Rose 🌹 ni zao huenda ni la mwaka 1971 hiyo sauti miaka hiyo imekula msoto wa kufuata maji bali unamka saa nane usiku kukwepa foleni maji yenyeweni Chemchem yaani kipindi hana chipis mayani mishikaki ni kula mlenda kwenda mbele Rose ijibu hii comments tafadhali watu wajui ni kweli vijana miaka hiyo wana nguvu kuliko wa sasa
Kweli akiimba live anaweza sana alikua kwetu Moshi Siku moja akaimba live hao hao na vijana wote wakujueee,wewe ni Bwana,watu karibu waruke fiance hii ni mwaka 2000
Uwezo wako wa kuimba live ni mkubwa sana mtumishi. Glory to God
❤❤❤❤ namipia no sarenda kwajina layesu aliehaiiiiiiiiii
Awwww🥰🥰🥰 uyu mama mziki unamkubali sana nampenda bureee
Barikiwa sana mama
Rose 🌹 ni zao huenda ni la mwaka 1971 hiyo sauti miaka hiyo imekula msoto wa kufuata maji bali unamka saa nane usiku kukwepa foleni maji yenyeweni Chemchem yaani kipindi hana chipis mayani mishikaki ni kula mlenda kwenda mbele Rose ijibu hii comments tafadhali watu wajui ni kweli vijana miaka hiyo wana nguvu kuliko wa sasa
Amen mtumishi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dada nakukubali atali
Kweli akiimba live anaweza sana alikua kwetu Moshi Siku moja akaimba live hao hao na vijana wote wakujueee,wewe ni Bwana,watu karibu waruke fiance hii ni mwaka 2000
Penda sana Rose Mhando.
Mungu akutunze mama!!.
Wewe ni mshindii🎉
🙏
Inatutia nguvu kwasisi waimbaj wadogo
Asante sana mama,
ubarikiwe
Big up sana mom ❤
Haleluya ❤
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
Haki mwambie huyu dada tufanye colabo plz
Huyu Mama Sauti yake haichuji au kubadilika. Mungu aendelee kumulinda.
Rose ana sauti kiukweli na ana uwezo wa kuimba live