Hongera sana Harmo,hakika wewe ni.mtoto wa kimasikin uliepigana kupata ugali kama wengine nakuombea Mungu azidi kukupa nguvu na ubunifu zaidi ufanikiwe zaidi na awalinde vijuso wewe na Kajala muishi maisha ya furaha.
Mwijaku umenitowa machozi mimi maskini ninaepambana na kupitia mengi magumu kama harmonize Mungu aendeleye kutusimamia kwenye safari yetu yakusaka tonge
Apo kwa miaka #Mwijaku umetuongopea. Paula ako 20yrs right now. Kazaliwa 2002 sasa kama mamake ako 31-32 inamaana alimzaa akiwa 11-12yrs! Mwijaku bwanaaaaa.
Kajala mwenyewe alishasema alizaa akiwa namiaka 19,paula anatimiza 20 hivi kalibuni kwamaanaiyo kajala yuko na 39,mwijaku achakutia chumvi kama wamependana wenyewe umri namba tuu
Daaaah Mwijaku namkubali sn yaani ijapokua aliingia ubia kibiashara na Diamond na alishawahi kuwa naye karibu hadi kujirecord lakini yeye anasimamia misimamo yake ya kumwambia ukweli Diamond kuhusu kubadilika kitabia.
This Mwijaku is really comedian and knows how to act he should get award
🤣🤣🤣
Kwa kwel Mwijaku 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿 anajua sana kuigiza huyu jamaa
😅😅😅I do agree with you 💯
I'm telling you I Love him 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂🤣🤣
Dah Mungu wetu zote,skhamo mapenzi,I wish them the best,mwijaku Mungu ata kulipa 👏🏾💍
😍😍😍
Mchimvi mwijaku analia uongo jambazi huyo
Kajala +Harmo 😍😍😍😍😍tuko proud and happy for you
Mwijaku he so a motion 🥲 congratulations harm and kajala ❤️
Sns nawapenda San Tena Sana j'aime tellement 🇧🇮❤️🇷🇼
Ni kweli harmonize amepitia maisha magumu ila siku zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawe big up konde we love you❤❤ forever
Poor boy 👦 😢 to rich man...Mungu Nani
Wallah mwijaku amenitoa machoz anachokisema ni kweli kbs harmo amepigwa saana majungu ila ameweza kusimama 😭🤲🇹🇿🇶🇦
Amepigwa majungu na nani?? Mna force bifu wenyewe ili muende mjini.
@@kassimrajabu7805 unaishi dunia gani kaka atakama akili haifanyi kazi macho pia hayakuonei
The man of the Day, #MWIJAKU🙌💪
This guy is very tricky, anajua mbinu nyingi Za kuchangamsha mziki Wa Harmonize
😂
Kwli harmo umenifurahisha sana 🥰🥰🥰🥰mungu akulinde kw Kila jambo lako utakalokwenda kulifanya liwe la heri inshallah 🙏🙏🙏🙏
Yoooo Mwejaku asantu kwa dua kajala ata bingu unakushuhudiya iko uwenafuraha dada ,kukosa mwanaume katika maisha yako
love you so much mwijako you help konde so much welldone kajala you take him back you are a good women i wish you guys the best of the best konde love
Hio ndio dua MashaAllah🥰😍❤Hongera sana kwake, I hope harmo don't play with our girl.
🤣🤣🤣 This is funny but congrats to Tembo he didn't listen to people like Diamond did
Kwa mara ya kwanza nimeona una deep feeling kwa jambo la Harmo.
Ignorance...he's acting
🥺
Mungu awaipushe na hasad hormonize na kajala🙏🤲🤲
Kabisaaaa
@@junior-zj6bs don't judge
God bless harmonize and give him happiness.. mwijaku umeeleza vizuri shukran Kaka. wishing you all blessings and happiness in your life ❤
Mwijaku Ana degrees mpaka za drama, ni impossible kumtenga. That's why mwambino, Ali na hormo wote wana mupiganiya. Ila anampenda harmo zaidi.
