Tatizo hapa kwetu Tz ni Muhimili mmoja kupoka mamlaka ya Mihimili mingine, kwa kudai kuwa wenyewe una mizizi mirefu kuliko Mihimili mingine. Kwa utaratibu huo, suala la haki kwa nyanja zote, tutasubili sana. Bila Watanzania KWA UMOJA kuchukua hatua, tutasubili sana.
TUKIMTUMAINI MUNGU HAKUNA LISILOWEZEKANA KWAKE TUTAJIKOMBOA TENA KWA KISHINDO KWANI NJIA ZA MUNGU HAZICHU GUZIKI!!! USIKATE TAMAA KAMWE. USISAHAU UKATILI WA MAKABURU SASA AFRIKA YA KUSINI NI HURU!!!
Mfumo mzima wa haki nchi hii umecorrupt,sababu kuu ni mfumo unasujudi uongozi wa rais kuwa ndio jaji mkuu wa kila jambo nchi hii,majaji wote wanasujudia mamlaka ya rais,bunge pia hivyohivyo, kwa kwl tumekwama
Wananchi tunajiuliza maswali magumu kuhusu mahakama zetu, Kosa alilotuhumiwa nalo, linampa hukumu miezi 6 kukiuka maadili ya uwakili lakini hakushtakiwa wala hakupewa onyo,na muda wa kujitetea! Ni kwa sheria ipi ya kikatiba inayoruhusu mtu kunyang'anywa haki yake ya kuishi kwa muda usiojulikana, sheria ambayo mtuhumiwa akiishtaki mahakama haitailetea serikali na wananchi hasara ya kumlipa gharama ya fidia
INASIKITISHA SANA KUONA MAHAKAMA ZETU ZIMEKUWA TAWI LA SERIKALI....WANANCHI WATAKAPOCHOKA WATAANZA 'KUWASHAMBULIA' NA 'KUWAUAWA' MAJAJI NA MAHAKIMU MTAKAO KUWA MNATO HUKUMU ZA OVYO KAMA HIZI ZA KUWAFUNGIA MAWAKILI WAZALENDO WA TAIFA HILI.
OMBI MAALUM KWA MAWAKILI WAZALENDO WETU.... KWA UMOJA WENU PELEKENI MASHITAKA NA MALALAMIKO YENU KWENYE MAHAKAMA YA AFRIKA MASHARIKI NA MAHAKAMA YA AFRIKA.....ILI ITOE HUKUMU YA KUIAIBISHA MAHAMAKA YA TANZANIA NA MAJAJI WAKE DUNIANI! NA TUNAWAALEZA MAJAJI WETU....SISI WATANZANIA SIO WAJINGA!
Kwakuwa kichama na kikatiba tangu mwanzo taasisi moja ilipewa mamlaka makubwa ya Rais kuteua mihimili yote,na idara zote, basi taasisi hii ndio inabeba kila lawama na dhambi zinazofanywa na wateule wake walio chini ya mamlaka yake. Kwa Muundo huu wa Serikali,Bunge,na Mahakama kumilikiwa na mtu mmoja kiuteuzi ni dhahama tupu kwetu Watanzania!, wananchi sasa tunajua ni utawala wa kifalme wa ccm, kila kitu anaamua yeye na washauri wake mbele ya baraza lake la utawala, na ndio sababu mamlaka inang'ang'ania katiba hii, haitaki mchakato mzima wa kupatikana katiba mpya ya wananchi!. Nyakati zile za chama kimoja, Nyerere alipewa majina mengi mitaani kutokana na katiba hii hii! Musa,Mchonga,Haambiliki, Mzee kifimbo,na jina moja la Mwalimu ambalo ndio cv yake na alilipenda.
