Mnyonge hana haki? Masaibu ya wana-Kariobangi yaendelea

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • Mamia ya watu waliofurushwa katika eneo la Kariobangi bado wamesalia kulala nje, huku hofu ikitanda miongoni mwa kuhusu watakako kwenda baada ya ardhi hiyo kuwekwa ua, hivyo badi kuwafurusha tena.
    Kundi la Sonko Rescue Team hii leo likiandimisha miaka 10 tangu kuzinduliwa kwake limewapa chakula na misaada mingine na kuinua matuamaini yao.

Комментарии • 97

  • @michaelasembo7950
    @michaelasembo7950 4 года назад +5

    Sonko be blessed........... Hata kama inasemekana unaiba... Ni vizuri unakula na sisis.. Hivo ndio inatakikana........

  • @امرائد-ط9ق
    @امرائد-ط9ق 4 года назад +5

    Everywhere sonko....china sonko....sonko may God bless you

  • @susanmwangi3826
    @susanmwangi3826 4 года назад +1

    SONKO GOD BLESS YOU FOR HELPING OUR PEOPLE YOUR MAN OF GOD

  • @emilymideva8783
    @emilymideva8783 4 года назад +2

    Mbona prezo hawezi kujitolea kusaidia watu anawachia sonko tu mungu akuzidishia sonko unafanya kazi nzuri.

  • @سهيلالزهراني-ض5ي
    @سهيلالزهراني-ض5ي 4 года назад

    Sonko umesaidia watu sana,wagonjwa masikini,walimafu na pia wenye shida mbali mbali.mungu akubariki na familia yako siku zote

  • @hannahnjoroge5457
    @hannahnjoroge5457 4 года назад +1

    Sonko you are a God sent ,may he continue to bless you

  • @rechealmugure9198
    @rechealmugure9198 4 года назад +2

    Sonko God bless u,wanjiku anahitaji mtu kama wewe si watu wa kulilia matumbo zao zijae na uongozi wa majina tu

  • @ambiamash2194
    @ambiamash2194 4 года назад +2

    Sonko sonko may God gave u more in this world and hereAfter ur always the helper to the helpless, let those who did this to wanyonge rem that one day we shall all face our lord and answered him wat they did to them

  • @dareenali6086
    @dareenali6086 4 года назад +1

    Inauma Sana kuona wanawake na watoto wapo kwenye Hali hiyo kwanza ni aibu kubwa vipi mnavyo watendea Hao innocent Malaika wa mungu na mama zao haki za watu hazitopotea na nyinyi pia yatawafika malipo hapa hapa duniani

  • @stellahmatinez6653
    @stellahmatinez6653 4 года назад +1

    May God reward you abundantly mike songo

  • @jennynjeri9917
    @jennynjeri9917 4 года назад +2

    I can't control my tears 😥😥....sonko God bless you

  • @alicewambui3979
    @alicewambui3979 4 года назад +2

    Sonko b blessed ata doo umeaza kuona watoto wa watoto wako juu uko na utu dani yako na utaeda far🤲🙏🙏🙏, wengine watangengana buru na mwisoe watakufa kaa👉🐕🐈🐕🐈🐕

  • @queenharrison4396
    @queenharrison4396 4 года назад +3

    Mkenya anaishi ni kama ako inchi ya ugeni ..i salute u sonko

  • @vincentgitiva8849
    @vincentgitiva8849 4 года назад +14

    Our government is full of hyenas,Sonko be blessed

    • @apocalypsething8088
      @apocalypsething8088 4 года назад +1

      it is cursed satanic cult dark state government!

    • @carolynesalamba7605
      @carolynesalamba7605 4 года назад

      Ata cjui mbona watu humchukia na kumuonea na vile ni mtu mfiiti

  • @sharleenkate6648
    @sharleenkate6648 4 года назад +3

    May God bless u sonko u are the only leader in Kenya I trust

    • @sam.3782
      @sam.3782 4 года назад

      The best leader in Nairobi,, Thank you sonko,,God bless you

  • @bafaello2619
    @bafaello2619 4 года назад +3

    Sonko God bless you abundantly

  • @gracewangeci1512
    @gracewangeci1512 4 года назад +4

    God bless you sonko

  • @mzeeniwewe136
    @mzeeniwewe136 4 года назад +1

    Aki huyu sonko anasaidia wanyonge Sana mungu akubariki sana

  • @salmasalim2482
    @salmasalim2482 4 года назад

    Sonko hoeee mungu akubariki wewe na family yako sonko Kama vile umeokowa Hawa wenye shida sahii

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 года назад

    Muheshimiwa Sonko Ubarikiwe Sanaaaa.

