ALL THE DOCUMENTS HAVE BEEN GIVEN TO MAMA LONAH BY BONNY 🙌DAKTARI IS NOT A JOKE AT ALL🔥🙌

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 125

  • @LydiaOpicho
    @LydiaOpicho 3 часа назад +10

    Huyu sasa ndio mwanaume kamili lonah usiache bonny amefanya kazi nzuri sana congratulations bonny hakuna mwanaume anaweza vitu hivi vyote aki❤❤❤

  • @fatma-bn5ji
    @fatma-bn5ji 2 часа назад +3

    Lona rudi kwa boni anakupend hakuna aliyekamilika❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @NyachwoEvelyn
    @NyachwoEvelyn 3 часа назад +12

    Guys this boy is better than some of our parents 😢😢 he is one in a million

  • @Eddy_wamishey1
    @Eddy_wamishey1 2 часа назад +3

    Congratulations bonny good job sio wote wanafanya vile umefany🎉🎉

  • @HchJev
    @HchJev 6 часов назад +14

    Mm ningekuwa lona ningerudi kwa bwanangu coz uchawi ndo ulikuwa umemfunga bony mungu akubarika kakangu 🙏🙏🙏🙏

  • @KamikaziSalma
    @KamikaziSalma 3 часа назад +4

    Wallah huyu kijana anaakili sana apewe ulinzi wakutosha 👏👏👏 furahi mama nihaki ya mwanawo 💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗

    • @MoureenKhamis
      @MoureenKhamis 2 часа назад

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kabisa❤❤❤❤❤❤

    • @Ashleykaudencia
      @Ashleykaudencia 39 минут назад

      Kabisa ako.na.akiki.kumbe aikuwa kupenda kwake

  • @Bettybioz
    @Bettybioz Час назад

    MAY GOD BLESS THIS BOY.I LOVE THE WAY HE 'S HUMPLE SIKAMA WALE WENGINE WANAKULA PESA NA MALAYA KISHA WANAUZA WATOTO.🙏🙏🙏

  • @SilviaS-ys6om
    @SilviaS-ys6om 8 часов назад +3

    Aki lornah please usiwache bonney unaona akuaribu pesa zako alitumia vizuri .🥰🥰🥰

  • @catrhine93
    @catrhine93 30 минут назад

    Congratulations 🎊 👏 bonny lonah usiwaje huyo bonny sio wote utakanyo tumia pesa wakufanyie maendeleo

  • @JosephineBiyaki-t4o
    @JosephineBiyaki-t4o 2 часа назад +1

    Ooh my God ata mmi sitatoka Saudi waaaau Sasa magaidy tufanya bidii❤❤❤❤❤

  • @neemamwaura8222
    @neemamwaura8222 25 минут назад

    Good job dactari uchunge hio boma wasikuje kulita muchawi uko Bonnie kazi mzuri uchaw Dio ilikuw inakusubua bt haikuzuia ijijenge

  • @Loice-m4s
    @Loice-m4s 2 часа назад +2

    Mama pia usiwe na tamaa ukwamilie hapo utajengewa yako 😃 😀

  • @sarahwambui625
    @sarahwambui625 3 минуты назад

    Congratulations bonny never give up good job

  • @Fuzia-w4w
    @Fuzia-w4w 2 часа назад

    Wow nilikua nasuburia document hapo sasa bonny ni mwanaume bora❤❤❤

  • @Cynthia-qh8kv
    @Cynthia-qh8kv 3 часа назад +3

    Baba hafeel poa kabsaa

  • @DorineMoraa
    @DorineMoraa 21 минуту назад

    🎉🎉🎉🎉arirrrrrr cogratulation kwa lona usiaache bonny

  • @LLl-p4r3l
    @LLl-p4r3l 3 часа назад +2

    Wow we haki bony barikiwa xana lonah rudi kwa bwanako. Kumbe ulikua uchawi

  • @FronicaMmbasu
    @FronicaMmbasu 2 часа назад

    CONGRATULATIONS KIJANA🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️,GOOD JOB YOU DID ,,,GLORY TO GOD .LIVE LONG 🙏🙏🙏👍

  • @RehemaJohnson-d5m
    @RehemaJohnson-d5m 3 часа назад +1

    Wanaume n kma hawa congratulations boni mungu akubariki jameni

  • @emilymideva8783
    @emilymideva8783 Час назад

    Woow so amazing congratulations Norah nice work.

