RAIS SAMIA ASHINDWA KUJIZUIA, KAYUMBA AKIPAFOMU IKULU, ANYANYUKA KWENDA KUMTUNZA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • RAIS SAMIA ASHINDWA KUJIZUIA, KAYUMBA AKIPAFOMU IKULU, ANYANYUKA KWENDA KUMTUNZA...
    MWANAMUZIKI Kayumba Juma, ametumbuiza kwenye hafla ya Rais Samia akizungumza na Twiga Stars Ikulu jijini Dar.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 156

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 года назад +53

    Mwimbo mzuri sana kayumba kwa sisi wanawake unatutia uchungu sana mungu akubariki sana kayumba

    • @ummyhoza4495
      @ummyhoza4495 2 года назад

      Chozi limenitoks

    • @ericksagara1719
      @ericksagara1719 2 года назад +2

      Tatizo lenu wanawake huwa mnajipenda sana.
      Alafu utasikia mnaropoka eti haki sawa.
      Likitokea janga utasikia eti hata na sisi wanawake tunateseka. Wakati wa majanga ndo mnajua udhaifu wenu.
      Ndo maana kipindi cha manabii hamukuebika😂😂😂

    • @qrrrqtqt9976
      @qrrrqtqt9976 2 года назад +1

      Sana mm kila mikisikiza nalia

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 2 года назад

      @@ericksagara1719 asante kwa kutujua,ila kujipenda lazima

    • @marselinarweyemamu4034
      @marselinarweyemamu4034 2 года назад +1

      Mm nikiwa na sterss zangu nataka kuzitoa basi huwa naweka huu wimbo bas nalia weeeee baadae nakuwa fresh

  • @allykiba9727
    @allykiba9727 2 года назад +14

    Huruma ya Rais wengi wapo huru,hasa dhuruma Rais Samia aliikataa,Allah akujaalie busara na hekima Rais Samia

    • @richstar150
      @richstar150 2 года назад

      Mmmhhhhhh alikiba yaan huyo anahuruma kwer jmn ????

  • @faudhiamalata5508
    @faudhiamalata5508 2 года назад +12

    Msanii nae mpenda kwa sasa kayumba let's go bro

  • @sakinajuma6158
    @sakinajuma6158 3 года назад +34

    Kayumba; I guess you are number one with sense songs.

  • @jescagodwin2732
    @jescagodwin2732 3 года назад +28

    He is the best musician in Tanzania

  • @neemaruttahiwa2664
    @neemaruttahiwa2664 2 года назад +5

    Kayumba nilikupigia kula star search nakupenda bure mdogo wangu

  • @johanithajacob8715
    @johanithajacob8715 2 года назад +5

    Daaah huu wimbo unanikoxhaga xanaaa bless you kayumba

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 года назад +20

    Dah huu wimbo unanitiaga machungu😭😭😭RIP mama yangu kipenzi

  • @emmanuelmsuya8578
    @emmanuelmsuya8578 Год назад +1

    Kiukweli hinyimbo imetugusa wengi na niwaombe wakina mama wote mungu awape maisha marefu mnooo

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 2 года назад +3

    Kayumba iyo ni next level kbs

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 3 года назад +28

    Safi sana.... Rais anatakiwa kufurahia mistari saa nyingine sio kufikiria mambo ya serkali tuu.

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 2 года назад +1

    Safi sana imbeni nyimbo nzuri zitadumu miaka mingi na mtapata faida zaidi

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 3 года назад +10

    Huyu dogo safi sana hatua zake zimempa matunda mema mno wasanii wengine wa Tanzania wajifunze kwa huyu dogo kuimba walau wimbo mmoja au mbili za weledi,tuna watu kama ommy dimpoz,christian bella king of the best melodies

  • @azizabond8242
    @azizabond8242 2 года назад +3

    Nakupenda mwanangu

  • @tumainimwakyaka2775
    @tumainimwakyaka2775 2 года назад

    Hongera snaaaa my kaka upo vzr sna good song

  • @omanss268
    @omanss268 3 года назад +10

    Wimbo mzuri sana 👏

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 2 года назад +4

    Kijana unanyimbo za hisia wee💗💗

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 3 года назад +9

    Kayumba nakukubali miaka 100000000000000000000

  • @florashirima1224
    @florashirima1224 Год назад

    Nampenda San mam yangu nakuomba mwenyez mungu akupeneema

  • @shardalove1159
    @shardalove1159 2 года назад +12

    Nyimbo kama nyimbo ni 🔥🔥🔥

  • @fatumamwaveso247
    @fatumamwaveso247 2 года назад

    Naipenda had naipenda Tena I love you mama😭😭😭

  • @masikashamim7620
    @masikashamim7620 2 года назад +5

    Yooh i love this bby boy, ❤️

  • @SHELYnaitakiasimbaushndipointB
    @SHELYnaitakiasimbaushndipointB 2 года назад +2

