"Mimi na Hamisa sio marafiki"-ZARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 442

  • @semeninyerere3573
    @semeninyerere3573 6 лет назад +60

    Kama umeuelewa mstari aliosema. "Men always come and go" Na kula nyama kisha mifupa nje like here

  • @rukiakassim9889
    @rukiakassim9889 6 лет назад

    I like u zari. .I wish u cld mi sz. .l like u strength aki. .l like u confidence aki mungu akupe maisha marefu.

  • @maimunaambusaidi8236
    @maimunaambusaidi8236 6 лет назад +12

    Maa shaa allah 👌👌

  • @ahmedalminshad1211
    @ahmedalminshad1211 6 лет назад +16

    Good zari

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 6 лет назад +3

    Hongera zari unajielewa sana usipoteze muda na hawa wakosa makazi ya kudumu uswahili umewajaa kuliko kazi

  • @lovenessloveness4508
    @lovenessloveness4508 6 лет назад +3

    Hongera zari unajielewa sana sana

  • @faithkirsten9858
    @faithkirsten9858 6 лет назад +48

    Let them call you mama mzee but you are old with brain...Maybe they wil never reach at your age.Thank God for your age ..go go Zari

    • @subiraegied5647
      @subiraegied5647 6 лет назад

      Faith Kirsten ...we vuz mama ako kijana anawatoto wangap ebu lete pc tumuone .....muone mtoto mdogo...tombo ka handaki.......chefuuu..feith Kristen mav weeeeeeeee

    • @channelforkidsbabies4298
      @channelforkidsbabies4298 6 лет назад

      Faith Kirsten is 37 old ?

    • @mbabazrasar7396
      @mbabazrasar7396 6 лет назад +1

      37 yes she is still young dea zari

  • @semeninyerere3573
    @semeninyerere3573 6 лет назад +20

    Huyu mwanamke ana akili sana, nimemwogopa

  • @enjobw5954
    @enjobw5954 6 лет назад +1

    Zari wewe unajielewa sana kabisa Maman tee, 😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @nabintukadende2388
    @nabintukadende2388 6 лет назад +2

    Some time Unaongea Kama mtu mzima.. na some time unajisaabu sana,, but acha zarahu maana Diamond alitokea sana kwamaisha ya cini sana. but leo ii Mungu amemwinuwa... usiwe na jiona Kama wewe unapesa, unapenda kumzarahu mwezio my dear maisha nia Mungu.

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 6 лет назад

      Nabintu Kadende kweli kabisa hakuna kati yao aliyezaliwa kwenye utajiri sasa dharau za nini kwa hiki kipato cha jioni.

  • @tausmohamed6283
    @tausmohamed6283 6 лет назад

    Zari upo sahihi mama t nakupenda sana tena unajiamini usiangalie hayo ww hataazae watoto mia angalia heshimaipo

  • @aishaaisha2957
    @aishaaisha2957 6 лет назад +40

    Jamani zari nimzuri tuu

  • @nellymideva8167
    @nellymideva8167 2 года назад

    Thanks for that advice, I love you

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 6 лет назад

    Wanawake wote tungekuwa na akili ya maisha Kama huyu tungekuwa mbali sana. I like her more, anajielewa, hard work, napenda zaidi anavyo hangaikia future ya watoto wake. Well done.

  • @lisalizzi8690
    @lisalizzi8690 6 лет назад

    Hiyo Kali Boss Lady Zari napenda huo musemo mwanaume akikula Nyama🍖atatoka kwenda kukula mifupa 😂😂.say what girl i like that

  • @foscakblessed3648
    @foscakblessed3648 6 лет назад +17

    Well said...man will always come and go....stay in your lane babe

  • @dorahdaapple2998
    @dorahdaapple2998 6 лет назад

    dah nakukubariii San zarinah hassaniii mwaaaaaa

  • @salmamohamedy6695
    @salmamohamedy6695 6 лет назад

    mhhhh kazi mnayoooooo mtoto wa Tandalee anawakimbizaaa sanaaaa duhhhhhhhh!!!!!!! yani nikikumbukagaaa alfuukujaa kugombaniwaa

  • @beatricekihehe3733
    @beatricekihehe3733 6 лет назад +28

    Huyu Dada anajielewa jamani mpaka nimejifunza kitu kutoka kwake.

