Tanzania All Stars - R.I.P Edward Lowassa (Official Tribute Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 50

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 8 месяцев назад +8

    Wandugu msidanganyane, kaburini RIP inapatikana kwa matendo mema na sio kumpigia maiti muziki, huo mziki mnapoteza muda tu

    • @meshack3266
      @meshack3266 8 месяцев назад +1

      Swala nikwamba wewe auto imbiwa uyo ni mahalufu lazima ambiwe nyimbo acha makasiliko

    • @vanessajames2192
      @vanessajames2192 8 месяцев назад +1

      Mbona makasiliko

    • @veronicadeus9345
      @veronicadeus9345 8 месяцев назад +1

      Parapanda likilia inakuwa ni ni jua??

    • @eliabeliud490
      @eliabeliud490 8 месяцев назад +1

      Wivu ad kwa maitiiii kuwa maarufu uuimbiwe

    • @EdghaMoses-js8lj
      @EdghaMoses-js8lj 8 месяцев назад

      Hivi unanini lakin.??

  • @masumbukomoussa977
    @masumbukomoussa977 8 месяцев назад +2

    Shushooo juu zaidi kawafunika woteeeee💖🇧🇮🇧🇮

  • @DanielSaid-tv7dd
    @DanielSaid-tv7dd 8 месяцев назад +2

    Christina shushooo anasautiii kwakweli Mungu ambalk sanaaa

  • @richardabraham2489
    @richardabraham2489 8 месяцев назад +4

    Kwaheri mh Edward ngoyai Lowassa MUNGU akulinde hadi uzima wa milele.

  • @trestar_tz
    @trestar_tz 8 месяцев назад +2

    🙏🙏MUNGU AMLAZE MAHARI PEMA SHUJAA ALIYETIMIZA MENGI😭😭

  • @erastokayombo9421
    @erastokayombo9421 6 месяцев назад

    Christina shusho juuuu

  • @shafiikiloko747
    @shafiikiloko747 7 месяцев назад +1

    Platform 🎉🎉❤

  • @sirbussongo4490
    @sirbussongo4490 8 месяцев назад +2

    Best chorus barnabas

  • @erastokayombo9421
    @erastokayombo9421 6 месяцев назад

    Jux juuuu

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians 8 месяцев назад +1

    😢😢RIP😢

  • @JoelMhagama
    @JoelMhagama 8 месяцев назад +1

    Mungu akawe nawewe upumizike salama by baba

  • @NuratyHassan
    @NuratyHassan 8 месяцев назад

    R.I.P dad,,tutakukumbuka san wana Monduli

  • @marcotumain3190
    @marcotumain3190 8 месяцев назад

    Ila shusho 🙌🙌

  • @hassanisalimpulo2223
    @hassanisalimpulo2223 8 месяцев назад

    rest in peace 🕊️🕊️

  • @richardgodfrey9020
    @richardgodfrey9020 8 месяцев назад

    Chege fundi sana

  • @Kalengashoppingcenter-y1o
    @Kalengashoppingcenter-y1o 8 месяцев назад

    R' I ' P, Master of our Education

  • @DianaGichago
    @DianaGichago 7 месяцев назад

    😭😭😭😭🥺

  • @RobathcarlosM2mbadyy
    @RobathcarlosM2mbadyy 7 месяцев назад

    R ip rech mond

  • @h.akarim
    @h.akarim 7 месяцев назад

    🥺🥺😭😭😭 DRC inasema pole 🇨🇩😭

  • @benvenpaul2296
    @benvenpaul2296 8 месяцев назад

    Du nandii just wow...

  • @emanuelkadikilo508
    @emanuelkadikilo508 8 месяцев назад

    Rip mzee wetu

  • @elizabethmmelo
    @elizabethmmelo 8 месяцев назад

    RIP baba 😢

  • @lemeboyofficial
    @lemeboyofficial 8 месяцев назад

    Platform 🔥🔥

  • @reubenpaulomabula6098
    @reubenpaulomabula6098 8 месяцев назад +2

    Very nice song

  • @sephtalented3446
    @sephtalented3446 8 месяцев назад +2

    Mabantu hawajawahi kuwa serious😂 any way RIP BABA😢

  • @jbbrand73
    @jbbrand73 8 месяцев назад

    Ni huzuni mkubwa san😢 ila mabantu bhn wamenifanya nitabasamu ndani ya majonzi

  • @fidelisomary2425
    @fidelisomary2425 8 месяцев назад

    Nikisikiaa mtu anamuongelea s2kizy hatutoelewana tena 😮😮

  • @calveenykevoo5399
    @calveenykevoo5399 8 месяцев назад

    Lunya😢😢

  • @kinjekitilew
    @kinjekitilew 8 месяцев назад

    Hii ndio shida ya wasana watanzania kuimba nyimbo msiba watu wakifa nasio kuwaimbia wakiwa hai dah aise

    • @muhsiniamiri9310
      @muhsiniamiri9310 8 месяцев назад +1

      SAS kosa Lao nin ni kawaid wameambiw watunge usilaumu unadhan kil kiongoz ataimbiw

    • @shaniapemba8345
      @shaniapemba8345 8 месяцев назад

      Watu hufarijiwa kwenye majonzi kwa nyimbo na maneno ya faraja haimaanishi kurudisha kile kilichopotea but kuweka sawa hali ya kupokea kile kilichotokea ndidio m

  • @KasangaAlex-y1z
    @KasangaAlex-y1z 8 месяцев назад

    namkubari

  • @IsayaMalinda45
    @IsayaMalinda45 8 месяцев назад

    😭😭🇹🇿

  • @pendovictor7033
    @pendovictor7033 8 месяцев назад

    R.I.P kiongozi

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 8 месяцев назад

    kufa usifiwe ndio huku sasa

  • @kbkjunior4087
    @kbkjunior4087 8 месяцев назад

    Sasa hao mabantu ndo wameimba nin

  • @frankchaula0739
    @frankchaula0739 8 месяцев назад

    Rip 🙌🥹

  • @YusuphTelana
    @YusuphTelana 8 месяцев назад

    Mabantu uhuni hausahauliki 😂😂

  • @PeterMashauri-q2g
    @PeterMashauri-q2g 7 месяцев назад

    Kunawaimbaji wengne wamekoswa kazi zakufanya kama hawa wamekoswa kazi labda wanatafuta kiki tu hamna chochote

  • @IsraelMteule
    @IsraelMteule 8 месяцев назад

    Alifanya nini sasa cha kukumbukwa mnafiki huyo acha tu wanafiki wenzake wamwimbie

  • @vocalisttz
    @vocalisttz 8 месяцев назад

    VocalistTZ-kwaheri Lowasa
    ruclips.net/video/NMyY8uGkgi0/видео.htmlsi=aL6I3xsXdq8hjIxx