MKE WA ANKO ZUMO MUME WANGU HAKUNIAMBIA KAMA KUNA NDOA NILIONA PICHA ZA HARUSI MTANDAONI SIKUAMINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online
    #wasafi,#diamondplatnumz,#alikiba,#harmonize,#ushamba,#nandyftalikiba
    ,#nibakishie,#Wasafitvlive,#instalive,#RUclipslive,#Mboso,#lavalava,#zuchu,#koffieolomide,#diamond&kofiiolomide,#waah!,#waah!challenge #lavalava,kwaru,wcb,raha,#alikiba,yope,#rayvanny,#diamond,#bachela,#gere,#kwangwaru,#aslay,#missbuza,#thestorybook,#nanusu,#tetema,#nandy,#rayvanny,#lavalava,#hakuna kulala,#wasafi,#marioo,#live,#whozu,bedroom,#zuchu,mama,ashua,tamba,corona,harmonize,#afro east,#linawachoma,#chadema,#rostam,#dodo,#diamond platnumz,#mbowe,wana,mauzauza,#cheche,#amaboko,#zuchu,#uchaguzimkuu2020,#trending,magufuli,#wasafitvlive,nisamehe,#harminze,alikiba,#tundulisu,#nandy,jeje,#ccmlive,#yoperemix #wasafi#,diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,#kamwambie,#harmonize,#makulusa,#baila,#pamela,#iyena,#baikoko,#nikuone,#sijaona,tetema,niteke,#niuwe,#simba,#jeje,#gere,#kanyaga, Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online
    #wasafi,#diamond platnumz,alikiba,#harmonize,#ushamba,#nandyftalikiba,#nibakishie,#Wasafitvlive,#instalive,#RUclipslive,#Mboso,#lavalava,#zuchu,#koffieolomide,#diamond&kofiiolomide,#waah!,#waah!challenge #lavalava,kwaru,wcb,raha,#alikiba,yope,#rayvanny,#diamond,#bachela,#gere,#kwangwaru,#aslay,#missbuza,#thestorybook,#nanusu,#tetema,#nandy,#rayvanny,#lavalava,#hakuna kulala,#wasafi,#marioo,#live,#whozu,bedroom,#zuchu,mama,ashua,tamba,corona,harmonizplatnumz,#mbowe,wana,mauzauza,#cheche,#amaboko,#zuchu,#uchaguzimkuu2020,#trending,magufuli,#wasafitvlive,nisamehe,#harminze,alikiba,#tundulisu,#nandy,jeje,#ccmlive,#yoperemix #wasafi#,diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,#kamwambie,#harmonize remix,#tanzania,#tutorial,#tumewas
    #hakunakulala,#raha,#nisamehe,#bedroom,
    #yopeyoperemix,#kwangwaru,#afroeast,#wcb,#tamba,#nandy,#aslay,
    #nanusu,#mama,#corona,#lavalava,#harmonize,#wasafi,
    #thestorybook,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko
    #sukari,#waah,#hasara,#nobody,#wizkid,#davido,#burnaboy
    #diamondplatnumz,#wana,#kwaru,buza#,jeje,#gere,#baclava,#harmonize,#wasafi,
    #thestory book,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko,#sukari,#waah#,hasara, #wananchiday2020,#wananchi,#yanga,#youngafricans,#yangasc,
    #antonionugaz #yangaleo,#senzo,#alichokisemanugaz,#kambiyayangakigamboninibalaa,#mshindomsola,#wapesalamu,#shutikalitv,#simba,#azamtv,#azamtvmax,
    #azamsports,#morrison,#hajimanara,#diamondplatnumz,#simbasc,
    #manara,#wasafi,#globaltvonline,#barakampenja,#tuisilakisinda,
    #ligikuu,#azamtv,#michezo,#highlights,#azamsportshd,#azamsports2,
    #yanga,#sportarenawasafitv,#sportarena,#tanzanianews,#wasafitv
    #diamondplatnumz,#wana,#kwaru,#hakunakulala,#raha,#nisamehe,
    #bedroom,#missbuza,j#eje,#gere,#bachela,#dodo,#alikiba,#diamond,
    #yope,#yoperemix,#kwangwaru,#afroeast,#wcb,#tamba,#nandy,#aslay,
    #nanusu,#mama,#corona,#lavalava,#harmonize,#wasafi,#thestorybook
    ,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko,#sukari,#shusa
    #wasafi,#diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,
    #kamwambie,#harmonize,#makulusa,#baila,#pamela,#iyena,#baikoko,
    #nikuone,#sijaona,#tetema,#kainama,#niteke,#tamu,#niuwe,#simba,#jeje,#gere,#kanyaga,#sound,#wizkid,#davido,#burnahboy,#chrisbrown,
    #despacito,#inama,#sukari,#shusha #harmonize,#uno,#ibraah,#corona,#covid19,#kondegang,
    #kondemusicworldwide,#diamondplatnumz,
    #wcbwasafi,#rayvanny,#mbosso,#zuchu,#lavalava,#halifa,#snopdoog,
    #davido,african music,#afroeast,#eastafricansound,#afropop,
    #bedroom,#kakatuchat,#sautisoul,#khaligraphjones,#nyanshisk,
    #yemialade,#magufuli,#tiwasavage,#rema,#fire #boy,#joeboy,#skiibii,#gwajima,#joti,#cnn,#mpoki,#salimkikeke,#darasa,
    #bongomovie,#netflix,#samatta,#quarantine,#onenight,#lockdown #swahiliflix #ikulumawasiliano #magufuliliveikulu #chatolive #youtubelive #instalive #jux #ladyjaydee #rostam #stamina #dogojanja #jumalokole #drkumbukauhondo #didashaibu #mashamsham #zarithebosslady #tanashadona #mamadangote #esmaplatnumz #queendareen #uchebe
    #shilolenarommy #babalevo #wolper #kajalanaharmonize #auntezekiel
    #kusah #wasafitvlive #simulizinasauti #Ayotv #rickmediatz #dizimonilne
    #aristote #hamisamobeto #tiffa #koffieolomidenanandy #waa! #diamondnakoffieolomide #papamopao #mwananchidigital #Edigital #middlesimba #ptvtanzania #rayvannysoundofafricaalbum

