MKE WA ANKO ZUMO MUME WANGU HAKUNIAMBIA KAMA KUNA NDOA NILIONA PICHA ZA HARUSI MTANDAONI SIKUAMINI
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
#wasafi,#diamondplatnumz,#alikiba,#harmonize,#ushamba,#nandyftalikiba
,#nibakishie,#Wasafitvlive,#instalive,#RUclipslive,#Mboso,#lavalava,#zuchu,#koffieolomide,#diamond&kofiiolomide,#waah!,#waah!challenge #lavalava,kwaru,wcb,raha,#alikiba,yope,#rayvanny,#diamond,#bachela,#gere,#kwangwaru,#aslay,#missbuza,#thestorybook,#nanusu,#tetema,#nandy,#rayvanny,#lavalava,#hakuna kulala,#wasafi,#marioo,#live,#whozu,bedroom,#zuchu,mama,ashua,tamba,corona,harmonize,#afro east,#linawachoma,#chadema,#rostam,#dodo,#diamond platnumz,#mbowe,wana,mauzauza,#cheche,#amaboko,#zuchu,#uchaguzimkuu2020,#trending,magufuli,#wasafitvlive,nisamehe,#harminze,alikiba,#tundulisu,#nandy,jeje,#ccmlive,#yoperemix #wasafi#,diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,#kamwambie,#harmonize,#makulusa,#baila,#pamela,#iyena,#baikoko,#nikuone,#sijaona,tetema,niteke,#niuwe,#simba,#jeje,#gere,#kanyaga, Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
#wasafi,#diamond platnumz,alikiba,#harmonize,#ushamba,#nandyftalikiba,#nibakishie,#Wasafitvlive,#instalive,#RUclipslive,#Mboso,#lavalava,#zuchu,#koffieolomide,#diamond&kofiiolomide,#waah!,#waah!challenge #lavalava,kwaru,wcb,raha,#alikiba,yope,#rayvanny,#diamond,#bachela,#gere,#kwangwaru,#aslay,#missbuza,#thestorybook,#nanusu,#tetema,#nandy,#rayvanny,#lavalava,#hakuna kulala,#wasafi,#marioo,#live,#whozu,bedroom,#zuchu,mama,ashua,tamba,corona,harmonizplatnumz,#mbowe,wana,mauzauza,#cheche,#amaboko,#zuchu,#uchaguzimkuu2020,#trending,magufuli,#wasafitvlive,nisamehe,#harminze,alikiba,#tundulisu,#nandy,jeje,#ccmlive,#yoperemix #wasafi#,diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,#kamwambie,#harmonize remix,#tanzania,#tutorial,#tumewas
#hakunakulala,#raha,#nisamehe,#bedroom,
#yopeyoperemix,#kwangwaru,#afroeast,#wcb,#tamba,#nandy,#aslay,
#nanusu,#mama,#corona,#lavalava,#harmonize,#wasafi,
#thestorybook,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko
#sukari,#waah,#hasara,#nobody,#wizkid,#davido,#burnaboy
#diamondplatnumz,#wana,#kwaru,buza#,jeje,#gere,#baclava,#harmonize,#wasafi,
#thestory book,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko,#sukari,#waah#,hasara, #wananchiday2020,#wananchi,#yanga,#youngafricans,#yangasc,
#antonionugaz #yangaleo,#senzo,#alichokisemanugaz,#kambiyayangakigamboninibalaa,#mshindomsola,#wapesalamu,#shutikalitv,#simba,#azamtv,#azamtvmax,
#azamsports,#morrison,#hajimanara,#diamondplatnumz,#simbasc,
#manara,#wasafi,#globaltvonline,#barakampenja,#tuisilakisinda,
#ligikuu,#azamtv,#michezo,#highlights,#azamsportshd,#azamsports2,
#yanga,#sportarenawasafitv,#sportarena,#tanzanianews,#wasafitv
#diamondplatnumz,#wana,#kwaru,#hakunakulala,#raha,#nisamehe,
#bedroom,#missbuza,j#eje,#gere,#bachela,#dodo,#alikiba,#diamond,
#yope,#yoperemix,#kwangwaru,#afroeast,#wcb,#tamba,#nandy,#aslay,
#nanusu,#mama,#corona,#lavalava,#harmonize,#wasafi,#thestorybook
,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko,#sukari,#shusa
