This girl needs help you guys, she was used at young age, do not stress her more. She is traumatised and needs help . and or including prayers. Thank you for the great work.
Very true they are harrassing a victim of incest they are not sensitive to her plight kabisa Kwanza considering the guy in question even brandishes a gun
Mark, you are a law enforcer. Much as any one would appreciate what you are doing, try to take it easy on that young lady, she is pregnant for God's sake. If senior is after saving her mother, then try to be diplomatic, and definitely she will will help you find her mother. I rest my case 🤔
Davu mm naona hivi ukienda street ukipata couple please 🙏🙏 wakati.unapitia simu zao.upate Kuna Mahali kunausika uchawi , wachana na hiyo couple na uwambie wako tu sawa, juu kila time uchawi, unaona ndolo alipepea akaenda kanisa, naye Fred mombasa Jeremiah mombasa, juu ya uchawi, ondokea bro
Uchawi is everywhere.tuombe tu Mungu Kwa sababu sisi wakristu hatutoki sadaka Kwa Mungu ilihali wachawi wanatoka kafara nzito Kwa Mungu yao ili kuturoga. So, we have to be strong in faith.
Jamani Mimi maoni yangu ni haya, Dave wafanya kazi nzuri lakini simu za watu ukipata mambo mabaya nyamaza nayo umwambie muko sawa, juu hii kitu familia nyingi zitaachana au waumizane, Dave kumbuka yule kijana soja alikiwa akuulie kwa ukuta, pamoja na mchumba wake Wachana na Siri za watu, babaa Kila mtu ana dhambi, ndio maana yesu alikuja kutuokoa katika dhambi, na hizi ndoa Zina shida nikuvumiliana tu Kila mtu ana udhaifu wake,watu watauwana kwa ajili yako
Kindly Dave emmah hana makosa mkipata mamake ajilia yye she is innocent girl usifanye mungu akuchape siku moja Dave u must have wisdom when dealing with such cases
Now you fans surely when you ask Dave to leave this case and follow Fred and Jeremy and I ask does it mean the mother of this girl who is suffering in the streets does not bother you? Please let Dave and Mark do their job of helping the Society without discrimination as you are doing.
Investigations aren't done just kienyeji way.hata wewe ukajipata kati kati ya wahalifu you will know what it means.the law has a way of dealing with such scenarios/cases
Why not She will forgive her....she was only 13yrs....the evils were beyond her....she was under her dad's care....she is a victim as it was child abuse
Mark and SD help this girl find justice, she's suffering both emotionally and phycologically as much as she seems strong or don't care she's not just ok. You can tell by the look on her. Can you just see how she's responding when you talk to her? Am I the only one seeing she's not okay?
@@angelineomusula3083after being forced she culd go to report and run to hospital before 72hrs then if she was scared for his life to run to hide in his bf house
Hypocrites,holie than thou will call this gal all names, but remember sisi sio wazuri saana, remember all sins you do before throwing stones to this gal
Dave ungekuwa n wewe uko ndani na mimba bila hatia kama huyu msichana na yale umepitia kwa dad yako ungefeel aje.. Case c ya msichana na kijana,case n ya babake tafadhali Dave,kumpeleka jela na anamawazo mingi umemsaidia aje....u make my heart bleeding dave😢😢😢
What kind of questions are this..she's scared !she was small! She didn't know what she was supposed to do. This why many children go quiet coz no one will understand and they might not have a place to go once they leak the whole saga.
