I can't wait to sit under you one day Man of God! ! Iv been following your ministry and God has realy lifted me. Keep serving Sir👏.. wellcomes to Nairobi..
pastor ubarikiwe sana, ni miongoni mwa watu wanaojifunza sana kupitia wewe na ningependa kuongea na wewe, hivo naomba uniandikie kwa edwardjohn450@live.com
The whole world needs to hear this.welcome to Kenya,tunataka hayo mafundisho.
Thank you Lord for your sweet teachings from your powerful
servant.Glorybe to GOD.
nimebarikiwa sana kwa kusikiliza Mahubiri ya JINSI YA KUTUMIA MALAIKA.
UBARIKIWE MTUSHI WA BWANA YESU KRISTO.
Amina mtumishi wa mungu barikiwa sana Kwa msaada wa kutufundisha
Bishop Gwanjima karibu Kenya.
Asante kwa mafundisho mazuri mpakwa mafuta wa bwana.
baba ngwajima nina mshukuru mungu baba kwa kututumia mwalimu kwa wakati wetu ubarikiwe na familia yako majeshi majeshi asante yesu amen
Majeshi ya BWANA ameeeeeeeeeeen
Amina mtumishi wa mungu barikiwa sana
Aisee Baba Mungu anakutumia kwa namna ya ajabu sana aisee duu
Asante Kwa maarifa ya jinsi ya kutumia Malaika wa Mungu . Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu. 🙏🙏
Amen Baba uinuliwe na Ulindwe zaidi na Mbingu
Amen.mchungani ubarikiwe
bishop dr gwajima nimebalikiwa sana
Baba asante kwa ili somo
Thenx kwa kujua jinzi ya kutumia malaika
Ni mafundisho ya kipekee sana Mungu niwezeshe kufundishika kwa jina la Yesu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu upendwae sana
God bless pastor Gwajima!!
Yaani nabarikiwa sana kupitia wewe mtumishi Gwajima, maana unatusaidia kuijua Biblia, sheria za MUNGU na kutokea hapo ndio ushindi wetu ulipo
Asante baba karibu Burundi
baba ubarikiwee sana nakupenda sana nakuombeaa sana katika safari hii ya kugeuza ufalme wa dunia kuwa wa mwanakondoo
Nami naungana na wewe katika hilo
Baba gwajima nakushukuru kwa maombi yako
Barikikiwa mtumishi wa MUNGU
Nakuelewasana mchungaji ubarikiweee
Thank you servant of the most high am amazed about todays message.God bless you and am blessed
god blease my dady
ubarikiwe pastor na mungu wetu wa ufalme wa mbinguni akupe nguvu
Josephat Gwajima RudishaTv Nawapata
Nimebarikiwa sana..Jina la Bwana lipewe sifa..Barikiwa mtumishi na Mungu akuzidishe
Amina. asante Daddy. nitajua jinsi ya kutumia malaika.
Baba mungu akubariki Sana mtumishi wa mungu,mafundisho yako mazuri sana
baba mungu akubariki sana nimejifunza mengi kupitia ufufuo na uzima
Nilitamani sana kutumika na wewe kama baba yangu, lakini haikuwezeka,Mungu azidi kukutuza akupe nguvu nyingi tuzidi kuujenga ufalme wa Yesu.
Mungu akusimamie milele daima- Ubarikiwe sana mwalimu wa injili
MUNGU aendelee kukutia nguvu katika yeye
Nisamehe Baba Mungu kwa kuomba kinyume cha sheria .Mara nyingi nilituma malaika wengi na sikupata majibu.
Asante mchungaji na mm ninawatoto wangu wasumbuliwa na wachawi naomba yako nikueleze nahangaika nao
Nenda kanisani utasaidiwa ni ubungo maji hapo
May Almighty God be with you always be blessed
Majeshi Majeshi!! ✊🏾
Majeshi ya BWANA
Marekani ni kazi zao zote
Amen 🙏 sana
Ameen kwa ujasiri wa hali ya juu
Nimebarikiwa sana na somo hili
Ubarikiwe sana
Amen.
Ameen
Jeshilaufalmee
Amen
asante bishop
Asante sana mtumishi wa mungu kwa mafunzo Stay blessed.
EMEN EMEN EMEN EMEN DADY 🙏🏻🙏🏻
Amen
Naamini
Ameeeeeeeeeeen
Nimejuamalaikaa
Majeshi majeshi
Majeshi ya BWANA
Amy
Ninapoyatumia mahubiri yako kuwahubiria wengine, nakuta wanatetemeka na mapepo yanakimbia. Nataman kupata upako huo zaidi
tuta pataje vitabu vyenu
God please my dady
Marie Therese hey
I can't wait to sit under you one day Man of God! ! Iv been following your ministry and God has realy lifted me. Keep serving Sir👏.. wellcomes to Nairobi..
Ameeen
Good news
tarifa ya habari ya SAA mbili tarehe 25 2 017 SAA 2 usiku
pastor ubarikiwe sana, ni miongoni mwa watu wanaojifunza sana kupitia wewe na ningependa kuongea na wewe, hivo naomba uniandikie kwa edwardjohn450@live.com
Mchungaji,tunaruhusiwa ku omba malaika?
Hauombi unamtuma kwa sababu umepewa mamlaka hayo.
@@malkia21,mpenzi,utatuma jee malaika ijapo kua saa anafika anakuja na mission tayari kutoka kwa MUNGU BABA?Just asking sababu sielewi.
Claudine Lola ukiweza sikiliza part 1 na 2. Utaelewa vizuri zaidi.
Hapana, aombwae ni MUNGU tu ila malaika ni wajumbe wa MUNGU kwetu sisi wanadam
god blease my dady
Amen
Ameen
Amen