AHADI TAMU - TUCASA SUA ( OFFICIAL VIDEO 4K)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Mungu ametuahidi kuwa pamoja nasi, hata tunapopitia majaribu na changamoto za miasha amini haujasahauliki, amekuandika katika vitanga vya mikono yake, Ahadi yake ni kwamba Anakukumbuka na anakuwazia yaliyo mema.

Комментарии • 78

  • @stephenw8074
    @stephenw8074 14 дней назад +1

    Wimbo mzuri sana. Mbarikiwe sana TUCASA SUA Choir.

  • @releiabby6201
    @releiabby6201 14 дней назад +1

    Watanzania wamebarikiwa sana kwa uimbaji ya kutuliza roho.. Baraka tele🇰🇪

  • @owennelson7955
    @owennelson7955 2 месяца назад +1

    Amen, mbarikiwe sana

  • @GIDEONMUTAI
    @GIDEONMUTAI Месяц назад +1

    One of my favourite songs. Simply the best and message loaded.

  • @marytoo9633
    @marytoo9633 Месяц назад +1

    Lovely choir..God bless you my favorite choir

  • @dlagat
    @dlagat Месяц назад +1

    Amina kwa uimbaji wa kimbingu

  • @senbon8693
    @senbon8693 2 месяца назад

    Amen, nabarikiwa sana na huu wimbo!!!

  • @remmykhan7244
    @remmykhan7244 8 месяцев назад +4

    Finally 🔥🔥🔥🔥

  • @paulinekimollo6216
    @paulinekimollo6216 8 дней назад +1

    Amen 🙏🙌

  • @bl4ckbo738
    @bl4ckbo738 26 дней назад +1

    🙌🙌

  • @glorybigambo1491
    @glorybigambo1491 8 месяцев назад +5

    Amen! Kazi nzuri, ujumbe makini, tumaini linaloishi Leo na milele. Pokeeni baraka za Bwana...

  • @RACHELMUSSA-i1v
    @RACHELMUSSA-i1v 2 месяца назад +3

    Napenda uimbaji wenu, melody ni yakiadventista. Don't change it's grorious

  • @eng_sambi
    @eng_sambi 9 месяцев назад +3

    waiting eagerly

  • @chachatugara5034
    @chachatugara5034 8 месяцев назад +4

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @BARAKABUBERWA-mh4zy
    @BARAKABUBERWA-mh4zy 8 месяцев назад +4

    Wimbo mzuri sana
    Mungu awabariki sana TUCASA SUA CHOIR

  • @rachelisack1234
    @rachelisack1234 5 месяцев назад +2

    Daaaaaaa pamja sanaa

  • @omodesigner
    @omodesigner 3 месяца назад +1

    ❤❤Amen.

  • @user-ec3ey5or9w
    @user-ec3ey5or9w 8 месяцев назад +3

    i wonder how singing is, be greatfull🧡🧡🧡🧡🧡🧡🧡

  • @hassanmatumba5272
    @hassanmatumba5272 6 месяцев назад +2

    Wimbo mzuri na umepata waimbaji pia

  • @SuzanaMbaigwa-yw2gh
    @SuzanaMbaigwa-yw2gh 9 месяцев назад +3

    Mungu awabariki

  • @gracemichael-w7k
    @gracemichael-w7k 8 месяцев назад +4

    Mungu awabariki mnooo SUA kwa uimbaji wenu uliotukuka kwa kweli Mm binafisi nabarikiwa na nyimbo zenu,...sasa bado nyimbo moja naipenda saana nayo naisubiri kwa hamu saana,..ntafurahi nikiisikia na hiyo,... kikubwa Mungu awabariki saana endeleeni kumtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji... maana mnagusa maisha ya watu

    • @chachatugara5034
      @chachatugara5034 8 месяцев назад

      Ni wimbo Gani unaupenda na unausubiri kwa hamu rafiki

  • @tinamwilongo7739
    @tinamwilongo7739 8 месяцев назад +2

    Nyimbo zenu zimekuwa faraja sana kwangu mbarikiwee🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @ambangile
    @ambangile 5 месяцев назад +2

