walishasema mapenzi hayalazimishwi kwenye mtu asiye kupenda wala haubishi pendana na anaye kupenda aga kwenye moyo nishawapa nafasi wengi wakaniumiza wakaniacha mpweke mahututi nafsi nikauguza ILA leo wacha nienjoy maisha maana matamu na mapenzi ni utani oya leo wacha nienjoy maisha maana matamu tena sitaki utani I AM HAPPY I AM HAPPY
❤
HIII APA HIIIIII
🙏✌️
walishasema mapenzi hayalazimishwi kwenye mtu asiye kupenda wala haubishi pendana na anaye kupenda
aga kwenye moyo nishawapa nafasi wengi wakaniumiza wakaniacha mpweke mahututi nafsi nikauguza
ILA leo wacha nienjoy maisha maana matamu na mapenzi ni utani
oya leo wacha nienjoy maisha maana matamu tena sitaki utani
I AM HAPPY
I AM HAPPY
✌️
Mkali wa hizi bitii
🙏✌️
Nakubal
🙏✌️