PENZI LA MUME WA BOSS EP 06 | SO1 || Love Story 💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • #busatitv #lovestory #bongomovie

Комментарии • 83

  • @HusseinTupa-k5c
    @HusseinTupa-k5c 2 месяца назад +5

    Pole sana warida usikae kumtegemea mume wa mtu kuja kuwa mumeo man siku anapokuja kuludisha penz kwa mkew bac ww dhaman utakua huna

  • @tegemeongalama6737
    @tegemeongalama6737 2 месяца назад +1

    Kulia kupokezana 😂😂

  • @sharifasherry2553
    @sharifasherry2553 2 месяца назад +9

    Mchepuko atabaki kua mchepuko t hawezi kua mke na hawezi shusha thamani ya mke kwa mumewake
    Nimeipenda sana hii

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 2 месяца назад +4

    Mapema sana 😂😂nimechungulia sana Kazi nzr Ina mafunzo msisimuo mkali❤

  • @McT-m1m
    @McT-m1m 2 месяца назад +5

    Hìii ya leo kali ni nzuri

  • @QweenNickson
    @QweenNickson 2 месяца назад +9

    Jamani Raymond anajua kuigiza salute kwake 😍😍

    • @raymondsylvester9146
      @raymondsylvester9146 2 месяца назад +1

      Asante ndugu 🤝🤝🤝

    • @priverpriva98
      @priverpriva98 2 месяца назад +1

      Afu no mchaga sasa😂😂❤❤❤❤😊😅

    • @priverpriva98
      @priverpriva98 2 месяца назад +1

      ​@@raymondsylvester9146 waooh❤❤❤❤❤❤❤ n a mm naomba kuigiza na wewe

    • @AnsaB-j2m
      @AnsaB-j2m 2 месяца назад

      Kweli kabisaaa

    • @QweenNickson
      @QweenNickson 2 месяца назад

      @@priverpriva98 acha basi kumbe ni mchaga?

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 2 месяца назад +4

    Pole sana warda mume wa MTU sumu leo umeona kilichokukuta 😢😢😢

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna Месяц назад

    Raymond n kukubali n uko very snaaa pokea 🎉🎉🎉🎉yko,,daaa Warida mume wa mtu makasiriko y nn,,rey mwenyew amekuelezea vizur sna

  • @mariambakari-h9n
    @mariambakari-h9n 2 месяца назад +2

    Daa warda ungemuambia ukwel huenda angekuelew kwan ashawqh kkupa kaz ujitingozeshe kwa mumew but umemficha kwann😊

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 2 месяца назад +2

    Pole sana warda

  • @WiltherArisa
    @WiltherArisa 2 месяца назад +4

    Mume wa mtu sumu 😢😢walder

  • @fammamaboko6543
    @fammamaboko6543 2 месяца назад +3

    Mccheleweshe mwendelezo 🎉🎉🎉

  • @MwasitiHindu-l3n
    @MwasitiHindu-l3n 2 месяца назад +2

    Warda 😂😂 bora ule mdalasini ungepika chai ukanywa

  • @LilianJuma-q6y
    @LilianJuma-q6y 2 месяца назад +1

    Walder achana na mume wa wenyewe kumaliza mke wake kila siku ndio furaha yako , mwisho wako lazma utaumbuka tu😅😅

  • @fammamaboko6543
    @fammamaboko6543 2 месяца назад +3

    Kazi nzuri
    Big up kwenu🎉🎉🎉🎉

  • @موكاء-ظ9ج
    @موكاء-ظ9ج 2 месяца назад +1

    Nawapenda buree ❤❤❤❤

  • @فراحهكينيا
    @فراحهكينيا 2 месяца назад +3

    Yaani mm ata salam za mume w mtu siitiki😂😂😂😂

  • @AlsoAlso-mq3pu
    @AlsoAlso-mq3pu 2 месяца назад +1

    Safi sana bro simama na mkeo

  • @ZawadfredyLaurence-qh5pd
    @ZawadfredyLaurence-qh5pd 2 месяца назад +3

    Warda unapendeza zaidi ukinyoa

  • @SamouOman
    @SamouOman 2 месяца назад +2

    Kazi nzur kaka

  • @SabinaLucasHenriques
    @SabinaLucasHenriques 2 месяца назад +3

    KAZI NZURI

  • @Magi-vz4vz
    @Magi-vz4vz 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @paulinafanuel3396
    @paulinafanuel3396 2 месяца назад +2

    Uwiii ee dada huyu ni mme wa mtu

  • @BijouxBulose
    @BijouxBulose 2 месяца назад +1

    Mko vizuri kweli 🎉🎉🎉

  • @Deer-g4t
    @Deer-g4t 2 месяца назад +2

    Warda unamlilia Mme wa MTU wacha ujinga tafuta wa kwako 😅😅😅

  • @FatumaBahatihassan
    @FatumaBahatihassan 2 месяца назад +2

    Mapema sana hadilha

  • @FaudhiaWadongo
    @FaudhiaWadongo 2 месяца назад +1

    Warda Ukinyoa Unazidi Kuwa Mshununu Usisuke❤❤❤

  • @emanueltemu1051
    @emanueltemu1051 2 месяца назад +1

    Nimewapenda bulee

  • @MussaRasul
    @MussaRasul 2 месяца назад +11

    Yani kuwa na mahusiano na mke au mume wa mtu ni sawa nakuchukuwa mkopo bank alf uweke nyumba bond muda wowote wenyewe wanakuchukua nyumba yao

