Sawa ila miaka ya 2008 -09 uliolewaga ndoa ya mkataba pale Tunduma sehem inaitwa mwaka kule juu uwanjani na tajili anaitwa Sompora sijui unajua kama alishaakufa ?? alikuaga na mapesa ya mkataba yule tajili
Mchungaji unaongea utumbo sana. Kama wataondoka waache waondoke la sivyo hata mashetani wakiondoka utalalamika. Kanisa lako haliwwezi kuipata wa kwenda mbinguni. Wako hivyo kutokana nawewe ulivyo hivyo. Hilo sito kanisa. Tafuteni jina la kuita hayo mabanda ye😮nu MSIcbhezee jina kanisa. Hilo ni jina alilolitaja Bwana Yesu
Hamna sema saiz watu wanachukulia kitu cha kawaida tofauti na miaka ya zaman mtu akiigiz jini unaogop industry imekuwa saiz kila mtu anawez kuigiza jini
Safi Sana Madora Tv Mungu Awapandishe
Mungu amekutoa mbali Sana Dada Sara usisahau Mungu alipokutoa
Kuigiza si shida dada tungependa urudi kama awali tlipenda sana watching from Kenya
Tunashukuru Sana Watu Wakenya
Sawa ila miaka ya 2008 -09 uliolewaga ndoa ya mkataba pale Tunduma sehem inaitwa mwaka kule juu uwanjani na tajili anaitwa Sompora sijui unajua kama alishaakufa ?? alikuaga na mapesa ya mkataba yule tajili
Tumeku miss sana saradini
Aaah saradin miss you
Fez boas histórias minha mãe
Hatari sana
Safiii sn
Tuleteeni blandina.the game of love
Kumbe ndo huyu dah alinitisha Sana alisababish niende toi kwa shida sana
Nakukubali dada yangu Sarah, wewe ni mshindi sana.
M
Tabasamu la Saradini halipotei jaman bado tu umzuri😘🌹
Nakupenda saladine
Hahahahahaha Good Saradini😀😀😀😀
Mtumishi
Kumbe mshenzi mwenyew ndio huyu alie kuw ananifanya silali usiku
Nlivokuwa nakuogopa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uko vzr madam mnipe namba ya huyo mdada
dada sara umependeza kama haujaolewa nipe furusa uwe mkwe wa mama yangu
KUMBEEEE UMEOKOKA? WAAAAAOOOO😀😀😀😀🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu dada ndio yule Alie ulizwa unamchumba akashindwa kujibu
😂😂😂😂ndio yeye
😂😂😂😂😂
😁😁😁
Yan Sara auzeekii cjuw unakula nn uko vile vile ❣️❣️🤞🤞👊👊👊👍
Huyu dada alikuwa ananiogopesha sana na hasa Sugu
Nilikupenda sana Sara na vile ulivokua ukiwahukumu watu kwa makosa yao
Dada alinitisha huyu jamaniii lohhhh
Mi niliomb kujua saladin na subira ni mtu mmoja au ni watu tofauti
Mmoja
Ola tudo bem
Disculpe es de onde?
we mtangazaji nimekupenda kinoma
Asante Sana
Haka katangazaj kaliulizwa ma bahati bukuku kama kana mchumba kaka zingua
Muvi nilikua naipenda japo ilikua inatisha
Ulipotekea wapi dada saradini mwenyewe
Ameokoka now anaimba gospel
Nitumien no yake
Mbona movie ya saladin haiko youtube
Ipo sana sahii dear
Ipi
Ipo
Mmmh🤔ila amezeeka mpk nimemsahahu duh
@@kiehbhzh7044 2003 hadi now ni miaka mingapi? Hadi awe vile vile,mm mwenyewe 2003 niko msingi na nimezeeka kuliko
Nimekuelew
Unajua kutangaza
Ivi na yule ni mdogo wako maana mlifanana sana
Weka movie RUclips ya Saradini
Kweli mm niliipenda mno
IPO mbon me nimetok kuangalia
Zipo mbona zote angalia
Mchungaji unaongea utumbo sana. Kama wataondoka waache waondoke la sivyo hata mashetani wakiondoka utalalamika. Kanisa lako haliwwezi kuipata wa kwenda mbinguni. Wako hivyo kutokana nawewe ulivyo hivyo. Hilo sito kanisa. Tafuteni jina la kuita hayo mabanda ye😮nu MSIcbhezee jina kanisa. Hilo ni jina alilolitaja Bwana Yesu
Ludi mamy tumekumss
Saladin ndio yule wa mwanzaa au?
Saladini
Kafanana na mkemwenzangu huyu
Hatari sana
Walai Sara ww mungu anakuona mie ilikuwa nakuogopa mpka kesho
Hamna sema saiz watu wanachukulia kitu cha kawaida tofauti na miaka ya zaman mtu akiigiz jini unaogop industry imekuwa saiz kila mtu anawez kuigiza jini