Комментарии • 547

  • @halyatmohamed9047
    @halyatmohamed9047 3 года назад +2

    Habiba kuwa makini sana hakunaga lafiki mbele ya mumeo kwamaana wanapokuwa karibu watu wawili wenye jinsia tofaut kunakitu kinaendelea

  • @joycekasakisya7755
    @joycekasakisya7755 3 года назад +1

    Mungu awabariki tunawapenda Habiba na anko

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 3 года назад +90

    Mama mai nakupenda bureee,SUPER WOMAN wa nguvu💪

    • @ashamwamba9088
      @ashamwamba9088 3 года назад +2

      Alafu.anachekaaa.mnafikiii.uyooooooo..mashogaaaaaa.jamaniii.mawifiiiiiiiioo.hao.hawaxhangiii.baba.nawaumezenu.kuweni.makiini

    • @midilastahans7188
      @midilastahans7188 3 года назад +1

      Wapuuzi nyie unajichuria sio nakupa mwaka.

    • @neemabakari7061
      @neemabakari7061 3 года назад

      Hatarii

    • @fatumadavd505
      @fatumadavd505 3 года назад

      Mama mai nikwambie kitu mdogo angu hayo mazungumzo ya mumeo kuna vifumbo sana kuwa makini sana na usimuamini hata kidogo hata tabasamu lao tu linaashiria kuna kitu utakuja juta baadae kuwa makin hamna kiki hapo wala nini wanakuchezea picha hao

    • @fatumadavd505
      @fatumadavd505 3 года назад

      Zumo unajichetua tu

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад +3

    Kwaiyo ni kazi

  • @azzasalim2087
    @azzasalim2087 3 года назад +1

    Bora iwe ivo.🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @salamakaliasi9358
    @salamakaliasi9358 3 года назад +1

    Halafu naomba kuuliza hivyo huyo Sara Ana mume kwel?? Kama Hana mume huyooo Habibaa take care