  • @pettysulley6615
    @pettysulley6615 6 лет назад

    I just love you zari

  • @reginamanyangu6682
    @reginamanyangu6682 6 лет назад +12

    zari uko vzr achana na mifupa

  • @lexilepeter2928
    @lexilepeter2928 6 лет назад

    u deserve it... u think more of ur life, ur happiness and not blah blah blah... God bless you

  • @wardalward3693
    @wardalward3693 6 лет назад

    Mzee we mam Zari muachiye Hamisa we hu pendezi mam

  • @agnesmlivatwa4013
    @agnesmlivatwa4013 6 лет назад

    i lv u zarii.. men wil always come n go..🙏

  • @maxymeggz9092
    @maxymeggz9092 6 лет назад

    Thatx why I LOVE u mama Tee.....

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 6 лет назад

    NIVIZURI BIBI ZARI MTUMZIMA MZEE ITAKUWAJE MUWE MARAFIKI NA MWANAMKE MDOGOWAKO QUEEN HAMISA GOLD MODEL STYLE SUMU KWENU HUYU HAMUMPATI KWA UZURI KIULAYA AU KIAFRIKA UKWELI USEMWE MKUBALI NA MUMLEE QUEEN WENU WACHENI WIVU 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Manshyne
    @Manshyne 6 лет назад +15

    yaan zari yeye ni full kujiamin na mambo yake....hilo tu

  • @rayasmartcollection6630
    @rayasmartcollection6630 6 лет назад

    Nakupenda bureee

  • @tayanamasanja3952
    @tayanamasanja3952 6 лет назад

    mwaaah zari u inspir me

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he 6 лет назад

    Afu hamisa sio malaya Kapendwa na kazalishwa na alitunzwa akanunuliwa gari Myaka mingi wanapendana na usifikiriye kama ata acwa it realy lov Ila wanatafuta hela Kuwa makini hakum aca yote drama inajulikana kule kunaitws Bongo bongo bongo

  • @eddieeddie5189
    @eddieeddie5189 6 лет назад +1

    Well said mama

  • @nabzsalim2437
    @nabzsalim2437 6 лет назад +1

    Kubali matokeyoooo mamake bcz @chibu ashasema shetani alimpitiyaa 😅😅😅😅

  • @kahindoazida9743
    @kahindoazida9743 6 лет назад

    Just leave those idiots to do their idiot stuff if that make sense and move on mama. Continue inspiring us, continue being our role model (as young girls) continue giving us hope and strenght that one day we will also be like you zari❤❤❤

  • @fatumaathumani9977
    @fatumaathumani9977 6 лет назад

    nimekuelewa sana mama tee

  • @misspaulah7086
    @misspaulah7086 6 лет назад

    I love her

  • @hamisi_msoka
    @hamisi_msoka 6 лет назад

    Mme wako amekuowa lini km sio kumtukuza sheten yani unahalalisha alamu kuwa halali mungu akusamehe tu niutuuzima unakusumbua

  • @guttamanlob566
    @guttamanlob566 6 лет назад

    love you zari

  • @hadassperez494
    @hadassperez494 6 лет назад

    Nawatch hii baada ya kupita snap chat na asikuambie mtu, mambo ni hivi 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 😂😂😂😂😂😂

  • @jacklynchim8617
    @jacklynchim8617 6 лет назад

    luv yoo mama Tee

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 лет назад

    Kizungu cjui ila nimelewa jali watoto mwanaume km mbwa hahahaaaaa

  • @janethmollel9618
    @janethmollel9618 6 лет назад

    Simuelewi Diamond kwann kafanya ushenzi kiasi hicho... But pia kazi yake inampa temteshen nyingi.... Natamani umsamehe.....muishi kwaamani na atulie

  • @adidja.songorop4592
    @adidja.songorop4592 6 лет назад

    Wewe ungekua na akili ungetizama maisha yako ila mambo yakuka unafatiliana na wanawake basi utagombana sanaa kwamana wanaume awaa watu wabayaa
    Leo umegombana na Hamiss kesho utagombana na wengine kwahio wewe angalia maisha yako na watto wako mambo yakugombania mume yalikua zamani

  • @ukhtynadiaabdul696
    @ukhtynadiaabdul696 6 лет назад +3

    Words

  • @tonybrighter3878
    @tonybrighter3878 6 лет назад

    Jamami ukiwa demu kama huyu jamani unataka nini tena jamani, Unaanza je Kuhangaika na hizi Mbarara za Taarabu

  • @mzenji
    @mzenji 6 лет назад

    Cha kustaajabisha na kusikitisha ni kwamba zari anaongea Kiswahili kuliko wema sepetu.

