Bishop Gwajima - Jinsi ya kutumia Malaika Episode 1/2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 май 2016
  • Tembelea na like Facebook page: jgwajima

Комментарии • 79

  • @shadrackmutunga9566
    @shadrackmutunga9566 3 месяца назад +3

    The whole world needs to hear this.welcome to Kenya,tunataka hayo mafundisho.

  • @tabithaibrahim8493
    @tabithaibrahim8493 2 года назад +3

    Thank you Lord for your sweet teachings from your powerful
    servant.Glorybe to GOD.

  • @ongitoabel1597
    @ongitoabel1597 6 лет назад +5

    nimebarikiwa sana kwa kusikiliza Mahubiri ya JINSI YA KUTUMIA MALAIKA.
    UBARIKIWE MTUSHI WA BWANA YESU KRISTO.

  • @rachelpaschal9378
    @rachelpaschal9378 5 месяцев назад

    Amina mtumishi wa mungu barikiwa sana Kwa msaada wa kutufundisha

  • @bristonemwazighe2760
    @bristonemwazighe2760 8 лет назад +5

    Bishop Gwanjima karibu Kenya.

  • @happinesmafuru9939
    @happinesmafuru9939 4 года назад +1

    Asante kwa mafundisho mazuri mpakwa mafuta wa bwana.

  • @ritahwamboi2730
    @ritahwamboi2730 8 лет назад +2

    baba ngwajima nina mshukuru mungu baba kwa kututumia mwalimu kwa wakati wetu ubarikiwe na familia yako majeshi majeshi asante yesu amen

  • @rachelpaschal9378
    @rachelpaschal9378 5 месяцев назад

    Amina mtumishi wa mungu barikiwa sana

  • @ignasprosperballu2376
    @ignasprosperballu2376 6 лет назад +3

    Aisee Baba Mungu anakutumia kwa namna ya ajabu sana aisee duu

  • @bahatisanga8715
    @bahatisanga8715 3 года назад

    Asante Kwa maarifa ya jinsi ya kutumia Malaika wa Mungu . Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu. 🙏🙏

  • @mwendwakawea4507
    @mwendwakawea4507 2 года назад

    Amen Baba uinuliwe na Ulindwe zaidi na Mbingu

  • @user-je2cr9su8q
    @user-je2cr9su8q 5 месяцев назад

    Amen.mchungani ubarikiwe

  • @alexfrancis5719
    @alexfrancis5719 5 лет назад +1

    bishop dr gwajima nimebalikiwa sana

  • @Patience.67
    @Patience.67 2 года назад +1

    Baba asante kwa ili somo

  • @douglasgatobu105
    @douglasgatobu105 Год назад

    Thenx kwa kujua jinzi ya kutumia malaika

  • @eunicetheresa5015
    @eunicetheresa5015 4 года назад

    Ni mafundisho ya kipekee sana Mungu niwezeshe kufundishika kwa jina la Yesu

  • @gloryeliya2058
    @gloryeliya2058 7 лет назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu upendwae sana

  • @mariammasika3720
    @mariammasika3720 8 лет назад +2

    God bless pastor Gwajima!!

  • @alexngowo2757
    @alexngowo2757 5 лет назад +1

    Yaani nabarikiwa sana kupitia wewe mtumishi Gwajima, maana unatusaidia kuijua Biblia, sheria za MUNGU na kutokea hapo ndio ushindi wetu ulipo

  • @EvelyneNdabunga
    @EvelyneNdabunga 3 месяца назад

    Asante baba karibu Burundi

  • @catherineassenga736
    @catherineassenga736 7 лет назад +1

    baba ubarikiwee sana nakupenda sana nakuombeaa sana katika safari hii ya kugeuza ufalme wa dunia kuwa wa mwanakondoo

  • @khairatzinzibar1434
    @khairatzinzibar1434 7 лет назад +3

    Baba gwajima nakushukuru kwa maombi yako

  • @nicolaus4088
    @nicolaus4088 Год назад

    Nakuelewasana mchungaji ubarikiweee

  • @maryadega7157
    @maryadega7157 8 лет назад +4

    Thank you servant of the most high am amazed about todays message.God bless you and am blessed

  • @nickodemasfransis214
    @nickodemasfransis214 8 лет назад +3

    god blease my dady

  • @primoermani7961
    @primoermani7961 8 лет назад +1

    ubarikiwe pastor na mungu wetu wa ufalme wa mbinguni akupe nguvu

    • @dianemukeshimana1421
      @dianemukeshimana1421 7 лет назад +1

      Josephat Gwajima RudishaTv Nawapata

    • @kennedynjau2022
      @kennedynjau2022 5 лет назад

      Nimebarikiwa sana..Jina la Bwana lipewe sifa..Barikiwa mtumishi na Mungu akuzidishe

  • @shohamuwokovuhalisi.2648
    @shohamuwokovuhalisi.2648 8 лет назад +1

    Amina. asante Daddy. nitajua jinsi ya kutumia malaika.

    • @annmukai1367
      @annmukai1367 5 лет назад

      Baba mungu akubariki Sana mtumishi wa mungu,mafundisho yako mazuri sana

  • @piensiacosmas437
    @piensiacosmas437 6 лет назад +1

    baba mungu akubariki sana nimejifunza mengi kupitia ufufuo na uzima

  • @ezekielimpiga7870
    @ezekielimpiga7870 7 лет назад +5

    Nilitamani sana kutumika na wewe kama baba yangu, lakini haikuwezeka,Mungu azidi kukutuza akupe nguvu nyingi tuzidi kuujenga ufalme wa Yesu.