  • @mufadhilmalik7439
    @mufadhilmalik7439 3 года назад

    Mm sijaona tatizo kweli tena

  • @ukhtyrayyan7884
    @ukhtyrayyan7884 3 года назад +3

    Haawa wanaziba watumdomo lakini ili jambo wanalo huenda habiba kasemesha.katulia mbona juzi salha kakubali dagea kamuliza

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 3 года назад +4

    Mwisho wasiku m2 namkemwenza mh 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 3 года назад +10

    Uyo dada ana mpenda anko zumu na wana tombana muda mrefu ila habiba ana cheka cheka tu eti wifi wifi nyooo sio wifi yako ni mke mwenzio

  • @shazmabanky9123
    @shazmabanky9123 3 года назад +11

    Mwaya Habiba pole najua inauma hatakama ni dini inauma tu 🤐

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 года назад +3

    Yani zilikuwa kiki duh wabongo sisi 🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад +1

    Ndio kabla ya kazi Picha zinapostiwa watu Wanachabwa kwanza badaye watu wanasema he kumbe kazi

  • @Iragibarune1.
    @Iragibarune1. 3 года назад +2

    Dah🙄🙄🙄

  • @bitunimtunguja3666
    @bitunimtunguja3666 3 года назад +3

    Nilimuonea mama mai huruma machozi yalinitoka nikamuona anko zumo kama mwanaume asiyena shukrani

  • @sabahiali6021
    @sabahiali6021 3 года назад +1

    Mhh pana jambo apo

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 3 года назад +5

    Wifi yako?

  • @rukiaomar3369
    @rukiaomar3369 2 года назад

    Mbona salha kafanana na Anko zumo ni ndugu kwani

  • @youngdopest6219
    @youngdopest6219 3 года назад +33

    Alosema hatoangalia tena vichekesho vya zumo kama mm agonge like😂😂😂😂

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 года назад +1

    Huo uwifi hewa ipo siku atakuliza kweli

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад +5

    Ao wana. Kwichi kwichi ao habiba kua Makini uyo sio shoga uyo ipo siku utajuta ujue na akuna ushoga Dunia hii

  • @sharifachacha6682
    @sharifachacha6682 3 года назад +1

    kwan huyo dada asiekit na mumewe au bwanake!?? sio powa penzi haligawanyiki.

  • @estherponda790
    @estherponda790 3 года назад +4

    Hao wanatombana babiba uwe maskini hakuna wifi hapo,Mana hao wanatombana tokea kitambo

  • @aniphalookmoneylookmoney8881
    @aniphalookmoneylookmoney8881 3 года назад +25

    Yaani anko umepona ningekuja na nyundo kuvunja hyo ndoa 😂😂😂😂😂

    • @angeljolie666
      @angeljolie666 3 года назад +1

      😀😀😀😀😀

    • @fatumampumbo6186
      @fatumampumbo6186 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @hawatognola4022
      @hawatognola4022 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣yani engekuja na nyundo yani lookmoney umenichekesha 🤣🤣🥂

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 3 года назад

      Kwani kuongeza mke wa pili kwa muislam ni Dhambi?

    • @munafathma9923
      @munafathma9923 3 года назад

      😂😂😂🤣🤣🤣

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 3 года назад +16

    Anko Zuma wewe Habiba mmetoka mbali Wacha maneno HALI ya sasa utizame watoto wenu

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 3 года назад +1

    Mbona kule kwingine umehojiwa umesema umeolewa kweli

  • @frdausmwawughanga9047
    @frdausmwawughanga9047 3 года назад +4

    Hakuna ruhusa yoyote Kwa mke kuoa hakuna mahali panasema ATI amwangukie hakuna bwana ndoa nikher kuoa mke Zaid hakuna tatizo mhim uadilifu basi

  • @mohamedraahid1456
    @mohamedraahid1456 3 года назад +7

    Jaman anko umeroga wapi eti Kiki dada umerogwa pole hiyo sio kiki mim ndio nakwambia watu wameshaowana we kaa useme kiki

