FINALLY MTOTO WA LONAH AWEZA KUPEWA MAMAKE LONAH🔥🙌DAKTARI IS REALLY DOING A GOOD JOB🙌

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025

Комментарии • 77

  • @zipporaondieki6850
    @zipporaondieki6850 5 дней назад +4

    Mamaa..no 1,kaa kwako,kama ni mali ya msichana ako mwangalilie day time, ongea na msichana akupandilishie nyumba yako!ulale uko na bwana ako na msichana akija alale na bwana ako?na lonah ukiacha uyu kijana j jua umepoteza mwanaume, akuna ule mkamilifu be great full for all he us done

  • @taleanyahya3687
    @taleanyahya3687 5 дней назад +6

    But doc plz help Bonnie and Lohan to live together ❤❤

  • @DianaMuhonja-oi9co
    @DianaMuhonja-oi9co 5 дней назад +7

    Lona Sasa afanye marekebisho ya nyumba ya mamake

  • @estherwamucii-kq4ts
    @estherwamucii-kq4ts 6 дней назад +17

    Lonah rudiana tu na bonny namuendelee na maisha yenyu, imagine sijawai ona mwanaume kama bonny amejaribu kutunza pesa zako 💯

    • @RuthMogire-et9gg
      @RuthMogire-et9gg 6 дней назад +3

      I support you dear

    • @ImmaculateWinnie
      @ImmaculateWinnie 6 дней назад

      Same here ​@@RuthMogire-et9gg

    • @lovely-f3o
      @lovely-f3o 6 дней назад +2

      Exactly this is the comment I have been looking for

    • @SusanMutika-nl8sq
      @SusanMutika-nl8sq 5 дней назад

      Ukwer ❤❤kapisha

    • @taleanyahya3687
      @taleanyahya3687 3 дня назад

      @@estherwamucii-kq4ts well spoken darling coz everything Bonnie was told by Lohan he made the so promise was about that Ann but Lohan their is no gud person n this world everybody is a sinners,so just call ur brain meeting the go back to ur husband who is Bonnie

  • @FaithMutheu-m1g
    @FaithMutheu-m1g 6 дней назад +16

    Lakni huyu mama hafai kukaa kwa mtoto wake,,,,ebu akae kwake na awachane na boma ya watoto😢😢

  • @eunicemageroeunicemagero
    @eunicemageroeunicemagero 6 дней назад +9

    Lonah rudiana na bonny si wote wangefanya vile alifanya rudianeni nawapenda❤❤❤

  • @promiseirene1430
    @promiseirene1430 6 дней назад +6

    Lonah bonny ni kijana mzuri please chukua bwanako

  • @KamikaziSalma
    @KamikaziSalma 6 дней назад +4

    Safisana mama 👏👏👏👏👏💗💗💗💗💗💗💗💗 Lonah akaye na bwanawake yani so wanaume wote wanafanya mambo mazuri kama Bonny 💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗

  • @juliamwangi9205
    @juliamwangi9205 6 дней назад +3

    Mama kaa kwako hiyo nyumba ni ya watoto

  • @Josaphine-o2w
    @Josaphine-o2w 6 дней назад +2

    Mungu ni mwema sana amepingania lonah handi kilakitu kimerundi, ninawaombeamema kwa kazi nzuri mlioyofanya kupitia nguvu na upendo wa mungu mbarikiwe sana wote ,hii ndio nimeona himehisha vinzuri handi mwisho. Congratulations 💐 daktari na director nasiz Angie

  • @julietsoita1401
    @julietsoita1401 6 дней назад +4

    Lonah warudiane tu na bonny huyu boy ako na maendeleo sana

  • @dancanomwenga1987
    @dancanomwenga1987 19 часов назад

    The boy is such a handsome and progressive man, spending someone's money in doing good and making such a great job God bless him

  • @FfFf-zw4oy
    @FfFf-zw4oy 6 дней назад +1

    Good work daktari 🙏🙏lonah kama unaona hii please rudiana na muendelee na maisha

  • @TheeplanetTv
    @TheeplanetTv 5 дней назад +1

    Upcoming RUclipsrs let's gather here ❤..team kupitiana.. nipitie alf comment done nikupitie pia 🎉

  • @RechoKathini
    @RechoKathini 6 дней назад +4

    Dakitari naomba umsaidie babake mtoto warudiane na mama mtoto juu amejitaidi akafanya vile walikisizana

    • @EdithGichuki
      @EdithGichuki 6 дней назад +1

      Aki ni vile mchawi aliingilia, but Ile kitu imenifurahisha ni ATI bonny amejenga na hata mchawi na wazazi hawajui

  • @BeatriceNyokabi-u8y
    @BeatriceNyokabi-u8y 5 дней назад +1

    At least mtoto amepatikana

  • @jackykwamboka2143
    @jackykwamboka2143 5 дней назад

    Bonnie achana na Mke wa Babako Ann, shikana na Mkeo Lonah zaa watoto zaidi maisha iendelee.