#wasafi,#diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,
#kamwambie,#harmonize,#makulusa,#baila,#pamela,#iyena,#baikoko,
#nikuone,#sijaona,#tetema,#kainama,#niteke,#tamu,#niuwe,#simba,#jeje,#gere,#kanyaga,#sound,#wizkid,#davido,#burnahboy,#chrisbrown,
#despacito,#inama,#sukari,#shusha #harmonize,#uno,#ibraah,#corona,#covid19,#kondegang,
#kondemusicworldwide,#diamondplatnumz,
#wcbwasafi,#rayvanny,#mbosso,#zuchu,#lavalava,#halifa,#snopdoog,
#davido,african music,#afroeast,#eastafricansound,#afropop,
#bedroom,#kakatuchat,#sautisoul,#khaligraphjones,#nyanshisk,
#yemialade,#magufuli,#tiwasavage,#rema,#fire #boy,#joeboy,#skiibii,#gwajima,#joti,#cnn,#mpoki,#salimkikeke,#darasa,
#bongomovie,#netflix,#samatta,#quarantine,#onenight,#lockdown #swahiliflix #ikulumawasiliano #magufuliliveikulu #chatolive #youtubelive #instalive #jux #ladyjaydee #rostam #stamina #dogojanja #jumalokole #drkumbukauhondo #didashaibu #mashamsham #zarithebosslady #tanashadona #mamadangote #esmaplatnumz #queendareen #uchebe
#shilolenarommy #babalevo #wolper #kajalanaharmonize #auntezekiel
#kusah #wasafitvlive #simulizinasauti #Ayotv #rickmediatz #dizimonilne
#aristote #hamisamobeto #tiffa #koffieolomidenanandy #waa! #diamondnakoffieolomide #papamopao #mwananchidigital #Edigital #middlesimba #ptvtanzania #rayvannysoundofafricaalbum
Habiba kuwa makini sana hakunaga lafiki mbele ya mumeo kwamaana wanapokuwa karibu watu wawili wenye jinsia tofaut kunakitu kinaendelea
Haswaaaaaa
Mungu awabariki tunawapenda Habiba na anko
Mama mai nakupenda bureee,SUPER WOMAN wa nguvu💪
Alafu.anachekaaa.mnafikiii.uyooooooo..mashogaaaaaa.jamaniii.mawifiiiiiiiioo.hao.hawaxhangiii.baba.nawaumezenu.kuweni.makiini
Wapuuzi nyie unajichuria sio nakupa mwaka.
Hatarii
Mama mai nikwambie kitu mdogo angu hayo mazungumzo ya mumeo kuna vifumbo sana kuwa makini sana na usimuamini hata kidogo hata tabasamu lao tu linaashiria kuna kitu utakuja juta baadae kuwa makin hamna kiki hapo wala nini wanakuchezea picha hao
Zumo unajichetua tu
Kwaiyo ni kazi
Nafurah
Bora iwe ivo.🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Halafu naomba kuuliza hivyo huyo Sara Ana mume kwel?? Kama Hana mume huyooo Habibaa take care
Mm sijaona tatizo kweli tena
Haawa wanaziba watumdomo lakini ili jambo wanalo huenda habiba kasemesha.katulia mbona juzi salha kakubali dagea kamuliza
Mwisho wasiku m2 namkemwenza mh 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Uyo dada ana mpenda anko zumu na wana tombana muda mrefu ila habiba ana cheka cheka tu eti wifi wifi nyooo sio wifi yako ni mke mwenzio
kweli kabisa na anaonekana anavyojichekesha na angalia yake
Ebu acheni uzushi usiongee kitu usichokuwa na ushaidi nao.Kumbukeni ni dhambi kumdhania mtu
🤣🤣🤣🤣🤣
Mwaya Habiba pole najua inauma hatakama ni dini inauma tu 🤐
Yani zilikuwa kiki duh wabongo sisi 🤷♂️🤷♂️🤷♂️
Ndio kabla ya kazi Picha zinapostiwa watu Wanachabwa kwanza badaye watu wanasema he kumbe kazi
Dah🙄🙄🙄
Nilimuonea mama mai huruma machozi yalinitoka nikamuona anko zumo kama mwanaume asiyena shukrani
Mhh pana jambo apo
Wifi yako?