    Amina 🔥🔥

  • @makongorofrancis9155
    @makongorofrancis9155 8 месяцев назад +2

    Amen. Ujumbe unaoishi. Hakika tunaishi nyakati za kujaribiwa na kupimwa kwa imani yetu sana. Macho yetu tuendelee kuyakaza daima kwa mwokozi maana Yeye hakika hajawahi kutuacha hata hatua moja. Yawe magumu au mazito tudumu kwake. Yeye bado ni Mwema...😊😊❤❤

  • @derrickrein7657
    @derrickrein7657 4 месяца назад +3

    Woow a piece that has talked to me all through the day,,this is what songs should do touch souls and bring people's thoughts back to Christ. Sincerely may the Lord bless your ministry.

  • @justinekenyansa
    @justinekenyansa 8 месяцев назад +4

    Wow, very well done and translated, I am always blessed with your wonderful songs!

  • @ClementMduta-vm5wv
    @ClementMduta-vm5wv 8 месяцев назад +3

    Mimi nimebarikiwa sana na wimbo wa niwe baraka hivyo ninaamini pia hata wimbo huu utaendelea kuwa mbaraka Bwana awabariki mnapoendelea kuimba kwa kufuata misingi ya Kiadventista Amina

  • @doo3380
    @doo3380 7 дней назад +1

    I keep listening to this song again and again since it was uploaded.
    You should come to Kenya, Kisii county, Nyangena SDA to bless us.
    Blarikiwa sana

    • @tucasasua
      @tucasasua  4 дня назад

      Amen

    • @tucasasua
      @tucasasua  4 дня назад

      Just waiting for your call over there and we will show up.

  • @naomimajura7640
    @naomimajura7640 4 месяца назад +2

    Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri na uimbaji mzuri wa kiadventista . Hakika ahadi za BWANAni tamu sana ni za hakika na kweli

  • @PastorPhilemon-ic7fi
    @PastorPhilemon-ic7fi 4 месяца назад +1

    Aaaameeeee mwendeee mbali🙏🙏🙏

  • @eliahtugara182
    @eliahtugara182 8 месяцев назад +2

    🔥

  • @mercyahonobadha1228
    @mercyahonobadha1228 4 месяца назад +1

    Wimbo huu ni wa kufariji mno!

  • @remmykhan7244
    @remmykhan7244 9 месяцев назад +2

    Can't wait for this song 🔥🔥

  • @AlfaksadNelson
    @AlfaksadNelson 8 месяцев назад +2

    Aminaaa..

  • @claudmagungu7103
    @claudmagungu7103 3 месяца назад +1

    Mbarikiwe

  • @athanaskalihamwe3046
    @athanaskalihamwe3046 8 месяцев назад +2

    Kawimbo kazuri with well balanced music. Barikiweni.

  • @dainesstungaraza6309
    @dainesstungaraza6309 8 месяцев назад +1

    Mbarikiwe ❤

  • @maregesijameslazaro3179
    @maregesijameslazaro3179 8 месяцев назад +1

    Nice Song Mr Christopher big up mwalimu

  • @stevenwolter6849
    @stevenwolter6849 9 месяцев назад +1

    Naisubiri kwa hamu Sana.

  • @user-dd6eg5tb3c
    @user-dd6eg5tb3c 8 месяцев назад +1

    Be blessed always always TUCASA CHOIR SUA

  • @JoramSon-ys6rt
    @JoramSon-ys6rt 8 месяцев назад +1

    Mungu na atukuzwe 🔥

  • @user-il2up9du7b
    @user-il2up9du7b 2 месяца назад

    🎉

  • @jombamakene7479
    @jombamakene7479 8 месяцев назад +1

    Real a nice song

  • @user-ipallangyo
    @user-ipallangyo 8 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sana na appreciate sana japo mimi ni associate natamani kurudi tena 😀

  • @philipojustine2541
    @philipojustine2541 8 месяцев назад +1

    Wow, this is amazing 😍😍

  • @boazelias9727
    @boazelias9727 6 месяцев назад

    Hakika wimbo huu unastahili kuwa wenye kututia moyo kwenye changamoto zetu, mubarikiwe Sana!

