Mamaa..no 1,kaa kwako,kama ni mali ya msichana ako mwangalilie day time, ongea na msichana akupandilishie nyumba yako!ulale uko na bwana ako na msichana akija alale na bwana ako?na lonah ukiacha uyu kijana j jua umepoteza mwanaume, akuna ule mkamilifu be great full for all he us done
@@estherwamucii-kq4ts well spoken darling coz everything Bonnie was told by Lohan he made the so promise was about that Ann but Lohan their is no gud person n this world everybody is a sinners,so just call ur brain meeting the go back to ur husband who is Bonnie
Mungu ni mwema sana amepingania lonah handi kilakitu kimerundi, ninawaombeamema kwa kazi nzuri mlioyofanya kupitia nguvu na upendo wa mungu mbarikiwe sana wote ,hii ndio nimeona himehisha vinzuri handi mwisho. Congratulations 💐 daktari na director nasiz Angie
Mama Lonna wezi eda kukaa kwa watoto Waja Bonn aede na mutoto wakakae uko wewe utakuwa ukiwatebelea juu Bonn ni mwanaume kamili atakaa vizuri na mutoto nawewe ukae kwako plzzzzzzzz usiede kwa nyumba Iko na wenyewe
Me naona uyu mama ronah ajane na nyumba ya Rona bt wamujengee nyumba ngine na wamupee shamba mahari akujajengwa bt wamujengeetu c kuenda kulala nyumba ya kijana wake ama waruya wako ivo awana mila😢😢
Lkn uyu kijana amefanya kazi nzuri pia uyo loaner arudiane na yy uyu ilikua ni uchawi na Sasa umetolea na alisema anatafuta mwanaume mwengine atakuja jutia sana
Lonah hata kama ulikuwa umekasilika dont let bonny go, he's okey ni shetani alikuwa ameimgilia huyu kijana na mauchawi na najua uliona ni uchawi ... please don't loose him
C kwa ubaya kitu naona mamake lonah anataja kujukuwa kila kitu ataki kuangalia effort hiyo familia imefanya azalea mtoto lkn ako apo kupigania mtoi inhaling alifukuza loan na mtoi
Mamaa..no 1,kaa kwako,kama ni mali ya msichana ako mwangalilie day time, ongea na msichana akupandilishie nyumba yako!ulale uko na bwana ako na msichana akija alale na bwana ako?na lonah ukiacha uyu kijana j jua umepoteza mwanaume, akuna ule mkamilifu be great full for all he us done
But doc plz help Bonnie and Lohan to live together ❤❤
Lonah rudiana tu na bonny namuendelee na maisha yenyu, imagine sijawai ona mwanaume kama bonny amejaribu kutunza pesa zako 💯
I support you dear
Same here @@RuthMogire-et9gg
Exactly this is the comment I have been looking for
Ukwer ❤❤kapisha
@@estherwamucii-kq4ts well spoken darling coz everything Bonnie was told by Lohan he made the so promise was about that Ann but Lohan their is no gud person n this world everybody is a sinners,so just call ur brain meeting the go back to ur husband who is Bonnie
Lona Sasa afanye marekebisho ya nyumba ya mamake
@@DianaMuhonja-oi9co truth senior
Lakni huyu mama hafai kukaa kwa mtoto wake,,,,ebu akae kwake na awachane na boma ya watoto😢😢
Yes
Kabisaaa
Yes Ako na tamaa sana aki
True si yeye alikuwa anatumiwa pesa zake alikuwa anakula tu
😭😭😭😭😭😭
Lonah rudiana na bonny si wote wangefanya vile alifanya rudianeni nawapenda❤❤❤
@@eunicemageroeunicemagero n walambana
Safisana mama 👏👏👏👏👏💗💗💗💗💗💗💗💗 Lonah akaye na bwanawake yani so wanaume wote wanafanya mambo mazuri kama Bonny 💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗
Lonah bonny ni kijana mzuri please chukua bwanako
Mungu ni mwema sana amepingania lonah handi kilakitu kimerundi, ninawaombeamema kwa kazi nzuri mlioyofanya kupitia nguvu na upendo wa mungu mbarikiwe sana wote ,hii ndio nimeona himehisha vinzuri handi mwisho. Congratulations 💐 daktari na director nasiz Angie
The boy is such a handsome and progressive man, spending someone's money in doing good and making such a great job God bless him
Mama kaa kwako hiyo nyumba ni ya watoto
1Mama Lonah akatiwe shamba alime. 2.Lonah atumie mamake Pesa kiasi amalize Nyumba yake aendelee na maisha kwake. 3.Wakwe wa Lonah pia wasaidiwe.
Lonah warudiane tu na bonny huyu boy ako na maendeleo sana
Ety utakaa kwa hio nyumba yako tena😂😂😂😂grown up mathe patia huyu kijana mtoto wake waende wakae na yy kwa nyumba yao
I support
Upcoming RUclipsrs let's gather here ❤..team kupitiana.. nipitie alf comment done nikupitie pia 🎉
Good work daktari 🙏🙏lonah kama unaona hii please rudiana na muendelee na maisha
Bonnie achana na Mke wa Babako Ann, shikana na Mkeo Lonah zaa watoto zaidi maisha iendelee.
