kwaya tamu sanaa ,mbarikiwe sanaaa ,kuimba ni kusali mara mbili ,Mwenyezi Mungu azidi kuwapa nguvu na imani thabiti ya kuzidi kumtumikia
Saafi sanaaaaa 👏👏👏
ahsantee Sanaa🙏🏼 Mungu Ni Mwema🙏🏼
Hongeren sanaaa bonge la vibee.
Most favourable in the world 🌍
choir master ❣️
I just love the conductor 😍😍😍😍😍👏👏👏👏👏👏👏
Mungu wa Mbinguni awape fungu katika uzima wake wa milele🙏
Amina🙏🏼🙏🏼
Wow🎉🎉🎉🎉
Mwanangu Japhet Mbaga.. organist big up......mtiribu amenikoshaaa ....Japhe mpe pongezi mtiribu😄😄
Nawapenda mno segerea tumewamiss
Inapendeza
Mkiweza kuwa serious mko vizuri mno, benchi ya mbele hamko active kabisa yaani, mikiweza kumtii mtiribu tu basi mtafika mbali, mnasimamishwa lakini kila mtu Yuko busy na yake hatimaye zinakuja kuwa step mbili Kwa wakati Moja, mkiamua kuwa live basi twahitaji kuwaona na umoja kama KMK wao hujiandaa
Soprano sijui kwann wanakuaga hivo ukiangalia kwaya zote yani. Ujuaji wao unawaponzaga saana
Congratulations 🎉🎉family
Woooooow
Familia❤😊
Wow bellissimo!!!!!
Big up sana wana SFAT.
Choir director super amazing job
❤❤❤❤💃💃💃💃
Wimbo mkali jameni🎉🎉
Amazing
Raha sana kuwa katolike
❤❤❤❤
Mnaimba vizuri Sana... nawapenda Sana....karibuni kenya tuinjilishe
Asante sana naam
Kwa uwezo wa Mungu tutafika tuombe uzima 🙏
Dada unayepiga kayamba nmekupenda ,your Smile,your vibe and everythng🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
no coment on that
@@kwayayamtfransiskowaasizis5067 ongera Yesu mwenyemwema
Hili vibe limepokelewa mpk mbinguni,hongereni sana.
Amina kubwa
💥
♥️♥️♥️♥️♥️ waoooo
Good perfomance nowdays u a doing good.....🙏🙏🙏
Kanisani ni kanisani conductor unatupigaa kambaaa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀tafsiri yake ni kwamba wanakwaya pia walipaswa wajifute jasho as u did...
Nakaaa kusahishwa daima katika maisha mavazi yake ni udongo i.e Brown na Kijivu na labda Nyeupe ya Utakatifu wake wenzetu nyekundu mlitoa wapi
😍😍
💪👏👏👏👏👏
Nawakubali kinyama machali zangu huyu kwaya master aje arusha hata cku moja ataludi DSM akiwa viwango vya dunia aloo nitawatembelea cku moja
Madoido mengi kanisani
Safi sana
..
Baraka ni nyingi sana
Mbarikiwe sanaa
❤❤
🔥
Where can I gather the lyrics to the song please...beautiful voices 🎉🎉
From kenya
Good work guys
♥️♥️
Good song. Simon From Namibia
Inapendeza