Mark, you can not ask a rape victim such questions. she was just a kid she was raped period and the guy was even beating senior dave how can that little girl fo6
This girl needs help. She is under the influence of her father. But OUR GOD IS A LOVING FATHER. Baby girl JESUS LOVES YOU SO VERY MUCH. JESUS IS THE ONLY ANSWER FOR YOU. COME TO JESUS AND HE WILL FORGIVE YOU AND HEAL YOU
Huyu msichana alipendelea hata kama tu nasema kuwa witched, shame on you Emmah vile uliona tu mara ya kwanza ungekimbia uambie hata relative wako, ushindwe kabisaa Emmah your cursed to be honest, your dad biological really?? This madness, eeh mungu wangu hii Dunia imeharibika, huyu Emmah alijuwa tu chenye anafanya utakubali aje babako akulale Gaaaii hiyo damu ishindwe in Jesus name🙏🙏🙏
Officer you should understand she is young, and the father is very controlling...this is not another woman this is a molested kid...focus on getting her mother, and by the way this was child abuse by the father, the girl needs to go through counselling for her own healing.
Me i can't tell Dave to leave everything he want to do in her Chanel,coz am not supporting in anything, like financial, except prayer, and watching, i let him be
Ww ukiona bbke vile alijuja kwa office mngewachana na huu upunzi muende Mombasa huyu kdf akiwapata sijui na vile alisema alikua adi mkubwa wk police mm ningekua ww singerudia tena
Precious blood be upon this team n the studio..St.Micheal the Arch angle protect them 🙏
This girl needs help you guys, she was used at young age, do not stress her more. She is traumatised and needs help . and or including prayers. Thank you for the great work.
They should be working with cancellors.....or psychologists ....she need a female guidance.....13yrs was too early...child abuse
Very true they are harrassing a victim of incest they are not sensitive to her plight kabisa Kwanza considering the guy in question even brandishes a gun
Dave rem Emma is pregnant,, handle her well cz pia yeye she is a victim of her dad evil deeds😢😢
Haa wallahi ni victam
Senior dave my simple advice. Leave this wicked family alone and focus on some important issues like finding fredi and Jeremiah
Let them save this mama, aki bwanake aungane na mtoto kumfanya wazimu surely, no matter what will happen but heri wasaudie huyu mama😢
Please find Frederick
Mama Emmah pia need assistance...
A lesson to other teenagers being taken advantage of so that they can come forward to expose evil fathers.
This girl is so evil 🙈
Dave & mark asanteni sana Mungu amumbariki
Mum my world no one can replace her..ooh young gal you're cursed...sweet mother iwill never forget you....she protected u when you were ababy ..😢
😢😢
cursed by who? we are all sinners, God is merciful gals
@@CHOSENGENERATIONHUB we r all sinners bt kufanyia hivyo mamako uzao wako utakuwaje uzae mtoi wa babako aaaai.
Why the girl was raped surely why are you judging her
Mark, you are a law enforcer. Much as any one would appreciate what you are doing, try to take it easy on that young lady, she is pregnant for God's sake. If senior is after saving her mother, then try to be diplomatic, and definitely she will will help you find her mother. I rest my case 🤔
Dave fanya mission zako uskilize waru sawa?? Coz wengine wametumwa na mganga
@@aplokimo405exactly wengine ni mdomo TU na awaezi handle wakiachiwa
Dave I have same issue wt da family help them pls
My fellow patents it's time to wake up on a slumber,and only prayers can change things,things are becoming worse day by day.
Davu mm naona hivi ukienda street ukipata couple please 🙏🙏 wakati.unapitia simu zao.upate Kuna Mahali kunausika uchawi , wachana na hiyo couple na uwambie wako tu sawa, juu kila time uchawi, unaona ndolo alipepea akaenda kanisa, naye Fred mombasa Jeremiah mombasa, juu ya uchawi, ondokea bro
Uchawi is everywhere.tuombe tu Mungu Kwa sababu sisi wakristu hatutoki sadaka Kwa Mungu ilihali wachawi wanatoka kafara nzito Kwa Mungu yao ili kuturoga. So, we have to be strong in faith.