  • @tabithaibrahim8493
    @tabithaibrahim8493 2 года назад

    Nisamehe Baba Mungu kwa kuomba kinyume cha sheria .Mara nyingi nilituma malaika wengi na sikupata majibu.

  • @winifrdamagina3366
    @winifrdamagina3366 3 года назад

    Asante mchungaji na mm ninawatoto wangu wasumbuliwa na wachawi naomba yako nikueleze nahangaika nao

    • @halimamashed1904
      @halimamashed1904 3 года назад

      Nenda kanisani utasaidiwa ni ubungo maji hapo

  • @bettypraisethelordbeblesse5040
    @bettypraisethelordbeblesse5040 6 лет назад +1

    May Almighty God be with you always be blessed

  • @uMkhonto_weSizwe
    @uMkhonto_weSizwe 5 месяцев назад

    Majeshi Majeshi!! ✊🏾

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 7 месяцев назад

    Marekani ni kazi zao zote

  • @melesianageorge2012
    @melesianageorge2012 2 года назад

    Amen 🙏 sana

  • @bettynyongesa6702
    @bettynyongesa6702 3 года назад

    Ameen kwa ujasiri wa hali ya juu

  • @suzanmrema1092
    @suzanmrema1092 4 года назад +1

    Nimebarikiwa sana na somo hili

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 4 года назад +1

    Ubarikiwe sana

  • @edwinonsombi
    @edwinonsombi 2 года назад

    Amen.

  • @lazarotluway5881
    @lazarotluway5881 5 лет назад +1

    Ameen

  • @nicolaus4088
    @nicolaus4088 Год назад

    Jeshilaufalmee

  • @halimamashed1904
    @halimamashed1904 3 года назад

    Amen

  • @sirizilizofichwazakale1379
    @sirizilizofichwazakale1379 8 лет назад +2

    asante bishop

  • @kwambokaonchonga3269
    @kwambokaonchonga3269 6 лет назад +1

    Asante sana mtumishi wa mungu kwa mafunzo Stay blessed.

  • @pendosamson7202
    @pendosamson7202 2 года назад

    EMEN EMEN EMEN EMEN DADY 🙏🏻🙏🏻

  • @maryadega1463
    @maryadega1463 7 лет назад +1

    Amen
    Naamini

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 2 года назад

    Ameeeeeeeeeeen

  • @nicolaus4088
    @nicolaus4088 Год назад

    Nimejuamalaikaa

  • @lazaruspeterson1019
    @lazaruspeterson1019 3 года назад

    Majeshi majeshi

  • @IssaDanda-mg1uc
    @IssaDanda-mg1uc 2 месяца назад

    Amy

  • @tobiasantony3644
    @tobiasantony3644 3 года назад

    Ninapoyatumia mahubiri yako kuwahubiria wengine, nakuta wanatetemeka na mapepo yanakimbia. Nataman kupata upako huo zaidi

  • @Marcondunguru
    @Marcondunguru 7 лет назад +2

    tuta pataje vitabu vyenu

  • @marietherese6680
    @marietherese6680 7 лет назад +1

    God please my dady

    • @johnkasiti4614
      @johnkasiti4614 6 лет назад

      Marie Therese hey

    • @soniamumbi1430
      @soniamumbi1430 5 лет назад

      I can't wait to sit under you one day Man of God! ! Iv been following your ministry and God has realy lifted me. Keep serving Sir👏.. wellcomes to Nairobi..

  • @gracekahinga9018
    @gracekahinga9018 2 года назад

    Ameeen

  • @godfreykimaro3011
    @godfreykimaro3011 4 года назад

    Good news

  • @martjonas7723
    @martjonas7723 7 лет назад

    tarifa ya habari ya SAA mbili tarehe 25 2 017 SAA 2 usiku

  • @johnedward3000
    @johnedward3000 7 лет назад +1

    pastor ubarikiwe sana, ni miongoni mwa watu wanaojifunza sana kupitia wewe na ningependa kuongea na wewe, hivo naomba uniandikie kwa edwardjohn450@live.com

  • @claudinelola3894
    @claudinelola3894 4 года назад

    Mchungaji,tunaruhusiwa ku omba malaika?

    • @malkia21
      @malkia21 4 года назад

      Hauombi unamtuma kwa sababu umepewa mamlaka hayo.

    • @claudinelola3894
      @claudinelola3894 4 года назад

      @@malkia21,mpenzi,utatuma jee malaika ijapo kua saa anafika anakuja na mission tayari kutoka kwa MUNGU BABA?Just asking sababu sielewi.

    • @malkia21
      @malkia21 4 года назад

      Claudine Lola ukiweza sikiliza part 1 na 2. Utaelewa vizuri zaidi.

    • @SamwelJoseph-yk3cw
      @SamwelJoseph-yk3cw 4 месяца назад

      Hapana, aombwae ni MUNGU tu ila malaika ni wajumbe wa MUNGU kwetu sisi wanadam

  • @nickodemasfransis214
    @nickodemasfransis214 8 лет назад +2

    god blease my dady

  • @lusubilosilomba6304
    @lusubilosilomba6304 8 лет назад +2

    Amen

  • @AAl-xy8kl
    @AAl-xy8kl 3 года назад

    Ameen

  • @aimermutombo2712
    @aimermutombo2712 4 года назад

    Amen