Wifiiiiiiiiiiioio
Akuna.ushogaa.sikuizi.
Mbona salha kafanana na Anko zumo ni ndugu kwani
Alosema hatoangalia tena vichekesho vya zumo kama mm agonge like😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Huo uwifi hewa ipo siku atakuliza kweli
Ao wana. Kwichi kwichi ao habiba kua Makini uyo sio shoga uyo ipo siku utajuta ujue na akuna ushoga Dunia hii
kwan huyo dada asiekit na mumewe au bwanake!?? sio powa penzi haligawanyiki.
Hao wanatombana babiba uwe maskini hakuna wifi hapo,Mana hao wanatombana tokea kitambo
Yaani anko umepona ningekuja na nyundo kuvunja hyo ndoa 😂😂😂😂😂
😀😀😀😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣yani engekuja na nyundo yani lookmoney umenichekesha 🤣🤣🥂
Kwani kuongeza mke wa pili kwa muislam ni Dhambi?
😂😂😂🤣🤣🤣
Anko Zuma wewe Habiba mmetoka mbali Wacha maneno HALI ya sasa utizame watoto wenu
Mbona kule kwingine umehojiwa umesema umeolewa kweli
Hakuna ruhusa yoyote Kwa mke kuoa hakuna mahali panasema ATI amwangukie hakuna bwana ndoa nikher kuoa mke Zaid hakuna tatizo mhim uadilifu basi
Jaman anko umeroga wapi eti Kiki dada umerogwa pole hiyo sio kiki mim ndio nakwambia watu wameshaowana we kaa useme kiki
Mi niliumia kweli jamani mwenyenz mungu awazidishie upendo
Khadija
Habiba muangalie uyo utani utani utasikia kweli
Haswaaaa
Kabisaaaaa!
Ww salha kwadini hakuna sio lazima kuomba ruhusa
Alichoongea anko zumo kwa upande wa kuoa ni sahihi
Uyo Salah mbona walimuhoji akathibitisha tena mpk na rafiki yake Salah akathibitisha kweli kaolewa na anko
Bi Habiba uwe makini nahuyo unayo muita wifi yako
Haswaa Kwanza jins watu walivyopokea ningemuachilia mbali
Habiba kua makini na huyo mfano wa kajala tu na huyo shoga yake
Sanaaaa
Woii iiiiiiiiiiiiiooooooooooofweeeeeeeee alhamdulillah it's not true 🙏🙏😛😛
Cku ingine mcfanye upumbavu km huo,2naweka hela kuckiliza story za maana.sheeet
Habiba kua makini saaana Na Huyo Dada Na rudia tena kua makini Na huyo Dada zumo tulia Habiba yuko vizuri usimlize
Me mwenyewe sikupenda nilijua kweli yaaani
Ila mke wa zumo mzur ban kaa na uyo ukioa ile lenye bes wala sio zur mi namkunyanganya wallah.
Mi nilivyoona kaoa mke wa pili nilijiuliza atamuweza mtoto wa kambo Mai kwa kichambo
😂😂😂
Naomba habiba utahadhari sana usimuamini huyo bwana na rafiki yako, utakuja juta sana, kutoka zamani inajulikana hakuna rafiki mzuri wrote niwanafiki
ruclips.net/video/0TtuuMjFvNo/видео.html
Usijenge cuki ndugi yangu hii ni ndowa tuacheni mambo ya kijinga ndowa ni muhimu
@@emilyibraimo5032 hiyo sio ndoa ya kuiba Mume wa rafiki yako nikuharibu ndoa ya rafiki yako.
