RECAP: MAPUNGUFU SHOW ya ALIKIBA?? ilikuwa ni SOMO kwa wasanii wengine, CHINO & JOH MAKINI walitisha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny

Комментарии • 43

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 2 месяца назад +10

    Safi sana kaka umetisha ,lazma ukweli isemwe ,king Kiba ameweza anastahili pongezi

  • @Dimitripayet-y6x
    @Dimitripayet-y6x 2 месяца назад +8

    Jamaa anajua sana 👑

  • @idrisashelimo307
    @idrisashelimo307 2 месяца назад +5

    King kiba katisha snaaaaaaaa Jamaaa ni noma

  • @natureboy972
    @natureboy972 2 месяца назад +17

    Leo umeongea ukweili kabisa ndio mana akaitwa King anajua Sana jama 20 years bado yupo unafikila nini bro ,... King Kiba ninoma sana

    • @albertkatuga2434
      @albertkatuga2434 2 месяца назад

      Kwenye stage hapo umeupiga kaka TFF iwafikie

  • @zainabuabdul7852
    @zainabuabdul7852 2 месяца назад +8

    Ni crown media hao sound

  • @hassanmohammad2504
    @hassanmohammad2504 2 месяца назад +9

    Leo umeongea point kubwa Sana mzee kiba ni best of the rest

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 2 месяца назад +3

    ❤❤❤King kama King 👑 😊

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 2 месяца назад +7

    King is the best

  • @HalimaNamangupa
    @HalimaNamangupa 2 месяца назад +7

    Good good good good

  • @AsumaniMajesty
    @AsumaniMajesty 2 месяца назад +8

    Huyo ni King Kiba 👑👑👑❤️❤❤

  • @ALLY_K61
    @ALLY_K61 2 месяца назад +5

    Kingkiba

  • @kadito-kenya
    @kadito-kenya 2 месяца назад +2

    He the head of events so must be looking different to audience ❤ it's true presenter

  • @ALLY_K61
    @ALLY_K61 2 месяца назад +4

    Ndio King huyooo

  • @AlanAlimas-rc8zo
    @AlanAlimas-rc8zo 2 месяца назад +1

    nakubali sanaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 2 месяца назад +4

    😂😂😂naona mashabiki wengi humu ndani na wa Kiba

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 2 месяца назад +5

    King😊

  • @VaraneJackson
    @VaraneJackson 2 месяца назад +1

    Eeee baba hilo jini kwenye swala la uimbaji hakuna mtu atamfikiaa kingkibaa mamaee ata dunia iumbweee upyaaaah🔥🔥🔥🔥

  • @BaiterMkepule
    @BaiterMkepule 2 месяца назад +2

    Kiba alifunika wasanii wote

  • @katchyclassicjuma2066
    @katchyclassicjuma2066 2 месяца назад +2

    Kaka uyu jamaa ni atari uto maliza sifa zake king ni king

  • @HazardHbcomEmmanuelprodduseign
    @HazardHbcomEmmanuelprodduseign 2 месяца назад +1

    Courage vraiment Alikiba il se force mais le problème c'est dans son pays il faut qu'il quitte d'abord comme Diamond platnumz 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Farida-jx5nz
    @Farida-jx5nz 2 месяца назад +2

    Brow unaitendea haki taaluma yako upo vizuri..... Elimisha wasanii wabadilike . Mindset zao zipo juu wakati action zero. King kiba anaweza jmn!!!

  • @MosesMzungu-v9j
    @MosesMzungu-v9j 2 месяца назад +2

    Banaeeeeeeen simba juuuuu

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 2 месяца назад +1

    Sounds ni kazi ya Crown Media waliweza sana

  • @Mbaley
    @Mbaley 2 месяца назад +7

    Why wasani wa tz wasiwe naanda izi concert wenyewe kama musician wa congo wanafanya kwenye uwaja wao wanaweza hata wa tz🇨🇩

    • @albertkatuga2434
      @albertkatuga2434 2 месяца назад

      Tatizo hapa ni Tz wenye nchi ndio waamuzi na wenye mpira wai

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701 2 месяца назад +4

    Haters gonna hate!!! Umeongea ukwe mtupu

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 2 месяца назад

    Let's be serious Alikiba alifunika mbaya sana aseeh, Watu walienjoy sana.

  • @MeshackSweetberth
    @MeshackSweetberth 2 месяца назад +1

    Nakukubar broo kwanin uskaenae ukamshaur baadh ya mambo mie nakuona unamwanganzur.

  • @alibachirofficial3939
    @alibachirofficial3939 2 месяца назад

    Mzem wa mapungufu🤣🤣🤣🤣

  • @octavianeptune2633
    @octavianeptune2633 2 месяца назад +2

    Almando kigeugeu sana

  • @shimbiofficial
    @shimbiofficial 2 месяца назад +2

    Hapo sasa upo kama mtangazaji

  • @HalimaAmani-j7v
    @HalimaAmani-j7v 2 месяца назад

    Hakuna kama king kibaaaaaaaa

  • @zainabuabdul7852
    @zainabuabdul7852 2 месяца назад +5

    Msimu uliopita hakuvaa jezi bwana alivaa kifalme

    • @rojatv167
      @rojatv167 2 месяца назад

      Kumbuka alifanya show 2 moja ya uzinduzi wa afl ndo alivaa kifalme full white

  • @pablobalondani2141
    @pablobalondani2141 2 месяца назад

    ndio

  • @Lufuta33.
    @Lufuta33. 2 месяца назад +1

    nimekusubili tokea juzi nione unasemaje!!!!

  • @Sakinaamani-o1t
    @Sakinaamani-o1t 2 месяца назад +2

    Ndiye bba ke,an n mwanasoka ujue

  • @Sakinaamani-o1t
    @Sakinaamani-o1t 2 месяца назад +1

    Uongo wako hata ya mwanzo ilikuwa bora c ya kawaida ngo'

  • @ndeleofficial
    @ndeleofficial 2 месяца назад +1

    Ali saa kifalme bana

  • @ikramikra5219
    @ikramikra5219 2 месяца назад +1

    ww kila siku nikuandika mapungufu ya wenziy kenge nyau.
    Nimekufatilia kila siku huandiki mazr ni mapungufu2.
    Kwanza na ww una mapungufu yako
    Kwa nn unatumia jina la SNS hiyo Recup ni sns walionzisha
    Rudi kwenye kazi y kutaft habar kwa kina Mwijak na Baba levo

  • @octavianeptune2633
    @octavianeptune2633 2 месяца назад

    😮😮😮😮😮😮😮😮