  • @naomirobert8266
    @naomirobert8266 8 месяцев назад +1

    ❣️❣️❣️MUNGU awabariki sana

  • @ThomasFrancis-hh7cm
    @ThomasFrancis-hh7cm 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-vb1wj7fg4u
    @user-vb1wj7fg4u 8 месяцев назад +1

    God bless sua Tucasa for your singing service

  • @DavidCharlesManyerere
    @DavidCharlesManyerere 8 месяцев назад

    🙏

  • @janemagoma7610
    @janemagoma7610 8 месяцев назад

    Mungu wa baraka zote awape hizo na kuzidi binafsi nabarikiwa na huu wimbo makini
    Hope zile effort za niishi ya semester zinaendelea Bwana awatie nguvu muende mbali Hadi mbinguni mwisho

  • @PerusiChacha
    @PerusiChacha 8 месяцев назад +1

    Nice

  • @ESTERMWAIPOPO-ss3qv
    @ESTERMWAIPOPO-ss3qv 8 месяцев назад +1

    Mungu awabariki sanaa SUA kwa kazi ya Mungu❤❤❤

  • @eng_sambi
    @eng_sambi 8 месяцев назад +1

    Amen

  • @mosessabena17
    @mosessabena17 9 месяцев назад +1

    🔥🔥🔥

  • @mwaxcie
    @mwaxcie 8 месяцев назад +1

    Barikiwa sana

  • @rebecawanda8346
    @rebecawanda8346 6 месяцев назад

    Wimbo mzuri Hongereni sana Mungu azidi kuwabariki

  • @MAZEROGAN
    @MAZEROGAN 8 месяцев назад +1

    Hi Tucasa

  • @NathanielMshana-ig2hc
    @NathanielMshana-ig2hc 8 месяцев назад

    Bila shaka huu ni wimbo wa zamani sana. Mbarikiwe mno watumishi wa Bwana.

  • @barnababaraka2019
    @barnababaraka2019 8 месяцев назад

    Wimbo uko poa sana, Mungu awabariki kwa sauti tamu

  • @francisbernard7579
    @francisbernard7579 8 месяцев назад +1

    Be blessed brethren 😊

  • @francispitalis786
    @francispitalis786 8 месяцев назад

    Hallelujah Bwana 🤗🤗
    Another blessing to count

  • @user-gx5bd6ob4c
    @user-gx5bd6ob4c 8 месяцев назад

    Mungu wa mbinguni awabariki kwa nyimbo hizo.

  • @georgejonathanbahati8822
    @georgejonathanbahati8822 8 месяцев назад

    Mbarikiwe Sana TUCASA SUA

  • @faustinechegeni1454
    @faustinechegeni1454 8 месяцев назад

    Ameen, Mbarikiwe Watalaam wa juu kabisa!

  • @KefrenJosiah
    @KefrenJosiah 8 месяцев назад

    Nabarikiwa sana na huduma hii.

  • @yoshuakimguni9345
    @yoshuakimguni9345 8 месяцев назад +1

    Amen❤

  • @LeahAyubu-md5jg
    @LeahAyubu-md5jg 8 месяцев назад

    🎉🎉 fantastic

  • @digmed7142
    @digmed7142 8 месяцев назад

    Mbarikiwe sana

  • @glorybigambo1491
    @glorybigambo1491 8 месяцев назад +1

    Amen! Kazi nzuri, ujumbe makini, tumaini linaloishi Leo na milele. Pokeeni baraka za Bwana...

  • @francispitalis786
    @francispitalis786 8 месяцев назад

    Hallelujah Bwana 🤗🤗
    Another blessing to count

  • @Dorothy2014
    @Dorothy2014 8 месяцев назад +1

    Amen