WAZEE WA MINYAMA WATINGA DP WORLD KUFUKUNYUA TUSIYOYAJUA, WAWAWEKA KIKAANGONI WAFANYAKAZI WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • WAZEE WA MINYAMA WATINGA DP WORLD KUFUKUNYUA TUSIYOYAJUA, WAWAWEKA KIKAANGONI WAFANYAKAZI WAKE
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 51

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Год назад +6

    Mnajitahd sana kupotosha. Watu/wanannchi hawaoji utendaji wa DP-world au sio kwamba hawataki uwekezaji. Tatzo ni vipengere vilivyopo kwenye mkataba

  • @muntueric-oy1ty
    @muntueric-oy1ty Год назад +1

    Asante sana Wasafi kwa kutuelimisha kuhusu DP world tunataka ubora wa kazi kwenye Port yetu Tanzania...👍👍👍

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 Год назад

    Mimi naogopa sana,siamini Ninachokiona, kumbukeni Kuna watoto wenu na ndugu zenu

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 Год назад +3

    Dah! Kutoka kuchekesha kwenye bar za manzese hadi kufafanua mambo nyeti kabisa ya kimikataba ya nchi......mh basi sawa

  • @kimeinetwork4599
    @kimeinetwork4599 Год назад +3

    Wala rushwa

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 Год назад +5

    Taarabu haijawahi kuleta ujumbe zaidi ya burudani na majungu, endeleeni kula upepo yote ni batili

  • @fredlusambo2452
    @fredlusambo2452 Год назад +4

    MKATABA HATUUTAKI NA NYIEHAPO SEMENI MEEENGI ILA MKATABA HATUUTAKI

  • @goodluckndagile9381
    @goodluckndagile9381 Год назад

    Mmekaa kimipasho zaidi na sio professional wise.

  • @barikimohammed
    @barikimohammed Год назад +1

    Yan mtapanda ndege nyingi sana yan mnaulizwa ckio mnaonyesha meno tatizo ni mkataba waovyo

  • @sadanishabani3321
    @sadanishabani3321 Год назад +4

    Mmeenda kishabiki make mmeshazoea kila Kitu ni ushabiki,hii ni issue serious mnaleta utani utani

    • @AlexKing-yg2cc
      @AlexKing-yg2cc Год назад

      Halafu wanahoji watu walio na masirahi na DP world. Wanatarajia waiseme vibaya kampuni wanayofanyia kazi?

    • @sadanishabani3321
      @sadanishabani3321 Год назад

      @@AlexKing-yg2cc hawa wajinga sana ,kwanza sijui kama hata mkataba wameuelewa hawa ,make ndo kelele zetu ,..issue sio kwamba dp world ,ina container ngapi au meli ngapi?

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Год назад +2

    Wasafi punguzeni dili kuweni wazalendo sio kuangalia matumbo yenu nakuwaaminisha watu uongo hii inchi niyetu nasisi hututaki mwalabu aje awekeze nchini kwetu

  • @ZionTZ09
    @ZionTZ09 Год назад +3

    Wasaliti wa nchi, siku moja mtalipa haya mnayofanya....dunia duara.

    • @wisekingtony6370
      @wisekingtony6370 Год назад

      Akina Yuda, washapewa chao wamesalit nchi, siku moja itabidi waseme nani alikuwa anawatuma na walipewa kiasi gani

  • @morganrichard4384
    @morganrichard4384 Год назад +6

    Justification za kijinga kabisa kama wapo Nchi nyingi ndio tuingie nao mkataba mbovu? Hao walio kwenye madini wapo nchi chache? selfish minds zinapewa mic inakera sana.

  • @chamyfx9377
    @chamyfx9377 Год назад +2

    Ndo mana waandishi wanaenda wasaf😂😂

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Год назад +1

    😂😂😂😂😂 Ndiyo maana waandishi wanaenda Wasafi. Hivi Wasafi mmeamua kutuletea Comedy kwenye Masuala nyeti? Naomba msituhamishie mjadala

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Год назад +3

    Nyie niwasaliti kwasababu yavijisenti mulivopewa sisi hatukotayali kwalolote wapumbavu nyie

  • @asiliyetuonlinetv5063
    @asiliyetuonlinetv5063 Год назад +2

    Toeni beat

  • @josephndunguru6290
    @josephndunguru6290 Год назад +1

    Issue. Vipengele vilivyomo kwenye mkatabaaa humoo hatutakii hatutakiiiiiiii,

  • @adammalima3408
    @adammalima3408 Год назад +1

    Kama hamna hoja Bora mnyamaze,

  • @gabrielmassawe9233
    @gabrielmassawe9233 Год назад +1

    Sound back inasikika kuliko nyie

  • @ayeshaaljabry
    @ayeshaaljabry Год назад

    Mabeat mengi sauti ndogo
    Editor alikuwa kabanwa mavi ?

