MUNGU WANGU! MKE AOTESHWA (BU*SHA)NA MDOGO WAKE KISA MAPENZI/MAJIRANI WAMKOKOTA KAMA MTOTO MDOGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • #SUBSCRIBE

Комментарии • 15

  • @margrethrhobi3973
    @margrethrhobi3973 3 месяца назад +1

    Huyo anayelia mbona machozi hayatoki? Hicho kavu lakini kalia kweli!
    Na huyo mama anayebembeza, kajifunika vitenge gubi! Kaficha sura yake' haonekani, na sauti yakitoto lakini kaekti Kama Mtu nzima!
    King poo' hapo mmetupiga na kitu kizito kichwani.

  • @OmanOkk-y5i
    @OmanOkk-y5i 3 месяца назад +2

    Muongo huyo dd mbona mda mfup mara kaunda kumchukuwa wakati ndo kaolewa halafu anasema kaanza kidogo kidogo siamini aseme kweli au ndo move hizo

  • @AlineBirembano
    @AlineBirembano 3 месяца назад +1

    Mungu njo mwenza yoooote Usiogope tuna Mungu ashindwake kwalolote atakuponya

  • @ShakaMusa-e6s
    @ShakaMusa-e6s 3 месяца назад

    Nenda kawe kwa mpakwa Mafuta.......kitu kidogo sana hicho, siku hizi hatulii bali tunaamini na kupokea simply in mighty name of GOD

  • @HameedaHh-y5y
    @HameedaHh-y5y 3 месяца назад

    Poleeee sanaaa mama yanguuu

  • @FaridaKhamis-hs6ho
    @FaridaKhamis-hs6ho 3 месяца назад

    Naenda Kwa mwamposa usilie amini utapona tu

  • @madawamtanzania703
    @madawamtanzania703 3 месяца назад

    😢dada.zetu.mnatufanya.kama.watumwa.tukifika.nyumbani.kwenu.😊

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 3 месяца назад

    Kingpo Najuwa hushindwi msaidiye jamani

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 3 месяца назад

    Peleka polisi Ile shenzi km mume alichukuwa Kisha bado yuwamtesa kweli

  • @NafisaMaruma
    @NafisaMaruma 3 месяца назад

    Mnakometi ujinga kama vp achane

  • @zabibuidi1938
    @zabibuidi1938 3 месяца назад

    Makubwa wakwanza mim

  • @annesmatemu4264
    @annesmatemu4264 3 месяца назад

    Busha tu hilo hata kwa wanawake yanatokea

    • @Nashoora8
      @Nashoora8 3 месяца назад

      😄😄😄😄

  • @GspecialOnotherman
    @GspecialOnotherman 3 месяца назад +1

    Mpeleke kwa mwamba mtaaram jafari fundi wamafundi