RAIS SAMIA ASHINDWA KUJIZUIA, KAYUMBA AKIPAFOMU IKULU, ANYANYUKA KWENDA KUMTUNZA...
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- RAIS SAMIA ASHINDWA KUJIZUIA, KAYUMBA AKIPAFOMU IKULU, ANYANYUKA KWENDA KUMTUNZA...
MWANAMUZIKI Kayumba Juma, ametumbuiza kwenye hafla ya Rais Samia akizungumza na Twiga Stars Ikulu jijini Dar.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Mwimbo mzuri sana kayumba kwa sisi wanawake unatutia uchungu sana mungu akubariki sana kayumba
Chozi limenitoks
Tatizo lenu wanawake huwa mnajipenda sana.
Alafu utasikia mnaropoka eti haki sawa.
Likitokea janga utasikia eti hata na sisi wanawake tunateseka. Wakati wa majanga ndo mnajua udhaifu wenu.
Ndo maana kipindi cha manabii hamukuebika😂😂😂
Sana mm kila mikisikiza nalia
@@ericksagara1719 asante kwa kutujua,ila kujipenda lazima
Mm nikiwa na sterss zangu nataka kuzitoa basi huwa naweka huu wimbo bas nalia weeeee baadae nakuwa fresh
Huruma ya Rais wengi wapo huru,hasa dhuruma Rais Samia aliikataa,Allah akujaalie busara na hekima Rais Samia
Mmmhhhhhh alikiba yaan huyo anahuruma kwer jmn ????
Msanii nae mpenda kwa sasa kayumba let's go bro
Kayumba; I guess you are number one with sense songs.
He is the best musician in Tanzania
Kayumba nilikupigia kula star search nakupenda bure mdogo wangu
Daaah huu wimbo unanikoxhaga xanaaa bless you kayumba
Dah huu wimbo unanitiaga machungu😭😭😭RIP mama yangu kipenzi
Pole dear
Pole muombee mama Mungu ampumzishe mahala pema peponi
Pole sana
Kiukweli hinyimbo imetugusa wengi na niwaombe wakina mama wote mungu awape maisha marefu mnooo
Kayumba iyo ni next level kbs
Safi sana.... Rais anatakiwa kufurahia mistari saa nyingine sio kufikiria mambo ya serkali tuu.
Nikweli kabisa mama yetu anatakiwa afurahi
Safi sana imbeni nyimbo nzuri zitadumu miaka mingi na mtapata faida zaidi
Waambie
Huyu dogo safi sana hatua zake zimempa matunda mema mno wasanii wengine wa Tanzania wajifunze kwa huyu dogo kuimba walau wimbo mmoja au mbili za weledi,tuna watu kama ommy dimpoz,christian bella king of the best melodies
Nakupenda mwanangu
Hongera snaaaa my kaka upo vzr sna good song
Wimbo mzuri sana 👏
Kijana unanyimbo za hisia wee💗💗
Kayumba nakukubali miaka 100000000000000000000
Nampenda San mam yangu nakuomba mwenyez mungu akupeneema
Nyimbo kama nyimbo ni 🔥🔥🔥
Naipenda had naipenda Tena I love you mama😭😭😭
Yooh i love this bby boy, ❤️
Pamoja sana kayumba nakubali kazi nzuri
Nyimbo zake zinahisia Sana nimemuona mume wa Joyce
Tulikuwa pamoja na wewe toka bongo 🌟 search big up kwa kayumba
Jamani wasanii wetu, karibu kuiimba na nyimbo za kumsifia baba, baba naye anakazi kubwa sana
😀😀😀
😀😀
Ww fundi broo
Umetisha snaaà bro nice
Mama is strong!
safi sana msanii mkubwa Kayumba yaani umejua kulitumia vizuri jukwaa japo ni dogo,ingekua wale jamaa apo wangeruka nakuanguka then kusema ikulu imewakataaa hahahahahahahahahahaha one love Kayumba.
🤣🤣🤣😃😃😃😃
🤣🤣🤣
Nimecheka,ngoja wakuskie
🤣🤣
@@m.mmarckus6298 aaah watajua wenyewe,hahahaha!.
Nice love u mom🥰😍😍😍
Mama hii n yako Mama💋💕💗💞💝🙏
R p mama angu mungu akurazea mari pema
Manshaallah
Nzur Sana hii nyimbo
Hongera sana Kayumba umepita njia ngumu sana Hongera kwa kupata bahati ya kuparfom Ikulu 🇹🇿😭
Kila nikifungua na comment msani wangu pebdwa baada ya king
Kanyumba Nakupenda sana 💙💙💙
Good song
Nyimbo imeenda shule. Hongera sana
🔥🔥🔥🔥
Pogezi kwa mama wetu alie tuzaaa tulinde
Nani kama MAMA 🙏
Wimbo mzuri na msanii mzuri, burudani kistaarabu kabisa, hakuna piga kelele, siwasikii nyuma kule zungusha zungusha
Nice
Good performance
God song wallah
Sanaaaa
Yes
So good
Mama mitano mingine🙏🙏
Acha ujinga
Teena aache ujinga
Labda mitano Hiyo Aongozee Kuku
Msanii wangu pendwa
Wimbo mzuri Ila pafomansi mbaya mbovo angepiga live ungekuwa nzuri Sana
Mmmmmmmmmmmmm
Nikweli
Kwelii bnaa live ndio tamuu
Rais,ameguswa,huruma,yako mama,
82%dans mon cœur 💓❤️ kayumba
This boy he dope
Wow !