  • @habibambwana5855
    @habibambwana5855 3 года назад +14

    Mi niliumia kweli jamani mwenyenz mungu awazidishie upendo

  • @3azxtv843
    @3azxtv843 3 года назад +17

    Khadija
    Habiba muangalie uyo utani utani utasikia kweli

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 3 года назад +1

    Ww salha kwadini hakuna sio lazima kuomba ruhusa

  • @khalilamahalu4130
    @khalilamahalu4130 3 года назад +1

    Alichoongea anko zumo kwa upande wa kuoa ni sahihi

  • @minnahloveiove1074
    @minnahloveiove1074 3 года назад +4

    Uyo Salah mbona walimuhoji akathibitisha tena mpk na rafiki yake Salah akathibitisha kweli kaolewa na anko

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 3 года назад +31

    Bi Habiba uwe makini nahuyo unayo muita wifi yako

    • @mamiewana7224
      @mamiewana7224 3 года назад

      Haswaa Kwanza jins watu walivyopokea ningemuachilia mbali

    • @HappynessJose
      @HappynessJose 3 года назад +2

      Habiba kua makini na huyo mfano wa kajala tu na huyo shoga yake

    • @roseberryhamoud6542
      @roseberryhamoud6542 3 года назад

      Sanaaaa

  • @fatmasaid7093
    @fatmasaid7093 3 года назад +17

    Woii iiiiiiiiiiiiiooooooooooofweeeeeeeee alhamdulillah it's not true 🙏🙏😛😛

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 3 года назад +1

    Cku ingine mcfanye upumbavu km huo,2naweka hela kuckiliza story za maana.sheeet

  • @kulthumsaif2856
    @kulthumsaif2856 3 года назад +5

    Habiba kua makini saaana Na Huyo Dada Na rudia tena kua makini Na huyo Dada zumo tulia Habiba yuko vizuri usimlize

  • @priscakomba2786
    @priscakomba2786 3 года назад +1

    Me mwenyewe sikupenda nilijua kweli yaaani

  • @kingrasdee445
    @kingrasdee445 3 года назад +1

    Ila mke wa zumo mzur ban kaa na uyo ukioa ile lenye bes wala sio zur mi namkunyanganya wallah.

  • @lilianalphonce4413
    @lilianalphonce4413 3 года назад +6

    Mi nilivyoona kaoa mke wa pili nilijiuliza atamuweza mtoto wa kambo Mai kwa kichambo

  • @thureyaseif7143
    @thureyaseif7143 3 года назад +98

    Naomba habiba utahadhari sana usimuamini huyo bwana na rafiki yako, utakuja juta sana, kutoka zamani inajulikana hakuna rafiki mzuri wrote niwanafiki

    • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
      @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 3 года назад

      ruclips.net/video/0TtuuMjFvNo/видео.html

    • @emilyibraimo5032
      @emilyibraimo5032 3 года назад +3

      Usijenge cuki ndugi yangu hii ni ndowa tuacheni mambo ya kijinga ndowa ni muhimu

    • @thureyaseif7143
      @thureyaseif7143 3 года назад +3

      @@emilyibraimo5032 hiyo sio ndoa ya kuiba Mume wa rafiki yako nikuharibu ndoa ya rafiki yako.

    • @mariamsuma3003
      @mariamsuma3003 3 года назад +1

      @@emilyibraimo5032 kabsa

    • @khadijasulleyman3804
      @khadijasulleyman3804 3 года назад +1

      Kweli kabisa hakuna rafiki

  • @issaissah8832
    @issaissah8832 3 года назад +8

    One day itakua kweri na usitulilie ohoo

  • @awezayesu1779
    @awezayesu1779 3 года назад +33

    Kumbe kk jaman unajua who nimelia mim😪🙄 bas think again usije ukajitabilia mama mai wangu😥💕💕

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 3 года назад +2

      Wasimama pole pole tumelia wote jamani

  • @naamohamed1042
    @naamohamed1042 3 года назад +4

    Huyo sara anavyo jichekesha mhhhh kuna kitu c bure

  • @am12ghh37
    @am12ghh37 3 года назад +1

    Habiba huyo ni wifi yako kivipi?. Ni mke wa kaka yako? Ama dada wa zumoo? Tujulishe kwa kirefuu plse

