Mnyonge hana haki? Masaibu ya wana-Kariobangi yaendelea
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- Mamia ya watu waliofurushwa katika eneo la Kariobangi bado wamesalia kulala nje, huku hofu ikitanda miongoni mwa kuhusu watakako kwenda baada ya ardhi hiyo kuwekwa ua, hivyo badi kuwafurusha tena.
Kundi la Sonko Rescue Team hii leo likiandimisha miaka 10 tangu kuzinduliwa kwake limewapa chakula na misaada mingine na kuinua matuamaini yao.
Sonko be blessed........... Hata kama inasemekana unaiba... Ni vizuri unakula na sisis.. Hivo ndio inatakikana........
Everywhere sonko....china sonko....sonko may God bless you
True
Amen
SONKO GOD BLESS YOU FOR HELPING OUR PEOPLE YOUR MAN OF GOD
Mbona prezo hawezi kujitolea kusaidia watu anawachia sonko tu mungu akuzidishia sonko unafanya kazi nzuri.
Sonko umesaidia watu sana,wagonjwa masikini,walimafu na pia wenye shida mbali mbali.mungu akubariki na familia yako siku zote
Sonko you are a God sent ,may he continue to bless you
Sonko God bless u,wanjiku anahitaji mtu kama wewe si watu wa kulilia matumbo zao zijae na uongozi wa majina tu
Sonko sonko may God gave u more in this world and hereAfter ur always the helper to the helpless, let those who did this to wanyonge rem that one day we shall all face our lord and answered him wat they did to them
Inauma Sana kuona wanawake na watoto wapo kwenye Hali hiyo kwanza ni aibu kubwa vipi mnavyo watendea Hao innocent Malaika wa mungu na mama zao haki za watu hazitopotea na nyinyi pia yatawafika malipo hapa hapa duniani
May God reward you abundantly mike songo
I can't control my tears 😥😥....sonko God bless you
Sonko b blessed ata doo umeaza kuona watoto wa watoto wako juu uko na utu dani yako na utaeda far🤲🙏🙏🙏, wengine watangengana buru na mwisoe watakufa kaa👉🐕🐈🐕🐈🐕
Yeah kufa kama mbwa
Mkenya anaishi ni kama ako inchi ya ugeni ..i salute u sonko
Our government is full of hyenas,Sonko be blessed
it is cursed satanic cult dark state government!
Ata cjui mbona watu humchukia na kumuonea na vile ni mtu mfiiti
May God bless u sonko u are the only leader in Kenya I trust
The best leader in Nairobi,, Thank you sonko,,God bless you
Sonko God bless you abundantly
God bless you sonko
Aki huyu sonko anasaidia wanyonge Sana mungu akubariki sana
Sonko hoeee mungu akubariki wewe na family yako sonko Kama vile umeokowa Hawa wenye shida sahii
Muheshimiwa Sonko Ubarikiwe Sanaaaa.
Sonko mungu akubariki
This man Sonko
Sonko mungu akulinde kabisa
Now the sonko thy used to mock and say he has stolen government money is th one helping th pple who th so called government has demolished their houses.is a pity tht no humanity in th so called leaders.mlaaniwe kabisa!
Although this is sad, the problem is created by politicians who issues public land to voters without telling them that the government can take it away any time. Later when the government comes to reclaim the land, everyone is crying. Nairobi is one of the poorest planned city where millions lives without sewage or any open area for recreation cos everyone want to build and occupy any free area. Those empty spaces were set aside way back to meet needs for everyone not privately.
Aky poleni sana
Kweli mnyonge ndie mwenye kunyanyaswa na hana sauti. Hii yote itakuja isha na siku moja. One day kenya will be great again abd it has to start with u and me. Let's change our country lets protect each other.
Sonko thank GOD BLESS YOU 0047.