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 Год назад

    Wanachi Hamtuelimishi Kurusha Matangazo Tunataka Wabunge Waje Na Mikataba Hio Vijijini Tuijadili Then Wabunge Kama Wa Wakilishi Wa Hoja Zetu Wapeleke Hoja Kwa Mama.

  • @sabbob574
    @sabbob574 Год назад

    Waheshimiwa naomba kuuliza... Tutapa faida gani tukiwapa DP world Bandari? Na pili kuna hasara zozote kufanya hivyo.

  • @masoudal-nasry8301
    @masoudal-nasry8301 Год назад +1

    Toeni hio beat

  • @berthatz
    @berthatz Год назад +1

    Muogopeni. Mungu nyie..Hii issue ni ya kitaifa zaidi acheni upambe.Wala hamshawishi..😏

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei274 Месяц назад

    Sasa ngoma mbona zi a haribu sauti za watangazaji hatusikii sawasawa

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd Год назад

    Nani kati ya hao ni Mataram wa sheria za kimataifa za kibiashara, mbona nguvu nyingi inatumika kuhusu hill swala, who paid for your trip, who paid for your stay, who organized your appointment. Hatuna wasiwasi na uwezo DPW tatizo liko kwenye vifungu via mkataba Tuelewesheni vifungu kwenye mkataba acheni kusifia vitu

  • @GozbertAliseni-vp6kj
    @GozbertAliseni-vp6kj Год назад +1

    Nadhani.mjui.waTanzania.wanatakakujuamkatABA.SIO.UFANISI.KULAIYO.RUSHWA.ITAWATOKEAPUANI

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 Год назад

    Kitenge Kichwa Kikubwa Hakina Akil

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Год назад +1

    Nyie muwe na muda wa kusikiliza hao wenyeji wenu sasa nyie ndio waongeaji kazi ipo kweli kweli

  • @mashakakalamba3702
    @mashakakalamba3702 Год назад

    Chawa ovyooo

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai7875 11 месяцев назад

    Swali la Father Charles Kitima mpaka leo Waziri Mbarawa hajalijibu kwamba, kwanini ni sahihi, jina lake, na wadhifa wake ndivyo vinavyoonekana kwenye mkataba? Vipi upande wa pili kuthibitisha ni serekali ya Dubai? Kwanini kauli ya Waziri Mkuu, na waziri Mbarawa zipishane juu ya upatikanaji wa DPworld?

  • @user-ky9hj4co6r
    @user-ky9hj4co6r Год назад

    Mnataka kufananisha kimiundo mbinu dubai na tz ni tatizo hilo na huo uandishi wa habari mnao peana peana bila hata ya kuwa na professional hiyo ni tatizo kubwa sana mpo kimzaa mzaa tu kwenye mambo serious 😂😂😂😂😂

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl Год назад

    Waandishi wa Habari wa ovyo! Sijui hata walisomea wapi uandishi wa Habari na utangazaji!!

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Год назад

      Sijakuelewa kweni wanatangazaji watanzani wote c sawa?

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 Год назад

    Mhamie hukohuko msirudi kampeni ni kubwa lakini mmeferi

  • @breezonlinetv
    @breezonlinetv Год назад

    Microphone sasaa

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Год назад

    AWA jamaa wabongo ndio wanakuja fanya kazi huku

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 Год назад +2

    Hawa hapa chini ndy wazalendo wa kweli wana uchungu na nchi yao.
    Mmoja alikwenda DP world
    ruclips.net/video/fpRhGEEnoxw/видео.html
    Mwingine mwana CCM
    ruclips.net/video/OoIhy7BErlQ/видео.html

  • @user-ti6yq7bq1d
    @user-ti6yq7bq1d Год назад

    Akili zenu sio kwamba ninyingi kujua kila kitu wazee sisitupo pamoja nawatumishi wamungu maana ndowalio baki kuwa watetezi wataifa letu nyie ni wajinga tu njaa ndozinawafanya mseme ivo kwani kuna kitugani mnakijua kuusu iyo sekita au mnaongea tu

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 Год назад

    mmetoa boko na nna wa unsubscribe

  • @Zenny89
    @Zenny89 Год назад +1

    Hawa Kama wamepelekwa kufanya propaganda hivi!!! Mbona wanatumia nguvu sana kutuaminisha bandari haijauzwa🤣🤣🤣…Wanafikiri watanzania hawajui kutambua UNAFKI nini🤣🤣