  • @jackykwamboka2143
    @jackykwamboka2143 5 дней назад

    1Mama Lonah akatiwe shamba alime. 2.Lonah atumie mamake Pesa kiasi amalize Nyumba yake aendelee na maisha kwake. 3.Wakwe wa Lonah pia wasaidiwe.

  • @pamelashikhule9443
    @pamelashikhule9443 6 дней назад

    Mama lonah is a mother of wisdom sana daktari thanks

  • @promiseirene1430
    @promiseirene1430 6 дней назад +5

    Ety utakaa kwa hio nyumba yako tena😂😂😂😂grown up mathe patia huyu kijana mtoto wake waende wakae na yy kwa nyumba yao

  • @CallenOmweri
    @CallenOmweri 5 дней назад +1

    Rona ukitafuta ndume ingine itakuwa more worse heri shetani wako sister rona

  • @MercyNadia-o1k
    @MercyNadia-o1k 5 дней назад

    😢😢😢😢😢c poa mama kuhama kwa msichana plz lona change your mum house 🏠 🙏

  • @Fuzia-w4w
    @Fuzia-w4w 5 дней назад

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉congratulations dakitari kwa kzi nzuri

  • @Gracemuhia418
    @Gracemuhia418 5 дней назад

    Mama Lonna wezi eda kukaa kwa watoto Waja Bonn aede na mutoto wakakae uko wewe utakuwa ukiwatebelea juu Bonn ni mwanaume kamili atakaa vizuri na mutoto nawewe ukae kwako plzzzzzzzz usiede kwa nyumba Iko na wenyewe

  • @mamag974
    @mamag974 6 дней назад +1

    Wewe mama ajia lonah nyumba yake na bwanake,,uko sure hiyo nyumba bwana ya mtoto wako hajai lala hapo.ungepaki kwako wakutengenesee boma lako tu pia.

  • @QueenMsafi-h7h
    @QueenMsafi-h7h 5 дней назад

    Doc pia md nahitaji usaidizi aki

  • @DorineMoraa
    @DorineMoraa 5 дней назад

    Mjukuu ako sawa pia wao wamejaribu lona akuwatumia ata bob hawakua na pesa haki

  • @JanetKenyatta
    @JanetKenyatta 5 дней назад

    Me naona uyu mama ronah ajane na nyumba ya Rona bt wamujengee nyumba ngine na wamupee shamba mahari akujajengwa bt wamujengeetu c kuenda kulala nyumba ya kijana wake ama waruya wako ivo awana mila😢😢

  • @MaryNyatichiMaryNyatichi
    @MaryNyatichiMaryNyatichi 6 дней назад

    Good work Doctor❤❤❤❤

  • @stellaonsate9869
    @stellaonsate9869 6 дней назад +1

    Mimi naomba tu daktari uwaunganishe waishi pamoja juu bonny angekua mjinga angepeleka huyo mchawi kwa iyo nyumba hamngepata

  • @euniceshanii2980
    @euniceshanii2980 5 дней назад

    TEAM HAMAM MBONA HAMUNIJIBU YAN MNAONA MWENZETU ZILE HATUA AMEPIGA FOR ONLY 4YRS🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂 NA WENGINE 6YRS NA HAKUNA KITU

    • @DianaMuhonja-oi9co
      @DianaMuhonja-oi9co 5 дней назад

      Mimi Niko na 3yrs na nimebuy shamba na nimejenga 3bedroom house na Bado Niko Kwa contract nataka nirudi nikiwa na my own business

  • @Judithkadzo
    @Judithkadzo 5 дней назад

    Angie g siungemwambiya huyo dakitari atusaidiye huyu ruto anatumaliza plz

  • @JESCAMUHANJI
    @JESCAMUHANJI 5 дней назад

    Bonny na Lonah warudi pamoja ,huyu mama ako na tamaa

  • @LilianNduku-e4i
    @LilianNduku-e4i 6 дней назад

    Congratulations all of you good job God be with you all the time and your family ❤️

