Mimi shabiki wa Simba SC Lakini kwa hizi media zinazoleta taarifa za uongo Mimi naomba serukali iwe inazichukulia hatua Kali Sana wapumbavu Sana hawa hasa hii media ni ya kishenzi kishenzi Sana sijui hizi mamlaka zinafanya kazi gani?
Nyie wapumbavu kuliko maelezo,. Habari ya uchochezi na ujinga. Maongezi ake mbona hayana ubaya wowote na Engineer Hersi. Upumbavu sana nyie, vibaka na makanjanja wa vichochoroni. Shenzi kabisa!
Watanzania tukoje? Huyo Mayele ni mkongomani lakini mnashabikia kuwa kurudi nyumbani..hivi kuna mchezaji wa ki Tanzania anaweza kwenda Kongo wakamshabikia kijinga namna hii? 10:06
Mayele tunakuitaji Simba sana tu
Mimi shabiki wa Simba SC Lakini kwa hizi media zinazoleta taarifa za uongo Mimi naomba serukali iwe inazichukulia hatua Kali Sana wapumbavu Sana hawa hasa hii media ni ya kishenzi kishenzi Sana sijui hizi mamlaka zinafanya kazi gani?
Nyie wapumbavu kuliko maelezo,. Habari ya uchochezi na ujinga. Maongezi ake mbona hayana ubaya wowote na Engineer Hersi. Upumbavu sana nyie, vibaka na makanjanja wa vichochoroni. Shenzi kabisa!
Inakuuma kumuona mayele😂
@@julaimalidadi6394😅😅😅
NAIOMBA SLIKAL KILA ANAETENGENEZA RUclips AWE AMESAJILIWA ILI TUEPUKANE NA MATATIZO YA KIMTANDAO IKIWA NI PAMOJA NA UONGO MWINGI
Watanzania tukoje? Huyo Mayele ni mkongomani lakini mnashabikia kuwa kurudi nyumbani..hivi kuna mchezaji wa ki Tanzania anaweza kwenda Kongo wakamshabikia kijinga namna hii? 10:06
Kwani hii hali ya serikali kusema matumizi mabaya ya makosa ya kimtandao huwa haiwahusu waaandishi wa habari wapotoshaji au mimi ndio sielewi?
Mimi simba fan.
Sema mayele alitoa mchango wake Kwa wananyuma mwiko kujitambua.
Ndio maana wanafurahi kumuona yupo kwenye ardhi yetu.
MAYELE UNAPENDWA SANA TANZANIA UJE SIMBA
Mbona unajipotezea subscribers kipuuzi hivi? Acha ujinga wa kupost uongo kijana
Hz media ni za kipumbavu kabsa yaan hii KilA ktu ni shagalaagala
Upumavu Tanzania ni mwingi sana, media mpka mtu mmoja mmoja
Huyo anayetukana hajielewi
Mayele njoo simba wewe tunakupenda sana
Waandishi wetu mnaonyesha ushamba sasa
haya ndo mambo mayele anayamic sanaa
Kenge nyie!