  • @frideandrewkadada4622
    @frideandrewkadada4622 6 лет назад

    Meno ya dhahabu naona mie

  • @angienas7161
    @angienas7161 6 лет назад

    She says hana ugomvi the following day anajaza insta na vijembe akimtusi misa but kibiashara ako poa nkt

  • @yustermaseke7898
    @yustermaseke7898 6 лет назад

    sio those mashogashoga😂😂😂💪💉

  • @MariamsLifestyle
    @MariamsLifestyle 6 лет назад +86

    Maongezi yake anaonekana anajielewa sana

  • @emmanuelahmedbyona2353
    @emmanuelahmedbyona2353 6 лет назад +3

    You are Muslim, kuna nini kma akioa wake waine, unajikuta special!!! acha story yako b'na.

  • @itsangystyle5498
    @itsangystyle5498 6 лет назад +10

    😂😂😂😂atakula nyama,anaenda tafuta mifupa.ee jamanii zari

  • @professorjoma2364
    @professorjoma2364 6 лет назад +98

    We mwanamke unajielewa uko vzury

  • @suzankizuzu4011
    @suzankizuzu4011 6 лет назад +69

    Nakupendeag hapo tuu unajielewa sana mam tee

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 6 лет назад +1

      Suzan Kizuzu na nyie mjifunze ss toka kwke ss atii

  • @cheupestefano3303
    @cheupestefano3303 6 лет назад +33

    well said zari the boss lady Merry Xmas zari

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 6 лет назад +136

    Zari i neither love you nor hate you. but ki ukweli una akili za ku ona mbele yani uko mature

    • @samuelmurayaone
      @samuelmurayaone 6 лет назад

      I like that determination. Keep it up go stronger and stronger you have that power.

    • @marny1252
      @marny1252 6 лет назад

      Hibo Muslima mambozari

  • @dellidel3058
    @dellidel3058 6 лет назад +7

    Hamisa kazi yake ni kushindana na watu wako high class kumliko...aendee slay cartoon wenzake.

  • @ashachecheo9619
    @ashachecheo9619 6 лет назад +46

    Zari I love you girl.i like your confidence.

  • @tosifkhan3273
    @tosifkhan3273 6 лет назад +56

    nakupenda zari najifunza kitu kutoka kwako tangu nianze kufatilia najiona nimeanza kubadika

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog72 6 лет назад

    Watu wengi hawakuelewi but wewe mwanamke unajielewa sana . Na watu wengi wana cha kujifunza kutoka kwako . Japo hawakubali ukweli

  • @faymzalendo1728
    @faymzalendo1728 6 лет назад +25

    Good dada achana na waswahili wanapenda maneno wewe chapa kazi yako...is true what you say man comes and goes..stand for your kids well done zari wewe ni mwanamke wa kuigwa

    • @ashuraomar4935
      @ashuraomar4935 6 лет назад +1

      Faisa Mohamed she is talk the Point

    • @ashuraomar4935
      @ashuraomar4935 6 лет назад +1

      Faisa Mohamed wote wanawake wangekuwa na akili kama hizi wallah wote tusingeyumbishwa na wanaume.Ana akiki sana Mama Tee kisha ana confidence...

  • @Ab113tech
    @Ab113tech 6 лет назад +19

    Ladies will dump a guy for cheating & then date a Guy who was Dumped for Cheating , What Sort of Witch Craft is That ?!?🤔🤔🤔

  • @sikituyusuph4520
    @sikituyusuph4520 6 лет назад +2

    sili ya mtungi aijuae kata ww huwezi jua walichokofishana na Ivan hadi akaamua kuachana nae kwahiyo usiseme kuwa zar ni Malaya sawa ww unayesema hivyo huna sela

  • @shindapapaya9194
    @shindapapaya9194 6 лет назад +1

    😂😂 ni wachache sana wanao jielewa kama wewe MAMA TEE yule Mmbu wa Chalinze atutolee Enzi fyuuuu kwanza ana msongo wa mawazo ndio maana ana piga mikuki ya kufa mtu