    Pamoja sana kayumba nakubali kazi nzuri

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji9115 3 года назад +6

    Nyimbo zake zinahisia Sana nimemuona mume wa Joyce

  • @gaddimapenzi653
    @gaddimapenzi653 2 года назад +1

    Tulikuwa pamoja na wewe toka bongo 🌟 search big up kwa kayumba

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 2 года назад +7

    Jamani wasanii wetu, karibu kuiimba na nyimbo za kumsifia baba, baba naye anakazi kubwa sana

  • @mlolabooy9074
    @mlolabooy9074 2 года назад

    Ww fundi broo

  • @selevestafalifali8410
    @selevestafalifali8410 2 года назад

    Umetisha snaaà bro nice

  • @sakinajuma6158
    @sakinajuma6158 3 года назад +11

    Mama is strong!

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 2 года назад +12

    safi sana msanii mkubwa Kayumba yaani umejua kulitumia vizuri jukwaa japo ni dogo,ingekua wale jamaa apo wangeruka nakuanguka then kusema ikulu imewakataaa hahahahahahahahahahaha one love Kayumba.

  • @lovenessitiku6293
    @lovenessitiku6293 3 года назад +6

    Nice love u mom🥰😍😍😍

  • @dinnahsamwel9607
    @dinnahsamwel9607 2 года назад +2

    Mama hii n yako Mama💋💕💗💞💝🙏

  • @mwezysumuni4114
    @mwezysumuni4114 2 года назад

    R p mama angu mungu akurazea mari pema

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 2 года назад

    Manshaallah

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 2 года назад

    Nzur Sana hii nyimbo

  • @dicksonwanyama1689
    @dicksonwanyama1689 3 года назад +3

    Hongera sana Kayumba umepita njia ngumu sana Hongera kwa kupata bahati ya kuparfom Ikulu 🇹🇿😭

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 2 года назад

    Kila nikifungua na comment msani wangu pebdwa baada ya king

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 года назад

    Kanyumba Nakupenda sana 💙💙💙

  • @chizimwatsuma3766
    @chizimwatsuma3766 2 года назад

    Good song

  • @rayman111
    @rayman111 2 года назад

    Nyimbo imeenda shule. Hongera sana

  • @merinadaimon425
    @merinadaimon425 2 года назад +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @sammycharomwalili6728
    @sammycharomwalili6728 2 года назад +3

    Pogezi kwa mama wetu alie tuzaaa tulinde

  • @lovenesmoses9412
    @lovenesmoses9412 2 года назад

    Nani kama MAMA 🙏

  • @eddygonza891
    @eddygonza891 2 года назад +1

    Wimbo mzuri na msanii mzuri, burudani kistaarabu kabisa, hakuna piga kelele, siwasikii nyuma kule zungusha zungusha

  • @bwanasylvester6012
    @bwanasylvester6012 3 года назад +2

    Nice

  • @upendoluv7197
    @upendoluv7197 2 года назад +1

    Good performance

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 2 года назад +2

    God song wallah

  • @ladymoretaboraprincess6190
    @ladymoretaboraprincess6190 2 года назад

    Sanaaaa

  • @geofreysenteuh6980
    @geofreysenteuh6980 2 года назад

    Yes

  • @adimuyassini6009
    @adimuyassini6009 2 года назад

    So good

  • @zawadijumaa1867
    @zawadijumaa1867 3 года назад +4

    Mama mitano mingine🙏🙏

  • @husseinbakary1969
    @husseinbakary1969 3 года назад +9

    Msanii wangu pendwa

  • @FrankM384
    @FrankM384 3 года назад +2

    Wimbo mzuri Ila pafomansi mbaya mbovo angepiga live ungekuwa nzuri Sana

  • @linnageorge7795
    @linnageorge7795 3 года назад +5

    Rais,ameguswa,huruma,yako mama,

  • @raphaelmilliano5538
    @raphaelmilliano5538 Год назад

    82%dans mon cœur 💓❤️ kayumba

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 2 года назад +1

    This boy he dope

  • @leiyolaizer3544
    @leiyolaizer3544 3 года назад +2

    Wow !