Maamaaa!!
Huu wimbo unanilizaga sana
Huruma yako mama
Nani.kama mama hakuna chaps kaz
Mama anapenda sifa uyu
hahaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🏃♂️
Acha ujinga wewe hujui kama kuna usalama wa taifa
🤣🤣🤣
Mama ananiachaga hoi 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Kayumba ongerasan nakubar
Mama Samia love you mama
Mama Samia tena
Utaenda far unanikumbusha wakati nilikuwa theater, watoto jamani tuwaheshimu wazazi wetu mtoto hutoka far
Hiyo steji 🤣🤣🤣 wale waliozeea kurukark inakuaje hap si maumiv
na wa banana zoro nao unasemaje tatizo waga hamusikilizoli nyimbo huu ni wakawaida tu
❤️❤️❤️
I think 4u mama naupenda sana wimbo huu
I sing for you mom
Kwetu huku uganda mambo tofauti sana hata kama tuna Rais tumemzoea m7 wetu mpaka mungu atakapotunusuru .... otherwise nakupenda sana Mheshimiwa samia suluhu Hassan.
Unampenda Nini sasa
@@meshajoni5662 read my comment well coz repeatition is not allowed in grama.
20% wa zama hizi
Mama mpenda staree,wamachinga wanataabika yy,yukobize nastaree,,hovyooo
Kwahiyo akawabebe wamachinga? Walishapangiwa sehemu zao za kufanya biashara, na hivyo vibanda kando ya barabara ni uchafuzi wa mji. Tumia akili kidogo, kwahiyo rais akae anafikiria wamachinga tuu mchana na usiku wakati Tanzania ina watu mil 60 wanamsubiri? Kichwa kibovu jamaa ww.
@@ameedamilja7992 akiri zako nazake zinafanana,,,unaandika ukursa mreeeefu nimamaako Nini k,mkubwa ww
@@meshajoni5662 we mpuuzi na tunawajua nyie wafuasi wa nani, mpumbavu wakati wako umeshakwisha, wacha nchi itawaliwe na mtu mwenye akili asiopenda sifa za kijinga.
@@ivanminja7954 akuna shida,,wemwenye akili,pamoja na mm,akoo ngoja tuuone mwisho wenuu
@@salumalriyamy imeisha iyooo
Bibi Samia TONNY BREYAiR Anakusubili united kingdom london
Tony BLAIR...... We Kijana una matatizo!
Kula pesa ya watanzaniatu
Kila la KHERY
nikweli nani kama mama
Kodi zetu mnakula ikulu kwaamani ira kesho mtajuta eemeni
Uruma yako mamaaa
Wimbo mzuri, umetulia.
Kumbuka ni kodi za wamachinga mnatumia aiseeeee mnacheza na wananchi nyie
@@pendopendokimathkimath1218 Tanzania ina wamachinga tu, acheni upuuzi
Samia mwny Hadi kaambiwa kusimama
huyu mama simpendi hata kidogo
Kayumba hata mm nna zawadi yako kwaajili ya huu wimbo hakika nikiusikiliza hadi machozi yananitoka
Kayumba
Au London tonny breir Anakusubili
Tony BLAIR........ Mtasema mtachoka...... Kijana, umechanganyikiwa ww na Mr Slowslow na genge lenu... Mungu ibariki Tz...
Yaan wimbo huu inanifanya nimwaz mam kil dak
Hahahahahaha
Wahurumie na wamachinga tuone huruma yako
Huu wimbo Nina video na nikiuweka lazima nitokwe machozi
Mama kauli yako ya Wamachinga huku vijana wako wasaidizi akili hawana wanafanya kwa kukurupuka Kama mkojo wa asubuhi
Mh
U
Sasa ndo nini hii tangu uingie madarakani hujafanya kitu cha maana maliza urithi wako uondoke bana unatuzingua
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
WEWE MAMA ATAKAZI ATUZIONI WEWE NI MTU WASHEREHE TU
Kazi gani utaka uione usiishi Kwa kukalili maisha ungepewa wewe uongonze Tanzania 🇹🇿🇹🇿ubgeweza
jibu zuri sana ulilo mpa ....ata sichangii kitu mm linamtosha iloo
Mnataka awe mtu wa sifa kila anachofanya kiwekwe hadharani, huyu ni mtu wa matendo, kuwa akili yako kidogo.
@@mwajumashauri9674 yamezoea kuongozwa kama punda
@@mohamedhaji2200 🤣🤣🤣🤣🤣
mama ni kla kitu
uhanithi mtupu
ETI NDIO KAZI IENDEREE KILA KUKICHA SHERHE KULA BATA WAKATI WAKO MAREKANI LINI NEXT WEEK!
Tuomben mungu
Kuongoza wajinga ni mzigo kabisa...
Ienderee ndio nini boya wewe
wewe unaona hapo kuna Bata na anawapongeza Watanzania wenzetu, ongea vitu vyenye sense kidogo.
Good song
mama ni kla kitu