🤣🤣🤣konde genge tuko hapa INSHAA ALLAH
😂
😂😂😂hii nchi ina uhuru sana tunamajonzi wenzio
Nampendaga sana huyu mwamba
Alhamdulilah. Mungu alinde hiyi Couple naipenda.Shekh Mwijaku u inspire me.May Allah protect you with your family
Amiin
I really love this guy 🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
Harmonize ni mfano mzur wa kuigwa,kwenye maisha hatupaswi kukata tamaa we have to fight
Hongera sana Harmo,hakika wewe ni.mtoto wa kimasikin uliepigana kupata ugali kama wengine nakuombea Mungu azidi kukupa nguvu na ubunifu zaidi ufanikiwe zaidi na awalinde vijuso wewe na Kajala muishi maisha ya furaha.
NAAAM 🤲🤲🤲🤲YAA RABII NA KWA SOTE PIYA INSHAA ALLAH
@@fatimahahmadlamar1241 Allahuma Aamiin!
Blessing to Them Harmo and Kajala Love them a lot
Mwijaku❤❤❤
♥️
I really like this guy. Mwijaku you really know how to 🎬. Dam
Harmonize na kajala .. inshaallah kheri mungu awafungulie maisha mazuri na mackizano.
Huyu jamaa namkubali sana anaongea point
That's true my brother
Mwijaku umenitowa machozi mimi maskini ninaepambana na kupitia mengi magumu kama harmonize Mungu aendeleye kutusimamia kwenye safari yetu yakusaka tonge
Amin inshaAllsh yarab
Tanzania nchi yangu nakupende😆😆😆😆
"Nafikiri jambo muhimu ni kusamehe"it's already a past let's build our stronger future
Konde gang 4 ever.mwikaju u r the best 👌👍
Ili jamaa kweli lisanii sana linajifanya kulia kinafki😂😂😂😂😂😂
Hii dunia y sasa lazima ufake ndio utoboe kila anajua anavyo tafuta riziki 🤣🤣🤣🤣ila mwijaku
Eeh Mungu Amakwel mkubwaa nmefarijika kuona hilii 🥰
Nimeliaaa😭😭😭
😳
@@yuzzohcrayze 🙄
😂🤣🤣🤣🙌
Unamatatizo yako😂😃
Konde boy for life
Yani umeogea maneno mazuri sana sana mungu awape wepesi na ww pia
Ameen ya Rabbi
♥️
Brother mwijaku jichunge sana kaka maisha na biashara nivitu viwili tafauti tuone sasa kama ndo atakuja kufunga Ramadan
😂
Sasa kufunga ni lazima aje kukutaarifu?
@@songamberetv2219 hahahahaaas
Kiaje asifunge...tuone iyo vip😏😄
Uyo anaenda kufunga ndoa ya kikiristo atafungaje tena ramadhani
Mwijaku kaupinga mwingi
😂😂😂😂😂 mwijaku hii xaxa kali aisee # emmmmmmoooootional dammmmmmage 🤣🤣😂
Mwijaku mwijaku baba 🤣🤣🤣🤣 ila yote inshallah 🥰🥰🥰✊
DC ana liya ana kohoa kaupiga mwingi 😂😂😂😂😂😂😂
Apo nimecheka mm😅😅😅
DC mwijaku ni mtu safi Sana Hana makuu, anaweza akakushauri ukatoboa kimaisha dah maisha marefu DC
Haki Mwijaku huwa wanifurahisha Sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😀😀🤩🥰ila nawapend jaman il mwijak umenifuraisha
Dah huyu Mwijaku🙋🏾♂️ hatotokea copy yake... Sijawahi ona hii type duh🙋🏾♂️... Ikitokea changamoto ya ndoa yao atakuja ongea mengine hapa🙋🏾♂️😅
Apo kwa miaka #Mwijaku umetuongopea. Paula ako 20yrs right now. Kazaliwa 2002 sasa kama mamake ako 31-32 inamaana alimzaa akiwa 11-12yrs! Mwijaku bwanaaaaa.