  • @ttyy7642
    @ttyy7642 6 дней назад

    Mukinge bonny nama lona dackitali bakinge nalona pliz

  • @Emilymama2boys
    @Emilymama2boys 5 дней назад

    Lkn uyu kijana amefanya kazi nzuri pia uyo loaner arudiane na yy uyu ilikua ni uchawi na Sasa umetolea na alisema anatafuta mwanaume mwengine atakuja jutia sana

  • @ZinabAlzinab
    @ZinabAlzinab 5 дней назад

    Daktari muangalie huyo mtoto hajafanyia uchawi

  • @LLl-p4r3l
    @LLl-p4r3l 5 дней назад

    Lonah asamehe bony juu kumbe alikua amerogwa

  • @gozakoth8466
    @gozakoth8466 5 дней назад

    huyu mama lona ni mama mzuri sana boni pia ana akili lona amsamee hizo mika ni mingi ijapokua ni uchawi

  • @ZinabAlzinab
    @ZinabAlzinab 5 дней назад

    Mama lonah musikilize mtoto usikubali akatesaka Tena inaonesha amepitia matoso mengi hio

  • @HamidaHamed-e1y
    @HamidaHamed-e1y 5 дней назад

    Dktr mkinge bonii

  • @TonnyN-g1q
    @TonnyN-g1q 5 дней назад

    Flos mwambie lonah mume wake ako smart hasimuaje

  • @QweQwe-e7t5t
    @QweQwe-e7t5t 6 дней назад +1

    Lonah samehea bonny n mwanaume mpoa sana mutaenda mbali sana n mwanaume ako n akili sana amefeli apo kwa mtoto amujui babake

  • @DorineMoraa
    @DorineMoraa 5 дней назад

    Rudiana na bonny lona Alafu ile nyumba is either mfanyie kimila coz mum ashai ingia ata bedroom sio poa ama mjenge ingine muaachie mum ile

  • @MelcinAttia
    @MelcinAttia 5 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @EdithGichuki
    @EdithGichuki 6 дней назад +1

    Lonah hata kama ulikuwa umekasilika dont let bonny go, he's okey ni shetani alikuwa ameimgilia huyu kijana na mauchawi na najua uliona ni uchawi ... please don't loose him

    • @tabbyjoshepat9835
      @tabbyjoshepat9835 6 дней назад +1

      Imng vile n kijana mdogo lkn ako n akili kuliko wengeine wako over 40yrs

  • @RaydamaczBratislava
    @RaydamaczBratislava 5 дней назад

    Mama anaexpect bonny ahame ndio aende kuishi kwa msichana pia ako na tamaa na mtoi kwani alikuwa kwa shimo aki

  • @rosegibendi7539
    @rosegibendi7539 5 дней назад

    LONA ARUDIANE NA BONNY NA MAMA LONA ASIENDE KUKA KWA NYUMBA YA LONA APANA KABISA. LONA AJENGEE MAMA YAKE NYUMBA.

  • @Irangatwarose
    @Irangatwarose 5 дней назад

    Mama Lona usiende kuishi kwa nyumba ya watoto wako sio poa ishi tu kwako na Bonny aishi kule kwengine akitunza vitu

  • @HcjjfVm
    @HcjjfVm 5 дней назад

    Lona go back to your husband ❤

  • @joyleenivayo3699
    @joyleenivayo3699 5 дней назад

    Daktari na yeye ako sawa lakini ana story mingi

  • @PAULGISEMBA-t5i
    @PAULGISEMBA-t5i 6 дней назад

    Mama lona usiende kuishi Kwa watoto kaa kwako wakutengenezee yako ni haramu

  • @sibiahimali5041
    @sibiahimali5041 6 дней назад

    Huyu mtoi Hana malazi poa

  • @Moruridorine
    @Moruridorine 6 дней назад

    C kwa ubaya kitu naona mamake lonah anataja kujukuwa kila kitu ataki kuangalia effort hiyo familia imefanya azalea mtoto lkn ako apo kupigania mtoi inhaling alifukuza loan na mtoi

  • @EstherOchieng-i3i
    @EstherOchieng-i3i 6 дней назад

    Dakitari naomba pia me nisaindie ak

  • @Norah-s9f
    @Norah-s9f 6 дней назад +2

    Huyo mtoto anakaa shinda tu

  • @TessMute
    @TessMute 5 дней назад

    Lonah rudiana na bonny