  • @fatumamcharo3929
    @fatumamcharo3929 2 года назад

    Maamaaa!!

  • @rahmakipingu2926
    @rahmakipingu2926 2 года назад +1

    Huu wimbo unanilizaga sana

  • @amurisabiti7037
    @amurisabiti7037 2 года назад

    Huruma yako mama

  • @beatricefredilick1646
    @beatricefredilick1646 3 года назад +2

    Nani.kama mama hakuna chaps kaz

  • @aliymwanafuno9848
    @aliymwanafuno9848 2 года назад +2

    Mama anapenda sifa uyu

  • @faridaltamimi7454
    @faridaltamimi7454 3 года назад +2

    Mama ananiachaga hoi 😂😂😂

  • @ziyadabasca4840
    @ziyadabasca4840 2 года назад +3

    Kayumba ongerasan nakubar

  • @violethbagila905
    @violethbagila905 2 года назад +2

    Mama Samia love you mama

  • @asdease9403
    @asdease9403 2 года назад

    Utaenda far unanikumbusha wakati nilikuwa theater, watoto jamani tuwaheshimu wazazi wetu mtoto hutoka far

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 года назад

    Hiyo steji 🤣🤣🤣 wale waliozeea kurukark inakuaje hap si maumiv

  • @daudimzuri5771
    @daudimzuri5771 3 года назад +2

    na wa banana zoro nao unasemaje tatizo waga hamusikilizoli nyimbo huu ni wakawaida tu

  • @dollnjosy3210
    @dollnjosy3210 2 года назад

    ❤️❤️❤️

  • @sporahsende4187
    @sporahsende4187 3 года назад +2

    I think 4u mama naupenda sana wimbo huu

  • @shamirahkantengwa9245
    @shamirahkantengwa9245 3 года назад +1

    Kwetu huku uganda mambo tofauti sana hata kama tuna Rais tumemzoea m7 wetu mpaka mungu atakapotunusuru .... otherwise nakupenda sana Mheshimiwa samia suluhu Hassan.

    • @meshajoni5662
      @meshajoni5662 3 года назад

      Unampenda Nini sasa

    • @shamirahkantengwa9245
      @shamirahkantengwa9245 3 года назад +3

      @@meshajoni5662 read my comment well coz repeatition is not allowed in grama.

  • @erardmporoto2660
    @erardmporoto2660 3 года назад +2

    20% wa zama hizi

  • @meshajoni5662
    @meshajoni5662 3 года назад +2

    Mama mpenda staree,wamachinga wanataabika yy,yukobize nastaree,,hovyooo

    • @ameedamilja7992
      @ameedamilja7992 3 года назад +2

      Kwahiyo akawabebe wamachinga? Walishapangiwa sehemu zao za kufanya biashara, na hivyo vibanda kando ya barabara ni uchafuzi wa mji. Tumia akili kidogo, kwahiyo rais akae anafikiria wamachinga tuu mchana na usiku wakati Tanzania ina watu mil 60 wanamsubiri? Kichwa kibovu jamaa ww.

    • @meshajoni5662
      @meshajoni5662 3 года назад

      @@ameedamilja7992 akiri zako nazake zinafanana,,,unaandika ukursa mreeeefu nimamaako Nini k,mkubwa ww

    • @ivanminja7954
      @ivanminja7954 3 года назад

      @@meshajoni5662 we mpuuzi na tunawajua nyie wafuasi wa nani, mpumbavu wakati wako umeshakwisha, wacha nchi itawaliwe na mtu mwenye akili asiopenda sifa za kijinga.

    • @meshajoni5662
      @meshajoni5662 3 года назад

      @@ivanminja7954 akuna shida,,wemwenye akili,pamoja na mm,akoo ngoja tuuone mwisho wenuu

    • @meshajoni5662
      @meshajoni5662 3 года назад

      @@salumalriyamy imeisha iyooo

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 3 года назад

    Bibi Samia TONNY BREYAiR Anakusubili united kingdom london

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 года назад

      Tony BLAIR...... We Kijana una matatizo!

  • @salimiddi9825
    @salimiddi9825 Год назад

    Kula pesa ya watanzaniatu

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Kila la KHERY

  • @dianangairoukovizuli2102
    @dianangairoukovizuli2102 2 года назад

    nikweli nani kama mama

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Год назад

    Kodi zetu mnakula ikulu kwaamani ira kesho mtajuta eemeni

  • @tatushebe8781
    @tatushebe8781 2 года назад

    Uruma yako mamaaa

  • @saimaria715
    @saimaria715 3 года назад +2

    Wimbo mzuri, umetulia.