@@emilyibraimo5032 kabsa
Kweli kabisa hakuna rafiki
One day itakua kweri na usitulilie ohoo
Kumbe kk jaman unajua who nimelia mim😪🙄 bas think again usije ukajitabilia mama mai wangu😥💕💕
Wasimama pole pole tumelia wote jamani
Huyo sara anavyo jichekesha mhhhh kuna kitu c bure
😂😂😂😂😂
Habiba huyo ni wifi yako kivipi?. Ni mke wa kaka yako? Ama dada wa zumoo? Tujulishe kwa kirefuu plse
Duh mulitustua jaman but habiba take care one day itakua yes
Jaman niliogopa Sana maana hii ilikuwangumu nilimchukia Sana huyu dada salha duh anko zumo ucjekujaribu kumuoa mke wapil zaidi ya mama Mai utapotea jaman
Kwani ata akiolewa si dini inaruhusu kuwa na wake wawili, watatu, wanne na ukiwa utakua una uadilifu basi uoe mmoja
habiba una mpenda mumeo mpaka unashindwa kujizuia yaani macho,mdomo mpaka moyo una tabasamu...ila anko zumo unazingua jue eti kwao saadani wachawi waliloga chakula kimepikwa saa nne mpaka saa saba kimechacha chote hiii kiboko 😂😂😂
Mpaka mimi nilikuwa nimechukia mwanaume kumbe sikweli lakini Habiba kuwa makini
kuwa makini habiba lisemwalo lipo km halipo laja shauri yako
Tuombee msamaha mwenyewe kwa sababu umetuwazisha vibaya
Kiukwel nilimchukia anko zumo niliapa stakaa kuangalia kaz zenu dah afadhal syo kwel🤦🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️
Uuuuuuw pili pili ya shamba yakuwashia nin 😂😂😂
@@mamiewana7224 eee ilituma sana mana habuba mpole sana
Najikuta kucheka jinsi munavyoumia
wana hatariiiiiiiiiiii sana
Kufunga halusi, watangazaji jifunzeni kuongea
Umekosea anko zumo amesema oeni 2,3,4 kma mnauadilifu ukishindwa oa 1 sasa apo wanaume wasikuiz mnaoa kwatamaa uadilifu hamna na ukioa ukakosa uadilif kwa wake zako unadhambi uandae yakujibu kwa mung
Ww dada nakupenda mm jaman Habiba Zumo nakupenda mno mama angu anko please usimtese huyo dada tafadhal kama ukimchoka mludishe tu kwao nimwanamke bola kuliko neno lenyewe
Kweli tunawapenda jaman sasa mambo yakuoana apo apo haikukaa swaa
Anko sunna zingine unafatisha????? Au kuowa tuu ndio sunna unaamk kusali ucku sunna unafunga j3 n Alkhamis? Hy tunawaombea kher Aaamiin🤣🤣🤣🤣
Hzo zingine hawafanyi ila yakuowa tu ndo wanaijua kutimiza
Ila.mkwe wangu Habiba nakwambia Tahadhari kabla ya khatari usimkabizi Simba bucha au mbuzi huwezi kumuekea majni ili ayalinde jogoo kasema mashara mashara mwisho huwa kweli maana inaweza kuleta msukumo mama.
🤣🤣🤣🤣
Habiba navipendaga vimacho vyako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣anko zumu ww noma yani nimekua nimekasirika wewe japo din inaruhus afu nawapenda jamon
Mh ogopa mtu anaekuchekea Salha mbaya sssana
Uncle Zumo sahihisha hiyo ishu ya mtu akitaka kuoa kuridhiwa na mkewe wa kwanza...
Mbona me auku nishusha nitake radhi habiba sio kwa povu nililo mpa anko zumo
Ndio wengine marafiki wanapeana mume
Au mtaa cha tuwachukie kuwa na maneno mazuri Uislam umetufundisha maneno mema ya kuwambia wenzako kuwa na Hikma Anco Zumo wapendane pendeka cc wanaadam hatuna ukamilifu
Anko zumo IPO Kwa Sheria ya Dini yakutowa vitu umpatie mkeo ndio uowe make mwengine Yuko sahihi huyo
Dada yangu Radhia, anko zumo yupo sahihi, hakuna hiyo sheria.