Wananchi tunajiuliza maswali magumu kuhusu mahakama zetu, Kosa alilotuhumiwa nalo, linampa hukumu miezi 6 kukiuka maadili ya uwakili lakini hakushtakiwa wala hakupewa onyo,na muda wa kujitetea! Ni kwa sheria ipi ya kikatiba inayoruhusu mtu kunyang'anywa haki yake ya kuishi kwa muda usiojulikana, sheria ambayo mtuhumiwa akiishtaki mahakama haitailetea serikali na wananchi hasara ya kumlipa gharama ya fidia
Tatizo hapa kwetu Tz ni Muhimili mmoja kupoka mamlaka ya Mihimili mingine, kwa kudai kuwa wenyewe una mizizi mirefu kuliko Mihimili mingine. Kwa utaratibu huo, suala la haki kwa nyanja zote, tutasubili sana. Bila Watanzania KWA UMOJA kuchukua hatua, tutasubili sana.
VIVA DADA YETU FATMA KARUME.....UJUMBE NA MANENO MAZITO KWA MAJAJI NA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI....WATANZANIA TUMEKUELEWA!
Mwenda zake alipata kusema kuwa;Mimi ndo nawalipa mishahara na posho na marupurupu wote wakanyea. Hivyo ipo kimaslahi.TUTAJIKOMBOA ??
TUKIMTUMAINI MUNGU HAKUNA LISILOWEZEKANA KWAKE TUTAJIKOMBOA TENA KWA KISHINDO KWANI NJIA ZA MUNGU HAZICHU GUZIKI!!! USIKATE TAMAA KAMWE. USISAHAU UKATILI WA MAKABURU SASA AFRIKA YA KUSINI NI HURU!!!
Mfumo mzima wa haki nchi hii umecorrupt,sababu kuu ni mfumo unasujudi uongozi wa rais kuwa ndio jaji mkuu wa kila jambo nchi hii,majaji wote wanasujudia mamlaka ya rais,bunge pia hivyohivyo, kwa kwl tumekwama
Selikali ya tanzania zuluma awana haki
Hapa siyo mahakama yenye tatizo! Matatizo yote ni serikali inayomiliki mahakama na Kila kitu. Miaka 30 Madai ya katiba!!!!
Fatma ni hazina.
Mahakama ya Tanzania imegeuzwa kuwa Mwangamizi ya wa Tanzania ndiyo maana tumekosa ma hali ya kukimbilia kutafuta haki
Pole sana fatuma karume, inasikitisha mnoo
Limama lenuhalina muda was kufuatilia Mambo Mambo ya uonevu Kama haya halina muda kabisa, daaa! Inauma sana
Imani na mahakama inaisha, sasa yanatoka juu kwa majaji!
😮😮😮😮😮DAH KUCHEKAA 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Ongeleeni sera zenu na siyo umbea tu😢😢..
Iam fed up 😢😢
Hapo ulipo hujui hata kesho yako hata wakiongea hicho unachotaka huwezi kuelewa
Ata shuleni ulikuwa wa mwisho
Kuma la mama ako mbwa ww
Kumamayo wewe mshenzi mpaka na wazazi wako nyoko
Kumamayo wewe mshenzi mpaka na wazazi wako nyoko
Wananchi tunajiuliza maswali magumu kuhusu mahakama zetu, Kosa alilotuhumiwa nalo, linampa hukumu miezi 6 kukiuka maadili ya uwakili lakini hakushtakiwa wala hakupewa onyo,na muda wa kujitetea! Ni kwa sheria ipi ya kikatiba inayoruhusu mtu kunyang'anywa haki yake ya kuishi kwa muda usiojulikana, sheria ambayo mtuhumiwa akiishtaki mahakama haitailetea serikali na wananchi hasara ya kumlipa gharama ya fidia
Hatun
Tatizo hao majaji ni watumishi wa raisi ndiomaana yote hayo yanatokea. Bosi wao ni raisi unadhani wataenda tofauti na interest ya raisi?
Serikali ya CCM imefeli mojakwamoja. Yaani uzembe wote mnaofanya kwa Watanzania mmemkabidhi MAKONDA, SHIT!