The problem ni hyo 10k Huwa anapromise wakiwa loyal
Kabisa@@Annimelia95
Jamani Mimi maoni yangu ni haya, Dave wafanya kazi nzuri lakini simu za watu ukipata mambo mabaya nyamaza nayo umwambie muko sawa, juu hii kitu familia nyingi zitaachana au waumizane, Dave kumbuka yule kijana soja alikiwa akuulie kwa ukuta, pamoja na mchumba wake Wachana na Siri za watu, babaa Kila mtu ana dhambi, ndio maana yesu alikuja kutuokoa katika dhambi, na hizi ndoa Zina shida nikuvumiliana tu Kila mtu ana udhaifu wake,watu watauwana kwa ajili yako
@@Faustinesimasiafanye kama stano stano akiona wanacheat na kuna mambo anawapea sim anasema mm sina mengine chukueni simu zenu
We needs pastor Elijah hapa
Kindly Dave emmah hana makosa mkipata mamake ajilia yye she is innocent girl usifanye mungu akuchape siku moja Dave u must have wisdom when dealing with such cases
You guys you're doing good job.
God bless you
It could be better hata uhame huo mtaa change work location, and don't expose your family, God protect you Dave staff🤲🤲🤲🤲🤲
Hii kazi ya Dave kuhama ni bure juu ni mtu ako live Dunia mzima watamtrack tu, ni maombi tu imfunike
Now you fans surely when you ask Dave to leave this case and follow Fred and Jeremy and I ask does it mean the mother of this girl who is suffering in the streets does not bother you? Please let Dave and Mark do their job of helping the Society without discrimination as you are doing.
Sure
@user-jp4pw8ph9l both are suffering and DCI Fred and Jeromi are worse toucherd in the forest by wachawi.
Very true
Unaeza tangulia huko Kwa wachawi ukaokoe Dave atakuja akimalizia na Mama Emma@@salminasalim5630
Hey, Davy this is another witches in your office again 🤔
Unaishi wapi penye wamejaa wachawi hivi 🥺, mungu akusingire na Damu ya Mwananae Yesu kristo
Amina
I'm also wondering ni area gani hii iko na wachawi hivo
Hii ndio time ya kuwamaliza katika jina la YESU
@@naomybokid9088 amen
Dunia finish ...mafans tutalelea watoto wetu wapi??? God shuka na Malaika wako..anataja bumb's na nyaa's vizuri...
Na yule kijana ako wapi dave mimi nilisikia vibaya juu hajui hii mambo mbona mlimshika ?deal with her dad na mwenyewe
Walikosea huyo jamaa😢haikufaa aonekane huyu mzee anaeza muua
@@adelaidemary5514very true it's bad
@@adelaidemary5514akii nilifeel vibaya kijana wa wenyewe hajui anything wamamuigiza tu kwa ngori
Kijana alitoka ako kwa nyumba
Investigations aren't done just kienyeji way.hata wewe ukajipata kati kati ya wahalifu you will know what it means.the law has a way of dealing with such scenarios/cases
Dave Mungu akubariki unaokoa maisha ya wa2
May God still continue protecting you
Dave kumbuka ulisoma sms kwa SMU ya huyu dame kuna aunt yake alikuwa akimzila mbana unasaliti mm yako
Sio aunt ni cousin yake
Dev usipige huyo msichana please uko na mkono wa haraka sana
𝕂𝕚𝕙𝕖𝕣𝕖𝕙𝕖𝕣𝕖 𝕜𝕦𝕝𝕜𝕠 𝕒𝕒𝕔𝕙𝕚𝕖 𝔻ℂ𝕀 𝕞𝕒𝕣𝕜 job
God protect you keep praying as we pray for you
Hata huyu mama anatakikana kuokolewa aki
Hii mambo ya kufuatilia waganga is not for weak people oooo dave and Mark mko very strong
Be blessed team David 🙏
Once again God we are down on our kneel for mama Emma
Msimpige sana bhna....hana hatia huyo just its her dad...🇹🇿🇹🇿
All the best to her mum bt even though she will never forgive you,,
Why not
She will forgive her....she was only 13yrs....the evils were beyond her....she was under her dad's care....she is a victim as it was child abuse
She needs a lot rest & plz give her food.