Dakitari naomba umsaidie babake mtoto warudiane na mama mtoto juu amejitaidi akafanya vile walikisizana
Aki ni vile mchawi aliingilia, but Ile kitu imenifurahisha ni ATI bonny amejenga na hata mchawi na wazazi hawajui
😢😢😢😢😢c poa mama kuhama kwa msichana plz lona change your mum house 🏠 🙏
Mama Lonna wezi eda kukaa kwa watoto Waja Bonn aede na mutoto wakakae uko wewe utakuwa ukiwatebelea juu Bonn ni mwanaume kamili atakaa vizuri na mutoto nawewe ukae kwako plzzzzzzzz usiede kwa nyumba Iko na wenyewe
Mama lonah is a mother of wisdom sana daktari thanks
Wewe mama ajia lonah nyumba yake na bwanake,,uko sure hiyo nyumba bwana ya mtoto wako hajai lala hapo.ungepaki kwako wakutengenesee boma lako tu pia.
Me naona uyu mama ronah ajane na nyumba ya Rona bt wamujengee nyumba ngine na wamupee shamba mahari akujajengwa bt wamujengeetu c kuenda kulala nyumba ya kijana wake ama waruya wako ivo awana mila😢😢
At least mtoto amepatikana
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉congratulations dakitari kwa kzi nzuri
Lkn uyu kijana amefanya kazi nzuri pia uyo loaner arudiane na yy uyu ilikua ni uchawi na Sasa umetolea na alisema anatafuta mwanaume mwengine atakuja jutia sana
Angie g siungemwambiya huyo dakitari atusaidiye huyu ruto anatumaliza plz
Mjukuu ako sawa pia wao wamejaribu lona akuwatumia ata bob hawakua na pesa haki
Rudiana na bonny lona Alafu ile nyumba is either mfanyie kimila coz mum ashai ingia ata bedroom sio poa ama mjenge ingine muaachie mum ile
Mimi naomba tu daktari uwaunganishe waishi pamoja juu bonny angekua mjinga angepeleka huyo mchawi kwa iyo nyumba hamngepata
TEAM HAMAM MBONA HAMUNIJIBU YAN MNAONA MWENZETU ZILE HATUA AMEPIGA FOR ONLY 4YRS🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂 NA WENGINE 6YRS NA HAKUNA KITU
Mimi Niko na 3yrs na nimebuy shamba na nimejenga 3bedroom house na Bado Niko Kwa contract nataka nirudi nikiwa na my own business
Doc pia md nahitaji usaidizi aki
Bonny na Lonah warudi pamoja ,huyu mama ako na tamaa
Congratulations all of you good job God be with you all the time and your family ❤️
Mama lonah musikilize mtoto usikubali akatesaka Tena inaonesha amepitia matoso mengi hio
Mukinge bonny nama lona dackitali bakinge nalona pliz
Mama anaexpect bonny ahame ndio aende kuishi kwa msichana pia ako na tamaa na mtoi kwani alikuwa kwa shimo aki
Lonah hata kama ulikuwa umekasilika dont let bonny go, he's okey ni shetani alikuwa ameimgilia huyu kijana na mauchawi na najua uliona ni uchawi ... please don't loose him
Imng vile n kijana mdogo lkn ako n akili kuliko wengeine wako over 40yrs
Rona ukitafuta ndume ingine itakuwa more worse heri shetani wako sister rona
huyu mama lona ni mama mzuri sana boni pia ana akili lona amsamee hizo mika ni mingi ijapokua ni uchawi
Lonah asamehe bony juu kumbe alikua amerogwa
Good work Doctor❤❤❤❤
Daktari muangalie huyo mtoto hajafanyia uchawi
Lonah samehea bonny n mwanaume mpoa sana mutaenda mbali sana n mwanaume ako n akili sana amefeli apo kwa mtoto amujui babake
Flos mwambie lonah mume wake ako smart hasimuaje
LONA ARUDIANE NA BONNY NA MAMA LONA ASIENDE KUKA KWA NYUMBA YA LONA APANA KABISA. LONA AJENGEE MAMA YAKE NYUMBA.
Mama Lona usiende kuishi kwa nyumba ya watoto wako sio poa ishi tu kwako na Bonny aishi kule kwengine akitunza vitu
Daktari na yeye ako sawa lakini ana story mingi
Lona go back to your husband ❤
Dktr mkinge bonii
Mama lona usiende kuishi Kwa watoto kaa kwako wakutengenezee yako ni haramu
C kwa ubaya kitu naona mamake lonah anataja kujukuwa kila kitu ataki kuangalia effort hiyo familia imefanya azalea mtoto lkn ako apo kupigania mtoi inhaling alifukuza loan na mtoi
Huyu mtoi Hana malazi poa
❤❤❤❤❤❤❤❤
Dakitari naomba pia me nisaindie ak
Pitia kwa angie b akupee number
Huyo mtoto anakaa shinda tu
Woiyee
Lonah rudiana na bonny