  • @Kenyalydiahmonayo
    @Kenyalydiahmonayo 2 часа назад

    Good job👏👏👏

  • @violetnamema7753
    @violetnamema7753 45 минут назад

    Lona please usiache bonny ni one in a million akuna mwanaume anaeza fanya hii

  • @UlenjeNyamvula
    @UlenjeNyamvula 36 минут назад

    Congratulations bonny wewe ni mwanaume

  • @rizeshiku
    @rizeshiku 3 часа назад

    Wow so nice ,.aki bonny he is a man ❤❤❤❤❤ Lorna please when you come back , stay with this man ,🎉🎉woi mum musifukuze huyu kijana ,.huwenda ata mama hangefanya hizi vitu zote

  • @bahatikadzo8896
    @bahatikadzo8896 2 часа назад +1

    Ndiyo maana lona alitafuta dakitari haki huyu kijana mungu ambariki

  • @Betty-m5n
    @Betty-m5n Час назад

    🎉🎉🎉🎉 bony

  • @julietsoita1401
    @julietsoita1401 4 часа назад +2

    Lonah if you are watching this come back

  • @SurprisedBirdBath-qh2nn
    @SurprisedBirdBath-qh2nn 2 часа назад

    Wow congratulations bony umefinya kitu muhimu xna walai

  • @PatriciaKambale
    @PatriciaKambale Час назад

    Bona usiache bonny ambia daktari akurudishie mme wako

  • @perisnelima-q8p
    @perisnelima-q8p 3 часа назад +3

    Mbona siamini bonny😂😂

    • @MOH-k1e
      @MOH-k1e 2 часа назад

      Same to hii ni drama tu

    • @emilykwamboka711
      @emilykwamboka711 2 часа назад

      Daktari angekuwa Ameona kitamboo aki

    • @NyamokiJemimah-f4x
      @NyamokiJemimah-f4x 2 часа назад

      Pia mm juu hii nyumba ni yakifahari walai hapa kuna kamchezo

    • @RAELRAEL-sj1qg
      @RAELRAEL-sj1qg Час назад

      😂😂😂😂Nashuku pia hii nyumba bonny anafanya kazi hapo mayb wenyewe hawako around ndo akaamua acha awafunike

    • @marykachisa
      @marykachisa Час назад

      Juu pesa ya Saudi n kidogo aki anunue shamba na ajenge hio nyumba hapa Kuna mchezo​@@RAELRAEL-sj1qg

  • @MARIAMARIA-j3r
    @MARIAMARIA-j3r 2 часа назад

    Hongera bonny kwa kazi yako

  • @ChristineEtyang
    @ChristineEtyang 3 часа назад +1

    Bonny❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MariahNyaboke
    @MariahNyaboke 2 часа назад +4

    Nobody is talking about furaha ya daktari😊

    • @ambanihilda9636
      @ambanihilda9636 2 часа назад

      Yah, this has beta smooth journey with bonys support

  • @Nema-f5d
    @Nema-f5d 2 часа назад

    Good job

  • @UsilaChepchumba
    @UsilaChepchumba Час назад

    Bonny🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅

  • @ZenahMonry
    @ZenahMonry 3 часа назад +1

    Me naonelea hata lonah aendelee kutumia bonny doo amefanya kazi mzuri sana

  • @Lastbornofficial1387
    @Lastbornofficial1387 2 часа назад +1

    Aki lona rundi kwa bwanako ako hata husirundi gulf walahi....lona msifukuze bonny naona kama mama lona atachukua vitu zote walai