INASIKITISHA SANA KUONA MAHAKAMA ZETU ZIMEKUWA TAWI LA SERIKALI....WANANCHI WATAKAPOCHOKA WATAANZA 'KUWASHAMBULIA' NA 'KUWAUAWA' MAJAJI NA MAHAKIMU MTAKAO KUWA MNATO HUKUMU ZA OVYO KAMA HIZI ZA KUWAFUNGIA MAWAKILI WAZALENDO WA TAIFA HILI.
Nchi ambayo wachache tu ndo wanafaidika, ni dictatorship m'wenye system ya kuwanyima haki wananchi wake ili wasipate mahali pa kwenda kudai haki zao
OMBI MAALUM KWA MAWAKILI WAZALENDO WETU.... KWA UMOJA WENU PELEKENI MASHITAKA NA MALALAMIKO YENU KWENYE MAHAKAMA YA AFRIKA MASHARIKI NA MAHAKAMA YA AFRIKA.....ILI ITOE HUKUMU YA KUIAIBISHA MAHAMAKA YA TANZANIA NA MAJAJI WAKE DUNIANI! NA TUNAWAALEZA MAJAJI WETU....SISI WATANZANIA SIO WAJINGA!
Activist Judges
Wamludishie fatuma karume cheti chake, kingine msijali kuchukua cheti cha mwabukusi, moto utawaka
Hii nchi
Vichwa kama hivi vinapozungumza Mimi Huwa Naahirisha KULA ili Nimeze Madini ya Wasomi Walioelimika.
TLS,inawasaidiaje?
Yote haya ni katiba pungufu ya utekelezwaji wa vipengele mahususi. Madaraka yanazidi katiba
Usiku umeendelea Sana
Hatuna mahakama tantania tunakikundi Cha kijambazi chakutukandamiza na kututisha
Kuna nini tena jamani
MUNGU ni mwema shangaz naona unatiririka MISINGI hadi inatia uchungu katika tasnia ya sheria
Kwakuwa kichama na kikatiba tangu mwanzo taasisi moja ilipewa mamlaka makubwa ya Rais kuteua mihimili yote,na idara zote, basi taasisi hii ndio inabeba kila lawama na dhambi zinazofanywa na wateule wake walio chini ya mamlaka yake. Kwa Muundo huu wa Serikali,Bunge,na Mahakama kumilikiwa na mtu mmoja kiuteuzi ni dhahama tupu kwetu Watanzania!, wananchi sasa tunajua ni utawala wa kifalme wa ccm, kila kitu anaamua yeye na washauri wake mbele ya baraza lake la utawala, na ndio sababu mamlaka inang'ang'ania katiba hii, haitaki mchakato mzima wa kupatikana katiba mpya ya wananchi!. Nyakati zile za chama kimoja, Nyerere alipewa majina mengi mitaani kutokana na katiba hii hii! Musa,Mchonga,Haambiliki, Mzee kifimbo,na jina moja la Mwalimu ambalo ndio cv yake na alilipenda.
Msijalibu kuchukua cheti cha mwabukusi. Acheni. Moto utawaka
Hiyo point Fatima,kea nini kuwe na misululu kulalamika? Hilo shida kubwa.
Pambaneni mukatoke jalalani !
Hapo Ndiyo Utnapojifnza, Wakili Cyo Mungu, Kesho Kuna Makubwa,,!
Hivi wenye mamlaka wanajisokiaje?
Mpoki siyo Mwabukusi aloo rekebisha heading guys
This is a circus or what?
Wananchi tunajiuliza maswali magumu kuhusu mahakama zetu, Kosa alilotuhumiwa nalo, linampa hukumu miezi 6 kukiuka maadili ya uwakili lakini hakushtakiwa wala hakupewa onyo,na muda wa kujitetea! Ni kwa sheria ipi ya kikatiba inayoruhusu mtu kunyang'anywa haki yake ya kuishi kwa muda usiojulikana, sheria ambayo mtuhumiwa akiishtaki mahakama haitailetea serikali na wananchi hasara ya kumlipa gharama ya fidia