kwahyo wabongo umeamua kuishi kwa kk siyo? maisha bila kk hayaend kwenu
Basi ni heri ila kuwa macho kukulacho kinguoni mwako
sasa jmn mbona alivohojiwa salha kasema kweli
Nilikua nime kasirikia anko zumo hakii. Ungemsaliti maman mai hakii heeeee
Jamany hyo salha c alisema yuko kwenye Saba za ndoa au ndo kick
Kwaiyo kumbe so ndowa ya kweli ianabiba usi muamini uyo dada ndo watanza Hao kujimegea Shauri yk
Mmmmh mbona kama sielewi.zumo na Salah ...macho t yanajulisha kama.kunakitu fulani
Ila anko Zumo maneno yake nikama pako kitu fulani,habiba kuwa makini sana nahuyo rafiki 🤔🤔😢
Si vibaya kuongeza mke
Mmekosea ssna washabiki wenu tuneongea mengii..kiujumla hii aijakaa sawa mnaweza kutupoteza mashabiki serious.
Ila salha anaonekana anampenda baba mai
Habiba mke mzuri kweli ankoo Zumo make sure you respect her nampenda sana from Kenya tulikua tumekasirishwa sana
yani bora daaa tulichukiya sana habiba na akoz mmetoka mbaki sana na ww mm mai kuwa makini na uyoo anayokuita wifi jiangalie
Bora jmn maana nilichefukwa sasa moyo wng umetulia
Mashabiki zenu tulishtuka maana couple yenu tunaipenda sana .
Yaan acha tu
Sana yani dah
Hata trinity sio mbaya
Namuona kwambaliiiii kuna siku ataoa huyu jamaa tu
Huyo dada achana nae Mama Mai, Wacha Masihara na ndoa yako.
Take care
Habiba mrembo MashaAllah
MASHAALLAH
Mashallah ni mrembo sana
Afazari kwa vile imekuwa move
Chakula kimechacha unanikumbusha zamani sana wazee walikwenda kupika ugenini ila kilichotokea waliapa hawatokwenda tena kupika ile sehemu,
Jitahadhari nae huyo Dada
Interview nzuri sana wameendana sana hawa wanandoa mungu ailinde ndoa yao
Chezea we uke wenza ndo unaongozwa kwa unafki duniani ata mchekeane vipi
Kweli roho ili uma Sana wakati Niliona picha za harusi nikusema habiba kamukosea Nini uncle zumo ? Nafurahi Sana kuweka wazi ? Mungu alinde ndoa yenu isuje tokeya
Hata mimi
Usjijifanye Jabar kuna wema zungumza kwa Hikma usijikere ni bora sana hata kama utaoa uwe mwema ukumbuke wema mlioishi uko ubinaadam
Ata mmdnichanganya apa uyu Salha c alimwambia @Geah kaolewa ukwel jmn
Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,kupunguza matiti, kuwa mweupe, n.k
SMS/whatsap 0693_330284
Habiba nlikuwa nimekasirika akiii???,,Alhamudilaliih
Naomba namba zako da habiba na kaka zum kuanae makini na pia musijitabilie hivo mm sijapenda haswaa
Kwani kuna ubaya kuongeza mke?
Mbona mnataka kuharamisha alichohalalisha Mungu!
@@مكتومالدرعي
Kwani kuna ubaya kuongeza mke?
Mbona mnataka kuharamisha alichohalalisha Mungu!
Duuu!
Anko zumo unazambi jamani
Mhhhhh me nahisi kuna kamzunguko sarah naomba usimchukulie khabiba mumewe take care utakosa msaada mamie muheshim Sana habiba usithubutu kuharibu ushogawako kisa mapenz mamie nakuonya
Nakweli 🙌
ruclips.net/video/0TtuuMjFvNo/видео.html
Habiba mwenzangu kuwa makini huyo nyoka Sana , sijui mbona hawa watu huwa wanatuonea sababu ya upole wetu. Ila mimi sina mashoga wa rafiki
Utakuwa Mimi shoga yako maana Mimi sina shoga wala rafiki .
Kuweni makin unachojiombea kukifanya kutoka kwenye mdomo wako kinatokea kweli sana ukiwa kwenye ndoa usijinenee mabaya
Sadani hio I real like that part lol!
Uwongo kiyasi hicho sio uzuri. Jamani mambo hayako mbali
Hawa Wana date tuu
Kuna Tv flani ilimuhoji salha alisema kweli serious kaolewa na anko zumo na sio kiki
Washenzi wakubwa nyie