#MIZENGWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our RUclips Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

Комментарии • 56

  • @davidlelo6192
    @davidlelo6192 Год назад +1

    Naipenda sn mizengwe naomba nifanye kazi nanyie

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 Год назад +1

    Aisee hii inanikumbusha Boss wangu nae alikua hivi hivi aisee wakifiwa wenzie anaona kama wavivu wa kazi ila siku baba ake alipo fariki ndipo akajua kumbe kuna kufiwa

  • @mwitaagness455
    @mwitaagness455 Год назад

    Ni nzuri fundisho

  • @HamisJuma-m3v
    @HamisJuma-m3v Год назад +1

    Eti wiki nzima unamzika mtu mmoja 😅.

  • @theresamushanga-qc9ep
    @theresamushanga-qc9ep Год назад +3

    Niliwamiss sana ❤❤❤❤❤❤❤

  • @AwadhiJuma-mb6qb
    @AwadhiJuma-mb6qb 7 месяцев назад

    Safina na mkwere nawapenda sana

  • @DLBABY-BLESSb-OFFICIAL
    @DLBABY-BLESSb-OFFICIAL Год назад +14

    R.I.P MZEE MATATA BADO TUNA KUKUMBUKA ENDELEA KUPUMZIKA KWA AMANI 🙏🏿🙏🏿

    • @selinathindwa9754
      @selinathindwa9754 Год назад

      😢amefariki lini

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc Год назад

      ​@@selinathindwa9754muda saana miaka miwili mitatu ivi😢

    • @Stefan-bf1dc
      @Stefan-bf1dc Год назад

      ​@@selinathindwa9754 kafa kitambo tu mbona. Ni zaidi ya mwaka sasa

    • @matolasalumu2625
      @matolasalumu2625 Год назад +1

      Nakuamini waukae shida aichagui shubamiiiti!! Pumbavu nani anabisha!?

    • @peternyale565
      @peternyale565 3 месяца назад

      alaaa kwani mzee alituacha

  • @msafirikilongo7429
    @msafirikilongo7429 Год назад +2

    Nzuri, mazingira ya kifamilia

  • @dagchalo7878
    @dagchalo7878 8 месяцев назад

    Bigap mizenge

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Год назад +3

    Huyu sumaku ana kipaji sana, ila mizenzwe hamna mpinzani, 04.11,23.

  • @adamhamisi6161
    @adamhamisi6161 Год назад +1

    Big up #mizengwe✅️

  • @neematimas139
    @neematimas139 Год назад +1

    Big up

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤uyo demu

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Год назад +2

    Kweli ubinadam kazi ❤️🥰💖😂😂😂😂😂

  • @ImmanuelMwaipopo
    @ImmanuelMwaipopo Год назад

    Huyu mzee anajua sana

  • @ramadhanurassa2410
    @ramadhanurassa2410 Год назад +1

    Dotto magari

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 Год назад

    Salute wakali wa burudan, ndugu wa marehemu tunazuiaje misiba😅

  • @hermanhenry6644
    @hermanhenry6644 Год назад

    Good 👍

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 Год назад +2

    Atafiwa lini tena😅😅😅😅

  • @MM-oe2eo
    @MM-oe2eo Год назад

    Sumaku ni mwigizaji bora sana. Best ever

  • @swalesale2229
    @swalesale2229 Год назад +3

    Muschelewe kutoa mpya

  • @kajaymopao1672
    @kajaymopao1672 6 месяцев назад

    leteni mambo mapya mumekawiya sana ku release vitu vipya

  • @musichealsTz
    @musichealsTz Год назад

    Sijui ni sababu gani zinazofnya kutoongeza watu kwa hiki kipindi cha maigizo.. Ila fanyeni mpango huo bwana muwape watu wengine fursa msiwe ninyi pekee enu. Mnapoteza mvuto kila siku ninyi tuuu...

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Год назад +1

    Mizengwe hamuishi ladha miaka nenda miaka rudi

  • @Jumashadhil380
    @Jumashadhil380 Год назад

    😂😂😂Maisha Haya

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 Год назад

    Siku mbili hata kigoma sijafika badooo😅😅😅😅😅😂😂😂

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Год назад +1

    Eti akifiwa Tena meneja utanijua😀😀

  • @itunganobalanga5373
    @itunganobalanga5373 Год назад

    Mwambiye huyo😂😂😂😂

  • @kilogreek4050
    @kilogreek4050 Год назад

    POLENI SANA SIKU NYINGI SIJAINGIA MTANDADAONI KUTOKANA NA KAZI ZA UBAHARIA MAJINI KWA SANA NCHI KAVU FINYU TUPO PAMOJA WAZEE WA KASHIKASHI NAWAPATA SASA KUTOKA CARACAS 🙏👏⚓️🚢🛳🇹🇿🇬🇷

  • @mohamuha994
    @mohamuha994 Год назад +1

    Nawaangalia nikiwa ndani ya gulf

  • @byabatotv3283
    @byabatotv3283 Год назад

    Kumbe Safina ana zinga ya utege😂😂😂😂

  • @SamirSaid-ip8nn
    @SamirSaid-ip8nn Год назад

    R p I mzee wetu kumepwaya san

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Год назад +1

    We meneja umeanza majungua

  • @fredy_boy360
    @fredy_boy360 Год назад

    😂😂😂😂😂😂mamaeee bos ananongwa na wafanya kazi

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Год назад +1

    Hyu sumaku hatali😀😀

  • @Chemba67
    @Chemba67 Год назад +1

    NDUGU IMARA...MTU ANAUMWA KIDOGO ANAKUFA😂😂😂

  • @tithomhagama
    @tithomhagama Год назад +1

    😂😂😂 𝑍𝑢𝑤𝑖𝑎 𝑚𝑖𝑠𝑖𝑏𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎

  • @officialmwabambatv1350
    @officialmwabambatv1350 Год назад

    😂😂😂 eti zuia misiba miezi sita

  • @oyay2821
    @oyay2821 Год назад

    Utafiwa lini tena?😂😂😂

  • @gamestar6698
    @gamestar6698 Год назад

    Kwa issa tambuu apa😅😅😅😅 live

  • @johnrambo9642
    @johnrambo9642 Год назад

    Hahahaa mzee matata nafac yake hio angekuwepo et msiba mkubwa😂😂😂😂

  • @fawwadhibrahim
    @fawwadhibrahim Год назад +1

    Wapili mimi

  • @aureliadidas1531
    @aureliadidas1531 Год назад

    😂😂😂😂😂

  • @TEGEMEAMAKONGWA
    @TEGEMEAMAKONGWA 4 месяца назад

    😂

  • @mussayusuph8661
    @mussayusuph8661 Год назад

    Msiba umechangamka watu wamefurahi

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад

    😂😂😂

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 Год назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Год назад

    Chamsingi ongezeni mtu mmoja itanoga sana

  • @jonathanmlinda2580
    @jonathanmlinda2580 Год назад

    Kash kash group watupe siri ya mafanikio, wana miaka mingi sana na bado radha ni ile ile na hawagombani kama makundi mengine

  • @swalesale2229
    @swalesale2229 Год назад +2

    Muschelewe kutoa mpya

  • @khaledbilal4609
    @khaledbilal4609 Год назад

    😂😂😂