Sonko God bless you
God bless u mike sonko
Uhuru acha pombe ufisadi Kenya umekithiri nchi inazama lol haki this is too much
Aki mungu bariki sonko
Kenya hamna prezo Bure kabisa... Sonko na okothee ndio wanajua Wanjiku ni watu pia
Walai sonko should be kenyan president but not uhuru
True
sonko God bless you
Just imagine its you .imagine..........
Subhanallh
What do we call this ??? Plus corona ,Suicide mission ama? Alafu kidogo utaskia nobody can stop regge ..Goverment!!! Goverment !! GOD IS WATCHING ..God bless you sonko
These why God is not happy with Kenyan government,,they must repent as soon As possible
Wen will our government change surely?wen will kenya get the right people to rule ?this is sad lots of people are suffering especially at this moment of fighting this covid 19
Enyewe sonko tu...mungu akubariki
This MCA is so humble
Ata afadhali sonko minaesa sema mnasema sonko ni mwizi bt pesa zake zazaidia maskini....wewe uhuru na huyo hadshake wako...kubomolea tu watu manyuba...malipo ni hapa tu.
Oo Lord see our country,
Uhuru God is watching,na hatakumbali ulale vyema bila kulipia and if it happens believe you watoto wako watakuja kulipia.So disappointed how we miss Kibaki,and as Nyoro told you,you will never even come close to what Kibaki did to this country.Tafadhali ata kama ni siasa achana na maskini please tunakuomba
Hao ndo watu wa corona incase wafe...uhuru ngojea malipo
Uhuru is busy foaming COVID-19 coalition with Raila and other greedy people.let him get more loans from China and share with his friends.
@Anonymous well with everything that is going on they can't win 2022, Kama miaka kumi ndio ameiba zaidi ya moi,I wish Raila angejua how his resume looks like now.
People are suffering, na wengine wanakula Chai na mandazi ya 400 million
Na watu Ata wanakosa breakfast
Give them shelter,not only food,
UHURU is the one doing this and if you try to address this issue you become an enemy of the state, is there any humanity here this is a very high degree of stupidity and hypocrisy ignorance and childish character , How do you feel when this young innocent children are sleeping in cold what do you gain, , Lack of common sense
May they die in Jesus name
Woiye aki uhuru why why?
Kufurushwa si shida shida Ni kufurushwa hii time ya Corona things are really really tough God please change this situation I pray🙏💞
Amen
Believe me they were never given any notice
Corona itakosaje kusambaaa kama hii ndio mtindo😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Sonko 2022
Shida kweli.
Kama Raila na group yake hawangetiwa mfukoni,ungemuona hapo the first day na vitendawili
👍👍👍👍
Government ya mafisi na wajinga!!
Wanataka mshikwe na corona ndio watutangazie number inaenda juu
True, may they die instead of us
Sad😢😢
6 month rent!let it be and follow the house owner will give you all the names because they have list of all names
Wapi Raila?
jamani serekali kuuhaina haina huruma kabisa
Who is the "owner" ???
Kenyatta family
Suppliers wa mattress, bucket hawajalipwa
Hivi kwanini Raisi wa Kenya huwapendi raiya wako, unapenda wateseke, kwanini unawavunjia, waishi wapi na taifa lako limejaa maradhi ya Corona hemu Uhuru Kenyata badilika achana na ujinga fuata nyayo za Raisi wetu wa TANZANIA Magufuli
Imagn mtoto analala kwa baridi mtu ajege khai tuko kenya gani
Swali langu ni mmoja kwani hii ni Kenya ni sonko tu alichaguliwa
Imembaki miaka 2 tu mtatupa mkiomba kula
Do you think Sonko is ready for presidency?
Kweli uhuru wewe ni raisi wa aina gani ata afadhali uongozi wa dictate moi
Wanjiga akuna Corona kenya
This is not good at all... They should have a solution to all this problems.. Before this spread... ...?
MUNGU AWALINDE MASKINI
Sonko God bless you
God bless you sonko
Sonko God bless you