  • @rebeccazabron7430
    @rebeccazabron7430 6 лет назад +1

    oooww that my girl zari, yeah there is none to compete with nobody.....make money, chase paper my love, as u said" men will always come and go" so let them fucking be, na watasubiri sana ushuke hao team mendeee👌

  • @aceptea6912
    @aceptea6912 6 лет назад

    Wewe ni hypocrite.kwa interview wasema Hivi.kwa snapshot waropoka.hakuna mtu anak brag classy yet action are of low lane

  • @faridafaddy427
    @faridafaddy427 6 лет назад +4

    Love you Zari! You're understanding and reasoning capacity is very high. You're my inspiration.

  • @40kstore
    @40kstore 6 лет назад +30

    Hili demu linaakili adi raha

  • @petergathercole2500
    @petergathercole2500 6 лет назад +26

    Unajua kujieleza na ukaeleweka vyema that's good

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +1

    Zari unajieleza vizuri yani japo nampenda Hamisa naweza kukuiga kutokana na unavyojibu, sasa tatizo ni nini kutoa mapovu kwenye social media?

  • @rashidalhosni6510
    @rashidalhosni6510 6 лет назад +10

    Thanks dear sister I love you so much zari

  • @slyvian5885
    @slyvian5885 6 лет назад +2

    Umebleach sana mama tee .unakaa panya jamani

  • @she_vee1080
    @she_vee1080 6 лет назад +3

    Zarina Hassan Wew n mwanamke haswaaaaa 😍😍😍kupenda buree mm

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 6 лет назад

    Ukiongea kiswahili ongea hivyo.kama ni kingereza ongea kingereza pekee,mambo ya kutuharibia lugha yetu uache

  • @maryamalbahry1387
    @maryamalbahry1387 6 лет назад

    Km unajali kazi zako vijembe vya nini? Tahadhar Mbu ni hatar kwa afya yako #fungeni vyandarua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rynesawaya7043
    @rynesawaya7043 Год назад +1

    Bonge la interview cjawai choka kuiangalia still 2023 🔥

  • @jofreyjafety138
    @jofreyjafety138 6 лет назад +1

    tokea Ivan afariki mimi ndio kilakitu mi naangalia maisha yangu
    Ahsante wazazi wangu kwakunisii nisije owa mwanamke sio levo yangu kimaisha atanisumbua tu na kunikejeri mbele sawatu

  • @hamisi_msoka
    @hamisi_msoka 6 лет назад +1

    Kama unapesa na kazi kwani wewe ulizaliwa navyo siulipewa na aliekupa wewe ndio amnyima huyo unaemzalau ila ukae ukijuwa siku hubadilika mungu sio wako peke yako

  • @happinessmataluma1948
    @happinessmataluma1948 6 лет назад +8

    mitanzania kumbe ndio watu wa ovyo ovyoo

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 6 лет назад

      +Happiness Mataluma,Tena sana inapenda competition ya ngono kuliko maendeleo

    • @ummybaby2014
      @ummybaby2014 6 лет назад

      mbona huachi matusi km uko busy na Familia yako

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 6 лет назад +2

    Ndo mana nakupenda sana....ubongo uko vzuri mama...Hunaga mambo ya kijinga...

  • @عايشهسعيد-ض5ذ
    @عايشهسعيد-ض5ذ 6 лет назад +10

    Kama hamisa ni malaya hata zari ni malaya mana alimuacha Ivan akachepuka na diamond

    • @daimavlog
      @daimavlog 6 лет назад +1

      عايشه سعيد siyo kweli

    • @lumooelvis2682
      @lumooelvis2682 6 лет назад

      عايشه سعيد si kwel

    • @عايشهسعيد-ض5ذ
      @عايشهسعيد-ض5ذ 6 лет назад

      Lumoo Elvis kama si kweli basi hata hamisa si malaya na si vizuri kumwita malaya coz mond ndo aliemtongoza hamisa

    • @subiraegied5647
      @subiraegied5647 6 лет назад +1

      ulikuepo mbwa wew ...yako yamekushinda ...yazar utayaweza ...waliachana? alichepuka ..maku yako ...una TV kwenu au ad kwajiran ........kafue vichup uko....kione keep bayaaa