  • @CatherineAgote-b7l
    @CatherineAgote-b7l 3 часа назад

    Wao Good waka

  • @julietsoita1401
    @julietsoita1401 3 часа назад

    Mzee anachungulia nje 😅😅😅

  • @Theblessed-v9y
    @Theblessed-v9y 3 часа назад +1

    Lona plz usiache huyu kijanaaa please please

  • @mumblessed001
    @mumblessed001 2 часа назад

    Kumbe huyu kijana alikua ni uchawi ilimfanya awe hivo good job beana ya lonah kazi safi dactari good job kazi safi aki hii yote ingeenda na mchawii lonah fanya kazi bila stress

  • @EdinahMogire-d4w
    @EdinahMogire-d4w 3 часа назад +1

    Baba ajafurahia na mchawi😂😂 aky bonny ni mwanaume na nusu

    • @Vee_5ji
      @Vee_5ji 2 часа назад

      Mwanaume kamili si nusu❤❤❤❤❤❤

  • @Violette-v6p
    @Violette-v6p Час назад

    Kwanini bonny apeane documents siangebaki nazo sizake namukewe

  • @LLl-p4r3l
    @LLl-p4r3l 3 часа назад

    Haki nifuraha xana ❤❤❤❤❤

  • @BayamapenziBaya
    @BayamapenziBaya 27 минут назад

    Na uyu mwana mke anafutafuta nn limemshuka huuuu

  • @zipporaondieki6850
    @zipporaondieki6850 3 часа назад

    Lonah rudi kW mumewe dear mtaenda mbali pamoja

  • @VerahMartin
    @VerahMartin 8 часов назад +1

    Woow kumbe bonny Ana akili

  • @Linet-v5s
    @Linet-v5s 35 минут назад

    Angie nkuulize nataka daktari anikinge mtu yoyote asiwahi nifanyia kitu coz I'm from kisii na my aunt n mchawi,, please atadai pesa ngap?

  • @JESCAMUHANJI
    @JESCAMUHANJI 3 часа назад +2

    Ni madawa yalifanya Bonny afanye lonah ivo airport warudiane bana

  • @AgnesWaringa-w8b
    @AgnesWaringa-w8b 2 часа назад

    Huuu mama anasema hayoki kwani yeye ndiye alikuwa anatengenezewa amepewa shamba aende ajengewe nauko hii nyumba ni ya lonnah na bonny good job daktari

    • @PeterKamau-gu1tx
      @PeterKamau-gu1tx Час назад

      Kweri coz huyu ataeza katalia uku

    • @DorothyMwendwa-u3m
      @DorothyMwendwa-u3m Час назад

      Mama aliuza Kila kitu ndio msichana wake aende majuu so akona ruhusa borake mtoto wake anakubali...kumpa room tu moja

    • @YasminKhamisi
      @YasminKhamisi Час назад

      ​@@DorothyMwendwa-u3m saudi n bure bana😂😂😂😂

  • @promiseirene1430
    @promiseirene1430 Час назад +1

    Hii boma ni ya bonny na lonah sijui mamake anataka kuingia kwa nyumba ya watoto kwa nini

    • @YasminKhamisi
      @YasminKhamisi 59 минут назад

      Anasema ety arudi kwake uyu ako sawa kweli😂😂😂😂

  • @TitusRachael-q5p
    @TitusRachael-q5p 2 часа назад

    I wish lona hangerudi haraka hivo

  • @KamikaziSalma
    @KamikaziSalma 2 часа назад +2

    Mama anajuwa kunipa raha sana😂😂😂😂😂😂😂 etikulekwangu sirudi 😂😂😂😂😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 basanja kiroho kinamuuma sana anatamani kumrukia Bonny 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AgnesWaringa-w8b
    @AgnesWaringa-w8b 2 часа назад