Senior Dave, awesome content dude
Groly to God nilikua naombea hiyo kijana juu hakua anajua chochote
Mark and SD help this girl find justice, she's suffering both emotionally and phycologically as much as she seems strong or don't care she's not just ok. You can tell by the look on her. Can you just see how she's responding when you talk to her? Am I the only one seeing she's not okay?
Ni ukweli aki😢
This is true 😢 there's something the dad did to her😢😢😢
Her mother needs help more than anybody plz help her in the name of God,and the lady also as well.
Mungu saidia Kenya yetu, shetani ameinuka na kuvuruga amani Kila pahali
Dave wacha kuchapachapa Emma,she is pregnant take care of her pia she is going alot
Nice content👍👍👍👍Bro.Keep it up
Acha kuniua roho aki😅
God bless you Dave and dci
The way I love my mum , this gal is playing wth search swt name "Mum" the curse she has no pastor can break it
Rememberd she was.forced and drugged wuth her father.
@@angelineomusula3083after being forced she culd go to report and run to hospital before 72hrs then if she was scared for his life to run to hide in his bf house
Amefumbwa macho Na charms Na pia threats
Kwani amukueda mombasa dave
May the lord bless the work of your hands
This gal kama angeachiwa a caring dad ni mtoto mzuri sana, I dearly pity her 😢😢mungu shuka dunia twakulilia
Hypocrites,holie than thou will call this gal all names, but remember sisi sio wazuri saana, remember all sins you do before throwing stones to this gal
Dave na Afisa Mark may God protect you & your family. You're really doing a great job
Hawa wamechukua hongo ya kijana nyuma ya camera but this lady was stupid she culd run to his bf report before 72hrs they culd help her
I like the way DCI mark anatumia neno " kuninii"
It was wrong in the first place to leave a girl child with the father
English, ya mark weh ilienda shule❤
Sinior Dave and Mark mbinguni Kuna viti vyenu,,Mungu awalinde na kuwabariki mtokapo na muingiapo
Dave na dci thanks sana kwa kuokoa huyu mama ameteseka kwa ukweli
The people in this world are very inhuman...case zingine you're only risking your life and your families.dunia iko mwishoni.😢
This story haieleweki Njagi alisema mamake alikua na huyu mtoto mmoja bt emmah anasema wako 3 kids,hao watoi wengine waliachwa wapi mama Yao akieda Us
Pia Emma alikua amesema ni yeye tu kwao first day
@@zwaziemeli7001 inafaa wafanye follow up ya hao watoi wengine isikue waliuzwa illuminate na huyu mwanaune anajiita soldier
Dave be careful remember Njagi alikuwarn also take care
Paster elijah aitwe afanye deliverance
❤❤❤❤❤ninawapenda sana mungu awatunze
Ni ronge mmngu 😢😢😢😢😢😢😢 yooo kweli Dunia Iko na mmbo
May God see you through
Dave ungekuwa n wewe uko ndani na mimba bila hatia kama huyu msichana na yale umepitia kwa dad yako ungefeel aje.. Case c ya msichana na kijana,case n ya babake tafadhali Dave,kumpeleka jela na anamawazo mingi umemsaidia aje....u make my heart bleeding dave😢😢😢
A child who have gone through abuse.. she had very little to do . Please take her as such..AN ABUSED CHILD 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Huyu msichana Ako possessed. Vyenye anaongea akinyamaza, Kuna demons zinamuongelesha that's why she's muting for some seconds 😢
Mungu awalinde aki....nipitie guys
What kind of questions are this..she's scared !she was small! She didn't know what she was supposed to do. This why many children go quiet coz no one will understand and they might not have a place to go once they leak the whole saga.
