Huyu ni mwalimu mzuri wa kutufunza njia yetu ya uisilamu. Tuendelee kumkumbatia na kumzingatia zaidi huenda tutaelewa njia yetu ya uisilamu kupitia mwalimu huyu. Allah amzididishie Ostadhi elimu na hekima, upole, upendo uisilamu na yakini na sisi pia.
Masha Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe, mola akulipe, akupe elimu nyingi Zaid, Afya na umri mrefu wenye manfaa na wewe kwanza kabla ya sisi inshaallah.
Yaani sisi waislamu kuepukana na haya matatizo ni kufuata mafundisho ya mtume wetu muhamadi s,w na qurani na pamoja kuepuka umadheebu waislam ni wamoja
Huyu ni mwalimu mzuri wa kutufunza njia yetu ya uisilamu. Tuendelee kumkumbatia na kumzingatia zaidi huenda tutaelewa njia yetu ya uisilamu kupitia mwalimu huyu. Allah amzididishie Ostadhi elimu na hekima, upole, upendo uisilamu na yakini na sisi pia.
Mashallah shuktan shekh wetu nakupenda kwa ajili ya allah
Jazzakallah kheir shekh Othman maalimu kipenzi chetu nijivunia kukutambua alhamdullaah
Masha Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe, mola akulipe, akupe elimu nyingi Zaid, Afya na umri mrefu wenye manfaa na wewe kwanza kabla ya sisi inshaallah.
Jazakallah khayran
Mashaallah.100%.
Maa Shaa ALLAH 💚🇰🇪
Maasha Allah shukran Jazakallahu Khair , Shekhe Othman, 🙏💯
Kwa kweli
Mashallah shukran sana sheik wangu
Jazzakalah likher shkh wetu
Yaani sisi waislamu kuepukana na haya matatizo ni kufuata mafundisho ya mtume wetu muhamadi s,w na qurani na pamoja kuepuka umadheebu waislam ni wamoja
Mawahabi wakiingia hapa wataanza kutukana....wale watu wana maradhi ya akili na saikolojia..!
mawahibi elim haipo fujotu