    • @pendopendokimathkimath1218
      @pendopendokimathkimath1218 3 года назад

      Kumbuka ni kodi za wamachinga mnatumia aiseeeee mnacheza na wananchi nyie

    • @ivanminja7954
      @ivanminja7954 3 года назад

      @@pendopendokimathkimath1218 Tanzania ina wamachinga tu, acheni upuuzi

  • @raulentkabunga2727
    @raulentkabunga2727 2 года назад

    Samia mwny Hadi kaambiwa kusimama

  • @charlesmaghuha5853
    @charlesmaghuha5853 2 года назад

    huyu mama simpendi hata kidogo

  • @angelsungesu3317
    @angelsungesu3317 2 года назад

    Kayumba hata mm nna zawadi yako kwaajili ya huu wimbo hakika nikiusikiliza hadi machozi yananitoka

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa1697 2 года назад

    Kayumba

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 3 года назад

    Au London tonny breir Anakusubili

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 года назад

      Tony BLAIR........ Mtasema mtachoka...... Kijana, umechanganyikiwa ww na Mr Slowslow na genge lenu... Mungu ibariki Tz...

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 2 года назад

    Yaan wimbo huu inanifanya nimwaz mam kil dak

  • @ntibwanaahmadjuma7885
    @ntibwanaahmadjuma7885 3 года назад +1

    Hahahahahaha

  • @luganomwakyusa7697
    @luganomwakyusa7697 2 года назад

    Wahurumie na wamachinga tuone huruma yako

  • @olgacaleb6822
    @olgacaleb6822 2 года назад

    Huu wimbo Nina video na nikiuweka lazima nitokwe machozi

  • @nuraansuhail2578
    @nuraansuhail2578 2 года назад

    Mama kauli yako ya Wamachinga huku vijana wako wasaidizi akili hawana wanafanya kwa kukurupuka Kama mkojo wa asubuhi

  • @brunokimaro1053
    @brunokimaro1053 3 года назад +1

    Mh

  • @sumaabdy8328
    @sumaabdy8328 2 года назад

    U

  • @renatusmatungwa6506
    @renatusmatungwa6506 2 года назад

    Sasa ndo nini hii tangu uingie madarakani hujafanya kitu cha maana maliza urithi wako uondoke bana unatuzingua

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 3 года назад

    WEWE MAMA ATAKAZI ATUZIONI WEWE NI MTU WASHEREHE TU

    • @mandamaking474
      @mandamaking474 3 года назад +1

      Kazi gani utaka uione usiishi Kwa kukalili maisha ungepewa wewe uongonze Tanzania 🇹🇿🇹🇿ubgeweza

    • @mwajumashauri9674
      @mwajumashauri9674 3 года назад +1

      jibu zuri sana ulilo mpa ....ata sichangii kitu mm linamtosha iloo

    • @ivanminja7954
      @ivanminja7954 3 года назад +1

      Mnataka awe mtu wa sifa kila anachofanya kiwekwe hadharani, huyu ni mtu wa matendo, kuwa akili yako kidogo.

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 3 года назад +1

      @@mwajumashauri9674 yamezoea kuongozwa kama punda

    • @mandamaking474
      @mandamaking474 3 года назад

      @@mohamedhaji2200 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @brandycolle4256
    @brandycolle4256 3 года назад

    mama ni kla kitu

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 2 года назад

    uhanithi mtupu

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 3 года назад

    ETI NDIO KAZI IENDEREE KILA KUKICHA SHERHE KULA BATA WAKATI WAKO MAREKANI LINI NEXT WEEK!

    • @neemaruben5427
      @neemaruben5427 3 года назад

      Tuomben mungu

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 года назад

      Kuongoza wajinga ni mzigo kabisa...

    • @ismailjuma3692
      @ismailjuma3692 3 года назад

      Ienderee ndio nini boya wewe

    • @ivanminja7954
      @ivanminja7954 3 года назад

      wewe unaona hapo kuna Bata na anawapongeza Watanzania wenzetu, ongea vitu vyenye sense kidogo.

  • @overover6820
    @overover6820 2 года назад

    Good song

  • @brandycolle4256
    @brandycolle4256 3 года назад

    mama ni kla kitu