    • @عايشهسعيد-ض5ذ
      @عايشهسعيد-ض5ذ 6 лет назад

      Subira Egied mbwa wew mshenzi mkubwa wew yamekuhusu tena fisi mkubwa wew mwehu mjinga uso faida ulikuepo wew kuma mwenyewe fisadi mkubwa zari bibi yako anakujua mende wew na ukome kujibu comment zangu

  • @jagmen4002
    @jagmen4002 6 лет назад +1

    mtafute maskin utaish maisha mazur sanaaa kwan unajielewa kupita wanawake wote ila wanaume unaopata vicheche na wanajiamin coz nao wanapesa

  • @gqvlogs3442
    @gqvlogs3442 6 лет назад +4

    Nimekupata Vyema unajielewa keep going madam

  • @sabahumedia7053
    @sabahumedia7053 6 лет назад +4

    hiziiiii zote mbwembwe dunia ni udanganyifu tufanye ibada

  • @ahmedtotti7934
    @ahmedtotti7934 6 лет назад +4

    Did she just say 20 000 million things

  • @claramyovela6259
    @claramyovela6259 6 лет назад +6

    Ndiyo maana mm nalupenda sana

  • @rukiakassim9889
    @rukiakassim9889 6 лет назад

    U r mature zari. .u reason well. .aki umeongea ukweli atakusaidia nn hamisa yy mwenyewe hata hajielew. .amexaa n dee akaona dee atakuacha. .eti mavi yakale haeshi kuna eheeee hamisa tunaenda n wakati hizo zilipendwa

  • @nazmaabdul949
    @nazmaabdul949 6 лет назад +2

    kwan lazma mumuulize kuhusu huyo chuchunge huyo mwanamke tofaut nawadangaji

  • @missritzzy4112
    @missritzzy4112 6 лет назад +2

    jaaaamanii zariii hadii rahaa hunagaa shidaa kabiisaa

  • @gracezunda2993
    @gracezunda2993 6 лет назад +2

    nakupenda sana mama tii wewe ni mwanamke shujaa hongera mrs diamond.

  • @halimaramadhanimwevi2472
    @halimaramadhanimwevi2472 6 лет назад +30

    Wow , wewe unajielewa big up mama TEE

  • @hoseanobocka4533
    @hoseanobocka4533 6 лет назад +11

    zari ww unaonekana unaakili xana ya pesa thats why you keep succeding more and more ,ila Hamisa for sure a huenda hana akili timamu nina wasiwas naye mda wote anafanya blanda tu hamna cha mana

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he 6 лет назад

    Iyo yote ni haya umeona vile diomond kazaa na hamisa ulikuwa ukisema mwanaume wangu hawezi kuwa na mwanamke mwingine yote hayo hayaficiki yalio tokeya sory nafikiri unajiona mjinga

  • @verrobbz4997
    @verrobbz4997 6 лет назад +26

    😂😂😂zari mamah mmmh uko snapchat mbona huwa onaongea sana basi

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 6 лет назад +45

    ooo noo men. hata kila nyama na bado ata tafuta mfupa. ok ok ok

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 6 лет назад

      Hibo Muslima haha punch line io meisoma eh.,kizazi fulani iv kwa mwenzie dooh

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 6 лет назад

      kali now i know

  • @estheresther738
    @estheresther738 6 лет назад +2

    I really like your confidence zari thanks for not creating the hatrat it's afree world as said😙😙😙😙

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he 6 лет назад

    Presure iyo na bado hamisa alisema atakuhangaisha kwa myaka ishirini Nafikiri hulali wallah ukiendeleya ivo utazidi kujiumiza

  • @bobomuchy848
    @bobomuchy848 6 лет назад +3

    this woman is so mature and knows what she want in life, much respect and love to you

  • @naj5228
    @naj5228 6 лет назад +1

    daah zar ww mm nakupenda saana unaakil ww mwanamke sijawah ona

  • @dellidel3058
    @dellidel3058 6 лет назад +6

    I love zari..sooo much.

  • @fatumaababy1281
    @fatumaababy1281 6 лет назад

    Zari why can't you just live Diamond. I think you desver a better man.Diamond is just playing games with both you and hamisa his not ready to settle yet

    • @subiraegied5647
      @subiraegied5647 6 лет назад

      fatuma Ababy .....we mbwaaa amuache utamzalisha wew ......