  • @nurahyusuph9771
    @nurahyusuph9771 3 года назад +41

    Duh mulitustua jaman but habiba take care one day itakua yes

    • @magrethmalingumuchristophe7731
      @magrethmalingumuchristophe7731 3 года назад

      Jaman niliogopa Sana maana hii ilikuwangumu nilimchukia Sana huyu dada salha duh anko zumo ucjekujaribu kumuoa mke wapil zaidi ya mama Mai utapotea jaman

    • @yusufmwangichannel6692
      @yusufmwangichannel6692 3 года назад

      Kwani ata akiolewa si dini inaruhusu kuwa na wake wawili, watatu, wanne na ukiwa utakua una uadilifu basi uoe mmoja

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 3 года назад +1

    habiba una mpenda mumeo mpaka unashindwa kujizuia yaani macho,mdomo mpaka moyo una tabasamu...ila anko zumo unazingua jue eti kwao saadani wachawi waliloga chakula kimepikwa saa nne mpaka saa saba kimechacha chote hiii kiboko 😂😂😂

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 3 года назад +10

    Mpaka mimi nilikuwa nimechukia mwanaume kumbe sikweli lakini Habiba kuwa makini

  • @magejosia9026
    @magejosia9026 3 года назад +1

    kuwa makini habiba lisemwalo lipo km halipo laja shauri yako

  • @happyelias9465
    @happyelias9465 3 года назад +1

    Tuombee msamaha mwenyewe kwa sababu umetuwazisha vibaya

  • @theresiamushi8006
    @theresiamushi8006 3 года назад +24

    Kiukwel nilimchukia anko zumo niliapa stakaa kuangalia kaz zenu dah afadhal syo kwel🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️

    • @mamiewana7224
      @mamiewana7224 3 года назад +2

      Uuuuuuw pili pili ya shamba yakuwashia nin 😂😂😂

    • @rosecruiz4348
      @rosecruiz4348 3 года назад

      @@mamiewana7224 eee ilituma sana mana habuba mpole sana

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 3 года назад

      Najikuta kucheka jinsi munavyoumia

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      wana hatariiiiiiiiiiii sana

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 3 года назад +1

    Kufunga halusi, watangazaji jifunzeni kuongea

  • @Gift-cx1uo
    @Gift-cx1uo 3 года назад +3

    Umekosea anko zumo amesema oeni 2,3,4 kma mnauadilifu ukishindwa oa 1 sasa apo wanaume wasikuiz mnaoa kwatamaa uadilifu hamna na ukioa ukakosa uadilif kwa wake zako unadhambi uandae yakujibu kwa mung

  • @toma634
    @toma634 3 года назад +22

    Ww dada nakupenda mm jaman Habiba Zumo nakupenda mno mama angu anko please usimtese huyo dada tafadhal kama ukimchoka mludishe tu kwao nimwanamke bola kuliko neno lenyewe

  • @yasintamichel7249
    @yasintamichel7249 3 года назад +1

    Kweli tunawapenda jaman sasa mambo yakuoana apo apo haikukaa swaa

  • @jokhagadafy2144
    @jokhagadafy2144 3 года назад +1

    Anko sunna zingine unafatisha????? Au kuowa tuu ndio sunna unaamk kusali ucku sunna unafunga j3 n Alkhamis? Hy tunawaombea kher Aaamiin🤣🤣🤣🤣

    • @lesusi7872
      @lesusi7872 3 года назад

      Hzo zingine hawafanyi ila yakuowa tu ndo wanaijua kutimiza

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +12

    Ila.mkwe wangu Habiba nakwambia Tahadhari kabla ya khatari usimkabizi Simba bucha au mbuzi huwezi kumuekea majni ili ayalinde jogoo kasema mashara mashara mwisho huwa kweli maana inaweza kuleta msukumo mama.