Kuna message ilikua kwa phone yake aki bonga na relative about Bona waliamua kufanya mama Yao hivo? Dave rudia hio clip ama sanitize simu yake tena
Dave ati ungangane apewe pesa yake na uliona njagi ni muiluminate uiyi mm nakuonea huruma juu hii ni mganga mwingine unajiletea studio
Where is Gael the bf aki😢😢😢😢
Si alisema ako pekee uyu dem 😮😮
Talk to the cousin who brought the clothes mtapata answers tp some of the questions.
Good Job Guys God bless you more
Am not a journalist but from basic child right demand that minors should not be exposed but protected.
😢mr mak tafadeli nikama kasgana ame rogwa na farther
Mamagu ni mzee sai but nampenda kma supu ya fish no matter what siwezi Acha mamagu
Mark, you can not ask a rape victim such questions. she was just a kid she was raped period and the guy was even beating senior dave how can that little girl fo6
Dave where did u buy those beautiful seats
Dunia simama nishuke mungu saidia
Dave na ujifunze kufunga mlango for your safety
Third generation 😢😢😢mungu shuka usitumane😢,mkipata mamake peleka huyu dem kwa maombi juu babake ako illuminati 😢
This girl needs help. She is under the influence of her father. But OUR GOD IS A LOVING FATHER. Baby girl JESUS LOVES YOU SO VERY MUCH. JESUS IS THE ONLY ANSWER FOR YOU. COME TO JESUS AND HE WILL FORGIVE YOU AND HEAL YOU
Hii nayo inanishinda kwa kweli juu how can u bewitch ur mum n sleep with ur dad
Dave alitaka kijana akue ndani mmmh
Be protected Sd and your team
Huyu msichana alipendelea hata kama tu nasema kuwa witched, shame on you Emmah vile uliona tu mara ya kwanza ungekimbia uambie hata relative wako, ushindwe kabisaa Emmah your cursed to be honest, your dad biological really?? This madness, eeh mungu wangu hii Dunia imeharibika, huyu Emmah alijuwa tu chenye anafanya utakubali aje babako akulale Gaaaii hiyo damu ishindwe in Jesus name🙏🙏🙏
Hizo stori za dave za waganga zinatosha dave wachana nazo utaletea wife Yako shida enda ukaokoe fred plz
Baba Emma atawauweni jamani kwa binti Yake wife
Na vipi hawa watu wetu,,Fred najeremmy muwashuulikie wapatikane jamani
Lakini nashangaa kitu kimoja . Riaga ananena na late father ..anamtokea as a spirit ..Am confused
Hapa mumejiingiza kwa ngori ingne
Content zitakuponza Dave
Senior Dave kindly mtafute Fredy
Washaenda
Maoni yangu wachaneni na hiyo family PLZ huyo mzee hapana
Officer you should understand she is young, and the father is very controlling...this is not another woman this is a molested kid...focus on getting her mother, and by the way this was child abuse by the father, the girl needs to go through counselling for her own healing.
Thank you team Dave
The crucade world 🌍 be blessed team
Lakini dave c ulisema alikufa ama niliona aje kwa ile video ingine
Huyu mtoto naye anapenda mjulus wa babaake .
Me i can't tell Dave to leave everything he want to do in her Chanel,coz am not supporting in anything, like financial, except prayer, and watching, i let him be
Si mngempea annita I think angeweza kuongea na yeye nyinyi wanaume mnafanya kaogope ady
Uata babake alisema mama alikataa wapate mwgne akaona acha mtoi wake amzalie eti ni revenge
Yes kijana akua na mmbo ata
I really feel for this girl she didn't get into this by choice
Mimi naona kuna vitu vingine unafuatilia wala haviwahusu
GOD have mercy on this earth 🌎
Ww ukiona bbke vile alijuja kwa office mngewachana na huu upunzi muende Mombasa huyu kdf akiwapata sijui na vile alisema alikua adi mkubwa wk police mm ningekua ww singerudia tena