AHADI TAMU - TUCASA SUA ( OFFICIAL VIDEO 4K)
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Mungu ametuahidi kuwa pamoja nasi, hata tunapopitia majaribu na changamoto za miasha amini haujasahauliki, amekuandika katika vitanga vya mikono yake, Ahadi yake ni kwamba Anakukumbuka na anakuwazia yaliyo mema.
Wimbo mzuri sana. Mbarikiwe sana TUCASA SUA Choir.
Watanzania wamebarikiwa sana kwa uimbaji ya kutuliza roho.. Baraka tele🇰🇪
Amen, mbarikiwe sana
One of my favourite songs. Simply the best and message loaded.
Lovely choir..God bless you my favorite choir
Amina kwa uimbaji wa kimbingu
Amen, nabarikiwa sana na huu wimbo!!!
Finally 🔥🔥🔥🔥
Amen 🙏🙌
🙌🙌
Amen! Kazi nzuri, ujumbe makini, tumaini linaloishi Leo na milele. Pokeeni baraka za Bwana...
Napenda uimbaji wenu, melody ni yakiadventista. Don't change it's grorious
waiting eagerly
❤❤❤❤❤❤❤❤
Wimbo mzuri sana
Mungu awabariki sana TUCASA SUA CHOIR
Daaaaaaa pamja sanaa
❤❤Amen.
i wonder how singing is, be greatfull🧡🧡🧡🧡🧡🧡🧡
Wimbo mzuri na umepata waimbaji pia
Mungu awabariki
Mungu awabariki mnooo SUA kwa uimbaji wenu uliotukuka kwa kweli Mm binafisi nabarikiwa na nyimbo zenu,...sasa bado nyimbo moja naipenda saana nayo naisubiri kwa hamu saana,..ntafurahi nikiisikia na hiyo,... kikubwa Mungu awabariki saana endeleeni kumtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji... maana mnagusa maisha ya watu
Ni wimbo Gani unaupenda na unausubiri kwa hamu rafiki
Nyimbo zenu zimekuwa faraja sana kwangu mbarikiwee🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Amina 🔥🔥
Amen. Ujumbe unaoishi. Hakika tunaishi nyakati za kujaribiwa na kupimwa kwa imani yetu sana. Macho yetu tuendelee kuyakaza daima kwa mwokozi maana Yeye hakika hajawahi kutuacha hata hatua moja. Yawe magumu au mazito tudumu kwake. Yeye bado ni Mwema...😊😊❤❤
Woow a piece that has talked to me all through the day,,this is what songs should do touch souls and bring people's thoughts back to Christ. Sincerely may the Lord bless your ministry.
Wow, very well done and translated, I am always blessed with your wonderful songs!
Mimi nimebarikiwa sana na wimbo wa niwe baraka hivyo ninaamini pia hata wimbo huu utaendelea kuwa mbaraka Bwana awabariki mnapoendelea kuimba kwa kufuata misingi ya Kiadventista Amina
Barikiwa zaidi rafiki
I keep listening to this song again and again since it was uploaded.
You should come to Kenya, Kisii county, Nyangena SDA to bless us.
Blarikiwa sana
Amen
Just waiting for your call over there and we will show up.
Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri na uimbaji mzuri wa kiadventista . Hakika ahadi za BWANAni tamu sana ni za hakika na kweli
Aaaameeeee mwendeee mbali🙏🙏🙏
🔥
Wimbo huu ni wa kufariji mno!
Can't wait for this song 🔥🔥
Aminaaa..
Mbarikiwe
Kawimbo kazuri with well balanced music. Barikiweni.
❤❤Amen.
Mbarikiwe ❤
Nice Song Mr Christopher big up mwalimu
Naisubiri kwa hamu Sana.
Be blessed always always TUCASA CHOIR SUA
Mungu na atukuzwe 🔥
🎉
Real a nice song
Kazi nzuri sana na appreciate sana japo mimi ni associate natamani kurudi tena 😀
Wow, this is amazing 😍😍
Hakika wimbo huu unastahili kuwa wenye kututia moyo kwenye changamoto zetu, mubarikiwe Sana!
❣️❣️❣️MUNGU awabariki sana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
God bless sua Tucasa for your singing service
🙏
Mungu wa baraka zote awape hizo na kuzidi binafsi nabarikiwa na huu wimbo makini
Hope zile effort za niishi ya semester zinaendelea Bwana awatie nguvu muende mbali Hadi mbinguni mwisho
Nice
Mungu awabariki sanaa SUA kwa kazi ya Mungu❤❤❤
Amen
🔥🔥🔥
Barikiwa sana
Wimbo mzuri Hongereni sana Mungu azidi kuwabariki
Hi Tucasa
Bila shaka huu ni wimbo wa zamani sana. Mbarikiwe mno watumishi wa Bwana.
Wimbo uko poa sana, Mungu awabariki kwa sauti tamu
Be blessed brethren 😊
Hallelujah Bwana 🤗🤗
Another blessing to count
Mungu wa mbinguni awabariki kwa nyimbo hizo.
Mbarikiwe Sana TUCASA SUA
Ameen, Mbarikiwe Watalaam wa juu kabisa!
Nabarikiwa sana na huduma hii.
Amen❤
🎉🎉 fantastic
Mbarikiwe sana
Amen! Kazi nzuri, ujumbe makini, tumaini linaloishi Leo na milele. Pokeeni baraka za Bwana...
Amen
Hallelujah Bwana 🤗🤗
Another blessing to count
Amen