  • @mwamvitasaidi2630
    @mwamvitasaidi2630 3 года назад +1

    Habiba navipendaga vimacho vyako

  • @aishahernandez4201
    @aishahernandez4201 3 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣anko zumu ww noma yani nimekua nimekasirika wewe japo din inaruhus afu nawapenda jamon

  • @fettyally333
    @fettyally333 3 года назад +1

    Mh ogopa mtu anaekuchekea Salha mbaya sssana

  • @angelakudenya2353
    @angelakudenya2353 3 года назад +25

    Uncle Zumo sahihisha hiyo ishu ya mtu akitaka kuoa kuridhiwa na mkewe wa kwanza...

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад +4

    Mbona me auku nishusha nitake radhi habiba sio kwa povu nililo mpa anko zumo

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад +16

    Ndio wengine marafiki wanapeana mume

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 года назад +7

    Au mtaa cha tuwachukie kuwa na maneno mazuri Uislam umetufundisha maneno mema ya kuwambia wenzako kuwa na Hikma Anco Zumo wapendane pendeka cc wanaadam hatuna ukamilifu

  • @sheisgodorait5721
    @sheisgodorait5721 3 года назад +3

    Anko zumo IPO Kwa Sheria ya Dini yakutowa vitu umpatie mkeo ndio uowe make mwengine Yuko sahihi huyo

    • @shaabanjuma7266
      @shaabanjuma7266 3 года назад

      Dada yangu Radhia, anko zumo yupo sahihi, hakuna hiyo sheria.

  • @rodamaduka5173
    @rodamaduka5173 3 года назад +5

    kwahyo wabongo umeamua kuishi kwa kk siyo? maisha bila kk hayaend kwenu

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 3 года назад +3

    Basi ni heri ila kuwa macho kukulacho kinguoni mwako

  • @suhailamohd5985
    @suhailamohd5985 3 года назад +5

    sasa jmn mbona alivohojiwa salha kasema kweli

  • @salimanguramo2557
    @salimanguramo2557 3 года назад +1

    Nilikua nime kasirikia anko zumo hakii. Ungemsaliti maman mai hakii heeeee

  • @sarhkimboi9085
    @sarhkimboi9085 3 года назад +5

    Jamany hyo salha c alisema yuko kwenye Saba za ndoa au ndo kick

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 3 года назад +3

    Kwaiyo kumbe so ndowa ya kweli ianabiba usi muamini uyo dada ndo watanza Hao kujimegea Shauri yk

  • @sofiaswalehes.s3936
    @sofiaswalehes.s3936 3 года назад +7

    Mmmmh mbona kama sielewi.zumo na Salah ...macho t yanajulisha kama.kunakitu fulani

  • @mwaminishakalili6996
    @mwaminishakalili6996 3 года назад +8

    Ila anko Zumo maneno yake nikama pako kitu fulani,habiba kuwa makini sana nahuyo rafiki 🤔🤔😢

  • @rosehaule220
    @rosehaule220 3 года назад +3

    Mmekosea ssna washabiki wenu tuneongea mengii..kiujumla hii aijakaa sawa mnaweza kutupoteza mashabiki serious.

  • @sheillahassani3997
    @sheillahassani3997 3 года назад +5

    Ila salha anaonekana anampenda baba mai

  • @eufinonsare705
    @eufinonsare705 3 года назад +19

    Habiba mke mzuri kweli ankoo Zumo make sure you respect her nampenda sana from Kenya tulikua tumekasirishwa sana

  • @isamony58
    @isamony58 3 года назад +18

    yani bora daaa tulichukiya sana habiba na akoz mmetoka mbaki sana na ww mm mai kuwa makini na uyoo anayokuita wifi jiangalie

  • @edinaedson2890
    @edinaedson2890 3 года назад +5

    Bora jmn maana nilichefukwa sasa moyo wng umetulia

  • @renildevenerand9473
    @renildevenerand9473 3 года назад +42

    Mashabiki zenu tulishtuka maana couple yenu tunaipenda sana .