  • @josphinedarani6203
    @josphinedarani6203 4 года назад +1

    Sonko mungu akubariki

  • @johnohando2390
    @johnohando2390 4 года назад +1

    This man Sonko

  • @سهيلالزهراني-ض5ي
    @سهيلالزهراني-ض5ي 4 года назад

    Sonko mungu akulinde kabisa

  • @marymuthama2906
    @marymuthama2906 4 года назад +6

    Now the sonko thy used to mock and say he has stolen government money is th one helping th pple who th so called government has demolished their houses.is a pity tht no humanity in th so called leaders.mlaaniwe kabisa!

  • @gachokad
    @gachokad 4 года назад +4

    Although this is sad, the problem is created by politicians who issues public land to voters without telling them that the government can take it away any time. Later when the government comes to reclaim the land, everyone is crying. Nairobi is one of the poorest planned city where millions lives without sewage or any open area for recreation cos everyone want to build and occupy any free area. Those empty spaces were set aside way back to meet needs for everyone not privately.

  • @bernardmuoki4241
    @bernardmuoki4241 4 года назад +1

    Aky poleni sana

  • @nzingomazera9214
    @nzingomazera9214 4 года назад

    Kweli mnyonge ndie mwenye kunyanyaswa na hana sauti. Hii yote itakuja isha na siku moja. One day kenya will be great again abd it has to start with u and me. Let's change our country lets protect each other.

  • @cliffordmaboi2298
    @cliffordmaboi2298 4 года назад +1

    Sonko thank GOD BLESS YOU 0047.

  • @dominicmsafiri5301
    @dominicmsafiri5301 4 года назад

    Sonko God bless you

  • @annasannas6210
    @annasannas6210 4 года назад +2

    God bless u mike sonko

  • @kareemsukri3256
    @kareemsukri3256 4 года назад +4

    Uhuru acha pombe ufisadi Kenya umekithiri nchi inazama lol haki this is too much

  • @evelynnekesa9341
    @evelynnekesa9341 4 года назад +1

    Aki mungu bariki sonko

  • @godfearing6975
    @godfearing6975 4 года назад +2

    Kenya hamna prezo Bure kabisa... Sonko na okothee ndio wanajua Wanjiku ni watu pia

  • @ruthwambugu7549
    @ruthwambugu7549 4 года назад +3

    Walai sonko should be kenyan president but not uhuru

  • @veronicangechu2217
    @veronicangechu2217 4 года назад +1

    sonko God bless you

  • @tabithamogire9670
    @tabithamogire9670 4 года назад +1

    Just imagine its you .imagine..........

  • @zuwenahumud305
    @zuwenahumud305 4 года назад

    Subhanallh

  • @monissandungu4601
    @monissandungu4601 4 года назад +1

    What do we call this ??? Plus corona ,Suicide mission ama? Alafu kidogo utaskia nobody can stop regge ..Goverment!!! Goverment !! GOD IS WATCHING ..God bless you sonko

  • @annitahkenya9724
    @annitahkenya9724 4 года назад +5

    These why God is not happy with Kenyan government,,they must repent as soon As possible

  • @mollynemodani472
    @mollynemodani472 4 года назад +1

    Wen will our government change surely?wen will kenya get the right people to rule ?this is sad lots of people are suffering especially at this moment of fighting this covid 19

  • @janemutisya7375
    @janemutisya7375 4 года назад +4

    Enyewe sonko tu...mungu akubariki

  • @rosekiongo7260
    @rosekiongo7260 4 года назад +1

    This MCA is so humble

    • @shaikhazowayed2534
      @shaikhazowayed2534 4 года назад

      Ata afadhali sonko minaesa sema mnasema sonko ni mwizi bt pesa zake zazaidia maskini....wewe uhuru na huyo hadshake wako...kubomolea tu watu manyuba...malipo ni hapa tu.

  • @sallymartim2668
    @sallymartim2668 4 года назад +1

    Oo Lord see our country,

  • @joelnjoroge4408
    @joelnjoroge4408 4 года назад +3

    Uhuru God is watching,na hatakumbali ulale vyema bila kulipia and if it happens believe you watoto wako watakuja kulipia.So disappointed how we miss Kibaki,and as Nyoro told you,you will never even come close to what Kibaki did to this country.Tafadhali ata kama ni siasa achana na maskini please tunakuomba

  • @wairimundichu5973
    @wairimundichu5973 4 года назад +9

    Hao ndo watu wa corona incase wafe...uhuru ngojea malipo

    • @vincentgitiva8849
      @vincentgitiva8849 4 года назад +1

      Uhuru is busy foaming COVID-19 coalition with Raila and other greedy people.let him get more loans from China and share with his friends.