    Wewe mama wacha tamaa huko ni kwa mtoi wako na bwanake tamaa mingi punguza

  • @MariamNamppija
    @MariamNamppija 3 часа назад

    😂😂❤❤❤❤

  • @Norah-s9f
    @Norah-s9f 21 минуту назад

    Lona usiache bwanake hiyo kitu hazishi Bado iko TU poa haikuvujika

  • @RehemaJohnson-d5m
    @RehemaJohnson-d5m 3 часа назад +2

    Bibi wa pili aende Saudi Arabia pia

    • @EdinahMogire-d4w
      @EdinahMogire-d4w 3 часа назад

      Na hii ni saudi gani lona halikua na mimi apa sioni pesa sikitosa😅😅

    • @zainaburuthzainaburuth3376
      @zainaburuthzainaburuth3376 3 часа назад

      ​@@EdinahMogire-d4wlona worked for 6years

    • @Farinahfavour254
      @Farinahfavour254 3 часа назад

      😂😂​@@EdinahMogire-d4w😂😂😂😂 walai lkn 7 yrs si mchezo

    • @LonahLosh
      @LonahLosh Час назад

      ​@EdinahMogire-d4w hakua Na majukumu wengi walio Saud n school fees both Kwa watoi wao Na nduhu Na dada but Lona alipata mwanamme mwaminifu

  • @BRIANOTOIGO
    @BRIANOTOIGO 2 часа назад

    Baba wewe kuna viti hapo nje kijana anasema ukae aki Dr😂😂😂😂

  • @jentamacrine587
    @jentamacrine587 3 часа назад

    Mimi naona bony alikuwa mbele ya uchawi Yani alishinda uchawi😅😅juu kama amefanya hizi zote uchawi basi ilichelewa😅😅

  • @ZenahMonry
    @ZenahMonry 3 часа назад

    Lonah mahali uko kama unanisikia ulipata bwana mzuri n mganga alijribu kumwaribu ila usimwache bonny

  • @NicIbrahim
    @NicIbrahim 51 минуту назад

    Huyu kijana natamani nimpee job anijengee nyumba Kama hii

  • @DianaEtemesi
    @DianaEtemesi 2 часа назад

    Aky lonah samehea bonny n mzee mwenye akili

  • @jentamacrine587
    @jentamacrine587 3 часа назад

    Mama Lona sasa achia brother wa Lona boma lako na shamba kama yake basi kama utoki hapo😂😂😂

  • @emilykwamboka711
    @emilykwamboka711 2 часа назад

    Lonah penye uko Najua unaona venye bwanako ameheshimu jasho lako aki

  • @nancyrori6637
    @nancyrori6637 2 часа назад

    Bonnie nikuharibiwa aliharibiwa na huyo mwanamke

  • @AishaElizabeth-j6h
    @AishaElizabeth-j6h 2 часа назад +2

    Some likes to Bony ❤❤❤❤❤❤ now why mama Lonah wants to stay in this house 😅😅

    • @Vee_5ji
      @Vee_5ji Час назад

      Angejengewa yake aki 😂😂😂😂😂wee kijana anakili 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @webbryr5568
    @webbryr5568 19 минут назад

    🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆

  • @DianahMururi
    @DianahMururi 7 часов назад +1

    Mm nimefurahia ndio tuko na mangombe hapa wanakula Kukula na pia wanakuletea mwanamke wanaweka Kwa nyumba yenye umejenga na pesa zako za gulf na anakwambia hakujui

  • @Scolah-i2h
    @Scolah-i2h 6 часов назад +2

    mbona nashuku bony sana ..the way wamesugua izo sufuria inakaa kuna mwanamke mwingine uko

    • @JulietImujaro
      @JulietImujaro 6 часов назад

      Ujasikia akisema Kuna shamba boy na wewe

    • @Scolah-i2h
      @Scolah-i2h 6 часов назад

      @JulietImujaro nimesema namshuku siyuko sure juu wanaume awasuguangi ivo sufuria ..sijesema unijibu ivo kuja pole pole😒😒

    • @JulietImujaro
      @JulietImujaro 4 часа назад +1

      @Scolah-i2h sawa acha niaje kihehere🫶

    • @ambanihilda9636
      @ambanihilda9636 2 часа назад

      ​@@JulietImujaroitabidi aondoke

  • @mlynamylna3828
    @mlynamylna3828 3 часа назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤wow

