FISTON MAYELE: MPANZU ATACHEZA SIMBA SC/ NATAMANI KUCHEZA SIMBA SC/ SIWEZI KURUDI YANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 18

  • @AIZACK---KAGINE-v4k
    @AIZACK---KAGINE-v4k День назад

    Mayele tunakuitaji Simba sana tu

  • @CareenJulias-iu7tf
    @CareenJulias-iu7tf 19 дней назад

    Mimi shabiki wa Simba SC Lakini kwa hizi media zinazoleta taarifa za uongo Mimi naomba serukali iwe inazichukulia hatua Kali Sana wapumbavu Sana hawa hasa hii media ni ya kishenzi kishenzi Sana sijui hizi mamlaka zinafanya kazi gani?

  • @SylvesterKameo
    @SylvesterKameo 19 дней назад +2

    Nyie wapumbavu kuliko maelezo,. Habari ya uchochezi na ujinga. Maongezi ake mbona hayana ubaya wowote na Engineer Hersi. Upumbavu sana nyie, vibaka na makanjanja wa vichochoroni. Shenzi kabisa!

  • @JILBERTDaniford
    @JILBERTDaniford 19 дней назад

    NAIOMBA SLIKAL KILA ANAETENGENEZA RUclips AWE AMESAJILIWA ILI TUEPUKANE NA MATATIZO YA KIMTANDAO IKIWA NI PAMOJA NA UONGO MWINGI

  • @kassimmwawado7002
    @kassimmwawado7002 19 дней назад

    Watanzania tukoje? Huyo Mayele ni mkongomani lakini mnashabikia kuwa kurudi nyumbani..hivi kuna mchezaji wa ki Tanzania anaweza kwenda Kongo wakamshabikia kijinga namna hii? 10:06

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 19 дней назад

    Kwani hii hali ya serikali kusema matumizi mabaya ya makosa ya kimtandao huwa haiwahusu waaandishi wa habari wapotoshaji au mimi ndio sielewi?

  • @JILBERTDaniford
    @JILBERTDaniford 19 дней назад

    Mimi simba fan.
    Sema mayele alitoa mchango wake Kwa wananyuma mwiko kujitambua.
    Ndio maana wanafurahi kumuona yupo kwenye ardhi yetu.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 5 дней назад

    MAYELE UNAPENDWA SANA TANZANIA UJE SIMBA

  • @FabianPiusMghanga
    @FabianPiusMghanga 19 дней назад

    Mbona unajipotezea subscribers kipuuzi hivi? Acha ujinga wa kupost uongo kijana

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 19 дней назад

    Hz media ni za kipumbavu kabsa yaan hii KilA ktu ni shagalaagala

  • @Winstonfying
    @Winstonfying 19 дней назад

    Upumavu Tanzania ni mwingi sana, media mpka mtu mmoja mmoja

  • @MussaJoshua
    @MussaJoshua 19 дней назад

    Huyo anayetukana hajielewi

  • @israelmwasamboma7092
    @israelmwasamboma7092 19 дней назад

    Mayele njoo simba wewe tunakupenda sana

  • @NasibuAlban
    @NasibuAlban 19 дней назад

    Waandishi wetu mnaonyesha ushamba sasa

  • @ZabibuMwenda
    @ZabibuMwenda 19 дней назад

    haya ndo mambo mayele anayamic sanaa

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 19 дней назад

    Kenge nyie!