  • @bibiemohamed6044
    @bibiemohamed6044 3 года назад +3

    Namuona kwambaliiiii kuna siku ataoa huyu jamaa tu

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 3 года назад +16

    Huyo dada achana nae Mama Mai, Wacha Masihara na ndoa yako.
    Take care

  • @asiaghadija8333
    @asiaghadija8333 3 года назад +33

    Habiba mrembo MashaAllah

  • @mohammedomar7280
    @mohammedomar7280 3 года назад +1

    Chakula kimechacha unanikumbusha zamani sana wazee walikwenda kupika ugenini ila kilichotokea waliapa hawatokwenda tena kupika ile sehemu,

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 года назад +9

    Jitahadhari nae huyo Dada

  • @nancymalemba8139
    @nancymalemba8139 3 года назад +3

    Interview nzuri sana wameendana sana hawa wanandoa mungu ailinde ndoa yao

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 3 года назад +4

    Chezea we uke wenza ndo unaongozwa kwa unafki duniani ata mchekeane vipi

  • @nellymasengo1419
    @nellymasengo1419 3 года назад +4

    Kweli roho ili uma Sana wakati Niliona picha za harusi nikusema habiba kamukosea Nini uncle zumo ? Nafurahi Sana kuweka wazi ? Mungu alinde ndoa yenu isuje tokeya

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 года назад +2

    Usjijifanye Jabar kuna wema zungumza kwa Hikma usijikere ni bora sana hata kama utaoa uwe mwema ukumbuke wema mlioishi uko ubinaadam

  • @saumsalim9966
    @saumsalim9966 3 года назад

    Ata mmdnichanganya apa uyu Salha c alimwambia @Geah kaolewa ukwel jmn

  • @fetty1571
    @fetty1571 3 года назад

    Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,kupunguza matiti, kuwa mweupe, n.k
    SMS/whatsap 0693_330284

  • @loisekigio7438
    @loisekigio7438 3 года назад +31

    Habiba nlikuwa nimekasirika akiii???,,Alhamudilaliih

    • @مكتومالدرعي
      @مكتومالدرعي 3 года назад

      Naomba namba zako da habiba na kaka zum kuanae makini na pia musijitabilie hivo mm sijapenda haswaa

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 3 года назад

      Kwani kuna ubaya kuongeza mke?
      Mbona mnataka kuharamisha alichohalalisha Mungu!

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 3 года назад

      @@مكتومالدرعي
      Kwani kuna ubaya kuongeza mke?
      Mbona mnataka kuharamisha alichohalalisha Mungu!

  • @elizabethmhapa3658
    @elizabethmhapa3658 3 года назад +1

    Duuu!
    Anko zumo unazambi jamani

  • @mariamsharia2062
    @mariamsharia2062 3 года назад +12

    Mhhhhh me nahisi kuna kamzunguko sarah naomba usimchukulie khabiba mumewe take care utakosa msaada mamie muheshim Sana habiba usithubutu kuharibu ushogawako kisa mapenz mamie nakuonya

  • @Matiherbalist
    @Matiherbalist 3 года назад +10

    Habiba mwenzangu kuwa makini huyo nyoka Sana , sijui mbona hawa watu huwa wanatuonea sababu ya upole wetu. Ila mimi sina mashoga wa rafiki

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 3 года назад +1

      Utakuwa Mimi shoga yako maana Mimi sina shoga wala rafiki .

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 3 года назад +2

    Kuweni makin unachojiombea kukifanya kutoka kwenye mdomo wako kinatokea kweli sana ukiwa kwenye ndoa usijinenee mabaya

  • @prosperkullaya6721
    @prosperkullaya6721 2 года назад +1

    Sadani hio I real like that part lol!

  • @fsaad5116
    @fsaad5116 3 года назад +3

    Uwongo kiyasi hicho sio uzuri. Jamani mambo hayako mbali

  • @maryjudethadeusmboya1630
    @maryjudethadeusmboya1630 3 года назад +2

    Hawa Wana date tuu

  • @nerrywilliam4
    @nerrywilliam4 3 года назад +3

    Kuna Tv flani ilimuhoji salha alisema kweli serious kaolewa na anko zumo na sio kiki

  • @batulimchokozi4426
    @batulimchokozi4426 3 года назад +1

    Washenzi wakubwa nyie