  • @mariamsalim-c5z
    @mariamsalim-c5z Час назад

    Lona rudi kwa boni anakupend

  • @totiochieng4116
    @totiochieng4116 3 часа назад

    Lorna asimuache uyo mwana mume , sio raisi

  • @Emily-e2l
    @Emily-e2l 3 часа назад

    Lonah Rudi kwa bwana Yako plz

  • @MariyamImran-yl1lk
    @MariyamImran-yl1lk 2 часа назад

    Where is the baby

  • @FfFf-zw4oy
    @FfFf-zw4oy 4 часа назад

    Lonah koza sio kosa kurudia kosa ni kosa forgive Bonny na mrudiane

  • @JanethNyaboke-bq5ob
    @JanethNyaboke-bq5ob 3 часа назад

    Hapana mama husilale hapo kwa mtoi wako

  • @MOH-k1e
    @MOH-k1e 2 часа назад

    Mnafanyia drama kwa manyumba za wenyewe miaka saba saudia kwani alikuwa analipwa million ngapi😏😏😏

  • @JUDYKOSGEI-g7b
    @JUDYKOSGEI-g7b 3 часа назад

    Ambia mama alimaliziwa aweke hizo documents kwa bank

  • @DebraChelangat-p2p
    @DebraChelangat-p2p 47 минут назад

    Lonar love your husband please

  • @ZinabAlzinab
    @ZinabAlzinab 3 часа назад

    Bonny usisubutu kumuingiza huyo bibi wa kichewi kwa nyumba ya lonah usijaribu Yuko na roho ya tamaa

  • @RebeccaMusau-or6vi
    @RebeccaMusau-or6vi 3 часа назад

    Lona tafuta pesa ujenge za wapangaji usirudi saaii

  • @marymaina5245
    @marymaina5245 2 часа назад

    U mine to say Ann after sleeping with baba yake, Tena Akai nayeye

  • @Agatha-s4w5x
    @Agatha-s4w5x 3 часа назад

    Lonah usimuache bwanako haki hatakama umempata na mwanamke mwengine lakini pesa yako hajakula

  • @besonwanda6041
    @besonwanda6041 2 часа назад

    Rudi kwako kamama mume wako ni muzuri sana

  • @linetnyangate1311
    @linetnyangate1311 4 минуты назад

    Sasa wewe mama umeanza kujipanga mwanaume wa msichana wako aende wapi wewe ujengewe yako

  • @Shiie.mwongela
    @Shiie.mwongela 3 часа назад

    Mama lona anataka kukatalia kwa nyumba ya watoto 😢

  • @pauline1015
    @pauline1015 3 часа назад

    Smiling alone😊😊😊😊

  • @Loice-m4s
    @Loice-m4s 3 часа назад

    Aki lona popote ulipo ujue una bwana

  • @carolchelagat4610
    @carolchelagat4610 2 часа назад +1

    Naona hii drama mahindi tena

  • @WinnieMwaurah-y8k
    @WinnieMwaurah-y8k 2 часа назад

    Hope mumelipa mwenye iyo mali kufanya content nayo ,,,juu hakuna pesa ya saudia inaeza Fanya hii in 2 years,,,alafu in contract mutiachishe uongo

    • @santakahindi
      @santakahindi 2 часа назад

      Wewe lonah alikaa 5years si 2 years

    • @hadijaangura6572
      @hadijaangura6572 2 часа назад

      Mm mwenyewe ni na 10 yrs !nasijafika hapo kwani mm ninani😢

    • @MOH-k1e
      @MOH-k1e 2 часа назад

      😂😂😂😂hata kama ni 10 yrs hope wamelipa na ya sabuni ya kuosha hiyo hao ya wenyewe juu kunuka inanuka huko

    • @LonahLosh
      @LonahLosh Час назад

      ​@@santakahindialikaa 7yrs

    • @LonahLosh
      @LonahLosh Час назад

      ​@@hadijaangura6572wewe una majukumu maybe but c unaona Lona hakua Na school fees Na hata hakua anatumia wazazi pesa for 7 yrs it can be possible