    • @MariamRiziki-o8x
      @MariamRiziki-o8x 2 месяца назад

      😅😅😅😅😅

    • @WiltherArisa
      @WiltherArisa 2 месяца назад

      ❤❤

    • @Nurubeb
      @Nurubeb 2 месяца назад

      Apo kweli yn n km kutwanga maji kwenye kinu

  • @StellaAndeso
    @StellaAndeso 2 месяца назад +2

    Tena mupumbavu kabisaaaaa make wa MTU sumu mama tafuta wako dadaaaaa

  • @emanueltemu1051
    @emanueltemu1051 2 месяца назад +1

    Jamani warida mume wam2 sumu mama pole

  • @AsmasaidiTitu
    @AsmasaidiTitu 2 месяца назад +3

    Piga kelele kama ww nimeke wandoa subra muhimu .wanaume taama tu ila sio kua hatupendwi

  • @JescaMarykarisa
    @JescaMarykarisa 2 месяца назад

    Safi sana 🎉🎉🎉❤❤

  • @MunaBintbadru
    @MunaBintbadru 2 месяца назад

    Hongereni kwa muvu nzur yenyemafunzo wanawake yapswa tuyafanyie kazi haya

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 2 месяца назад +1

    Yani kua na mahusiano na mke wa mtu au mume wa mtu n sawa na kuendesha gari la serikali kama muajiriwa....daima haliwezi kua lako....ukishafutwa hilo ndilo la kwanza kuchukuliwa 😅😅

    • @mariamjuma2535
      @mariamjuma2535 2 месяца назад

      Sasa dada warda walia nn kumbuka mume wamtu simu ropokaka tu kitakukuta

  • @RuuHassan-ik4ws
    @RuuHassan-ik4ws 2 месяца назад +2

    Dokta wake mume wako ndio mwenye tiba kubwa ya warda

  • @ZeinabBakar-je4nr
    @ZeinabBakar-je4nr 2 месяца назад +1

    Warda l❤❤❤kazi nzuri

  • @janemadinda5009
    @janemadinda5009 2 месяца назад

    Bekaaaaa maji pwaaaaaa

  • @sharifasherry2553
    @sharifasherry2553 2 месяца назад +3

    Hao ndio wanaume na wake zao

  • @AminaNgumba
    @AminaNgumba 2 месяца назад +2

    Bas akili za mchepuk hp kashaambiw hawez kuolewa na yy lkn bd atajihesabia yup ktk mahusiano mazur na anapendw wakt anapotezewa muda

  • @JohayvinaMutembei
    @JohayvinaMutembei 2 месяца назад +2

    Akuna mapenzi ya kweli kwa mume wa mtu

  • @subiraisaka7227
    @subiraisaka7227 2 месяца назад +2

    Tafuta wa kwako warda muache aende

  • @janemadinda5009
    @janemadinda5009 2 месяца назад

    Kazi unayo bekaaa

  • @KulwaJohn-gz1qm
    @KulwaJohn-gz1qm 2 месяца назад +1

    Kwan raymond haendi kazin jaman

  • @Aisha-f2g
    @Aisha-f2g 2 месяца назад +1

    Eweee ....warda ushaskia majibu ya Raymond hayoo

  • @RebeccaJoseph-b1x
    @RebeccaJoseph-b1x 2 месяца назад +1

    Dada hukulijua hilo kua tu making rafk yanv

  • @AlsoAlso-mq3pu
    @AlsoAlso-mq3pu 2 месяца назад +1

    Warida ulibakwa kweli

  • @Winnie-p9o
    @Winnie-p9o 2 месяца назад +1

    Mume wamtu nikama gar ya serekali

  • @fatumasalim3915
    @fatumasalim3915 2 месяца назад

    Mtihani kwakweli

  • @JanethRweyendera
    @JanethRweyendera 2 месяца назад

    Imeenda hiyo

  • @AlsoAlso-mq3pu
    @AlsoAlso-mq3pu 2 месяца назад +1

    Mchepuko siyo diri

  • @HappyJohn-n7y
    @HappyJohn-n7y Месяц назад

    Alikuwa na mpango wa kukuchuna

  • @mummyjei5634
    @mummyjei5634 2 месяца назад +1

    Wanaume nimapepo

  • @RehemaKirwey
    @RehemaKirwey 2 месяца назад

    Warda ukome na waume za watu

  • @MahadhiMusa
    @MahadhiMusa 2 месяца назад +1

    7 please

  • @BeatrisiaMtey
    @BeatrisiaMtey 2 месяца назад +1

    😭😭

  • @Lina-u7v
    @Lina-u7v 2 месяца назад +1

    Wakwanza jmn nipeni likes ata tatu bs

  • @sharifamohammed6317
    @sharifamohammed6317 2 месяца назад

    Sikuizi mwaringa vile mushapata wafwasi

  • @ElizabethKimario-m5n
    @ElizabethKimario-m5n 2 месяца назад +2

    Pole sana warda