    • @vincentgitiva8849
      @vincentgitiva8849 4 года назад

      @Anonymous well with everything that is going on they can't win 2022, Kama miaka kumi ndio ameiba zaidi ya moi,I wish Raila angejua how his resume looks like now.

  • @sheikhibrahimabdullahikeny1509
    @sheikhibrahimabdullahikeny1509 4 года назад +1

    People are suffering, na wengine wanakula Chai na mandazi ya 400 million
    Na watu Ata wanakosa breakfast

  • @carolineundisa4028
    @carolineundisa4028 4 года назад +2

    Give them shelter,not only food,

  • @meseckabdul4341
    @meseckabdul4341 4 года назад +7

    UHURU is the one doing this and if you try to address this issue you become an enemy of the state, is there any humanity here this is a very high degree of stupidity and hypocrisy ignorance and childish character , How do you feel when this young innocent children are sleeping in cold what do you gain, , Lack of common sense

  • @sarahmunga5885
    @sarahmunga5885 4 года назад +2

    Woiye aki uhuru why why?

  • @wamsufitness3217
    @wamsufitness3217 4 года назад +1

    Kufurushwa si shida shida Ni kufurushwa hii time ya Corona things are really really tough God please change this situation I pray🙏💞

  • @rosekiongo7260
    @rosekiongo7260 4 года назад +3

    Believe me they were never given any notice

  • @valerieshinia8526
    @valerieshinia8526 4 года назад +2

    Corona itakosaje kusambaaa kama hii ndio mtindo😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @consom5317
    @consom5317 4 года назад

    Sonko 2022

  • @marykinuthia6067
    @marykinuthia6067 4 года назад +1

    Shida kweli.

  • @walkerfamily5582
    @walkerfamily5582 4 года назад +2

    Kama Raila na group yake hawangetiwa mfukoni,ungemuona hapo the first day na vitendawili

  • @nishnish1144
    @nishnish1144 4 года назад +3

    Government ya mafisi na wajinga!!

  • @annemungai4562
    @annemungai4562 4 года назад +2

    Wanataka mshikwe na corona ndio watutangazie number inaenda juu

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.6308 4 года назад +2

    Sad😢😢

  • @mainakamau5657
    @mainakamau5657 4 года назад

    6 month rent!let it be and follow the house owner will give you all the names because they have list of all names

  • @oloipala8590
    @oloipala8590 4 года назад

    Wapi Raila?

  • @munirafatma6090
    @munirafatma6090 4 года назад +1

    jamani serekali kuuhaina haina huruma kabisa

  • @iammarwa
    @iammarwa 4 года назад +1

    Who is the "owner" ???

  • @sky-rq6mv
    @sky-rq6mv 4 года назад

    Suppliers wa mattress, bucket hawajalipwa

  • @AbdullaAbdulla-pw5nd
    @AbdullaAbdulla-pw5nd 4 года назад

    Hivi kwanini Raisi wa Kenya huwapendi raiya wako, unapenda wateseke, kwanini unawavunjia, waishi wapi na taifa lako limejaa maradhi ya Corona hemu Uhuru Kenyata badilika achana na ujinga fuata nyayo za Raisi wetu wa TANZANIA Magufuli

  • @sweetgal4738
    @sweetgal4738 4 года назад

    Imagn mtoto analala kwa baridi mtu ajege khai tuko kenya gani

  • @susanwanja1395
    @susanwanja1395 4 года назад +2

    Swali langu ni mmoja kwani hii ni Kenya ni sonko tu alichaguliwa
    Imembaki miaka 2 tu mtatupa mkiomba kula

    • @johnohando2390
      @johnohando2390 4 года назад

      Do you think Sonko is ready for presidency?

  • @RoroRoserororo
    @RoroRoserororo 4 года назад

    Kweli uhuru wewe ni raisi wa aina gani ata afadhali uongozi wa dictate moi

  • @sweetgal4738
    @sweetgal4738 4 года назад

    Wanjiga akuna Corona kenya

  • @maryjones3523
    @maryjones3523 4 года назад

    This is not good at all... They should have a solution to all this problems.. Before this spread... ...?

  • @tabithawanjirundegwa7861
    @tabithawanjirundegwa7861 4 года назад

    Sonko God bless you

  • @shiphrahblessing284
    @shiphrahblessing284 4 года назад

    God bless you sonko

  • @sarahmbihi5471
    @sarahmbihi5471 4 года назад

    Sonko God bless you