Kajala mwenyewe alishasema alizaa akiwa namiaka 19,paula anatimiza 20 hivi kalibuni kwamaanaiyo kajala yuko na 39,mwijaku achakutia chumvi kama wamependana wenyewe umri namba tuu
@@mwajumaomar3648 ushasema my dear...eti hajafikisha ata 36 kwiooo. Uyu ata 40 ashawasili
Noma sana
Daaaah Mwijaku namkubali sn yaani ijapokua aliingia ubia kibiashara na Diamond na alishawahi kuwa naye karibu hadi kujirecord lakini yeye anasimamia misimamo yake ya kumwambia ukweli Diamond kuhusu kubadilika kitabia.
Hapo kwenye mawaidha sasa,Sema Una akili sana wewe mwamba 😂🙌
ila Mwijaku amenishinda tabia
This guy deserves to be paid by Harmo kama kuna kulipana 😜
Jamani mwijaku kwanini usijiunge bongo move
Upandishwe cheo cha uchawa umetish DC🤣😍
🤣🤣🤣🤣🤣 Mwijaku mweye roho yake zuri. Congratulations H&K
Hormonize and kajala mungu awafungulie kila lenye kheir nani 🙏🤲🤲
Nakupend mwinjaku 🥰🥰
Amen amen amen 🙏
Yaan mwijaku analia mimi nacheka😂😂😂,yaan huyu ni msanii bila interview yeyote
Jamen 🙏🙏
Duuh ❤🙌
jeshi👏
❤
God be with them
Jaman nakupenda bure kweli wew nilafiki wakweli
Hakuna ndoa kati ya Muslim na mkristo
Toa Dua kiswahili.
Hapo unajiombea mwenyewe na sio mwengine.
Kuna *LI* (MIMI) na *LAHU* (YEYE)
FIRLII and FIRLAHU
Kweli kbs
Hatari
Kisha piga zake miadarati huyoooo,,,,,njaaaa tupu
Eeee hii Tanzania inamambo jamani 😂😂😂😂😂😂
wallahy😂😂🙌
Tanzania kiboko kwa drama loh 😂😂😂😂
kwa mamlaka nilyopewa n youtube nakutunuku Burton Mwemba (Mwijaku) bachelor degree of science in drama and trick engeneering 😂😂😂
Inshallah
7:00 😉😉 kilio
Nafkiri mwijaku is more fun than what he's say.only genius people can understand
🤩🤩DC kama DC maisha Yana Siri sana
ww umekut wapi mkiristo kuolew na muislam mnafik wa dini yake t huy na iz dua siv unavo somwa
Mapenzi Sio Kabila wala! Dini man kasome!
Dc anavituko Kweli Kweli 🤣🤣😁😁
😂
😂😂😂 bongo visa mweee! Faraja ya muda gani? Wásanii ni wasanii
@@yuzzohcrayze 🤣😁
@@MsAggie5 😁🤣
Mungu alitwambia tujufunze kusamehana.haijalishi Kosa kubwa au dogo
Mwaijaku 😃😃😃😃
Ehhhh... Mwijaku,hivi inatoka moyoni au ndio maigizo yako ya siku zote!!!!🤔
😭😭🤝❤️🐘
Hiki kichwa kitafika mbinguni kikiwa taaban sana daah jaku boy ataree sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
🤣🤣 nimejikuta nacheka kisa mwijaku
😃😃😃😃😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hehehe hehehe...hivi kwa mfano nahamaje bongo?
Mwijaku taniu jamani 😂😂hadi walia
Mwijaku bwana
huna akili
Dc bonge la actor #category imemfit🤣🤣🤣
😂
DC, MWIJAKUU
Mwinjaku. Ww unakula kupitia mdomo. Kwelii khaa.
Je ndoa itafungwa kwenye dini hipi?
Nathaniel Kila mtu atabaki na dini yake..sidhani kama Kajala atabadilisha dini
Mwijaku umenichekesha sana ndugu yangu hapo unavyotembea huku unalia 😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu ni muongo sana lahaullah wallah kuwatta.
DC muongo sana kesho uta muona na diamond
Nilicho penda zaid kwenye shuhuli ya leo hajatajwa m2 wa wcb sio kama baba levo maana hawez kufanya interview bila kutaja harmonize
Mh had mwijaku🙈🙈
Kkkk uyu kaka anajuwa kuigiza